#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Bw.Kisare Makori, ameitaka jamii kuacha dhana potofu kuhusu unywaji wa Kahawa n…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Bw.Kisare Makori, ameitaka jamii kuacha dhana potofu kuhusu unywaji wa Kahawa na kujenga utamaduni wa kunywa Kahawa inayolimwa ndani ya nchi ili…
Mwamko wa jamii kuwapa nafasi na kipaumbele watoto wa kike kwenye eneo la elimu na taaluma umeendelea kuongezeka huku baadhi ya …
Mwamko wa jamii kuwapa nafasi na kipaumbele watoto wa kike kwenye eneo la elimu na taaluma umeendelea kuongezeka huku baadhi ya wazazi mkoani Kilimanjaro wakijikita katika kuwandaa kitaaluma kwa fani…
Bruno afichua kilichombakisha Man United
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema kuwa fursa ya kucheza Kombe la Dunia 2026...
Mgombea Urais kupitia chama cha MAKINI, Coaster Kibonde ameahidi kugawa vifaa vya shule bure kwa wanafunzi wote ili kuwapunguzia…
Mgombea Urais kupitia chama cha MAKINI, Coaster Kibonde ameahidi kugawa vifaa vya shule bure kwa wanafunzi wote ili kuwapunguzia wazazi mzigo wa gharama za elimu iwapo atafanikiwa kuunda serikali. Kibonde…
Huenda una mtoto wa kike ambaye ana ndoto kubwa na tayari ameanza kuweka mipango na mikakati ya kufikia ndoto hiyo lakini kuna v…
Huenda una mtoto wa kike ambaye ana ndoto kubwa na tayari ameanza kuweka mipango na mikakati ya kufikia ndoto hiyo lakini kuna vikwazo vinampa changamoto. Rebeca Mbembela amezungumza na binti…
Mgombea Urais wa Zanzibar, Ameir Hassan Ameir wa chama cha MAKINI ameahidi kuimarisha miundombinu ya bandari ya majahazi iliyopo…
Mgombea Urais wa Zanzibar, Ameir Hassan Ameir wa chama cha MAKINI ameahidi kuimarisha miundombinu ya bandari ya majahazi iliyopo Malindi ili kuongeza ufanisi wa shughuli za uzalishaji mali zinazofanywa na…
Othman: Viongozi wapimwe kwa wanavyojali wananchi
Mgombea wa urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman...
Spika Zanzibar aeleza siri ya kukua kwa uwekezaji visiwani hapo
Spika Zubeir amesema wanakaribisha uwekezaji ambao si tu huleta mtaji, bali uheshimu sheria...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kutoka CCM, Dkt
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kutoka CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewaahidi wakulima wa mwani visiwani humo kupanda kwa bei ya zao hilo kufikia Shilingi 1,000 iwapo atapata nafasi ya…
#HABARI: Wananchi wa jamii ya wafugaji wilayani Monduli mkoani Arusha, wamewataka wanasiasa wanaowania nafasi za uongozi, katik…
#HABARI: Wananchi wa jamii ya wafugaji wilayani Monduli mkoani Arusha, wamewataka wanasiasa wanaowania nafasi za uongozi, katika ngazi ya ubunge na udiwani, kutoa ahadi wanazojua kwamba watazitekeleza, ili kuepusha changamoto…
Majaliwa atoa maagizo sita kuelekea Dira ya Taifa 2050
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameainisha mikakati ya Serikali kufikia malengo ya...
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru amewaomba ridhaa wananchi wamchague kuwa Rais wa Tan…
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru amewaomba ridhaa wananchi wamchague kuwa Rais wa Tanzania ili aondoe kero na changamoto pamoja na kupambana na ufisadi…
Mgombea Urais Doyo Hassan Doyo wa (NLD) amesema iwapo ataibuka kidedea kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 ataunganisha uchumi wa …
Mgombea Urais Doyo Hassan Doyo wa (NLD) amesema iwapo ataibuka kidedea kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 ataunganisha uchumi wa wakulima wa Afrika kwa kujenga soko la kimataifa la mazao…
Mwandishi Daniel Mbega afariki dunia, TEF wamlilia
Balile amesema kwa mujibu wa taarifa za familia, Mbega alizidiwa saa 10 alfajiri na alipelekwa...
Mgombea Urais wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amewataka wananchi wa manispaa ya Musoma kukichagua chama hicho ka…
Mgombea Urais wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara amewataka wananchi wa manispaa ya Musoma kukichagua chama hicho katika Uchaguzi Mkuu na kuwaahidi kuboresha huduma za afya kwa…
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi “App” ya Utalii inayolenga kupanua wigo wa utoaj…
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi "App" ya Utalii inayolenga kupanua wigo wa utoaji taarifa za vivutio vya utalii ikiwemo hifadhi zote za Taifa na…
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha UPDP, Twalib Kadege ameahidi kufuta mfumo wa malipo ya wakulima kwa stakabadhi…
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha UPDP, Twalib Kadege ameahidi kufuta mfumo wa malipo ya wakulima kwa stakabadhi ghalani na kuanzisha mfumo wa kununua mazao ya wakulima…
Msiba wa mgombea ubunge wa CUF ulivyogeuka jukwaa la kusisitiza amani
Mwili wa mgombea huyo umeagwa leo Oktoba 11, 2025 nyumbani kwake, Kijiji cha Kilingi, Wilaya ya...
VIDEO: Moto wateketeza vyumba 12 vya makazi ya watu Moshi
Moshi. Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vyumba 12 vya makazi ya watu pamoja...
