Trump: Tunataka kumaliza vita katika ukanda wa Gaza
Mkutano ulioandaliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya kukutana na viongozi kadhaa wa Kiarabu na Kiislamu ulilenga kutafuta namna ya kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza.
Mkutano ulioandaliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya kukutana na viongozi kadhaa wa Kiarabu na Kiislamu ulilenga kutafuta namna ya kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza.
Rais Chakwera alichukua utawala nchini Malawi katika uchaguzi wa 2020 wakati alipomshinda rais wa wakati huo Mutharika wa chama cha Democratic Progressive Party, DPP na ambaye anarudi tena katika kiti…
Rais Lazarus Chakwera amekubali kushindwa na mpinzani wake, Peter Mutharika, ambaye aliwahi kuwa rais kati ya mwaka 2014 na 2020 na anayebashiriwa kushinda baada ya kuzoa zaidi ya asilimia 60…
Wapalestina zaidi wameuawa kwenye mashambulizi ya jeshi la Israel huko Gaza. Italia imelaani kushambuliwa boti za misaada pembezoni mwa Bahari ya Ugiriki na imepeleka meli ya jeshi la wanamaji kulinda…
Umoja wa Mataifa umezindua mfumo mpya wa kudhibiti teknolojia ya Akili Bandia, AI, ikiwemo jukwaa la kimataifa na jopo la kisayansi. Je, hatua hii inaweza kudhibiti teknolojia inayokua kwa kasi…
Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York - Marekani ambapo viongozi mbalimbali wanaendelea kuhutubia na kuelezea mambo mbalimbali yanaouzonga ulimwengu.
Qatar ilishambuliwa na Israel hivi karibuni ikiwalenga viongozi wa Hamas waliokuwa wanakutana Doha kujadili uwezekano wa kusimamisha mapigano Gaza. Kati ya waliouwawa walikuwemo pia Waqatari.
Ripoti ya Chama cha Walipa Ushuru kwa ushirikiano na Shirika la Oxfam Kenya na Shirika la Transparency International inasema Kenya hupoteza bilioni 253 za Kenya kila mwaka kupitia ufisadi na…
Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la The Lancet Global Health unaonyesha kuwa zaidi ya watu milioni 25 duniani wanaishi na aina mpya ya ugonjwa wa kisukari unasababishwa na njaa.
Bila kusubiri matokeo rasmi kutangazwa, Rais anayemaliza muda wake Lazarus Chakwera, ambaye bado alikuwa akilaani udanganyifu katika uchaguzi jana, Jumanne, Septemba 23, amekiri kushindwa na kumpongeza mpinzani wake na mtangulizi…
Nchini Kenya, watu wanne hufariki kutokana na kujitoa uhai kila siku, kulingana na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO). Takriban majaribio 500 ya kujitoa mhanga hurekodiwa kila mwaka na polisi, idadi…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini Ukraine inaweza kurejesha maeneo yote yaliyotekwa na Urusi, akitaja hali mbaya ya kiuchumi ya Moscow kama fursa ya Kyiv kushambulia sasa.
Ujerumani, Ufaransa, na Uingereza zimeitaka Iran kuchukua hatua madhubuti kushughulikia wasiwasi wa muda mrefu kuhusu mpango wake wa nyuklia, zikitahadharisha kuwa muda unayoyoma.
Starlink, mtandao wa satelaiti wa bilionea Elon Musk, sasa ni sehemu ya vifaa vya wanajihadi wa Kiafrika na makundi ya waasi – huko Mali, Niger, na mashariki mwa DRC. Kulingana…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, amani ya kudumu huko Gaza haitawezekana kujengwa kwa kuendeleza ghasia.
Félix Tshisekedi amewasili Marekani siku ya Jumanne, Septemba 23, kwa kikao cha 80 cha Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Rais wa Kongo ametumia fursa hiyo kufanya mikutano mingi ya…
Mashambulizi hayo ya Israel ni mwendelezo wa operesheni yake ya kijeshi ya angani na ardhini kwenye mji wa Gaza na ambayo imewalazimu maelfu ya watu kuondoka katika maeneo hayo yenye…
Msemaji wa Ikulu ya Urusi, Dimtry Peskov, ameyasema hayo siku moja baada ya Trump kusema Ukraine inaweza kurudisha maeneo yake yote yaliyochukuliwa na Urusi kwa kuwa kwa sasa uchumi wake…
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, Masoud Pezeshkian wa Iran na Ahmad al-Sharaa wa Syria wamepangwa kutoa hotuba zao mchana huu katika makao makuu ya umoja huo mjini New York, Marekani.
Kansela Friedrich Merz amesema Ujerumani inakabiliana na moja ya vipindi vigumu kabisa katika historia ya sasa, kufuatia misukosuko ya kilimwengu. Kwa mtazamo wa Merz bajeti ni muhimu kuimarisha uchumi wa…
Israel imetangaza siku ya Jumanne, Septemba 23, kwamba Kivuko cha Allenby, ambacho kinaunganisha eneo hili la Palestina na Jordan, kitafungwa. Hii ina maana kwamba Wapalestina zaidi ya milioni tatu katika…
Merz ameyasema hayo leo wakati akitetea bajeti inayopendekezwa na serikali yake kwa mwaka wa fedha wa 2026 katika mjadala mkuu wa bunge la Ujerumani, Bundestag.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuutambua mzozo wa mashariki mwa nchi yake kuwa ni "mauaji ya kimbari yanayoendeshwa kimya kimya".
