Jumuiya ya kimataifa imeshindwa kuwalinda wahudumu wa afya kwenye maeneo ya vita
Mashirika matatu makubwa ya afya duniani katika taarifa yao ya pamoja yamelaani kushindwa kwa jumuiya ya kimataifa kuwalinda wafanyakazi wa afya, hospitali na wagonjwa katika maeneo yenye migogoro. Imechapishwa: 04/05/2026…
Marekani kusaidia meli zilizokwama Hormuz – Trump
Inaelezwa kuwa ndege 100 na wanajeshi karibu 15,000 watahusika kwenye operesheni hiyo ambayo Rais huyo wa Marekani ameielezea kama “msaada wa kibinadamu” kwa mataifa yasiyohusika moja kwa moja na vita…
Ujumbe wa Millie Odhiambo Mtandaoni Waamsha Mjadala Mzito: “The Childless Ones Like Me, Someni”
Millie Mabona alishiriki tasnifu ya Uzamili ya Makerere kuhusu useja, akazua mdahalo mzito Wakenya wakijadili utamaduni, shinikizo la ndoa, na kutokuwa na watoto
Simba v Yanga: Mambo 7 kutoka dabi ya ‘jeshini’
Dabi ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga nchini Tanzania imeendelea kuthibitisha ukubwa wake, safari hii ikichezwa katika mazingira ya kipekee, kwenye uwanja wa kambini, Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es…
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Juve wanamtaka Reijnders, Silva kutua Barca
Juventus wanamuwania kiungo wa Manchester City Tijjani Reijnders, Newcastle United wanataka kumbakiza mshambuliaji Will Osula, huku Crystal Palace na Chelsea wakimnyemelea kocha wa Bournemouth Andoni Iraola.
Nchi za OPEC zaongeza uzalishaji wa mafuta
Saudi Arabia, Urusi na mataifa mengine 5 ya muungano wa wazalishaji mafuta duniani, OPEC, wameongeza uzalishaji katika hatua inayotarajiwa kuweka muendelezo wa upatikanaji wa bidhaa hiyo hasa baada ya kujiondoa…
Mali: Wakili maarufu na mkosoaji wa utawala wa kijeshi atekwa nyara
Wakili maarufu wa Mali na mwanasiasa mkosoaji wa utawala wa kijeshi aliripotiwa kutekwa nyara usiku wa kuamkia Jumapili ya wikendi iliopita na watu waliokuwa wamejifunika nyuso katika mji mkuu Bamako,…
RDC: UPDS kuandamana kuonyesha uungaji mkono kwa Rais Trump
Nchini DRC, chama UDPS cha kwake rais Felix Tshisekedi, kinatarajiwa kufanya maandamano ya amani kuonesha uungaji mkono wao kwa rais wa Marekani Donald Trump pamoja na mpango wa amani wa…
Mchengerwa: Bajeti 26/27 izingatie Bima ya Afya kwa Wote
MWANZA: WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amewaagiza watumishi wa afya nchini kuwa bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27 inatakiwa kuonyesha mwelekeo wa taifa utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote.…
Mixx yakabidhi Sh175 milioni ZSTC kuimarisha sekta ya karafuu Zanzibar
Kampuni ya huduma za fedha kidigitali, Mixx, imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuimarisha...
Temesa yapata bosi mpya
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Kheri Abdul Mahimbali, kuwa Mtendaji Mkuu wa...
