Ubunifu, ujasiri na upambanaji umevishuhudia vipaji sita vya wasomi waliohitimu elimu ya juu nchini kujikita katika biashara ya …
Ubunifu, ujasiri na upambanaji umevishuhudia vipaji sita vya wasomi waliohitimu elimu ya juu nchini kujikita katika biashara ya uhunzi wa majiko ya udongo mkoani Iringa. Hebu itazame taarifa hii. Mhariri…
Viongozi wakuu 20 wa Iran waliouawa ndani ya siku 20 za vita
Na ndani ya siku 20 tu za vita, idadi kubwa ya maafisa wa kijeshi, usalama na kisiasa wameuawa katika mashambulizi ya mfululizo ndani na nje ya Iran. Orodha hii inaangalia…
Tetesi za soka Ulaya: Zidane kuinoa Ufaransa, De Zerbi kutua Spurs
Zinedine Zidane akubali kuinoa Ufaransa baada ya Kombe la Dunia, huku Roberto De Zerbi akipigiwa hesabu kuinoa Tottenham na winga wa England Jadon Sancho huenda akarudi Borussia Dortmund
Wananchi wa vijiji vya Rungwa na Mitundu vya mkoani Singida wameiomba serikali kurekebisha barabara kuu inayounganisha mkoa huo …
Wananchi wa vijiji vya Rungwa na Mitundu vya mkoani Singida wameiomba serikali kurekebisha barabara kuu inayounganisha mkoa huo na wilaya ya Chunya mkoani Mbeya ili kurahisisha mawasiliano na shughuli za…
Kampuni ya mafuta ya Dangote yaanza kusafirisha mafuta kwa nchi za Afrika
Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta kinachomilikiwa na tajiri namba moja barani Afrika Mnigeria, Aliko Dangote, kimethibitisha kuanza kusafirisha mafuta katika mataifa mbalimbali ya Afrika, baada ya bei ya bidhaa hiyo…
Waasi wa M23 wavamia ngome ya Wazalendo Masisi nchini DRC
Mapigano makali yameripotiwa mapema Jumatatu nchini DRC, baada ya waasi wa AFC/M23 kuvamia ngome ya wapiganaji wa Wazalendo eneo la Kazinga, wilayani Masisi mkoani Kivu Kaskazini. Imechapishwa: 24/03/2026 – 03:01…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 24, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
katika Kijiji Cha Mahiga Kata ya Mwang’halanga Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza ambapo mgogoro baina ya viongozi wa sungusungu uli…
katika Kijiji Cha Mahiga Kata ya Mwang'halanga Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza ambapo mgogoro baina ya viongozi wa sungusungu ulisababisha mgawanyika Mkubwa Kwa viongozi wa jeshi Hilo la jadi na…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imewaonya wafanyabiashara wanaokwepa koda na kuikosesha nchi mapato
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imewaonya wafanyabiashara wanaokwepa koda na kuikosesha nchi mapato. Akizungumza Jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa kikodi kwa wafanyabiashara wa China wanaoendesha shughuli zao…
Moallin arudishwa Yanga, vigogo wakimuweka kikao Pedro
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umetangaza kumrudisha ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo, Abdihamid Moallin ili kusaidiana na Pedro Goncalves.
