UN yataka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu wasichana wadogo 167 waliouliwa na US/Israel
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametaka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu shambulio lililolenga skuli ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab kusini mwa Iran.