Kanisa Katoliki Tanzania lalaani mauaji ya uchaguzi
Siku Chache baada ya Uchaguzi wa Oktoba 29 uliogubikwa na vurugu nchini Tanzania, Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, limefanya misa Takatifu ya kuombea waliofariki wakati wa uchaguzi…
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimepanga kuongeza idadi ya wanafunzi kutoka 12,000 wa sasa hadi kufikia 17,97…
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimepanga kuongeza idadi ya wanafunzi kutoka 12,000 wa sasa hadi kufikia 17,970 baada ya kukamilika kwa majengo mapya katika ndaki kuu ya…
Dr. Aimé Manga mwokozi wa wanawake waliobakwa Goma
Aimé Manga ni Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, anayewahudumia wanawake waliobakwa katika vita huko Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Dk Mwinyi ataja mwelekeo wa Serikali, yuko tayari kwa SUK, maridhiano
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi ametaja vipaumbele na mwelekeo mpya wa Serikali katika...
Dr Mwinyi inaugurates the 11th House of Reps, prioritizing key economic areas
ZANZIBAR: ZANZIBAR President, Dr Hussein Ali Mwinyi, has inaugurated the 11th House of Representatives session today, November 10, 2025, and outlined his government’s priorities and strategic direction for 2025–2030, in…
AS FAR yaitangazia vita Yanga CAF
Kocha Mkuu wa AS FAR ya Morocco, Alexandre Dos Santos amesema kuwa wanafanya maandalizi makubwa...
Masai akiri Bara mziki mnene
NAHODHA wa Mtibwa Sugar, Oscar Masai amesema licha ya kupanda daraja wakitwaa taji la Championship wamekutana na ligi dume ambayo inawaamsha kujishikilia kabla ya kurudi walikotoka huku akitaja kuwa ujio…
Dk Kaushik: Kuna ongezeko vifo vya mapema vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza
Takwimu zikionyesha zaidi ya asilimia 34 ya vifo vyote nchini, vinatokana na magonjwa...
Antonio Conte achafua hali ya hewa Napoli atishia kujiuzulu
Kocha wa Napoli, Antonio Conte, yuko kwenye hali ya sintofahamu kubwa baada ya kupoteza kwa...
Simba, Yanga zabisha hodi TFF
TAIFA Stars itacheza mechi moja dhidi ya Kuwait, baada ya viongozi wa klabu za Simba na Yanga kugonga hodi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba mastaa wanaoshiriki michuano ya CAF…
Simba, Yanga zabisha TFF
TAIFA Stars itacheza mechi moja dhidi ya Kuwait, baada ya viongozi wa klabu za Simba na Yanga kugonga hodi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuomba mastaa wanaoshiriki michuano ya CAF…
Sare yaipa mzuka JKT Queens CAFWCL
KOCHA wa JKT Queens, Abdallah Kessy, amesema kikosi hicho bado kina nafasi nzuri ya kufanya vizuri kwenye mchezo ujao dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast, utakaochezwa Jumatano hii kwenye…
Segeja awagomea maafande wa Prisons
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Abdulkarim Segeja, ameachana rasmi na kikosi hicho cha maafande, baada ya kugoma kuongeza mkataba mwingine, huku taarifa zikieleza kuna ofa mbalimbali ambazo menejimenti yake inazifanyia…
Wagosi warudi kuitafuta dawa
BAADA ya mapumziko ya wiki mbili, kikosi cha Coastal Union kimerejea mazoezini kujinoa kwa michezo ya ligi iliyo mbele yake huku kocha Mohammed Muya akilia na washambuliaji.
IGP, wenzake wamwekea pingamizi Heche, kesi yaahirishwa
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) na wenzake wengine watano, ambao ni wajibu maombi katika shauri...
