#HABARI: Zaidi ya majiko banifu 10,000 yamejengwa katika kaya mbalimbali za Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha kwa lengo la kuhama…
#HABARI: Zaidi ya majiko banifu 10,000 yamejengwa katika kaya mbalimbali za Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi na kupunguza matumizi ya kuni na…
#TANZIA: Danny Bandezu akiwa kwenye kaburi la marehemu Nizar Muhsin baada ya kukamilika kwa shughuli ya maziko leo Januari 5, 20…
#TANZIA: Danny Bandezu akiwa kwenye kaburi la marehemu Nizar Muhsin baada ya kukamilika kwa shughuli ya maziko leo Januari 5, 2026 kwenye makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni, Dar es Salaam. Bandezu…
Dk Mwigulu: Serikali inalenga elimu ya ujuzi inayozalisha ajira
Serikali imesema itaendelea kuwekeza katika elimu inayojenga umahiri, ujuzi na maadili kwa...
Mashahidi 177 kuitwa kesi ya ‘Dk Manguruwe’ kuanza kusikilizwa
Mashahidi 117 wanatarajiwa kutoa ushahidi wao mahakamani katika kesi ya kuendesha biashara ya...
Klabu ya Manchester United ya England imemfuta kazi kocha mkuu wa Ruben Amorim, ambaye amekuwa katika nafasi hiyo kwa kipindi ch…
Klabu ya Manchester United ya England imemfuta kazi kocha mkuu wa Ruben Amorim, ambaye amekuwa katika nafasi hiyo kwa kipindi cha takribani miezi 14 akiwa Old Trafford. Uamuzi huo umechukuliwa…
Uingereza yaweka marufuku ya matangazo ya vyakula visivyo na afya kwenye televisheni na mitandaoni
Kanuni hizi zinatarajiwa kupunguza idadi ya watoto 20,000 wanaoishi na unene kupita kiasi na kuleta faida za kiafya zenye thamani ya takribani dola bilioni 2.68.
HATUWADAI: Taifa Stars ilivyoaga AFCON kwa heshima
TAIFA Stars imehitimisha safari yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) katika hatua ya 16-Bora baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya timu Na.1 kwa ubora wa barani…
Wizara ya Madini imetangaza kuzuia wamiliki wa kigeni wa migodi nchini kujihusisha na utoaji wa huduma na bidhaa zipatazo ishiri…
Wizara ya Madini imetangaza kuzuia wamiliki wa kigeni wa migodi nchini kujihusisha na utoaji wa huduma na bidhaa zipatazo ishirini, hatua inayolenga kutoa fursa kwa kampuni za Kitanzania zinazomilikiwa kwa…
Grey’s Anatomy rasmi kupitia AzamONE mzigo unaanza leo Jumatatu Januari 05, 2026
Grey’s Anatomy rasmi kupitia AzamONE mzigo unaanza leo Jumatatu Januari 05, 2026. Madaktari wa upasuaji na wasimamizi wao wapo kwenye safari ya kimatibabu, iliyojaa mambo mbalimbali ikiwemo hadithi za kuhuzunisha…
#MEZAHURU”….tunapozungumzia malengo tusipate msukumo kutoka nje, usiingie kuandika malengo yako kwa sababu ya ya kelele za nje, …
#MEZAHURU”….tunapozungumzia malengo tusipate msukumo kutoka nje, usiingie kuandika malengo yako kwa sababu ya ya kelele za nje, yaani kelele za mitandao, kelele za watu binafsi fanya kutoka ndani..."-Mwalimu Bryson Makena.…
Master Chef ndani ya Azam ONE
Master Chef ndani ya Azam ONE. Majaji wakuu wa shindano la upishi Australia wana kazi ya kuwapima, kuwachuja na wapishi bora wa nyumbani wenye shauku ya kuwa washindi kupitia shindano…
Mwaka mpya vitu vipya ndani ya AzamONE, MARVEL’s THE PUNISHER
Mwaka mpya vitu vipya ndani ya AzamONE, MARVEL's THE PUNISHER Baada ya kulipiza kisasi kwa watu waliohusika na vifo vya mkewe na watoto wake, Frank Castle anaendeleza moto dhidi ya…
Uganda: Serikali yatumia mbinu za mateso kuwatishia wapinzani
Shirika la kimataifa la haki za binadamu, Amnesty International, linasema vikosi vya usalama nchini Uganda vimetumia njia za mateso na ukamataji usio wa kisheria kuwatisha wapinzani kuelekea uchaguzi wa Januari…
Miradi 150 ya uwekezaji kusajiliwa Zanzibar kila mwaka
Wakati mazingira na miundombinu vikiboreshwa, Zanzibar imepanga kusajili miradi isiyopungua 150...
