AzamTV inawatakia Watanzania Kumbukizi njema ya Karume Day
AzamTV inawatakia Watanzania Kumbukizi njema ya Karume Day #AzamTVBurudaniKwaWote (Feed generated with FetchRSS)
Banks to lead Dar exchange post-Easter trades
DAR ES SALAAM: DAR ES SALAAM Stock Exchange (DSE) trading is expected to be driven by banks this week, following the Easter long holiday, as investors focus on selective stock…
Israel yafanya mashambulizi mapya nchini Iran baada ya vitisho vya Trump
Katika mkutano na waandishi wa habari siku ya Jumatatu, Aprili 6, Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuiangamiza Iran Jumanne jioni ikiwa Tehran haitajibu uamuzi wake kwa kufungua tena Mlango-Bahari…
Zeine Ould Zeidane kuongoza IMF katika kanda yaI Afrika
Zeine Ould Zeidane wa Mauritania atachukua nafasi ya mkuu Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kaika kanda ya Afrika mnamo Mei 1, 2026. Atachukua nafasi ya Abebe Aemro Selassie, ambaye…
Tunashindwaje kuanzisha karakana za madawati?
Katika kipindi ambacho Taifa linaendelea kujivunia mafanikio katika sekta mbalimbali za...
Burkina Faso: Imam Mahmoud Barro wa Bobo Dioulasso hajulikani aliko tangu Machi 31
Bila habari zozote kuhusu kiongozi huyo wa kidini kwa wiki moja, vyanzo kadhaa vilivyo karibu na familia yake vinadai kwamba alitekwa nyara kufuatia kurushwa kwa video kwenye mitandao ya kijamii…
Kutoka Suez hadi Hormuz, Marekani haijajifunza kutokana na historia
Mbinu za kivita zinazotumika sasa na Tehran za kuzuia usafiri kupitia mlango wa bahari wa Hormuz ni sawa na mbinu alizotumia Nasser.
DRC: Mzozo mpya kuhusu muhula wa tatu wa rais waibuka
MLvutano umeibuka nchini DRC, baada ya kambi ya rais ikitaka kiongozi wao, ambaye ni rais wa Jamhuri kuwania muhula wa tatu wakati wa sherehe za kuwapokea wachezaji wa timu ya…
Protect Union, preserve our future, Masauni tells youths
DAR ES SALAAM: MINISTER of State in the Vice-President’s Office (Union and Environment), Engineer Hamad Yussuf Masauni has called on higher learning students and youths across Tanzania to safeguard and…
Mafuriko Angola: Karibu watu 30 wamefaiki na maelfu ya wakimbilia Luanda na Benguela
Nchini Angola, mvua kubwa imesababisha mafuriko makubwa ambayo yaliharibu miundombinu na mitaa iliyojaa maji katika mji wa pwani wa Benguela na, kwa kiasi kidogo, mji mkuu wa Luanda, idara ya…
Trump atishia kuiangamiza Iran ndani ya ‘usiku mmoja’
Trump amesema anaamini viongozi "wenye busara" nchini Iran walikuwa wakijadiliana kwa "nia njema", lakini matokeo yake yamesalia kuwa yasio na uhakika.
Mashariki mwa DRC: ADF yatekeleza shambulio Mambasa, raia kadhaa wachukuliwa mateka
Waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) wametekeleza shambulio jipya huko Mambasa, mji mkuu wa eneo lenye jina moja, katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo…
Urithi utakaokumbukwa kwa Karume
Leo ni miongo mitano na miaka minne tangu alipotwaliwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid...
Ni miaka 32 tangu kutokea kwa mauaji ya kimbari nchini Rwanda
Hivi leo raia wa Rwanda na dunia kwa ujumla wanakumbuka kuanza kwa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, ambapo watu zaidi ya laki 8 wengi wao Watusi waliuawa ndani ya…
Vitisho vya Trump dhidi ya Iran, tafsiri na athari zake kwenye vita
Trump anaweza kulichukulia hili kama namna ya kuonyesha kwamba bado makali yake yanapata, inaweza kuwa inaongeza hatari ya kuongezeka kwa vita hata kama pengine sio kusudi lake.
China kuongeza kasi ya ujenzi wa reli kati ya Zambia na Tanzania
Nchi ya China inalenga kuongeza kasi ya ukarabati wa reli kati ya Zambia na Tanzania, kwa lengo la kuiwzesha taifa hilo la Asia kupata madini muhimu ya metali. Imechapishwa: 07/04/2026…
Tetesi za soka Ulaya: Liverpool inamtolea macho Camavinga
Liverpool wanamtaka kiungo wa Real Madrid, Camavinga, Juventus wanamuwinda nyota wa Manchester United, huku kiungo wa Manchester City akivivutia vilabu kadhaa barani Ulaya.