EU reaffirms commitment to 265bn/- SASA programme
DODOMA: The European Union has assured the Tanzanian government of its continued commitment to implementing the €92.7 million (about 265bn/-) four-year Green and Smart Cities (SASA) programme (2022–2026), despite challenges…
#HABARI: Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya nishati safi baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa na wa kwanza Afrika …
#HABARI: Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya nishati safi baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa na wa kwanza Afrika Mashariki wa kuzalisha nishati ya umeme kwa nishati ya jua…
Vijana wanaofanya shughuli zinazohusika na mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu hususan mbao wameelezea changamoto zinazokwami…
Vijana wanaofanya shughuli zinazohusika na mnyororo wa thamani wa mazao ya misitu hususan mbao wameelezea changamoto zinazokwamisha ustawi wa shughuli zao ikiwemo kupanda kwa nishati ya mafuta pamoja na ubovu…
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema itaendelea kutoa ushirikiano na Mamlaka zote zinazohusika na kupeleka Mahujaji kutekeleza…
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema itaendelea kutoa ushirikiano na Mamlaka zote zinazohusika na kupeleka Mahujaji kutekeleza Ibada ya Hijja na litafanyika hilo kupitia Kamisheni ya Wakafu na Mali ya Amana.…
Wanajeshi wawili wa Marekani wametoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi kusini mwa Morocco wakiwa katika zoezi kubwa la kijeshi la …
Wanajeshi wawili wa Marekani wametoweka wakati wa mazoezi ya kijeshi kusini mwa Morocco wakiwa katika zoezi kubwa la kijeshi la kila mwaka liitwalo African Lion. Mazoezi hayo yanayojumuisha zaidi ya…
Kampuni ya Ndege nchini ATCL imeanzisha safari za moja kwa moja kutoka Dar es Salaam hadi Visiwa vya Shelisheli ikiwa nguzo muhi…
Kampuni ya Ndege nchini ATCL imeanzisha safari za moja kwa moja kutoka Dar es Salaam hadi Visiwa vya Shelisheli ikiwa nguzo muhimu ya kukuza utalii na kufungua masoko ya Afrika.…
Serikali za Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuendelea kukuza uchumi wa nchi hizo pamoja na kuimarisha masuala ya usalama lengo …
Serikali za Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuendelea kukuza uchumi wa nchi hizo pamoja na kuimarisha masuala ya usalama lengo likiwa ni kuwa na ushirikiano imara. Maafikiano hayo yamebainisha wakati wa…
Kifo cha ‘uzembe’ na malalamiko Muhimbili, Mchengerwa aagiza uchunguzi
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Seif Shekalaghe...
Mzani uko sawa Dabi ya Kariakoo
Dakika tisini za mchezo wa Simba na Yanga zimeonyesha kuwa mzani umebalansi hadi sasa msimu huu, baada ya mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga kumalizika kwa…
Mzani ulivyosimama 90 za Watani wa Jadi Isamuhyo
Dakika tisini za mchezo wa Simba na Yanga zimeonyesha kuwa mzani umebalansi hadi sasa msimu...
Watatu wanusurika kifo jengo likiporomoka Mji Mkongwe
Watu watatu wamenusurika kufariki dunia baada ya jengo lililopo Mji Mkongwe, Wilaya ya Mjini...
#MICHEZO: Nyota wa zamani wa mchezo wa mpira wa miguu, Timu ya Chelsea na Timu ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba amewasili …
#MICHEZO: Nyota wa zamani wa mchezo wa mpira wa miguu, Timu ya Chelsea na Timu ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba amewasili nchini leo Mei 3, 2026 kufuatia mualiko…
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU MEI 3 , 2026 –
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU MEI 3 , 2026 - (Feed generated with FetchRSS)
Njia mbili zatajwa kufanikisha maazimio ya Chadema
Maazimio ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yameibua mjadala mpana wa...
FT: Simba 2-2 Yanga
FT: Simba 2-2 Yanga Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitiatz JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO s SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa,…
#KariakooDerby Tumekianza kipindi cha pili
#KariakooDerby Tumekianza kipindi cha pili.. 46' : Simba SC 2-1 Yanga SC Burudani iko LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #KariakooDerby #SimbaYanga (Feed generated with FetchRSS)
Baraza la Madiwani Tandahimba lanusa upotevu wa Sh107 milioni
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, wamemtaka mkurugenzi wa...
Chama ametoa pasi saidizi kwenye goli la kwanza la simba na kuunga goli la maajabu
Chama ametoa pasi saidizi kwenye goli la kwanza la simba na kuunga goli la maajabu. Unampa asilimia ngapi Chama (Feed generated with FetchRSS)
#KariakooDerby Prince Dube alivyomalizia jambo na kuipa Yanga bao namna hii…!!!