Beware of high waves, strong winds, TASAC alerts marine vehicles, seafarers
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Shipping Agencies Corporation (TASAC) has cautioned fishermen and water transport operators to take precautions against strong winds and high waves in the Indian Ocean from…
Naibu Waziri awataka vijana kutokubadilishwa na desturi za kigeni
Wanu, ambaye ni mara yake ya kwanza kufika katika taasisi hiyo inayotoa shahada za umahiri na...
Wawekezaji DSE waongeza utajiri mwaka 2025 benki zikiongoza
Wawekezaji katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wameongeza utajiri wao kwa Sh6.12...
Adaiwa kumuua mkewe, akimtuhumu kurudiana na mzazi mwenzake
Amesema baada ya mtuhumiwa kutekeleza mauaji hayo, alikimbia, na Jeshi la Polisi linaendelea...
Walimu 606 wapatiwa mafunzo ya matumizi ya Tehama, ufundi wa vifaa
Ili kutekeleza azma ya Serikali inayolenga kuwezesha matumizi ya tehama katika kujifunzia na...
AFCON 2025 yambeba Alphonce Mabula
KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula amesema kucheza michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) akiwa na kikosi cha Taifa Stars kumeanza kumpa uzoefu wa mechi za kimataifa na somo kwenye…
Tume ya Madini yaja na mkakati wa ushirikishwaji wa wazawa
Dodoma. Serikali imefanya marekebisho ya Kanuni za Ushirikishwaji wa Watanzania za mwaka 2018...
Usajili dirisha dogo, Mashujaa yamsikilizia Mayanga
MABOSI wa Mashujaa FC ya Kigoma bado wanakuna vichwa kuhusu usajili wa dirisha dogo, huku wakisisitiza kwamba wanasubiri ripoti ya benchi la ufundi ili kuwa na uhakika wa nini kifanyike…
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi UVCCM umeanza Matembezi Maalum ya kuadhimisha kutimia Miaka Siti na Mbili ya Mapinduzi Ma…
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi UVCCM umeanza Matembezi Maalum ya kuadhimisha kutimia Miaka Siti na Mbili ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya 1964.
#HABARI: Waziri wa Katiba na Sheria, Juma Homera, ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, kupitia Dawati la Jinsia na Watot…
#HABARI: Waziri wa Katiba na Sheria, Juma Homera, ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro, kupitia Dawati la Jinsia na Watoto, kumsaka na kumkamata Daniel Simbaulanga, mkazi wa Morogoro, kwa…
Kocha Dodoma Jiji aanika mipango yake
KOCHA wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amesema timu itafanya mazoezi kwa wiki moja, huku ikiangalia ni mkoa gani ikienda itapata mechi za kirafiki kwa urahisi kabla ya kurejea mechi za…
Seleman Mgaza azichonganisha timu mbili Bara
MSHAMBULIAJI wa Zimamoto ya Zanzibar, Seleman Mgaza ameziingiza vitani timu mbili za maafande wa JKT Tanzania na KMC, ambazo zimeonyesha nia ya kumhitaji katika dirisha hili dogo, huku mazungumzo kati…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameliomba Jeshi la Polisi nchini kuyapa kipaumbele makosa ya uhalifu mitan…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameliomba Jeshi la Polisi nchini kuyapa kipaumbele makosa ya uhalifu mitandaoni,makosa ya barabarani yanayosababishwa na madereva bodaboda huku akisisitiza amri ya…
#HABARI: Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida—Afisa Utumishi Bw
#HABARI: Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida—Afisa Utumishi Bw. Eliah Noah Samata na Mhandisi Bw. Innocent Magadula—wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya…
Manchester United mpaka sasa tangu kujiungua kwa Sir Alex Ferguson mpaka sasa imeachana na makocha tisa
Manchester United mpaka sasa tangu kujiungua kwa Sir Alex Ferguson mpaka sasa imeachana na makocha tisa. Huku na wale makaimu kocha wa muda ikiwa jumla kuu 9. Louis van Gaal…
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia katika eneo la Nyarusura, Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, kufuatia ajali ya moto u…
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia katika eneo la Nyarusura, Manispaa ya Musoma, mkoani Mara, kufuatia ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao usiku wa kuamkia leo. Taarifa za awali…
Tanzania yapiga marufuku wageni kutoa baadhi ya huduma katika sekta ya madini, kulinda wazawa
Lengo ni kupanua wigo wa ushiriki wa wazawa na kuongeza manufaa ya moja kwa moja kwa taifa.
