Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran
Mwakilishi wa cha cha Democratic wa California katika Kongresi ya Marekani, Sara Jacobs, amemkosoa vikali Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth kwa kutangaza ushindi dhidi ya Iran, akitaja…
Mipaka yetu ni mirefu kuliko kuta mbili kote Marekani: Spika Qalibaf akejeli mzingiro wa Marekani
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amekejeli mzingiro wa jeshi la majini la Marekani dhidi ya Iran, akieleza kuwa mipaka mirefu ya nchi hiyo inabatilisha jaribio lolote la…
Jeshi la Mali lakomboa mji wa mpakani baada ya shambulio la ISIS karibu na Niger
Vikosi vya jeshi la Mali vimedhibiti tena mji wa karibu na mpaka wa nchi hiyo na Niger baada ya wanamgambo wanaohusishwa na ISIS kuondoka katika eneo hilo kufuatia mapigano makali,…
Israel yapewa kichapo Lebanon, wanajeshi wasiopungua 2 wauawa
Wanajeshi wasiopungua wawili wa Israel wameuawa na wengine zaidi ya 27 kujeruhiwa katika mashambulizi kadhaa ya ndege zisizo na rubani za harakati ya Hizbullah kusini mwa Lebanon, huku Israel ikiitonya…
DRC: Kesi ya wanajeshi 84 wa FARDC wanaotuhumiwa kukiuka maagizo ya kijeshi yasikilizwa Kisangani
Mahakama ya kijeshi nchini DRC inatafuta kuthibitisha tena nidhamu ndani ya vikosi vya jeshi vya nchi hiyo. Zaidi ya wanajeshi 80 wa FARDC wanashtakiwa, huko Kisangani, kwa “uasi,” “kukataa kupigana,”…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Tumekataa majaribio ya kulazimisha masuluhisho kutoka nje
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan, Mohi El-Din Salem, amefichua kwamba serikali ya nchi yake itafanya tathmini ya uhusiano wake wa kimataifa na kikanda baada ya vita, na hautakuwa…
Sierra Leone: Mapambano ya mwandishi wa habari dhidi ya unyanyasaji
Alifukuzwa kazi, akatishiwa, na kulazimishwa kwenda uhamishoni. Nchini Sierra Leone, pambano la Umu Thoronka limechukua sura mpya. Mwandishi huyu wa habari, aliyebobea katika masuala ya afya na jinsia, alifukuzwa kazi…
Mei Mosi yatambua wafanyakazi wa nyumbani kwa mara ya kwanza
Maadhimisho hayo yaliyoratibiwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), pia...
Ariana mbioni kuachia albamu ya nane
Albamu hiyo iliyopewa jina la Petal, tangazo la ujio wake limetolewa na Ariana mwenyewe kupitia...
Nigeria: Upinzani washangilia kwa hadhari baada ya kurejeshwa kwenye orodha za uchaguzi
Nchini Nigeria, Mahakama Kuu imeamuru Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi (INEC) siku ya Alhamisi, Aprili 30, kurejesha mara moja chama cha upinzani cha African Democratic Congress (ADC) kwenye orodha…
Mgogoro katika Mlango-Bahari wa Hormuz unaathiri utoaji wa misaada kwa nchi za Afrika
Mgogoro katika Mashariki ya Kati una athari kubwa duniani kote, na kuathiri vibaya minyororo ya usambazaji wa misaada ya kibinadamu duniani na utoaji wa misaada. Gharama za juu za usafiri…
Mali: JNIM na FLA wanasonga mbele, utawala wakataa kujisalimisha
Nchini Mali, baada ya kuiteka Kidal mwihini mwa wiki iliyopita, wanajihadi wa kundi linalodai kuunga mkono Uislamu na Waislamu (JNIM) na waasi wanaotaka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) walichukua…
Mwezi mmoja wa ‘Finale’ na maajabu yake
Ikiwa ni mwezi mmoja tangu Bien wa Kenya kuachia wimbo wake, Finale (2026) akishirikiana na...
Je, wajua kuna ‘gereza’ la watu wanene kupitia kiasi?