SOKA LA WANAWAKE: Ligi ya wanawake ya mkoa wa Dar es Salaam inazidi kunoga na sasa inaingia hatua ya sita bora ambayo itaanza ra…
SOKA LA WANAWAKE: Ligi ya wanawake ya mkoa wa Dar es Salaam inazidi kunoga na sasa inaingia hatua ya sita bora ambayo itaanza rasmi Jumatano ya Machi 25 mwaka huu.…
Uongozi wa Young Africans Sports Club umefikia uamuzi wa kumuongeza kwenye benchi la Ufundi, Kocha Abdihamid Moalin kama Kocha M…
Uongozi wa Young Africans Sports Club umefikia uamuzi wa kumuongeza kwenye benchi la Ufundi, Kocha Abdihamid Moalin kama Kocha Msaidizi wa Kocha Pedro Goncalves. Kocha Moalin amewahi kuhudumu katika Klabu…
SIMBA SC: “Tumefanikiwa kubakiza kipaji halisi cha mpira”
SIMBA SC: “Tumefanikiwa kubakiza kipaji halisi cha mpira”. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally anaweka wazi sababu za kumuongezea mkataba winga wao Elie Mpanzu, azungumzia ratiba yao ya…
FIFA SERIES | Maandalizi ya Mechi za Kimataifa za Kirafiki za ‘FIFA Series’ nchini Rwanda yanaendelea vizuri ambapo tayari timu …
FIFA SERIES | Maandalizi ya Mechi za Kimataifa za Kirafiki za ‘FIFA Series’ nchini Rwanda yanaendelea vizuri ambapo tayari timu mbalimbali zimeanza kuwasili jijini Kigali kwaajili ya michezo hiyo. Mechi…
AISHI MANULA | “…nikipata muda wa kucheza, nitaonesha kile wanachotarajia kutoka kwangu”
AISHI MANULA | “…nikipata muda wa kucheza, nitaonesha kile wanachotarajia kutoka kwangu” Golikipa Aishi Manula ana neno kwa mashabiki baada ya kurejea timu ya taifa #TaifaStars (Feed generated with FetchRSS)
Serikali imezitaka mamlaka za uagizaji na upatikanaji wa mafuta nchini za EWURA, TPDC na PBPA kuunda timu maalumu kwa ajli ya ku…
Serikali imezitaka mamlaka za uagizaji na upatikanaji wa mafuta nchini za EWURA, TPDC na PBPA kuunda timu maalumu kwa ajli ya kufuatilia mwenendo wa meli zilizopakia na kusafirisha mafuta kuja…
TAIFA STARS | Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo kimefanya mazoezi yake ya kwanza katika viwanja vya Gymghan…
TAIFA STARS | Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo kimefanya mazoezi yake ya kwanza katika viwanja vya Gymghana Dar es salaam kujiandaa na michezo ya FIFA…
Athari zitokanazo na hali mbaya ya hewa zimetajwa kusababisha hasara ya zaidi ya Dola Trilioni 4.3 katika kipindi cha miaka 50 k…
Athari zitokanazo na hali mbaya ya hewa zimetajwa kusababisha hasara ya zaidi ya Dola Trilioni 4.3 katika kipindi cha miaka 50 kati ya mwaka 1970 na 2021. Mbali na hasara…
Kuelekea uzinduzi wa Chanjo ya Polio nchini, Mganga Mkuu wa Serikali Dkt
Kuelekea uzinduzi wa Chanjo ya Polio nchini, Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka wazazi/walezi katika mikoa ya Mwanza, Simiyu, Geita, Mara, Tabora pamoja na Singida kuwapeleka watoto wao…
Tanzania, Austria kuimarisha usalama, uhamiaji
DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Austria anayeshughulikia masuala ya…
Palipo na maji, usawa hustawi: UNICEF inavyoshirikiana na wadau kuimarisha upatikanaji wa maji safi kwa kila mtoto nchini
Tausi, binti mwenye umri wa miaka 12 anayeishi katika kijiji cha Kaguruka mkoani Kigoma...
Ujenzi wa uhusiano muhimu kati ya maji safi na huduma za kijamii nchini
Upatikanaji wa maji safi ni msingi wa huduma bora za jamii, ukifanya kazi kama kichocheo cha...
Ulega aeleza mafanikio ujenzi
DODOMA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa hadi kufikia Machi 2026 jumla ya Sh trilioni 1.319 zimetolewa kwa ajili ya miradi iliyoidhinishwa…
Moalin arejeshwa Yanga kumsaidia Pedro Goncalves
Yanga imetangaza kumrudisha kikosini Abdihamid Moalin kuwa Kocha Msaidizi wa kikosi chao cha...
#IRAN
#IRAN Katika saa moja iliyopita, vyombo kadhaa vya habari vimeripoti kuwa mjumbe maalum wa Donald Trump, Steve Witkoff, pamoja na Jared Kushner, wamekuwa wakifanya mazungumzo na Spika wa Bunge la…
#girlscode #makeitpostive #talkshow
#girlscode #makeitpostive #talkshow (Feed generated with FetchRSS)
TRA yazionya kampuni zinazokwepa kodi
DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema TRA itaendelea kuwezesha biashara kwa kampuni kutoka nchini China na kushirikiana nayo katika masuala ya kodi…
SMZ, TTCL kuimarisha mawasiliano Zanzibar
ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amelihakikishia Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kushirikiana nalo…
Ndege zafanya safari za Dubai zikiwa tupu, sababu yatajwa
Safari za ndege kuelekea Dubai zimeonekana zikiwa na safu za viti tupu huku hofu kuhusu usalama...