Samia, Mwinyi kuongoza kumbukizi ya Karume leo
RAIS Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi wanatarajiwa kuungana na viongozi wakuu pamoja na wananchi leo katika eneo la Kisiwandui kwa ajili ya dua za kitaifa…
Kumuenzi Karume ni wajibu wa kila mwananchi
KILA ifikapo Aprili 7, ya mwaka Zanzibar huadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Abeid Amani Karume. Siku hii…
Wapotoshaji habari mitandaoni sasa kukiona
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Protabas Katambi amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IJP), Camillus Wambura kuchukua hatua kali kwa wote wanaotoa taarifa za uzushi kupitia mitandao ya kijamii.…
Auawa akitaka kumshambulia paroko
MKAZI wa Kijiji cha Kagunguli wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, Renatus Silivester ameuawa na wananchi baada ya kuingia ghafla katika Kanisa Katoliki wilayani Ukerewe kwa nia ya kumjeruhi paroko wakati waumini…
Pasaka inawakumbusha kuishi kwa upendo
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema kuwa pasaka ni kipindi muhimu kinachowakumbusha Watanzania kuishi kwa upendo, mshikamano na kudumisha amani katika jamii. Dk Mwigulu amesema hayo kwenye Tamasha la Pasaka…
Latra kuanza kupokea maoni ya nauli kesho
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kesho itaanza mchakato wa kupokea maoni ya wadau kuhusu uwezekano wa kufanya mapitio ya nauli za usafiri wa umma, baada ya kupanda kwa bei…
#LaLigaEASports Nyambizi kimewalamba…!!!
#LaLigaEASports Nyambizi kimewalamba…!!! FT: Girona 1-0 Villarreal Tukutane baadaye kwa burudani zaidi LIVE #AzamTV #LigiKuuHispania #LaligaUpdates #LaLiga #GironaVillarreal (Feed generated with FetchRSS)
#SerieA Game imekwisha… ‘super sub’ Matteo Politano anaweka utofauti, na kuipeleka Napoli nafasi ya pili
#SerieA Game imekwisha… ‘super sub’ Matteo Politano anaweka utofauti, na kuipeleka Napoli nafasi ya pili. FT: Napoli 1-0 Milan Umeipata mbashara #AzamSports3HD kwa Kiswahili na @leomusikula_tz #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #NapoliMilan…
TRA UNITED: “…ukija kucheza na TRA, hakikisha benchi lako lina pasipoti….tumejitengenezea dunia yetu”
TRA UNITED: “…ukija kucheza na TRA, hakikisha benchi lako lina pasipoti….tumejitengenezea dunia yetu” TRA United baada ya kuwapiga Singida BS, sasa msemaji wao Christina Mwagala anatamba kuelekea mchezo wao ujao…
85’ | #SerieA
85’ | #SerieA Napoli 1-0 Milan Iko LIVE #AzamSports3HD kwa Kiswahili anaunguruma @leomusikula_tz #SerieA #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #NapoliMilan (Feed generated with FetchRSS)
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), imesema hakuna dawa zilizowekwa misumari na kwamba taarifa hizo ni za uzushi
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), imesema hakuna dawa zilizowekwa misumari na kwamba taarifa hizo ni za uzushi. Kwa mujibu Mamlaka hayo, video zinazoonyeshwa kuna misumali ndani ya…
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imetumia Sh30 milioni kusaidia jamii isiyojiweza
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imetumia Sh30 milioni kusaidia jamii isiyojiweza. mkoani Songwe. Fedha hizo.zimetumika kununua dawa mbalimbali kwa wananchi wa…
Mamlaka ya Udhibiiti wa Usafiri Ardhini (Latra), imeandaa mkutano maalum wa wadau wa usafiri nchini kujadili mchakato wa mapitio…
Mamlaka ya Udhibiiti wa Usafiri Ardhini (Latra), imeandaa mkutano maalum wa wadau wa usafiri nchini kujadili mchakato wa mapitio ya nauli za umma kwa njia za barabara. Tarifa ya Latra…
Wahadhiri wa Kiislam wawavaa wanaopotosha ‘ishu’ ya mafuta, kuibwa nyeti
Umoja wa Wahadhiri wa Kiislam Tanzania (Uwakta), umeshauri jamii kuendelea kuelimishwa kuhusu...
Zijue faida za safari ya wanaanga wa NASA mwezini
Miongoni mwa tafiti zinazoenda kufanyika ni pamoja na utafiti wa seli tiba (stem cells)...
