Starlink yasitisha huduma za intaneti Uganda
Mtoa huduma wa intaneti ya setilaiti, Starlink, amesitisha upatikanaji wa mtandao wake wa...
Trump atishia shambulio la pili Venezuela, aonya kuhusu operesheni nyingine Colombia
Rais wa Marekani Donald Trump amesema operesheni ya kijeshi nchini Colombia “inaonekana kuwa wazo zuri,” akidai kuwa nchi hiyo inaendeshwa na “mtu mgonjwa.”
Jaribio jipya la mapinduzi nchini Burkina Faso, hali inaripotiwa kuwa tete Ouagadougou, Bobo-Dioulasso
Burkina Faso ilikumbwa na hali ya wasiwasi siku za Jumamosi na Jumapili ya jana, kufuatia ripoti za kuwepo jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais wa mpito wa nchi hiyo, Ibrahim…
Amorim afungashiwa virago Man United
Klabu ya Manchester United imemfuta kazi kocha wake Ruben Amorim, kutokana na muendelezo wa...
Mradi wa EACOP wafikia asilimia 79, kukamilika Julai 2026
Mradi huo upo chini ya wanahisa Kampuni ya Total Energy yenye hisa asilimia 62, Shirika la...
Mchambuzi wa masuala ya siasa, Abdulaziz Jaad, amesema kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na jeshi la Marekani ni …
Mchambuzi wa masuala ya siasa, Abdulaziz Jaad, amesema kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na jeshi la Marekani ni kitendo kinachokiuka sheria za kimataifa. Jaad amesema operesheni hiyo haikufuata…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 05/01/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 05/01/2025
Upelelezi wakwamisha kesi ya mauaji ya Mobe
Kesi ya mauaji ya Rhoda Mobe (42) aliyekuwa mkazi wa Kijiji cha Burunga Wilaya ya Serengeti...
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….JANUARI 05, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....JANUARI 05, 2025
Serikali iko katika hatua za mwisho kukamilisha Mfumo wa Kidijitali wa Utoaji wa Taarifa na Maoni kuhusu maafa yanayoweza kutoke…
Serikali iko katika hatua za mwisho kukamilisha Mfumo wa Kidijitali wa Utoaji wa Taarifa na Maoni kuhusu maafa yanayoweza kutokea, pamoja na namna ya kuyakabili kwa haraka. Mfumo huo utakuwa…
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), inatarajia kujenga vyuo 65 zaidi ili kutoa fursa kwa Vlvijana wengi nchini k…
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), inatarajia kujenga vyuo 65 zaidi ili kutoa fursa kwa Vlvijana wengi nchini kupata elimu ya ufundi. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa…
Utambulisho wa @msnajmapaul, Ingizo jipya Power Breakfast ya @cloudsfmtz
Utambulisho wa @msnajmapaul, Ingizo jipya Power Breakfast ya @cloudsfmtz #LiveonClouds360 #LainiYawana #Clouds26Nyoosha
Kanisa la TMC latoa mkono wa pole Mpwapwa
Kanisa la Tanzania Methodist (TMC) limetoa mkono wa pole kwa washirika wa kanisa hilo waliopata...
Huu hapa ujumbe wa Venezuela kwa Marekani
Rodríguez alimrejea Rais wa Marekani, Donald Trump, akisema yeye, wananchi wa Venezuela na...
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, amezungumzia matukio yaliyotokea mwaka 2025 na k…
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, amezungumzia matukio yaliyotokea mwaka 2025 na kumpongeza Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kulinda tunu ya amani huku…
Nigeria yaagiza msako mkali baada ya watu wenye silaha kufanya mauaji katika jimbo la Niger
Rais Tinubu pia aliagiza uokozi wa haraka wa wote waliotekwa wakati wa shambulio hilo na kuagiza mashirika ya usalama kuimarisha ulinzi katika maeneo yanayokabiliwa na hatari.
Rais William Ruto apendekeza adhabu ya kifo kwa wauzaji wa dawa za kulevya
Rais William Ruto ametangaza kuwa serikali yake inaandaa sheria mpya itakayotoa adhabu ya kifo kwa makosa yanayohusiana na biashara ya dawa za kulevya.
