🔴TAARIFA YA HABARI USIKU MEI 1 , 2026 –
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU MEI 1 , 2026 - (Feed generated with FetchRSS)
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima amewataka waajiri wa mashirika na Taasisi mbalimbali kuwasikiliza wafanyakazi wanapokuwa na…
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima amewataka waajiri wa mashirika na Taasisi mbalimbali kuwasikiliza wafanyakazi wanapokuwa na changamoto badala ya kuwahukumu na kuwafokea moja kwa moja kutoka na changamoto…
Mayanga ataja njia ya kuinusuru Mbeya City
BAADA ya kuanza na sare, Kocha Mkuu wa Mbeya City Salum Mayanga amesema namna bora na ya uhakika kwa timu hiyo kubaki salama Ligi Kuu ni muunganiko wa wadau, mashabiki…
Julio: Mashujaa FC ikishuka nastaafu soka
LICHA ya kuonekana kutofurahishwa na matokeo ya sare mfululizo, Kocha Mkuu wa Mashujaa Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema timu hiyo haishuki daraja na kama ikitokea anaachana na masuala ya mpira.
Voices on Frontlines: How youth are shaping climate action from Norway to Tanzania
OSLO, NORWAY: On a cold morning in northern Norway, young protesters gathered to oppose mining projects they say threaten their future. “They felt they were going to live on this…
Mambo sita yanayowaweka mtegoni vijana kupata tatizo la afya ya akili
Matumizi ya mitandao ya kijamii kupita kiasi, hali ngumu ya kiuchumi, changamoto za mahusiano...
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Hajati, Zainabu Tellack amewahimiza wafanyakazi kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na weledi ili kuepus…
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Hajati, Zainabu Tellack amewahimiza wafanyakazi kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na weledi ili kuepusha malalamiko kutoka kwa wananchi, huku Wafanyakazi wa majumbani mkoani Lindi, kupitia…
Wafanyakazi wa Tanga wawasilisha hoja 16 wakitaka hatua za haraka kuboresha mazingira ya kazi
Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) Mkoa wa Tanga limeiomba Serikali...
Nsajigwa akwama tena Sokoine, Dodoma Jiji, Namungo zagawana mbao
HALI imekuwa mbaya kwa kocha mkuu wa maafande wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ baada ya kufikisha mechi sita mfululizo za Ligi Kuu bila kuonja ladha ya ushindi tangu alipotambulishwa…
Wafanyakazi Pwani walalamika, wadai ukandamizaji waendelea sekta binafsi
Wafanyakazi mkoani Pwani wameeleza malalamiko yao juu ya kuendelea kwa changamoto...
Watumishi, wafanyabiasha wafikishwa mahakamani ubadhirifu fedha za mirathi Sh261 milioni
Mashauri matano ya uhujumu uchumi yamefunguliwa dhidi yao.
Huko Championship ukizubaa tu umeachwa
VITA ya kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao wa 2026-2027 inaendelea tena wikiendi hii kwa kushuhudia raundi ya 24 ya Ligi ya Championship ikishika kasi, huku…
Wizara ya Afya kutunza takwimu wagonjwa wa saratani Mbeya
Wizara ya Afya imezindua kamati ya ushauri na usajili wa takwimu za visa vya wagonjwa wa...
Wakazi wa Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro wameendelea kupata Elimu ya namna ya kujikinga na Majanga Mbalimbali ikiwemo Majanga…
Wakazi wa Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro wameendelea kupata Elimu ya namna ya kujikinga na Majanga Mbalimbali ikiwemo Majanga ya Moto na jinsi ya kuyadhibiti. (Feed generated with FetchRSS)
Watumishi Geita waomba Serikali kuwawezesha bando
Kupanda kwa gharama za maisha imekuwa ikiathiri utendaji wao wa kila siku hali inayowasukuma...
Maoni ya wananchi kuanza kutumika nauli mpya
Baadhi ya wananchi wameeleza kuwa ongezeko hilo linawaathiri moja kwa moja, hasa kwa wale...