"Baadhi ya watu hupungua uzito sana, jambo ambalo linaweza kuonekana kuwa la kuvutia, lakini wengi hurejesha haraka mara tu wanaporejea katika maisha yao ya kawaida, kwa sabab au matatizo ya…
Marekani kuondoa wanajeshi 5,000 kutoka Ujerumani ndani ya mwaka mmoja
Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, ameamuru kuondolewa kwa wanajeshi wapatao 5,000 kutoka Ujerumani ndani ya mwaka mmoja, wakiwakilisha takriban 15% ya wanajeshi waliopo, Pentagon imetangaza siku ya Ijumaa,…
Donald Trump: Vita na Iran vimekwisha
Katika barua kwa Bunge la Marekani, Rais Donald Trump ameandika kwamba vita dhidi ya Iran “vimekwisha,” akizingatia sheria ya Marekani inayoweka kikomo cha mzozo bila idhini ya bunge hadi siku…
Miss World Tanzania na safari yake hadi kunyakua taji
Akiwa na umri wa miaka 25 tu, Latricia Ian ameandika historia yake katika ulimwengu wa mitindo...
Vita vya Iran vilivyochochea madai ya uongo kuhusu ‘wizi wa mawingu’
Uchavushaji wa mawingu ni mbinu ya kuchochea mabadiliko madogo ya hali ya hewa kwa kutumia mawingu yaliyopo ili kusaidia kuzalisha mvua au theluji zaid
Trump: Vita na Iran vimekwisha, lakini hatutaondoka haraka
Rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa anafuatiliwa na viongozi mbalimbali wa Iran wanaotoa makubaliano, wakati Washington inafanya kazi ya kubainisha upande unaofaa wa kufanya nao mazungumzo.
Tetesi za soka Ulaya: Barcelona inamfuatilia Joao Pedro
Barcelona yamfuatilia Joao Pedro wa Chelsea na Cristian Romero wa Tottenham, Aston Villa yamtaka Ibrahim Mbaye wa PSG, Leeds na Coventry zapigania Lois Openda huku kambi ya Anthony Gordon ikifanya…
Ripoti ya Jaji Chande yatajwa kufichua mambo matano makubwa
IRINGA: Ripoti ya Tume iliyoongozwa na Jaji Mohamed Chande Othman imeendelea kuzua mjadala mkubwa nchini, huku mchambuzi wa masuala ya uongozi, uchumi na siasa Tanzania, Dk Netho Ndilito (PhD), akiitaja…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 2, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
‘Drones’ kudhibiti wahalifu misitu ya hifadhi
KILIMANJARO: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS),unaendelea na utaratibu wa kutumia mifumo ya teknolojia za kisasa zikiwemo za ndege zisizo na rubani (drones),kwa ajili kulinda misitu hatua ambayo inayosaidia…
#HABARI: Nauli mpya iliyotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA), kupitia gazeti la serikali toleo la Apri…
#HABARI: Nauli mpya iliyotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA), kupitia gazeti la serikali toleo la April 17 mwaka huu, kwa Daladala na mabasi ya kwenda mikoani…
#HABARI: Mwandishi wa Habari wa ITV, Radio One, Idda Mushi, amepokea tuzo ya Mfanyakazi Bora kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan…
#HABARI: Mwandishi wa Habari wa ITV, Radio One, Idda Mushi, amepokea tuzo ya Mfanyakazi Bora kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan, katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika kitaifa…
Wakati wafanyakazi nchini wakiungana na wenzao duniani kote kupongezana kwa mafanikio ya utendaji kazi, hali imekuwa tofauti mko…
Wakati wafanyakazi nchini wakiungana na wenzao duniani kote kupongezana kwa mafanikio ya utendaji kazi, hali imekuwa tofauti mkoani Geita, ambapo Baraza la Madiwani wa Chato limeazimia kuwafukuza kazi watumishi saba…
Wananchi katika kijiji cha Kiwalala, Halmashauri ya Mtama mkoani Lindi, wameeleza matumaini yao kuhusu ujio wa kiwanda cha kuban…
Wananchi katika kijiji cha Kiwalala, Halmashauri ya Mtama mkoani Lindi, wameeleza matumaini yao kuhusu ujio wa kiwanda cha kubangua korosho kinachojengwa katika eneo hilo, wakiamini kuwa kitaongeza thamani ya zao…
Iran imetuma pendekezo jipya la mazungumzo na Marekani kupitia mpatanishi wake Pakistan, hatua inayoweza kufungua njia ya kupung…
Iran imetuma pendekezo jipya la mazungumzo na Marekani kupitia mpatanishi wake Pakistan, hatua inayoweza kufungua njia ya kupunguza au kumaliza mvutano wa vita kati ya mataifa hayo mawili. Kwa mujibu…
Zaidi ya mahujaji 1,500 kutoka hapa nchini wanatarajiwa kusafiri kuelekea miji mitakatifu ya Mecca na Medina, nchini Saudi Arabi…