Zimamoto yasisitiza ukaguzi wa majengo
Dar es Salaam. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kinondoni, Mrakibu...
Gladys Wanga Asisitiza ODM Itadai Mgao 50-50 wa Serikali ya Ruto: “Sisi ni Chama Kubwa”
Gavana wa Homa Bay Gladys Wanga alisema Orange Democratic Movement (ODM) inasalia kuwa chama kikubwa zaidi nchini. Alisema watadai nusu ya serikali.
Chadema yavunja ukimya bei ya mafuta, yataka mambo manne
Wakati huduma mbalimbali zikiendelea kuathirika kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, Chama...
84 teachers see benefits of Dar Rotary Club’s inclusive learning seminar
DAR ES SALAAM: 84 teachers from government schools in Kinondoni Municipality have benefited from a two-day seminar designed to equip teachers with practical, modern, and evidence‑based approaches to enhance classroom…
Angalau watu 26 wameuawa katika mashambulizi matatu nchini Nigeria
Watu wasiopungua 26 wameuawa katika mashambulizi matatu tofauti mwishoni mwa wiki ya Pasaka kaskazini mwa Nigeria, kulingana na jeshi la Nigeria na mamlaka za ndani. Imechapishwa: 06/04/2026 – 17:08Imehaririwa: 06/04/2026…
Esther Passaris ashiriki chakula na jamaa aliyemsihi kwa ujasiri waende deti
Esther Passaris alikutana na Kennedy Arnold ambaye aliomba waende deti naye, na kuzua hisia tofauti mtandaoni. Mkutano wao uligeuka kuwa mazungumzo ya kusisimua.
Kenya: Maafisa wakuu wanaosimamia Hifadhi za mafuta wajiuzulu na wanashtumiwa ulaghai
Nchini Kenya, ofisi ya rais imetangaza kujiuzulu kwa maafisa wakuu wa serikali wanaohusika na kusimamia hifadhi za mafuta. Wakati nchi hiyo, ikitegemea sana uagizaji wa mafuta kutoka nchi za Ghuba,…
Uwekezaji bila bima ulivyo hatari kwa utajiri wako
Jamii imekumbushwa umuhimu wa kuweka mikakati madhubuti ya kulinda utajiri sambamba na juhudi...
Ghana na Msumbiji zasusia kongamano la nishati kuhusu bara Afrika
Nchi ya Ghana, imeungana na Msumbiji pamoja na wadau wengine kususia kongamano la nishati kuhusu bara la Afrika, linalotarajiwa kufanyika kati ya tarehe 12 hadi 14 jijini London nchini Uingereza.…
Israeli yashambulia kituo cha kusafisha nishati ya petroli Iran
Jeshi la Israeli limetekeleza shambulizi kubwa lililolenga kituo kikubwa cha kusafisha nishati ya petroli nchini Iran, huku Tehran ikisema hali katika kituo hicho, imedhibitiwa. Imechapishwa: 06/04/2026 – 16:16Imehaririwa: 06/04/2026 –…
Waziri Mkuu atangaza ahueni kwa waathirika wa moto Simu2000
Amesisitiza kuwa hakuna sababu ya ucheleweshaji wakati tayari kuna wafanyabiashara...
Uraibu wa kubeti ni hali ya kisaikolojia ambapo mtu anashindwa kudhibiti hamu ya kucheza kamari au kubeti, hata kama inamsababis…
Uraibu wa kubeti ni hali ya kisaikolojia ambapo mtu anashindwa kudhibiti hamu ya kucheza kamari au kubeti, hata kama inamsababishia madhara ya kifedha, kijamii au kiafya. Katika taaluma ya afya…
Burkina Faso: Jeshi latupilia mbali madai ya HRW kuhusu mauaji ya raia
Serikali ya kijeshi nchini Burkina Faso, imetupilia mbali ripoti ya Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch, kuwa zaidi ya raia 1,800 wameuawa katika visa…
Ruth Odinga Apinga Mpango wa UDA Kuwa na Wawaniaji katika Ngome za ODM Nchini kote: “Lazima Tutetee”
Ruth Odinga amekosoa mpango wa UDA kutaka kuwa na wagombea katika ngome za ODM, akisema ipo haja ya chama cha chungwa kuepuka udhaifu katika mamlaka ya 2027.
Paroko alivyonusurika kifo madhabahuni, mshambuliaji auawa
Paroko wa Parokia ya Kagunguli, wilayani Ukerewe, amenusurika kuuawa akiwa madhabahuni baada ya...