Waziri wa Nishati wa Tanzania, Mhe
Waziri wa Nishati wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amefanya mazungumzo na Waziri wa Umeme na Nishati wa Afrika Kusini, Dkt. Kgosientsho Ramokgopa, mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Mawaziri…
#NBCPL Chuma zote hizi hapa zilizowapa alama tatu ‘wakusanya kodi’, TRA United
#NBCPL Chuma zote hizi hapa zilizowapa alama tatu 'wakusanya kodi', TRA United. FT: Tanzania Prisons 0-3 TRA United #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TanzaniaPrisonsTRAUnited (Feed generated with FetchRSS)
Mambo manne kuamua SUK Zanzibar
Hatima ya kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanzibar, itapatikana baada...
Polisi Shinyanga kudhibiti kampuni bubu za ulinzi
Uwepo wa kampuni bubu za ulinzi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kunaelezwa kuendelea kuchochea...
Wadau waweka maazimio adhabu ya viboko shuleni
Waraka huo unaeleza mzazi au mwanafunzi atakayepinga adhabu ya viboko atafukuzwa shule, na...
Prince Hamdan bin Mohammed Al Maktoum Awaalika Mama Mkenya, Mwanawe Dubai Kufuatia Video Iliyotamba
Mwanamfalme Hamdan bin Mohammed Al Maktoum amemwalika mama Mkenya na mwanawe Dubai baada ya video yao ya hisia kusambaa mitandaoni. TUKO.co.ke...
AFCON 2027: Wizara ya Maliasili na Utalii kuzipa hadhi hoteli za kitalii
IDARA ya Utalii kwa kushirikiana na Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Maliasili na Utalii, imesema inatarajia kuanza mchakato wa kupanga hadhi (Grading and regrading) kwa watoa huduma wa hoteli…
VITA YA KISASI: Tumeanza UPYAAAAAAA…….!!!!!!
VITA YA KISASI: Tumeanza UPYAAAAAAA…….!!!!!! Ni wapiga picha mjongeo @salva_ngasa na dogo Said. @sayeed_saleh18 Ni hapa EACLC, Ubungo Dar es Salaam. Pambano Kuu ni Ibrahim Mafia dhidi ya Alvin Camique…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wafanyakazi kuwa, tofauti zisigeuke kuwa sababu ya kuhatarisha misingi ya amani, umoja …
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wafanyakazi kuwa, tofauti zisigeuke kuwa sababu ya kuhatarisha misingi ya amani, umoja na mshikamo iliyoachwa na waasisi wa Taifa. Dkt Samia ameeleza hayo leo,…
MSIMAMO: Vita bado ni kali, TRA United wanaendelea kusogea juu, kwa Tanzania Prisons bado wapo pale pale
MSIMAMO: Vita bado ni kali, TRA United wanaendelea kusogea juu, kwa Tanzania Prisons bado wapo pale pale... #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable (Feed generated with FetchRSS)
Huu hapa ujumbe wa Rais Samia kwa wafanyakazi
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka waajiri na wafanyakazi nchini kujiandaa kukabiliana na...
Mahakama yatupilia mbali shauri dhidi ya TLS
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Aisha Bade, Aprili 30, 2026 na nakala yake kuwekwa kwenye mtandao...
#NBCPL TRA United wamekusanya kodi za kutosha kwa Tanzania Prisons…!
#NBCPL TRA United wamekusanya kodi za kutosha kwa Tanzania Prisons...! FT: Tanzania Prisons 0-3 TRA United FT: Dodoma Jiji FC 0-0 Namungo FC LIVE #AzamSports1HD & #AzamSports2HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL…
VITA YA KISASI: ‘Mzuka’ ni mwingi kutoka kwa vijana wa kazi wa #AzamTV
VITA YA KISASI: ‘Mzuka’ ni mwingi kutoka kwa vijana wa kazi wa #AzamTV. Ni wapiga picha mjongeo @salva_ngasa na dogo Said. @sayeed_saleh18 Ni hapa EACLC, Ubungo Dar es Salaam. Pambano…
Hivi ndivyo itakavyokuwa hali ya hewa kwa siku 10 kuanzia leo
Hata hivyo, hali ya ukavu inatarajiwa kuendelea katika kanda ya kati, hususan mikoa ya Dodoma...
