Mpaka kidijitali katika enzi mpya ya biashara
Katika enzi hii ambapo kidole tu kinatutosha kufanya ununuzi wa bidhaa kutoka miji mikubwa...
Haaland aibuka mfungaji Bora kufuzu Kombe la Dunia
Mshambuliaji wa Norway, Erling Haaland, amemaliza hatua ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia...
Serikali imesema imejiandaa kikamilifu kwa ajili ya upokeaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza mwishoni mwa mwakani baada ya mta…
Serikali imesema imejiandaa kikamilifu kwa ajili ya upokeaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza mwishoni mwa mwakani baada ya mtaala wa elimu kuboreshwa ambapo wanafunzi wanaomaliza darasa la saba na…
Couples that savour together, stay together
DAR ES SALAAM: DECADES of research on couples has identified many patterns that can help predict the odds of a couple standing the test of time, but there is always…
FIFA yathibitisha Iran kucheza Kombe la Dunia Marekani
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, amesisitiza kuwa timu ya...
Training opens doors for women artisans
ARUSHA: AN Arusha-based jewellery entrepreneur, Ms Aurelia Venus, who is turning traditional weaving into a growing business, says women handicraft industry stand to benefit from expanding vocational training opportunities. Ms…
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ameagiza kuwasilishwa kwa majina ya halmashauri ambazo hazikutekeleza mpango wa se…
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ameagiza kuwasilishwa kwa majina ya halmashauri ambazo hazikutekeleza mpango wa serikali wa kununua dawa za viuadudu kwa ajili ya kukabiliana na malaria…
Community roles key to ending abuse
DAR ES SALAAM: THE national drive to secure the safety of women and children shows no signs of slowing down as the Police Force intensifies its grassroots campaign across four…
Tanzania moves to secure mining deals with Chinese giant
DODOMA: THE government has stepped up efforts to attract large-scale investment in the mining sector, opening high-level talks with China’s Liaoning Fangda Group in a move aimed at strengthening industrial…
Zanzibar honours Karume, fallen heroes in prayers
ZANZIBAR: ZANZIBARIS on Wednesday began commemorating the 54th anniversary of the death of the Islands’ first President, Abeid Amani Karume, with leaders visiting various areas in Unguja and Pemba to…
VP satisfied with Uhuru torch launch preps
ZANZIBAR: ZANZIBAR Second VicePresident, Mr Hemed Suleiman Abdulla, has expressed satisfaction with the progress of preparations for the national launch of the Uhuru Torch race, currently underway at Gombani Stadium…
EAC partner states urged to speed up decision implementation
NAIROBI: THE Chairperson of the 13th Joint Meeting of the Sectoral Council of Ministers responsible for Cooperation in Defence, Peace and Security and the Sectoral Council on the Coordination of…
Mwinyi woos Dutch, Slovak investors with heritage drive
ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Mwinyi has outlined an ambitious push to preserve the islands’ historical sites, positioning heritage conservation as central to cultural identity and a driver of tourism-led economic…
Waridi wa BBC: Muundaji maudhui aelezea safari ngumu aliyopitia katika kupunguza uzito
Lydia Wanjiru amefunguka kuhusu safari yake ya mabadiliko ya mwili, akieleza jinsi alivyopunguza uzito kwa kiasi kikubwa kabla ya kuamua kufanyiwa upasuaji wa urembo, kupunguza mafuta kwenye tumbo lake na…
Mikopo ya simu janja ilivyobadili maisha ya wajasiriamali wadogo
Tanzania hupoteza mapato ya takribani Sh182.6 bilioni kila mwaka kutokana na upotevu wa maji...
‘All villages to get clean water by 2030’
DODOMA: THE government is targeting to connect all 12,333 villages across the country to clean and safe water services by 2030, as part of efforts to expand access in rural…
Magazetini, Aprili 2: Handisheki ya Uhuru-Gachagua Yanusia Huku Mwaka wa 2027 Ukikaribia
Kukumbatiana kwa rais mstaafu Uhuru Kenyatta na Rigathi Gachagua Kirinyaga kuliibua gumzo za umoja wa 2027, na kuzua minong'ono ya kuwepo kwa siasa za ushirikiano.