#HABARI: Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imetangaza kuanza kwa mchakato wa awamu mpya ya kampeni kabambe…
#HABARI: Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imetangaza kuanza kwa mchakato wa awamu mpya ya kampeni kabambe ya msaada wa kisheria maarufu kama "Mama Samia Legal Aid…
Zaidi ya wakazi 2000 kutoka Mkoa wa Shinyanga na maeneo ya jirani wanatarajiwa kunufaika na huduma za kibingwa za magonjwa ya pu…
Zaidi ya wakazi 2000 kutoka Mkoa wa Shinyanga na maeneo ya jirani wanatarajiwa kunufaika na huduma za kibingwa za magonjwa ya pua, koo na masikio, zilizoanza kutolewa leo katika Hospitali…
Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoani Mbeya, kupitia Kituo cha Uendelezaji wa Teknolojia, limezindua mtambo wa kisas…
Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoani Mbeya, kupitia Kituo cha Uendelezaji wa Teknolojia, limezindua mtambo wa kisasa wa kusafisha dhahabu unaolenga kupunguza na hatimaye kuondoa matumizi ya zebaki, kemikali…
EACOP project sees 10,000 jobs created in Tanzania, Uganda
DAR ES SALAAM: THE East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project, which runs from Uganda to Tanzania, has successfully created more than 10,000 jobs while also equipping citizens with various…
Waziri wa Katiba na Sheria, Juma Homera, ameupongeza Mkoa wa Morogoro kwa kile alichokiita “rekodi safi” ya kudumisha amani, aki…
Waziri wa Katiba na Sheria, Juma Homera, ameupongeza Mkoa wa Morogoro kwa kile alichokiita “rekodi safi” ya kudumisha amani, akibainisha kuwa hakuna mkazi hata mmoja wa mkoa huo aliyekamatwa au…
Serikali iko katika hatua za mwisho za kukamilisha Mfumo wa Kidijitali wa Utoaji wa Taarifa na Maoni kuhusu maafa yanayoweza kut…
Serikali iko katika hatua za mwisho za kukamilisha Mfumo wa Kidijitali wa Utoaji wa Taarifa na Maoni kuhusu maafa yanayoweza kutokea, pamoja na namna ya kuyakabili kwa haraka na ufanisi.…
Kikao cha familia, hakijawahi kuisha kwa amani 😇
Kikao cha familia, hakijawahi kuisha kwa amani 😇
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya Sekondari Chukwani, Zanzibar ikiwa ni sehemu ya maadhimi…
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya Sekondari Chukwani, Zanzibar ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Ujenzi wa…
Waluguru kufanya tambiko la wahenga Morogoro
Jamii ya Waluguru mkoani Morogoro wanatarajia kufanya tambiko la kimila Januari 11, 2026...
Mahakama Kuu ya Guinea yamthibitisha Doumbouya mshindi wa uchaguzi
Uchaguzi wa Disemba 28 ulifanyika chini ya katiba mpya ambayo iliruhusu viongozi wa jeshi kugombea na kuongeza muda wa utawala wa rais kutoka miaka mitano hadi miaka saba.
Trump anataka mafuta ya Venezuela, Je, mpango wake utafanikiwa
Donald Trump ameapa kuingia katika hifadhi ya mafuta ya Venezuela baada ya kumkamata Rais Nicolás Maduro na kusema Marekani "itaendesha" nchi hiyo hadi kipindi "salama" cha mpito.
UN yaonya hatari ya kuongezeka kwa mvutano kufuatia hatua ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana leo katika kikao cha dharura baada ya operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela tarehe 3 Januari mwaka huu, hatua iliyozua hofu…
WHO yasaidia huduma za afya katika Kaunti ya Tana River
Huko nchini Kenya katika kaunti ya Tana River, hali mbaya ya hewa na migogoro imesababisha takriban watu 140,000 kuyahama makazi yao. Upatikanaji wa huduma za afya nao umekuwa mgumu na…
UNFPA Burundi yaimarisha msaada kwa wanawake na wasichana wakimbizi
Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi (UNFPA), nchini Burundi, linaongeza juhudi zake kukabiliana na mahitaji yanayoongezeka ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Kukariri Rais wa Marekani kauli za uingiliaji kati; Je, Trump anawajali sana watu wa Iran?
Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri kauli zake za uingiliaji kati dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia matukio ya hivi karibuni hapa nchini.
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….JANUARI 05, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....JANUARI 05, 2025
TRA yaagizwa kuboresha mifumo ukusanyaji kodi
Arusha. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imetakiwa kuendana na kasi ya maendeleo ya sayansi na...
Jeshi la Sudan lazuia shambulio la droni la RSF kwenye bwawa kuu na maeneo ya kijeshi
Mamlaka ya Sudan kwa muda mrefu imekuwa ikiilaumu RSF kwa kufanya mashambulizi kwa kutumia ndege zisizo na rubani dhidi ya miundombinu ya wananchi.