#KariakooDerby Prince Dube alivyomalizia jambo na kuipa Yanga bao namna hii…!!! 43’: Simba SC 2-1 Yanga SC Burudani iko LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #KariakooDerby #SimbaYanga #HainaLawama (Feed…
Ukame wa mabao Namungo, Mgunda akiri kupitia wakati mgumu
KOCHA Mkuu wa Namungo FC, Juma Mgunda, amekiri kupitia wakati mgumu kwa sasa, baada ya kushuhudia kikosi hicho kikicheza mechi 10 mfululizo za Ligi Kuu bila ya ushindi tangu mara…
Ramadhan Chobwedo na zali la maafande
WINGA wa TRA United, Ramadhan Salum 'Chobwedo', amefikisha mabao mawili katika Ligi Kuu Bara msimu huu akiwa na kikosi hicho, lakini moja ya jambo la kufurahisha au kushangaza ni kwamba…
Fei Toto awapiku Dube na Allan Okello Ligi Kuu Bara
MABAO mawili ya Ligi Kuu Bara aliyofunga kiungo mshambuliaji nyota wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' juzi dhidi Mtibwa Sugar, kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam,…
Vijana watangaziwa fursa ya makazi ya bei nafuu
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema vijana walioanza ajira karibuni na wale waliojiajiri...
Kidato cha sita kuanza mtihani kesho, Necta yasema…
Watahiniwa 133,655 wanatarajiwa kufanya Mtihani wa kumaliza kidato cha sita (ACSEE) wa mwaka...
Jamaa Mkenya Avutia Mitandao kwa Mwandiko Wake Nadhifu Akifunza Kuhusu Ujuzi wa Biashara: “Maridadi”
Mwalimu Mkenya Jared Ngere amepepea mitandaoni kufuatia maelezo yake nadhifu ya uhasibu, akiwavutia watu kwa mwandiko wake safi huku akielimisha umma kuhusu biashara
Tanzania sees its trade, investment cooperation with Rwanda soar to 644bn/-
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan said trade and investment cooperation between Tanzania and Rwanda has grown significantly, reaching approximately 644bn/- based on 2025 figures. President Samia made the…
Rwanda unveils plans to honour Tanzanians who provided humanitarian aids to victims of its 1994 Genocide
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Paul Kagame of Rwanda said his government is in the process of identifying and honouring Tanzanians who provided humanitarian and heroic support during the Rwandan Genocide…
Samia, Kagame wakubaliana kukuza biashara na uwekezaji
Tanzania na Rwanda zimeapa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kiuchumi, huku Rwanda, kwa...
UDSM seeks Harvard University’s partnership in the use of AI for research, and data analysis
DAR ES SALAAM: THE University of Dar es Salaam (UDSM) has initiated strategic partnership discussions with Harvard University aimed at strengthening the use of Artificial Intelligence (AI) in education, research,…
Tanzania envisions tourism boost in ATCL’s direct flights to Seychelles
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S national carrier, Air Tanzania Company Limited, has officially launched direct flights from Dar es Salaam to Seychelles, in an event led by the Minister of Transport,…
Tanzania banks on religious bodies for moral values and social cohesion to develop
MAFINGA: THE Tanzania government has pledged to continue working closely with religious institutions in strengthening moral values, social cohesion, and maintain peace as a foundation for the sustainable national development.…
Ben Oluoch: Maswali yaibuka mjane wa seneta wa zamani wa Migori akipika mandazi barabarani
Mjane wa marehemu seneta Ben Oluoch anapika mandazi kujikumu, na kuzua maswali kuhusu hali yake ya kifedha huku kukiwa na stahili za pensheni na maoni ya umma.
Yanga yagoma kuingia vyumbani, yatumia mjengo wa kifahari
Katika hali iliyozua gumzo miongoni mwa mashabiki na wadau wa soka, kikosi cha Yanga kimetumia...
CRDB Insurance yavuna faida ya Sh4.4 bilioni, kutoa gawio kwa kila hisa
Kampuni ya Bima ya CRDB Insurance imetangaza kupata faida baada ya kodi ya Sh4.4 bilioni kwa...
ACT- Wazalendo wakutana kutathmini hali ya kisiasa, SUK
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati Kuu...