Oburu Oginga ajitetea mapema mbio za Ikulu haziwezi, 2027 ataka tu aendelee kuwa Seneta wa Siaya
Oburu Oginga ametangaza nia yake ya kutetea kiti cha Seneti Siaya mwaka wa 2027, na kuzua mjadala kuhusu uongozi, mabadiliko ya vizazi, na mkakati wa kisiasa wa ODM.