MtumiajiApp kuboresha huduma za mawasiliano
WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amezindua mfumo wa kidijitali wa kuwahudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano unaojulikana kama MtumiajiApp, ulioandaliwa na Baraza la Ushauri la Watumiaji…
Makonda blesses Dar City’s BAL Tour mission in South Africa
DAR ES SALAAM: The Minister of Culture, Arts, and Sports, Paul Makonda, has presented the national flag to the Dar City basketball team, symbolizing Tanzania’s representation in the prestigious Basketball…
Sand Heroes wasitisha mazoezi kufuatia CECAFA kuahirisha mashindano
BAADA ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na kati (CECAFA) kuahirisha mashindano ya soka la ufukweni, timu ya Taifa ya Ufukweni Zanzibar maarufu Zanzibar Sand Heroes imesema bado…
Call for Tanzanian to pay attention to the weather forecast as the wet season hits across regions
DODOMA: TANZANIAN citizens have been urged to pay attention to and use accurate weather information to protect themselves from disasters and make productive decisions in their daily activities, in response…
Wanne washikwa mkono gofu kimataifa
WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo.
Dar City yabeba matumaini BAL
SERIKALI ya Tanzania imesema imejipanga kuendeleza sekta ya michezo nchini, hususan mpira wa kikapu, kufuatia hatua ya taifa kuandika historia kwa kushiriki mashindano ya Afrika (BAL) kwa mara ya kwanza…
Ukaribu wa Kim Kardashian na Hamilton washtua mashabiki
Staa wa Marekani Kim Kardashian na bingwa wa mashindano ya magari ya Formula One Lewis Hamilton...
Tanzania marks Meteorological Day with a call to respect weather warning systems
DAR ES SALAAM: THE Transport Minister Makame Mbarawa has urged the sector’s stakeholders to use and rely on accurate weather information, while supporting government efforts to strengthen national weather monitoring…
IEA : Uchumi wa dunia uko hatarini kushuka
MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza kushusha uchumi wa dunia ikiwa hali hiyo haitatatuliwa haraka. The…
Aliyehukumiwa jela miaka 30 kwa ubakaji, akata rufaa akwaa kisiki
Mahakama ya Rufani nchini imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na mkazi wa Dar es Salaam, Sharif...
Mtoto ajinyonga kisa kukanywa na wazazi
POLISI mkoani Morogoro wanachunguza kifo cha Rajabu Ally Mohammed (12), mtoto wa nyumbani na mkazi wa Ijava, Kata ya Italagwe, Wilaya ya Gairo aliyekutwa amejinyonga nyuma ya nyumba yao kwa…
Wanaotumia vibaya vyandarua vya msaada waonywa
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adamu Malima amekemea tabia ya baadhi ya watu kuchukua vyandarua...
White arudishwa England, majeraha yakimzuia Eze
Baada ya kukaa nje ya kikosi cha England tangu alipokuwemo mara ya mwisho katika Fainali za...
Serikali yapanga kuongeza ndege kuchochea uchumi
CAPE TOWN: SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege 24 ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni sehemu ya juhudi za…
Mafuriko yauwa watu 81
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Kenya (KMD) imesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi imesababisha mafuriko makubwa na kusababisha vifo vya watu 81 ndani ya mwezi huu.…
ATCL eyes to receive eight more aircraft to reach a 24-aircraft fleet by 2030
CAPE TOWN: THE Tanzanian government has announced a plan to add eight aircraft to Air Tanzania Company Limited (ATCL), a move that will increase the fleet to a total of…
Kutumia takwimu kuhifadhi mfumo wa ikolojia wa Mto Katuma
Wakati mwanga mwanana wa asubuhi ukiangaza kando ya Mto Katuma ulioko magharibi mwa Tanzania,...
Tanzania directs researchers to focus on resolving real challenges of inclusive development
DODOMA: THE Permanent Secretary of the President’s Office – Planning and Investment and Executive Secretary of the National Planning Commission, Dr Tausi Kida, has urged researchers in the country to…
Taasisi za fedha zatakiwa kubuni huduma rafiki kwa wanawake
Serikali imezitaka taasisi za kifedha nchini kubuni bidhaa na huduma zinazozingatia mahitaji ya...