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wananchi zaidi ya 300 ambao vitambulisho vyao vimeshatengenezwa na havijachuk…
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wananchi zaidi ya 300 ambao vitambulisho vyao vimeshatengenezwa na havijachukuliwa kuharakisha kuvichukua. Rai hiyo ya NIDA imetolewa sambamba na kuwakumbusha wananchi hao kuwa…
Dunia imepokea vipi shambulio la Marekani nchini Venezuela
Rais wa Marekani Donald Trump amesifia operesheni ya nchi yake ya kumteka Rais wa venezuela na mkewe, lakini hatua hii imepokelewa kwa shutuma na tahadhari kutoka jamii ya kimataifa kama…
@veronicasimulizi akieleza anavyopata Simulizi zake
@veronicasimulizi akieleza anavyopata Simulizi zake. Ni wakati wako kuwa karibu na redio ya watu, @cloudsfmtz kuzipata Simulizi kunako Jahazi HD. #Clouds360 #LainiYawana #Clouds26Nyoosha
Serikali imetoa onyo kwa watendaji wanaosimamia mradi wa soko la kimataifa la dagaa lililopo Chato maarufu kama “Chato Beach” ku…
Serikali imetoa onyo kwa watendaji wanaosimamia mradi wa soko la kimataifa la dagaa lililopo Chato maarufu kama “Chato Beach” kukaa mbali za hila na ubadhirifu wakati wa ugawaji wa vizimba…
Staa URA aitumia salamu Azam
WAKIJIANDAA kwa mechi ya mwisho kuhitimisha kundi A ambayo imebeba hatma ya kila mmoja wao, nyota wa URA, Mulikyi Hudu ameitumia salamu Azam FC kwa kusema, ijiandae kupokea maumivu na…
Mradi wa EACOP wazalisha zaidi ya ajira 10,000
DAR ES SALAAM: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Uganda hadi Tanzania umezalisha zaidi ya ajira 10,000 pamoja na…
Dabi ya Mzizima yanukia nusu fainali Mapinduzi Cup
LEO Jumatatu, makundi mawili katika Kombe la Mapinduzi 2026 yanamaliza mechi zake ambapo baada ya dakika tisini, tunaweza kushuhudia jambo kubwa sana.
‘Wasiopeleka shule watoto kukiona’
MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Ahmed Abbas amewaagiza wakuu wa wilaya zote katika mkoa huo kuwachukulia hatua wazazi watakaoshindwa kupeleka watoto shule kupata elimu. Agizo hilo amelitoa nyakati katika ziara…
(@veronicasimulizi) leo hii amekuwa tiba ya upweke ameungana na Timu ya Jahazi HD
(@veronicasimulizi) leo hii amekuwa tiba ya upweke ameungana na Timu ya Jahazi HD. Zile Simulizi zote zitawekwa Ki-HD pale Jahazini. #Clouds360 #LainiYawana #Clouds26Nyoosha
Weka comment yako hapo chini ili uwe sehemu ya mjadala siku ya Jumatano ya Januari 7, 2026 kuanzia saa 2 : 00 asubuhi kwenye kip…
Weka comment yako hapo chini ili uwe sehemu ya mjadala siku ya Jumatano ya Januari 7, 2026 kuanzia saa 2 : 00 asubuhi kwenye kipindi cha Morning Trumpet. #AzamTVUpdates #MorningTrumpet
Cuba yatangaza vifo vya raia wake 32 katika shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela.
Serikali ya Cuba imetangaza kwamba raia wake 32 waliuawa wakati wa shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela siku ya Jumamosi, ambapo askari wa kikosi maalumu wa Marekani walimteka nyara Rais…
#HABARI: Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
#HABARI: Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kulinda tunu ya amani na mshikamano wa taifa, huku…
Maduro kufikishwa mahakamani Marekani leo
Maduro alikamatwa wakati wa uvamizi wa kijeshi uliofanyika Jumamosi mjini Caracas, tukio...
Chukwu, Yakoub hawashikiki Mapinduzi Cup
KABLA ya jana jioni Yanga haijacheza dhidi ya KVZ, kuna mastaa wawili katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 walikuwa wamefunika kwa kubeba tuzo nyingi.