Katika siku yake ya tatu mjini New York, na wakati wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambao ni muhimu hasa kwa Emmanuel Macron kufuatia tangazo lake la kutambua taifa…
Umoja wa Mataifa (AFP) – Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba siku ya Jumanne, Septemba 23, katika Umoja wa Mataifa, ametangaza kwamba Tokyo kulitambua taifa la Palestina ni suala la…
Siku moja baada ya rais wa Marekani kubadili ghafla msimamo wake wa kuishambulia Urusi na kuiunga mkono Ukraine, msemaji wa rais wa Urusi Dmitry Peskov amesema kuwa “katika mahusiano yetu…
Kiongozi Mkuu wa Iran ametupili mbali mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani siku ya Jumanne kuhusu mpango wa nyuklia wa nchi yake, uwezekano wa kufunga mlango wa jaribio la…
“Muuaji huyu hapa,” Inspekta huyo akatuambia. Siwezi kusimulia mshituko nilioupata. Raisa alikuwa ametahayari vibaya sana. Aliinua macho yake mara moja akatutazama. Macho yake yalipokutana na yangu akayarudisha chini haraka.
Kwa msaada wa polisi wa usalama barabarani pikipiki ilikamatwa mara moja. Ilikutwa katika kituo cha bodaboda cha Kwaminchi. Mwenye pikipiki ndiye huyu hapa niliyekuja naye. Sasa nataka na yeye mumsikilize.”…
Alinipeleka katika chumba kimoja ambako nilimkuta mume wangu Sufiani akiwa pamoja na askari niliyemfahamu kwa jina la Sajin Meja Robert. Polisi hao walikuwa wamepata ushahidi kuwa siku ile lilipotokea tukio...
Maafisa wa Uingereza wanahofia kuwa Donald Trump atatambua udhibiti wa Israel juu ya makaazi haramu katika Ukingo wa Magharibi, kulipiza kisasi uamuzi wa Uingereza, Australia, Ufaransa na nchi nyingine kulitambua…
Umoja wa Mataifa (AFP) – Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kutambua “mauaji ya halaiki yanayotekelezwa kimya…
Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema ameshangazwa na matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump, aliposema anaamini Kiev inaweza kuitwaa tena ardhi yake yote iliyonyakuliwa na Urusi.
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema nchi yake itaandaa mkutano wa dharura kuangazia hali mbaya ya kibinaadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, utakaofanyika mwezi Oktoba.
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, limesema mpango wa Marekani kuwapeleka wahamiaji katika nchi za Afrika unakiuka sheria ya haki ya kimataifa, na lazima…
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amekataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani kuujadili mpango wa nyuklia wa Iran.
Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina, huku Marekani ikionekana kutengwa katika uungaji mkono wake mkubwa kwa mshirika wake Israel.
Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina//Ukraine imeelezea kushangazwa na matamshi ya Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kusema…
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, amani ya kudumu huko Gaza haitawezekana kujengwa kwa kuendeleza ghasia / Kansela Friedrich Merz amesema Ujerumani…
Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina / Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la The…
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza vuguvugu la Antifa kuwa shirika la kigaidi. Tatizo ni kwamba, si shirika kabisa — na haijulikani ni nani hasa ambaye uchunguzi uliotangazwa unaweza kuwalenga.
Rais Donald Trump ameanza hotuba yake katika UNGA-80 akitaja mafanikio ya sera za kigeni, kukosoa taasisi za kimataifa na kutetea sera yake ya America First, huku viongozi wa dunia wakimsikiliza…
Viongozi wa Afrika wanaohudhuria Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) wanapigia debe nafasi kubwa zaidi duniani, mageuzi ya Baraza la Usalama la UN, na kuungwa…
Jumuiya ya Kujihami NATO imeionya Urusi hii leo kwamba, itatumia njia zote kujilinda dhidi ya ukiukaji wowote zaidi wa anga yake baada ya matukio mawili ya urushwaji wa ndege za…
Rais wa Marekani Donald ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika kuleta amani ulimwenguni.
Waziri Mkuu wa Denmark Mette Frederiksen amekitaja kitendo cha idadi kubwa ya droni zilizoruka katika uwanja wa ndege wa Copenhagen kwa masaa kadhaa kuwa ni shambulio baya zaidi kwa miundombinu…
Jeshi la Israel hii leo limeendelea kusogea zaidi katika maeneo yenye wakaazi wengi katika Jiji la Gaza siku moja baada ya mataifa kulitambua taifa la Palestina.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema hii leo kwamba kupunguzwa kwa bajeti ya misaada kumesababisha uharibifu mkubwa.
Wapiga kura nchini Guinea wameunga mkono kwa kishindo kura ya maoni ya katiba mpya ambayo inaweza kuruhusu kiongozi wa kijeshi Mamady Doumbouya kuwania urais ikiwa ataamua.