William Ruto amchana Edwin Sifuna kwa kukosoa miradi yake: “Upungufu wa akili”
Rais Ruto atetea ajenda yake ya miundombinu dhidi ya shutuma za Seneta Sifuna, akiangazia miradi muhimu ya uchukuzi na umuhimu wa kihistoria wa Siku ya Wafanyakazi.
Matarajio ya wananchi Waziri Mkuu akianza ziara Mufindi
Mkazi wa Kijiji cha Igowole, Moses Mwakalobo, amesema wananchi wanatarajia Waziri Mkuu atatoa...
Tanzania facilitates overseas jobs for its 7,593 citizens as it enhances efforts to secure more
NJOMBE: THE Tanzanian government said it has successfully facilitated employment opportunities abroad for 7,593 Tanzanians, while efforts are ongoing to secure more positions in the international job market. The statement…
Vision 2050: Data protection defines Tanzania’s digital future
DAR ES SALAAM: THERE is a version of Tanzania’s future that we often celebrate because we can see it. It is visible in highways stretching across regions, in the Standard…
Tanzania’s Samatta wins the French Ligue 1 Player of April award
PARIS: TANZANIAN international player, Mbwana Ally Samatta has been named Player of the Month for April 2026 at his club, Le Havre AC, which competes in France’s top-tier Ligue 1.…
Kiwanda cha kubangua korosho chajengwa Lindi wafanyakazi 300 kuajiriwa
Wafanyakazi 300 wanatarajiwa kuajiriwa katika kiwanda cha kubangua korosho kinachojengwa katika...
Mradi wa maji kunufaisha wakazi elfu 21 Namungo
Mradi wa maji Namungo utaondoa changamoto ya upatikanaji wa maji katika eneo hilo kwani...
Denmark seeks to enhance ties with Tanzania in transport sector through TPA
DAR ES SALAAM: DENMARK has expressed interest in strengthening cooperation with Tanzania in promoting trade and investment in the transport sector, particularly through the Tanzania Ports Authority. Denmark’s Ambassador to…
Leba Dei Vihiga: William Ruto Atangaza Nyongeza ya Mishahara ya Asilimia 12 kwa Wafanyakazi wa Kenya
Rais Ruto ametangaza nyongeza ya 12% ya mishahara na ongezeko la 15% kwa malipo ya sekta ya kilimo kwa wafanyakazi wa Kenya wakati wa maadhimisho ya Leba Dei.
Leba Dei Vihiga: William Ruto Atangaza Ongezeko la Mishahara la Asilimia 12 kwa Wafanyakazi wa Kenya
Rais Ruto ametangaza nyongeza ya 12% ya mishahara na ongezeko la 15% kwa malipo ya sekta ya kilimo kwa wafanyakazi wa Kenya wakati wa maadhimisho ya Leba Dei.
Dr Samia alerts workers on shifting geopolitical dynamics that now threaten the globe
NJOMBE: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has warned that shifting global political and economic dynamics will significantly reshape the future of work, calling on both employers and workers to prepare for…
Mabuse, Chaka Chaka colour Tanzania Day in SA
PRETORIA: It was a nostalgic afternoon as legendary musicians Sipho Mabuse and Yvonne Chaka Chaka lighted the room with their legendary presence, transporting the audience back to the 1980s during…
Tanzania, Japan ties in the energy sector goes to the next level with advanced technologies in power generation
DAR ES SALAAM: THE cooperation between Tanzania and Japan in the energy sector has entered a new phase, with increasing emphasis placed on attracting private sector investment and introducing advanced…
Comoros’ business envoys visit Mtwara Port to streamline handling of cement vessels at the port
MTWARA: THE Mtwara Port has continued to receive delegations of businesspeople from the Comoros Islands with the aim of formally introducing them to the Tanzania Ports Authority (TPA) and strengthening…