Singida haina pingamizi Gamondi kupewa Stars
DAR ES SALAAM: Klabu ya Singida Black Stars imesema haina pingamizi lolote kwa mamlaka husika endapo Miguel Gamondi atateuliwa kuwa kocha wa kudumu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa…
#HABARI: Maduka kumi moja ya bidhaa mbalimbali yakiwemo ya nguo na matairi, yameteketea kwa moto eneo Mbezi Mwisho jijini Dar es…
#HABARI: Maduka kumi moja ya bidhaa mbalimbali yakiwemo ya nguo na matairi, yameteketea kwa moto eneo Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam alfajiri ya leo Januari 05, 2025. Sofia Mligo…
Arusha yatajwa eneo bora la Utalii 2026
HIFADHI ya Taifa ya Arusha imetajwa na Kituo cha Televisheni cha CNN kama moja ya maeneo bora ya kusafiri kwa mwaka 2026 pamoja na mkoa mzima wa Arusha. Ripoti iliyochapishwa…
Singida BS yambadilishia majukumu Gamondi
Gamondi amefanikiwa kuiongoza Stars kuweka rekodi ya kucheza hatua ya mtoano ya AFCON kwa mara...
Ulimwengu wa Spoti, Jan 5
Natumai huna neno hapo ulipo mskilizaji mpenzi. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
Serikali ya Cuba inaripoti kuwa raia 32 wa Cuba walikufa katika mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Marekani nchini Venezuel…
Serikali ya Cuba inaripoti kuwa raia 32 wa Cuba walikufa katika mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Marekani nchini Venezuela mapema Jumamosi asubuhi, ambapo Rais Nicolás Maduro na mkewe Cilia Flores…
ECOWAS yasisitiza kuheshimiwa uhuru wa Venezuela kufuatia uvamizi wa kijeshi wa Marekani
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeitaka jamii ya kimataifa kuheshimu uhuru na mamlaka ya kitaifa ya Venezuela kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya nchi…
Hamas yailaani vikali Israel kwa kuendelea kukiuka usitishaji vita Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeilaani vikali Israel kwa kuendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa hatua kama hizo zinatishia kudhoofisha…
Rais Bola Ahmed Tinubu wa Nigeria ameviagiza vikosi vya usalama kuwasaka na kuwakamata waliohusika na shambulio la Kasuwan Daji …
Rais Bola Ahmed Tinubu wa Nigeria ameviagiza vikosi vya usalama kuwasaka na kuwakamata waliohusika na shambulio la Kasuwan Daji katika jimbo la Niger na kuwafikisha mahakamani mara moja. Pia aliagiza…
Magaidi washambulia soko katika jimbo la Niger, Nigeria na kuuwa watu wasiopungua 50
Polisi wa Nigeria wameripoti kuwa watu wasiopungua 50 wameuawa katika shambulio lililofanywa na magaidi wenye silaha katika soko la kijiji katika Wilaya ya Kabe, eneo la Serikali ya Mtaa ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55….JANUARI 05, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....JANUARI 05, 2025
Simba Coach commends his team: Each match counts
ZANZIBAR: SIMBA SC Head Coach Steve Barker said his team are fully prepared for their today’s Mapinduzi Cup Group B match against Fufuni SC at the New Amaan Complex in…
Rais wa Colombia atahadharisha: Amerika ya Latini inapasa kuungana la sivyo watafanywa kama watumwa
Rais Gustavo Petro wa Colombia ametahadharisha kuwa nchi za Amerika ya Latini ni lazima ziungane, kinyume chake zitakabiliwa na hatari ya kufanywa kama watumwa. Rais wa Colombia ametamka haya kufuatia…
Yanga ease past KVZ in Mapinduzi Cup clash
ZANZIBAR: YOUNG Africans claimed a convincing 3–0 victory over KVZ in their Mapinduzi Cup Group C match at New Amaan Complex in Zanzibar yesterday. Pacôme Zouzoua (pictured) scored once, while…
Mtaalamu wa Russia: Mkataba wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia; hatua muhimu ya 2025
Igor Matveev, profesa na mtaalamu wa masuala ya siasa wa nchini Russia ameutaja Mkataba Kamili wa Kimkakati uliosainiwa kati ya Iran na Russia mwanzoni mwa mwaka jana kuwa hatua muhimu…
Jumatatu, 05 Januari, 2026
Leo ni Jumatatu 15 Rajab 1447 Hijria mwafaka na 5 Januari 2026.