Vipigo KMC vyamliza Saliboko
KMC jana ilipokea kipigo cha tano mfululizo katika Ligi Kuu Bara baada ya kufumuliwa na Yanga mabao 4-1, huku klabu ikiwa mkiani mwa msimamo na mmoja ya nyota wa timu…
Undav aipandisha Stuttgart nafasi ya nne katika Bundesliga
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ujerumani Deniz Undav aliisaidia timu yake ya VfB Stuttgart kujiimarisha katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa Bundesliga kwa kufunga mabao mawili dhidi ya…
Hatari ya ushawishi wa Israel barani Afrika; Tishio lililofichika kwa uhuru wa bara Afrika
Katika juhudi zake za kuitoa Israel kwenye hali ya kutengwa, Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, anatarajiwa kuelekea barani Afrika.
Marekani: Donald Trump amsamehe wakili wake wa zamani Rudy Giuliani na wengine 76
Rais wa Marekani Donald Trump leo Jumatatu, Novemba 10, amewasamehe watu 77 waliohusika katika jaribio la kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais wa mwaka 2020, akiwemo wakili wake wa zamani…
Rais Mwinyi atangaza mwelekeo mpya SMZ
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar na kutoa mwelekeo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar…
Biashara ya kimataifa EAC yapaa katika robo ya pili ya 2025
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imerekodi ongezeko la biashara ya bidhaa za kimataifa katika...
Watu zaidi ya kumi waangamia katika ajali kwenye barabara ya Kasumbalesa
Takriban watu kumi wameangamia leo Jumatatu, Novemba 10, katika ajli kwenye barabara ya Kasumbalesa katika mkoa wa Haut-Katanga. Kulingana na mashahidi, magari mawili yaliyokuwa yakisafiri yaligongana. Imechapishwa: 10/11/2025 – 13:45…
Ufanisi Waongezwa Bandari ya Mtwara
MAMLAKA ya Bandari Mkoani Mtwara imesema mwaka huu inashirikiana na sekta binafsi kuendesha Bandari kavu kwa ajili ya kufungasha kontena za korosho ghafi zinazosafirishwa kupitia Bandari hiyo. The post Ufanisi…
EAC participants adopt resolutions to strengthen agroecology trade
The East African Community (EAC) has taken a significant step toward strengthening agroecological trade in the region. Participants at the Regional Conference on Enhancing Cross-Border Trade in Agroecological Produce concluded…
Tehran yapuuzilia mbali madai ya Israel ya njama ya kumuua balozi wa utawala huo huko Mexico
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepuuza vikali madai ya Israel kwamba Tehran ilijaribu kumuua balozi wa utawala huo nchini Mexico, akiyata madai hayo kuwa "hayana msingi…
Gavana wa Darfur: Al Burhan aamuru vikosi kusonga mbele kuelekea magharibi
Gavana wa Darfur na kiongozi wa Harakati ya Ukombozi wa Sudan, Minni Arko Minnawi amesema kwamba mkuu wa Baraza la Utawala na kamanda mkuu wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah…
IRGC yavunja mtandao wa udukuzi unaohusishwa na Mossad
Shirika la Ujasusi la Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza mafanikio makubwa ya kukabiliana na ujasusi, na kumkamata kiongozi wa kundi la udukuzi linalojulikana kama "Backdoor."
From field to fortune, extension services are the missing link
Wherever way you look at it, smallholder farmers are the unsung heroes of our food system. Day in and day out, they toil under the sun, juggling unpredictable weather, pests,…
TRA Ilala yakabidhi Sh30 milioni kwa vikundi 15 vya wafanyabiashara wadogo
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa kikodi Ilala, imekabidhi Sh30 milioni kwa vikundi 15...