Zaidi ya mahujaji 1,500 kutoka hapa nchini wanatarajiwa kusafiri kuelekea miji mitakatifu ya Mecca na Medina, nchini Saudi Arabia, kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hijja mwaka huu 2026. Kwa…
Kuanzia leo, Mei Mosi, nauli mpya za mabasi zimeanza kutumika rasmi kufuatia uamuzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATR…
Kuanzia leo, Mei Mosi, nauli mpya za mabasi zimeanza kutumika rasmi kufuatia uamuzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA). Upendo Michael amefuatilia ongezeko hilo la nauli pamoja na namna…
Kuelekea uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika mwezi Juni mwaka huu, wasimamizi wa uchaguzi waliopatiwa mafunzo ya siku tatu Mko…
Kuelekea uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika mwezi Juni mwaka huu, wasimamizi wa uchaguzi waliopatiwa mafunzo ya siku tatu Mkoani Morogoro wametakiwa kutambua uzito wa jukumu lililo mbele yao na kuhakikisha wanayatumia…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Bi
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Bi. Victoria Mwanziva, leo Mei Mosi amepokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mkoani Lindi, Bw. Hassani Ngoma…
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU MEI 1 , 2026 –
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU MEI 1 , 2026 - (Feed generated with FetchRSS)
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima amewataka waajiri wa mashirika na Taasisi mbalimbali kuwasikiliza wafanyakazi wanapokuwa na…
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima amewataka waajiri wa mashirika na Taasisi mbalimbali kuwasikiliza wafanyakazi wanapokuwa na changamoto badala ya kuwahukumu na kuwafokea moja kwa moja kutoka na changamoto…
Mayanga ataja njia ya kuinusuru Mbeya City
BAADA ya kuanza na sare, Kocha Mkuu wa Mbeya City Salum Mayanga amesema namna bora na ya uhakika kwa timu hiyo kubaki salama Ligi Kuu ni muunganiko wa wadau, mashabiki…
Julio: Mashujaa FC ikishuka nastaafu soka
LICHA ya kuonekana kutofurahishwa na matokeo ya sare mfululizo, Kocha Mkuu wa Mashujaa Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema timu hiyo haishuki daraja na kama ikitokea anaachana na masuala ya mpira.
Voices on Frontlines: How youth are shaping climate action from Norway to Tanzania
OSLO, NORWAY: On a cold morning in northern Norway, young protesters gathered to oppose mining projects they say threaten their future. “They felt they were going to live on this…
Mambo sita yanayowaweka mtegoni vijana kupata tatizo la afya ya akili
Matumizi ya mitandao ya kijamii kupita kiasi, hali ngumu ya kiuchumi, changamoto za mahusiano...
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Hajati, Zainabu Tellack amewahimiza wafanyakazi kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na weledi ili kuepus…
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Hajati, Zainabu Tellack amewahimiza wafanyakazi kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na weledi ili kuepusha malalamiko kutoka kwa wananchi, huku Wafanyakazi wa majumbani mkoani Lindi, kupitia…
Wafanyakazi wa Tanga wawasilisha hoja 16 wakitaka hatua za haraka kuboresha mazingira ya kazi
Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) Mkoa wa Tanga limeiomba Serikali...
Nsajigwa akwama tena Sokoine, Dodoma Jiji, Namungo zagawana mbao
HALI imekuwa mbaya kwa kocha mkuu wa maafande wa Tanzania Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ baada ya kufikisha mechi sita mfululizo za Ligi Kuu bila kuonja ladha ya ushindi tangu alipotambulishwa…
Wafanyakazi Pwani walalamika, wadai ukandamizaji waendelea sekta binafsi
Wafanyakazi mkoani Pwani wameeleza malalamiko yao juu ya kuendelea kwa changamoto...
Watumishi, wafanyabiasha wafikishwa mahakamani ubadhirifu fedha za mirathi Sh261 milioni
Mashauri matano ya uhujumu uchumi yamefunguliwa dhidi yao.
Huko Championship ukizubaa tu umeachwa
VITA ya kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao wa 2026-2027 inaendelea tena wikiendi hii kwa kushuhudia raundi ya 24 ya Ligi ya Championship ikishika kasi, huku…
Wizara ya Afya kutunza takwimu wagonjwa wa saratani Mbeya
Wizara ya Afya imezindua kamati ya ushauri na usajili wa takwimu za visa vya wagonjwa wa...