Serikali yaokoa watoto 5,353 mitaani
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imea imefanikiwa kuwaokoa watoto 5,353 wanaoishi na kufanya kazi mitaani nchini ikiwa ni sehemu ya jitihada za kukabiliana na changamoto…
Tanzania leads Africa in cashew prices, house told
DODOMA: TANZANIA recorded the highest average cashew price in Africa during the 2025/2026 season, with farmers earning 2,550/- per kilo, the Deputy Minister for Agriculture, Mr David Silinde, has said.…
Design flaws cast doubt on Kenya’s new infrastructure fund strategy
NAIROBI: KENYA’s proposed infrastructure fund, designed to ease mounting public debt and unlock private capital for development, risks falling short of its ambitions due to significant design and governance flaws,…
Iran: Waombolezaji wajitokeza kumwomboleza mkuu wa jeshi la majini
Maelfu ya waombolezaji siku ya Jumatano walikusanyika jijini Tehran nchini Iran kumwomboleza mkuu wa jeshi la maji la nchi hiyo Alireza Tangsiri, siku moja baada ya mazishi yake. Imechapishwa: 02/04/2026…
10 key issues emerge from the Minority Interest Forum 2026
DAR ES SALAAM: AS the Minority Interest Forum (MIF) 2026 drew to a close on March 18, participants left with a clear understanding of the challenges and opportunities facing Tanzania’s…
PMO unveils 12.5tri/- plan, prioritises Vision 2050
DODOMA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has presented his office’s 2026/27 priority areas to National Assembly urging lawmakers to approve a 12.5tri/- spending plan to facilitate activities aligned with the…
William Ruto ajibu madai ya Gachagua kuhusu kusambaratika kwa SHA: “Ameongea na waganga”
William Ruto alijibu madai ya Rigathi Gachagua kuhusu kuporomoka kwa SHA, akatetea mageuzi ya afya na miradi inayoendelea huku akiwashutumu wakosoaji.
Watu 1,800 wameuawa nchini Burkina Faso tangu mwaka wa 2023
Jeshi la Burkina Faso na washirika wake pamoja na makundi ya kijihadi, yamewauwa watu 1,800 tangu mwaka 2023 katika vitendo vinavyoelezwa kuwa ni uhalifu wa kivita. Imechapishwa: 02/04/2026 – 07:45…
1.77tri/- plan for 2028 student transition unveiled
DODOMA: A TOTAL of 1.77tri/- is required to finance infrastructure development and strengthen teaching resources to accommodate two cohorts of pupils who will complete Standard Six and Standard Seven simultaneously…
Uhuru Kenyatta Amlipua Kiujanja William Ruto, Upinzani baada ya Kubishana: “Wakenya Hawataki Matusi”
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewakabili wanasiasa kutoka pande zote za mgawanyiko wa kisiasa, akiwashutumu kwa kuwakosea heshima wakenya kwa kutusiana hadharani.
Mapitio ya #MAGAZETI leo Aprili 2, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Aprili 2, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Govt moves to address fuel prices
DODOMA: THE government has stepped in to address rising fuel prices, with Prime Minister Mwigulu Nchemba saying authorities will convene a meeting to ensure the commodity remains affordable and does…
Katika kukabiliana na changamoto ya matumizi ya fedha kupita kiasi au kutumika kwenye maeneo yasiyo sahihi, wadau mbalimbali wal…
Katika kukabiliana na changamoto ya matumizi ya fedha kupita kiasi au kutumika kwenye maeneo yasiyo sahihi, wadau mbalimbali waliozungumza na Azam News wametaja njia za kumaliza tatizo hilo, ikiwemo kuwajibisha…
Tanzania: Mpango wa serikali wa kuwahamisha Wamasai kutoka Ngorongoro wapingwa
Nchini Tanzania, ripoti mbili kutoka kwa tume za rais, zilizoanzishwa mwishoni mwa 2024 kwa mpango wa rais Samia Suluhu Hassan, zinathibitisha nia ya mamlaka ya kuwahamisha Wamasai kutoka ardhi zao…
Je, kauli za Trump kuhusu kujiondoa NATO zina maana gani kwa muungano huo?
Trump amewakosoa wanachama wa Nato kwa kuonyesha kutounga mkono malengo ya Marekani nchini Iran.