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI OKTOBA 11, 2025 – WAGOMEA URAIS WAENDELEA NA KAMPENI
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI OKTOBA 11, 2025 - WAGOMEA URAIS WAENDELEA NA KAMPENI
VIDEO: Msisitizo wa amani watawala kuelekea uchaguzi
Mjadala kuhusu utulivu wa kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 umeendelea kupewa...
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Arusha aliyemaliza muda wake, Cecilia Paresso amewataka wanawake kote nchini kujitokeza …
#HABARI: Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Arusha aliyemaliza muda wake, Cecilia Paresso amewataka wanawake kote nchini kujitokeza kwa wingi kumpigia kura mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dkt.Samia Suluhu Hassan…
VIDEO: Mgogoro wa ardhi familia, Kanisa Katoliki Rombo wachukua sura mpya
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya familia ya Morris kufika eneo la Kanisa la Mtimhoo...
Serikali yamwaga ajira mpya, hizi hapa
Dodoma. Serikali imetangaza nafasi 41,500 za ajira kwa mwaka wa fedha 2025/2026 na kuwataka...
Zaidi ya watu 60 wameuawa katika shambulio kwenye kambi ya wakimbizi Sudan
Watu zaidi ya 60 wameuawa katika kambi ya wakimbizi kwenye mji wa El-Fasher nchini Sudan siku ya Jumamosi, baada ya kushambuliwa na ndege mbili za kijeshi, zisizokuwa na rubani. Imechapishwa:…
#HABARI: Maafisa wa Jeshi la Kenya KDF, kwa ushirikiano na Asasi mbalimbali za usalama katika kaunti ya Mombasa, bado wanatafuta…
#HABARI: Maafisa wa Jeshi la Kenya KDF, kwa ushirikiano na Asasi mbalimbali za usalama katika kaunti ya Mombasa, bado wanatafuta watu watatu waliokufa maji, baada ya mashua iliyowabeba washiriki 22…
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka minne ya serikali ya awamu ya sita imeongeza idadi ya leseni kwa wachimbaji wadogo kutoka…
Heche aibua historia ya Mabere Marando kwa kumtembelea nyumbani
Marando ambaye alianzia kwenye chama cha NCCR-Mageuzi kilichokuwa na idadi kubwa ya wanasheria...
Misri itaandaa mkutano wa kimataifa kuhusu amani ya Gaza
Misri imepanga kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa juu ya Gaza, baada ya kufikiwa makubaliano ya awamu ya kwanza ya usitishaji mapigano kati ya Israel na wanamgambo wa kipalestina wa…
UNFPA yazitaka Serikali kuwalinda, kuwawezesha wasichana
Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) limezitaka serikali na...
Merz aahidi kuishinikiza Urusi kusitisha vita Ukraine
Msemaji wa serikali ya Ujerumani Stefan Kornelius, amesema Kansela wa taifa hilo Friedrich Merz ameapa kuishinikiza zaidi Urusi kuachana na vita nchini Ukraine.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujenga nguvu kazi yenye ujuzi wa kisasa ili kushindana katika soko la a…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujenga nguvu kazi yenye ujuzi wa kisasa ili kushindana katika soko la ajira la kikanda na kimataifa. Akifungua Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu…
Macron amteua tena Lecornu kuwa waziri Mkuu wa Ufaransa
Waziri Mkuu wa Ufaransa Sébastien Lecornu ameelezea kushangazwa kwake na hatua ya Rais Emmanuel Macron ya kumteua tena kuwa waziri mkuu wa taifa hilo baada ya kutangaza kujiuzulu kwake mwanzoni…
Tumbi yakabiliwa na upungufu wa watumishi, Serikali yatoa kauli
Ameongeza kuwa ukosefu wa uzio unaozunguka hospitali hiyo imekuwa kero ya muda mrefu na...
RSF yatumia droni kushambulia kambi ya wakimbizi El-Fasher
Kundi la wanaharakati wa Sudan limesema shambulio la droni limesababisha mauaji ya watu 30 katika eneo linalohifadhi watu waliokosa makaazi kwenye mji uliozingirwa wa El-Fasher magharibi mwa nchi hiyo.
Bajana aeleza Azam ilivyobadili maisha kutoka kumsomesha hadi kumlipa sh500,000, dili lake Yanga!
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Biden apata tiba ya mionzi kutokana na saratani ya tezi dume
Msemaji wa rais wa zamani wa Marekani Joe Biden amesema kiongozi huyo wa zamani anapokea tiba ya mionzi ya aina kali ya saratani ya tezi dume aliogunduliwa kuwa nayo mwezi…
Adam agusia ‘misele’ ya Maxi uwanjani
MSHAMBULIAJI wa TRA United, Adam Adam amemzungumzia kiungo wa Yanga, Maxi Nzengeli namna alivyo hatari kutokana na kupatikana maeneo mengi ya uwanja wakati wa mechi, akiamini hilo linamtofautisha na wengine…
Vigingi vitano vinavyomkabili mtoto wa kike
Oktoba 11 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike, ambayo kaulimbiu ya mwaka huu...
Mzee wa miaka 75 ajinyonga, aacha maswali
Rukwa. Mzee Jelas Lunguya mwenye umri wa (75) mkazi wa Kijiji Cha Nchenje kata ya Kate wilayani...
Jumamosi ya pili ya kila Oktoba dunia huadhimisha ‘Siku ya Tiba Shufaa’ yanayoelezwa kuwasaidia watu wengi waliougua magonjwa ya…
Jumamosi ya pili ya kila Oktoba dunia huadhimisha ‘Siku ya Tiba Shufaa’ yanayoelezwa kuwasaidia watu wengi waliougua magonjwa ya muda mrefu na yenye maumivu makali ikiwemo saratani huku hapa nchini…