Kuimarishwa uhusiano wa Iran na Iraq; njia ya pamoja ya kufikia utulivu endelevu katika eneo
Viongozi wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq wamesisitiza umuhimu wa kustawishwa na kuimarishwa ushirikiano wa pamoja…
Rais wa Syria atangaza makubaliano ya usitishaji vita na vikosi vya Wakurdi
Rais wa Syria Ahmed Al-sharaa ametangaza siku ya Jumapili, Januari 18, makubaliano na Wakurdi wa Syria, yanayotoa nafasi ya kusitisha mapigano na kuunganishwa kwa vikosi vyao katika taasisi za serkali…
Makanisa ya al-Quds yaonya kuwa ‘Uzayuni wa Kikristo’ unahatarisha Ukristo
Viongozi wakuu wa Kikristo katika mji wa Palestina wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, wameonya kuwa “Uzayuni wa Kikristo” pamoja na ajenda za nje zinavunja umoja wa Wakristo…
Afisa wa UN: Sudan ‘imetumbukia katika shimo la mateso makubwa yasiyoelezeka’
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ametahadharisha kuhusu kuzorota kwa hali ya haki za binadamu na kibinadamu nchini Sudan, kufuatia ziara yake ya siku…
Iran yawakamata vinara 300 wa ghasia zilizochochewa kutoka nje ya nchi
Wizara ya Usalama ya Iran imesema kuwa zaidi ya watu 300 ambao ni vinara wakuu na waratibu wa ghasia za hivi karibun nchini, ghasia ambazo zimechochewa na madola ya kigeni,…
Uzalishaji na mauzo ya nje ya chuma Iran yaongezeka kwa asilimia 27
Iran imeripoti ongezeko kubwa la mauzo yake ya nje ya chuma na chuma ghafi katika kipindi cha miezi tisa kilichomalizika mwishoni mwa Desemba, hatua inayoendana na juhudi za nchi hiyo…
Umoja wa Afrika kufufua mchakato wa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Viongozi wa Kiafrika na wa kimataifa waliokutana mjini Lomé wamekubaliana kuimarisha na kuunganisha juhudi za upatanishi ili kumaliza mzozo katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).…
Utofauti wa Rich Mavoko unaonekana hapa
Tukio la Rich Mavoko kuondoka ndani ya WCB Wasafi lilikuwa la kihistoria kwa kuwa alikuwa ndiye...
‘Balozi wa soka la Afrika’ – Mane ni shujaa wa Senegal katika Afcon
Katika dakika za mwisho, kocha mkuu wa Senegal, Pape Thiaw, alijaribu kuwatoa wachezaji wake uwanjani baada ya Morocco kupewa penalti dakika ya 98 wakati mlinzi El Hadji Malick Diouf alipomwangusha…
Warembo tisa kwenye anga za Diamond
Mwanamuziki wa Bongofleva, Diamond Platnumz amekuwa akisifika kwa kutoa video nzuri za nyimbo...
Uganda: Yoweri Museveni asherehekea ushindi, upinzani wakata tamaa
Nchini Uganda, Rais Yoweri Museveni amezungumza siku ya Jumapili, Januari 18, 2026, siku moja baada ya tume ya uchaguzi kutangaza ushindi wake kwa asilimia 71 ya kura. Mkuu wa nchi,…
#HABARI: Rais wa Chile, Gabriel Boric, ametangaza hali ya janga katika mikoa miwili ambako moto mkubwa wa misituni umesababisha …
#HABARI: Rais wa Chile, Gabriel Boric, ametangaza hali ya janga katika mikoa miwili ambako moto mkubwa wa misituni umesababisha vifo vya takribani watu18. Zaidi ya watu 50,000 wamehamishwa kutoka kwenye…
Access Bank Tanzania yazidi kung’ara kimataifa kwa ukuaji wa kimkakati
Tuzo hiyo imetolewa na taasisi ya Boston Brand Research & Media, ikitambua mafanikio ya...
