KUTOKA RWANDA: Ligi ya mpira wa kikapu Afrika, BAL imefunguliwa rasmi leo kwa mkutano wa waandishi wa habari ambapo Ofisa Mtenda…
KUTOKA RWANDA: Ligi ya mpira wa kikapu Afrika, BAL imefunguliwa rasmi leo kwa mkutano wa waandishi wa habari ambapo Ofisa Mtendaji Mkuu wa NBA Africa, Clare Akamanzi amesema Uwanja wa…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa lengo la kumleta Rio Ferdinand nchini si kwa ajili ya k…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa lengo la kumleta Rio Ferdinand nchini si kwa ajili ya kuchapisha ujio wake kwenye mitandao ya kijamii, bali ni…
KUTOKA MOROCCO: Kuelekea mchezo wa robo fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17, kikosi cha Serengeti…
KUTOKA MOROCCO: Kuelekea mchezo wa robo fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17, kikosi cha Serengeti boys chini ya Mwalimu Elienenza Nsanganzelu kimeendelea na…
SIMBA SC | Kocha Msaidizi wa Simba SC, Seleman Matola amesema mchezo wao ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji Jumapili w…
SIMBA SC | Kocha Msaidizi wa Simba SC, Seleman Matola amesema mchezo wao ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji Jumapili wiki hii utakuwa mgumu kwao kutokana…
NBCPL | Azam FC imecheza kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex, na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania Prison…
NBCPL | Azam FC imecheza kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex, na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC…
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Mara imefanikiwa kurejesha zaidi ya shilingi milioni 58 zilizokuwa k…
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Mara imefanikiwa kurejesha zaidi ya shilingi milioni 58 zilizokuwa katika hatari ya kupotea na kufujwa kwa njia mbalimbali na mamlaka…
DC Itunda awapongeza wauguzi Mbeya, awaasa kuendelea kuwa wawajibikaji
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewapongeza wauguzi huku akiwaasa kuendelea kuwa...
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wameibua hoja mbalimbali kuhusu ucheleweshaji wa ukamilishwaji wa barabara pamoja …
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wameibua hoja mbalimbali kuhusu ucheleweshaji wa ukamilishwaji wa barabara pamoja na ukarabati wa zile zilizoharibika, wakisisitiza umuhimu wa wananchi kuendelea kunufaika na miundombinu…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema, ndoto yake ilikuwa ni kumleta Mchezaji Rio Ferdinand asake …
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema, ndoto yake ilikuwa ni kumleta Mchezaji Rio Ferdinand asake vipaji vya vijana wa Kitanzania. Makonda amesema mpango huo utafanikuwa kupitia…
Mbunge wa Mtwara Vijijini, Arif Suleiman Premji, ameishauri Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhakikisha kunakuwa na usaw…
Mbunge wa Mtwara Vijijini, Arif Suleiman Premji, ameishauri Serikali na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhakikisha kunakuwa na usawa wa viwango vya riba vinavyotolewa na taasisi za kifedha kwa wananchi,…
Washtakiwa watano kortini wakidaiwa kuiba Dola 58,000 kwenye akaunti ya marehemu
Watu watano, wakiwamo wafanyakazi wawili wa Benki ya CRDB, wamefikishwa katika Mahakama ya...
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Bi Khadija Said Salmin, mtangazaji wa Habari wa kwanza mwanamke nchini Tanzania, k…
"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Bi Khadija Said Salmin, mtangazaji wa Habari wa kwanza mwanamke nchini Tanzania, kilichotokea leo mkoani Dar es Salaam." "Tutamkumbuka na kumuenzi Bi. Khadija…
Watatu kizimbani wakituhumiwa kughushi, kukwepa kodi Sh171 milioni
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewafikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, watuhumiwa...
Serikali yaeleza mkakati kudhibiti upandaji holela bei za bidhaa
Serikali imesema itaendelea kuchukua hatua kuhakikisha kupanda kwa bei za mafuta duniani...
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU MEI 22, 2026 –
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU MEI 22, 2026 - (Feed generated with FetchRSS)
Samia ateua watatu, yumo bosi mpya bodi ya PSSSF
Rais Samia Suluhu Hassan, ameteua watatu kuongoza bodi mbalimbali, akiwemo Dk Irene Isaka kuwa...