COP30 Brazil:IOM yasisitiza umuhimu wa watu katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
Wakati viongozi wa dunia wanakutana leo tarehe 10 Novemba 2025, huko mjini Belém, Brazil kwenye lango kuu la kuingia kwenye Msitu wa Amazon kwa ajili ya Mkutano wa 30 wa…
Mpira wa kikapu wabadilisha maisha ya vijana wa Yambio nchini Sudan Kusini
Kwa msaada wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS, uwanja wa mpira wa kikapu mjini Yambio, jimboni Equatoria Magharibi umekuwa kituo cha matumaini na ushirikiano, ukileta pamoja…
Fahamu mambo 6 yatakayotawala mkutano wa COP30
Wakati dunia inapokutana Belém, Brazil kwa mkutano wa 30 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP30), ni mwanzo wa kile ambacho wachambuzi wanasema…
COP30: Mkutano wa UN kuhusu mabadiliko ya tabianchi wang’oa nanga Brazil
Mkutano wa wa 30 wa nchi wanachama wa mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabainchi, UNFCCC (COP30) umeanza leo Novemba 10 mjini Belém, Brazil, huku viongozi wa dunia,…
Usajili wa warejeshaji wa mazingira Afrika Kusini waleta nuru katika kazi yao ya kuchambua taka
Sisi si wakusanya taka bali ni warejeshaji wa mazingira kwa kuepusha lundo la vitu vinavyoweza kurejelezwa kutupwa kiholela kwenye madampo. Ni kauli ya Noluthando Tutani, kutoka Chama cha Warejeshaji wa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 10, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 10, 2025
Nicolas Sarkozy kuachiliwa chini ya usimamizi wa mahakama
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa umma, leo Jumatatu, Novemba 10, imeomba kuachiliwa kwa rais wa zamani wa Ufarasa Nicolas Sarkozy chini ya usimamizi wa mahakama wakati wa uchunguzi wa ombi…
With 34 percent of deaths, Tanzanians cautioned against NCDS
DAR ES SALAM: AS the national commemoration of the Non-Communicable Diseases (NCDs) Week begins today, the Ministry of Health has urged citizens to undergo regular health checkups to detect diseases…
UAE’s Shaikha Al-Nowais becomes first female UNWTO Secretary-General
RIYADH: The UAE’s Shaikha Al-Nowais has been elected secretary-general of the UN World Tourism Organization, becoming the first woman — and the first Gulf national — to lead the global…
UCHAMBUZI WA MALOTO: Wanaotetea maandamano hawakemei uhalifu, waliochukizwa na uhalifu hawalalamikii mauaji
Mali za umma na watu binafsi ziliharibiwa, na zaidi kuteketezwa. Watu wamepoteza maisha, tena...
Athari za tabia nchi zasababisha mamilioni kuwa wakimbizi
Madhara ya mabadiliko ya tabia nchi tayari yamesababisha mamilioni ya watu ulimwenguni kote kuyahama makaazi yao.
Huenda UAE isishiriki katika juhudi za kuleta utulivu Gaza
Afisa mwandamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) amesema nchi yake haipangi kujiunga na kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza, kutokana na ukosefu wa muundo wa wazi wa…
DRC: Mgombea ubunge wa zamani wa mwaka 2023 aishtaki CENI kwa kubatilisha uchaguzi Wake
Mbunge wa zamani na profesa wa chuo kikuu Sam Bokolombe Batuli anaishutumu taasisi hiyo kwa kubatilisha ugombea wake bila taarifa ya awali au heshima kwa haki yake ya utetezi, na…
Arusha beckons African security officials for tourism, training
ARUSHA: ARUSHA Regional Commissioner, CPA Amos Makalla, has welcomed the Heads of Security and Defense Agencies and various Officers from 16 African and non-African countries who are on a training…
Mahakama yaigomea Jamhuri kusimamisha kesi ya Lissu
Mahakama Kuu Masjala Ndogo imeyakataa maombi ya Jamhuri kusimamisha kesi ya uhaini inayomkabili...
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ametembelea hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale inayohifadhi Wanyama aina mb…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ametembelea hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale inayohifadhi Wanyama aina mbalimbali lakini kivutio kikubwa ikiwa ni sokwe zaidi ya 800…
Ahmed al-Sharaa kukutana na Trump mjini Washington
Rais wa mpito wa Syria Ahmed al-Sharaa, anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Donald Trump leo katika ikulu ya White House.