Algeria: Mageuzi ya mfumo wa uchaguzi yaimarisha utawala wa rais Tebboune
Wabunge wa Algeria wamepitisha kwa kauli moja muswada wa mageuzi ya mfumo wa uchaguzi siku ya Jumanne jioni. Miongoni mwa mabadiliko makubwa ni marekebisho ya Mamlaka Huru ya Uchaguzi ya…
MZIZIMA DERBY: Baadhi ya mashabiki wa Simba SC na Azam FC wameendelea kutambiana kuelekea mchezo wao wa ‘Mzizima Dabi’, huku kil…
MZIZIMA DERBY: Baadhi ya mashabiki wa Simba SC na Azam FC wameendelea kutambiana kuelekea mchezo wao wa ‘Mzizima Dabi’, huku kila upande ukijiamini kuwa timu yake itaibuka na ushindi na…
Niger: Muhula wa Mohamed Bazoum, ambaye bado yuko kizuizini wamalizika rasmi
Tarehe yalLeo, Aprili 2, 2026, ndio namalizika rasmi muhula wa Mohamed Bazoum. Rais huyo wa Niger alipinduliwa katika mapinduzi ya kijeshi mnamo Julai 26, 2023. Miaka miwili na nusu baadaye,…
Rwanda: Zaidi ya wapiganaji 200 wa makundi ya waasi, warejeshwa katika maisha ya kiraia
Nchini Rwanda, kundi la watu 214 wanaohusishwa na makundi ya waasi, ikiwa ni pamoja na FDLR kulingana na mamlaka, wamerejeshwa katika maisha ya kiraia baada ya miezi kadhaa katika kituo…
Senegal: Rais Faye anaadhimisha miaka miwili tangu kuingia madarakani
Nchini Senegal, rais Bassirou Diomaye Faye, leo anaadhimisha miaka miwili tangu aliposhika madaraka katika nchi hiyo, wakati huu akiendelea kukabiliwa na shinikiza za kutekeleza ahadi alizotoa kwa raia wa nchi…
Donald Trump: Marekani ‘iko karibu kufikia’ malengo yake nchini Iran
Katika hotuba ya televisheni kwa taifa, rais wa Marekani amepongeza ushindi “wa maamuzi” na “wa kushangaza” dhidi ya Iran tangu kuanza kwa operesheni za pamoja za Israel na Marekani mnamo…
Vita vya Iran: Trump asema malengo ya Marekani ‘yanakaribia kukamilika’
Akilihutubia taifa juu ya vita hivyo amesema Marekani itamaliza kazi hiyo na kutishia kushambulia miundombinu ya nishati ya Iran ikiwa viongozi wapya wa nchi hiyo hawatafikia makubaliano.
Tanzania: Utuezi wa Kikwete kuwa mjumbe maalum wa AU wapingwa
Chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimeuandikia Umoja wa Afrika, barua kupinga kuteuliwa kwa rais wa zamani Jakaya Kikwete, kama mjumbe maalum wa Umoja huo kwenye nchi za Pembe ya…
Burundi: Watu 13 waliuawa katika milipuko kwenye kituo cha kuhifadhi silaha
Nchini Burundi, siku 2 baada ya kutokea milipuko katika kituo kikuu cha kuhifadhi silaha cha jeshi huko Bujumbura, Jeshi lilitangaza idadi rasmi ya awali ya raia 13 waliouawa na wengine…
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi: Real Madrid yawasiliana na kiungo wa Newcastle Sandro Tonali
Everton wanafuatilia hali ya kandarasi ya John Stones huko Manchester City, wawakilishi wa Sandro Tonali wanawasiliana na Real Madrid, huku Barcelona wakiongoza mbio za kumsajili Bernardo Silva.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 2, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
MZIZIMA DERBY: “….ni mechi iliyonipa matatizo, nikafungiwa na Simba”
MZIZIMA DERBY: “….ni mechi iliyonipa matatizo, nikafungiwa na Simba” Nyota wa zamani wa Simba SC, Musa Hassan ‘Mgosi’ anaeleza ugumu wa dabi ya Mzizima huku akikumbushia jinsi ilivyowahi kumsababishia matatizo.…
“…Yanga is the best team”
“…Yanga is the best team”. Kikosi cha Yanga SC leo kimeendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa KMC Complex kuelekea mchezo wake wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons,…
SIMBA SC vs COASTAL UNION: “…tunahitaji silaha yetu ya uhakika”
SIMBA SC vs COASTAL UNION: “…tunahitaji silaha yetu ya uhakika” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally aita mashabiki kwenye dimba la Meja Jenerali Isamuhyo kuisapoti timu katika mchezo…
Pasta Kanyari avunja ukimya kuhusu bintiye Sky kulazwa hospitalini, aeleza hali iliyoibua hofu
Kasisi Kanyari alifichua kwamba bintiye Sky Victor alipatikana na maambukizi ya damu na kwa sasa anaendelea kupata nafuu baada ya kuruhusiwa kuondoka hospitalini.
Simanzi yatanda mazishi ya mwenyekiti aliyeuawa
Kamanda Maigwa amesema mtuhumiwa alimkimbiza marehemu kabla ya kumshambulia kwa kitu chenye...
BoT ilichobaini Mwanza ikizindua kampeni ‘Zinduka, usiumizwe’
Licha ya kuendelea kulalamikiwa kwa mikopo yenye masharti magumu, baadhi ya wananchi wa Mkoa wa...
Abiria wanusurika ajali ya basi Kibaha
Abiria kadhaa waliokuwa wakisafiri na basi la Kampuni ya Katarama kutoka Dar es Salaam kuelekea...