Hawa hapa wasanii wenye maokoto zaidi Nigeria
Muziki wa Nigeria umekua kwa kasi na umefika mbali duniani, kwa sasa na wasanii wa nchi hiyo...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….JANUARI 19, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....JANUARI 19, 2026
Uhispania: Watu wasiopungua 21 wafariki baada ya treni mbili kugongana
Watu kadhaa wamefariki na wengine kujeruhiwa siku ya Jumapili, Januari 18, kusini mwa Uhispania, msemaji wa kikosi jamii, Guardia Civil, ametangaza, wakati treni ilipoacha njia yake na kugongana na treni…
AFCON 2025: Senegal mabingwa wa Afrika baada ya kuwashinda wenyeji Morocco
Senegal wameibuka mabingwa wa michuano ya soka kwa mataifa ya Afrika AFCON baada ya kuwafunga wenyeji Morocco bao 1-0 katika mechi ya kusisimua ya fainaili iliyopigwa usiku wa kuamkia Jumatatu…
Duka jipya la Vodacom kuwa mkombozi Dodoma
Dodoma. Wateja wa Vodacom Tanzania katika Mkoa wa Dodoma na mikoa ya jirani ya Kanda ya Kati...
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….JANUARI 19, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....JANUARI 19, 2026
Kiongozi wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameitisha mkutano na washauri wake wakuu kujadili kile Rais wa Marekani Donald Trump ana…
Kiongozi wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameitisha mkutano na washauri wake wakuu kujadili kile Rais wa Marekani Donald Trump anachokiita “Bodi ya Amani” kwa Gaza, baada ya Israel kusema haikushirikishwa katika…
Mapitio ya #MAGAZETI leo januari 19, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo januari 19, 2026 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
#KUMEKUCHA”….shida tuliyonayo sisi Tanzania ni kwamba viwanda hatunavyo vingi na kwa kuona hali hiyo sisi kama chama kikuu cha…
#KUMEKUCHA"....shida tuliyonayo sisi Tanzania ni kwamba viwanda hatunavyo vingi na kwa kuona hali hiyo sisi kama chama kikuu cha ushirika cha TANECU tumethubutu kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Rais....kwamba ifikapo 2030…
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Chelsea iko tayari kumuuza Fernandez
Chelsea imeiambia Real Madrid kuwa inaweza kumuachia Enzo Fernandez, Man Utd inamtaka Joao Gomes na Nottingham Forest iko mbioni kumsajili Lorenzo Lucca.
🔴KUMEKUCHA : MAENDELEO ZAO LA KOROSHO NA UFUTA……JANUARI 19, 2026
🔴KUMEKUCHA : MAENDELEO ZAO LA KOROSHO NA UFUTA......JANUARI 19, 2026
Mtoto wa Jenista Mhagama ajitosa kumrithi mama yake jimbo la Peramiho
Victor Mhagama, mtoto wa marehemu Jenista Mhagama, amejitosa kuwania kurithi nafasi ya ubunge...
Takribani watu 21 wapoteza maisha baada ya treni mbili za mwendo kasi kugongana Hispania
Takribani watu 21 wamepoteza maisha baada ya ajali iliyohusisha treni za mwendo kasi kusini mwa Hispania, huku mamlaka zikionya kwamba idadi ya vifo inaweza kuongezeka.
Diaz atakuwa na ‘ndoto mbaya’ kwa kukosa ‘Panenka’
Brahim Diaz alikuwa na nafasi ya kuishindia Morocco Afcon Morocco, lakini uamuzi wake wa kujaribu Panenka iliitumbukia nyongo baada ya Senegal kushinda mchezo katika muda wa ziada.
🔴 #MAGAZETI: MISHAHARA MIPYA YAIBUA KASHESHE / BARKER AANZA LIGI KWA SARE….JANUARI 19, 2026
🔴 #MAGAZETI: MISHAHARA MIPYA YAIBUA KASHESHE / BARKER AANZA LIGI KWA SARE....JANUARI 19, 2026
Fainali ya ‘vurugu’ Senegal ikitwaa ubingwa AFCON
Hilo ni taji la pili la AFCON kwa Senegal baada ya kutwaa kwa mara ya kwanza mwaka 2021.
Rais Pezeshkian: Shambulio lolote dhidi ya Ayatullah Khamenei ni vita ‘kamili’ na taifa la Iran
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameonya kwamba shambulio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei litakuwa "vita kamili" na taifa la Iran.