Sista Aliyefukuzwa Aibua Tsunami Kanisani, Atishia Kuvujisha Jumbe za Siri za Mapadre
Sista Mkatoliki aliyefukuzwa kazi Shako Annastasia, amefichua majuto kuhusu maisha yake ya utawa, akidai makasisi walimvizia na kutishia kuanika jumbe zao za siri.
Mchungaji maarufu Nigeria awaomba msamaha mashabiki wa Arsenal baada ya utabiri wa uongo kuhusu EPL
Mchungaji Dolapo Lawal ameomba msamaha kwa utabiri wake wa awali kuhusu Arsenal kutobeba ubigwa wa EPL, amesherehekea ushindi na kutangaza ibada maalum ya shukrani.
UTEUZI
UTEUZI (Feed generated with FetchRSS)
Bakwata Kilimanjaro kuchinja ng’ombe 500 Eid Al-Adha, kugawa kwa wahitaji
Ikiwa zimesalia siku tano kuelekea sikukuu ya Eid Al-Adha, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania...
Anayedaiwa kutapeli Sh1.6 bilioni za Wachina adakwa Uganda
Mtuhumiwa Stephane Ngoie, aliyekuwa akitafutwa kwa takribani miaka mitatu na Taasisi ya Kuzuia...
Serikali yaialika sekta binafsi katika teknolojia za urejelezaji taka
Katika kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa mazingira nchini, Serikali imezitaka sekta...
#HABARI: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kigoma, imefanikiwa kuokoa milioni kumi na saba, kutoka kwa…
#HABARI: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kigoma, imefanikiwa kuokoa milioni kumi na saba, kutoka kwa viongozi wa Kijiji cha Mgambazi wilayani uvinza, waliokuwa wanataka Bw.…
Kesi ya mauaji ya Starlet Wahu: Mshukiwa John Matara ana kesi ya kujibu mahakama yasema
Mahakama ya Nairobi iliamua kwamba John Matara, mshukiwa katika kesi ya mauaji ya Starlet Wahu, ana kesi ya kujibu, na kuhamisha kesi hadi hatua ya utetezi.
Selasini arejea Chadema, aomba radhi
Selasini amewahi kuwa mbunge wa Rombo mkoani Kilimanjaro kwa tiketi ya Chadema, kabla ya...
Watu wa feri mpo! KPA yapandisha ada ya kivuko Likoni kuanzia Ijumaa hii
Mamlaka ya Bandari za Kenya imerekebisha nauli za kivuko Likoni, na kuongeza ada kwa wasafiri wa ndani huku Rais Ruto akitangaza kivuko kipya ifikapo Desemba 2026.
Viwango vya Undumakuwili wa Ulaya; Kwa Nini Jinai za Israel Zinanyamaziwa Kimya
Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kukamata meli 50 zilizokuwa zimebeba wanaharakati 428 wa haki za binadamu na misaada ya kibinadamu kutoka nchi 44 kwa ajili ya Wapalestina wanaozingirwa na…
“Kumbe walijitongea”: DCI yachapisha picha zaidi za washukiwa wa uhuni siku ya maandamano
DCI imechapisha picha za Wakenya wanaoshukiwa kuhusika katika uhuni wakati wa mgomo wa matatu Mei 18; zaidi ya 710 wamekamatwa. Umma umeombwa kusaidia kuwatambua.
IGP Wambura aonya wananchi kujichukulia sheria mkononi
Amesema askari hao wamepikwa vizuri shuleni hapo na wapo tayari kuitumikia nchi yao kwa...
Young Tanzanian scientist wins top аtoms award
MOSCOW, RUSSIA: Rosatom, in partnership with the BRICS Nuclear Platform, has announced the winners of the 2026 Atoms Empowering Africa video contest. Among them is a young specialist from Tanzania,…
Ujenzi mpya maeneo yaliyobomolewa Kimara waibua mjadala, Tanroads yafafanua
Miaka kadhaa baada ya operesheni ya bomoabomoa iliyofanyika kupisha upanuzi wa Barabara ya...
Yanga kileleni tena, Okello aweka rekodi
Yanga ambayo ilikuwa ikisaka ushindi wake wa kwanza kufuatia kufungwa katika mechi ya mwisho ya...
Wabunge wataka biashara za wazawa zilindwe
Wizara ya Viwanda na Biashara imetaja vipaumbele saba ikiomba bajeti ya Sh137.8 bilioni kwa...
Imam wa Swala ya Ijumaa Tehran: Maadui watakabiliana na makombora mapya ikiwa watafanya makosa
Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: "Iwapo maadui watafanya kosa jingine, watakabiliana na vita vipana zaidi badala ya vita vya kikanda, na badala ya kuzuiliwa Mlango-Bahari…
Okello aweka rekodi, Yanga ikirejea kileleni
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello, ameendelea kuonyesha umwamba wake kufuatia kufunga katika mchezo wa nne mfululizo wa Ligi Kuu Bara wakati timu hiyo ikirejea kileleni mwa msimamo baada ya…
San Diego yaaga wahanga wa shambulizi dhidi ya Kituo cha Kiislamu katika mazishi ya heshima
Zaidi ya watu 2,000 walihudhuria mazishi yaliyofanyika jana Alhamisi ya wahanga watatu wa shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko San Diego, California, huku kukiwa na huzuni kubwa…
Picha za satalaiti zaonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi za kijeshi za Israel kutokana na mashambulizi ya Iran
Picha mpya za satalaiti zilizochambuliwa zimefichua uharibifu na hasara kubwa iliyotokea katika vituo vingi vya kijeshi vya Israel kufuatia mashambulizi na operesheni za kujihami za Iran na harakati ya Lebanon…
Gulf crisis threatens Tanzania economy
DAR ES SALAAM: THE government has warned that the ongoing conflict involving Iran and the Gulf region could negatively affect Tanzania’s economy through rising fuel prices, higher transport costs and…
Wadau wa Sekta ya Uchukuzi Wasitisha Mgomo wa Kitaifa baada ya Kukutana na William Ruto
Wadau wa sekta ya uchukuzi wamesitisha mgomo wa kitaifa kuhusu bei ya juu ya mafuta baada ya mkutano uliozaa matunda na Rais William Ruto. Mazungumzo yanaendelea.
China zero-tariff policy opens door for Tanzania exports
China’s decision to fully implement a zero-tariff policy for all 53 African countries with diplomatic ties to Beijing is expected to create new export opportunities for Tanzania’s agriculture, spice and…
Wakazi wa Roma, Italia waandamana kuonesha mshikamano na Palestina
Duru za habari zimeripoti kuwa, idadi kubwa ya raia wanaopiga dhulma na ukandamizaji duniani na waungaji mkono wa mapambano ya ukombozi wa Palestina wameandamana huko Roma mji mkuu wa Italia…
Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo
Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai…
Afisa wa KDF Adaiwa kumuua Mkewe baada ya Kumplekea Binti Yao katika Shule ya Bweni
Familia moja huko Kimilili inatafuta haki kufuatia kiof cha Abigael Nafula, anayedaiwa kuuawa na mumewe wa KDF. Dadake alielezea kuhusu ndoa yao yenye matatizo.
Eliud Ambokile apata mzuka mpya Mbeya City
MABAO matano aliyofunga straika wa Mbeya City, Eliud Ambokile, yameonekana kumwongezea morali, huku akiahidi kuipambania timu hiyo kuhakikisha inabaki salama Ligi Kuu Bara.
Wanawake viongozi wahimizwa kusaidiana, kubadilishana uzoefu
Wakati idadi ya wanawake wanaoshika nafasi za juu za uongozi nchini ikiendelea kuongezeka...
Serengeti Girls na matumaini kibao
NYOTA wa timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls, wamesema wana matumaini makubwa ya kufanya vizuri mbele ya mashabiki wao kuelekea mzunguko wa kwanza wa raundi…
Paul Peter afichua siri ya bao lake
UNAWEZA kushangaa bao kali alilofunga straika wa JKT Tanzania, Paul Peter dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa Mei 21, 2026 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali…
Dk Possi: Mawakili wa Serikali wana nafasi muhimu kufanikisha Dira 2050
Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi amesema mawakili wa Serikali wana nafasi muhimu katika...
WPL kuna mechi mbili za uamuzi
RAUNDI ya 18 ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) itaendelea Jumamosi hii Mei 23, 2026 kwa mechi sita kupigwa, lakini macho ya wengi yataelekezwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo,…