#KIPIMAJOTO: Kuendelea kwa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara
#KIPIMAJOTO: Kuendelea kwa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara. Je, wachezaji wazawa watumie fursa hiyo kuonesha vipaji vyao ili wajiuze Kimataifa
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 19, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI JANUARI 19, 2026
ACT-Wazalendo ngoma mbichi sakata la SUK
Ugumu umeendelea kuyatawala mazungumzo kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Chama...
ACT – Wazalendo ngoma mbichi
Ugumu umeendelea kuyatawala mazungumzo kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Chama...
Jumatatu, 19 Januari, 2026
Leo ni Jumatatu 29 Rajab 1447 Hijria mwafaka na 19 Januari 2026.
Maandamano Iran: Je, Kim Jong-un ana wasiwasi?
Je, Korea Kaskazini, ambayo, kama Iran, imekuwa chini ya vikwazo vikali na shinikizo la kiuchumi kwa miaka mingi, inatathmini vipi maandamano ya Iran?
Greenland na mantiki ya ubabe; ushuru, wenzo wa mashinikizo ya kisiasa ya Trump
Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa, kuanzia Februari Mosi, ataweka ushuru wa 10% kwa nchi zinazopinga kuunganishwa Greenland na Marekani na kwamba, kuanzia tarehe Mosi Juni ushuru huo utaongezwa…
Iran: Kukabidhiwa kambi ya anga ya Ain al Asad ni ishara ya kuimarisha mamlaka ya kujitawala ya Iraq
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekaribisha kukabidhiwa kambi ya anga ya Ain al Asad kwa vikosi vya jeshi la Iraq na kuitaja hatua hiyo kuwa ishara ya kuimarishwa…
Rais Doumbouya wa Guinea ameapa kutotumia madaraka kwa manufaa yake binafsi
Rais wa Guinea aliyeapishwa hivi karibuni, Mamady Doumbouya, ameahidi kutotumia vibaya madaraka yake ya urais, akisema ‘‘hatatumia kamwe mamlaka’’ aliyopewa ‘’kwa ajili ya maslahi binafsi’’.
Pentagon kutuma wanajeshi 1,500 kukabiliana na waandamanaji Minnesota
Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) imewaamuru wanajeshi wapatao 1,500 walio kazini wawe tayari kutumwa kwenda kukandamiza maandamano huko Minnesota.
Rais wa muda: Venezuela ina haki ya kujenga uhusiano na Iran
Rais wa uongozi wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez, amethibitisha tena kwamba Caracas ina haki ya kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na China, Cuba, Iran na Russia na kupinga uingiliaji wa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 19, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari…
Afcon 2025: Senegal vs Morocco
Wenyeji wa michuano hiyo Morocco wanatafuta kushinda taji lao la kwanza la AFCON baada ya miaka 50, wakilibeba taji hilo mara ya mwisho mwaka wa 1976? Waliosimama mbele yao kuwazuia…
Aziza amecharuka bwana
Aziza amecharuka bwana
Mkuu wa Mkoa wa Songwe ndg Jabiri Makame amesema kuongezeka kwa ufanisi katika bandari ya DSM kumeongeza kiwango cha mzigo unaop…
Mkuu wa Mkoa wa Songwe ndg Jabiri Makame amesema kuongezeka kwa ufanisi katika bandari ya DSM kumeongeza kiwango cha mzigo unaopita katika lango la Tunduma kwa mwaka, kutoka tani mil…
Ni Katibu wa NEC ,Itikadi ,Uenezi na Mafunzo CCM Kinani Kihongozi akizungumza wakati akiwa shina namba 7 wilayani Manyoni mkoani…
Ni Katibu wa NEC ,Itikadi ,Uenezi na Mafunzo CCM Kinani Kihongozi akizungumza wakati akiwa shina namba 7 wilayani Manyoni mkoani Singida akiwa kwenye ziara yake ya Ufuatiliaji wa utekelezaji wa…
#HABARI: Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la James Francis mwenye umri wa miaka 28 anayeishi wilayani Babati mkoani Manyara ameu…
#HABARI: Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la James Francis mwenye umri wa miaka 28 anayeishi wilayani Babati mkoani Manyara ameuawa kikatili kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kutokana na…