Waziri wa Iran Abbas Araghchi akutana na mkuu wa IAEA Misri
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anatarajiwa kukutana Jumanne hii mjini Cairo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi, katika…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anatarajiwa kukutana Jumanne hii mjini Cairo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi, katika…
Jeshi la Israel limesema litafanya mashambulizi makubwa zaidi kwenye eneo la Gaza City ikiwa Hamas haitawachia mateka waliosalia mikononi mwao, huku likiwataka wakaazi wote kuondoka kwenye mji huo. Msemaji wa…
Hata hivyo, uzinduzi wa mradi huo umeibua mvutano wa kidiplomasia na baadhi ya majirani wake. Kwa Ethiopia, bwawa hilo la Grand Ethiopian Renaissance Dam, GERD, ni mradi wa kitaifa na…
Mkuu wa utawala wa rais, Andriy Yermak, amesema shambulio hilo la Jumapili lilikuwa la kwanza la aina hiyo tangu vita kuanza zaidi ya miaka mitatu iliyopita, na kwamba kombora la…
Miongoni mwa wanasiasa wakubwa waliojitokeza hivi leo kuzungumzia hali inavyoendelea nchini Ufaransa ni aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo na kiongozi wa sasa wa kundi la Renaissance bungeni, Gabriel Attal,…
Hili ni tukio jingine la umwagaji damu katika eneo ambalo mashambulizi yanayohusishwa na ADF yamekuwa yakijirudia kwa miaka mingi. Mashambulio hayo yalitokea muda mfupi baada ya saa tatu usiku, ambapo…
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kukipigia kwa wingi, kura za ndio kwa nafasi ya Urais,…
Katika Mkutano wa Pili wa kujadili Mabadiliko ya tabia nchi unaoendele nchini Ethiopia, Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed alitangaza kwa fahari ombi la Ethiopia kuwa mwenyeji wa COP…
Kulingana na Mwiru, yeyote atakayefanya vitendo vya kifisadi, ataenda kukutana na mamba kwenye ikulu yake, akiahidi kumtumbukiza yeyote atakayejihusisha na ufisadi na uhujumu uchumi ndani ya bwawa hilo. “Kama umewatesa…
Waendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, wataanza kuwasilisha ushahidi Jumanne ili kuunga mkono mashtaka yao dhidi ya kiongozi wa waasi wa Uganda Joseph Kony katika kesi ya…
Moja ya meli kuu za Global Sumud Flotilla (GSF), inayojulikana kama “Family Boat”, iligongwa na kile kinachoshukiwa kuwa ni droni karibu na pwani ya Tunisia, waandaaji wake walisema, huku mamlaka…
Mahakama ya Juu ya Thailand leo Jumanne imeamuru kufungwa jela mara moja kwa Waziri Mkuu wa zamani na mwanasiasa mashuhuri Thaksin Shinawatra kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela. Imechapishwa: 09/09/2025…
Ethiopia itazindua rasmi bwawa kubwa zaidi la kuzalisha umeme barani Afrika siku ya Jumanne, mradi ambao utatoa nishati kwa mamilioni ya Waethiopia huku ikizidisha mpasuko kati ya mto Misri ambao…
Nchini DRC, Rais Félix Tshisekedi ameitisha mkutano baina ya taasisi kuu siku ya Jumatatu, Septemba 8, mkutano ambao wameshiriki Spika wa Bunge la taifa, Vital Kamerhe, Rais wa Baraza la…
Siku ya pili ya Mkutano wa Hali ya Hewa barani Afrika unaendelea leo Jumanne, Septemba 9, mjini Addis Ababa, Ethiopia. Ajenda ni pamoja na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya…
Ethiopia itazindua Bwawa lake la Grand Renaissance leo Jumanne, Septemba 9. Jiwe la msingi liliwekwa mwaka wa 2011. Bwawa hilo ambalo linapatikana kaskazini mashariki mwa nchi, madhumuni yake rasmi ni…
Baraza la Katiba nchini Côte d’Ivoire limechapisha orodha ya mwisho ya wagombea katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 25. Wagombea watano wameidhinishwa, Tidjane Thiam na Laurent Gbagbo wakikataliwa. Imechapishwa: 09/09/2025…
Bunge nchini Ufaransa limepiga kura kuangusha serikali ya Waziri Mkuu François Bayrou, hatua inayokuja baada ya mkwamo uliodumu kwa miezi kadhaa kuhusu bajeti yake ya kubana matumizi. Imechapishwa: 09/09/2025 –…
Raia wapatao wawili wameuliwa na wengine 16 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya droni na makombora ya Ukraine katika maeneo yanayodhibitiwa na Urusi ya Donetsk jana Jumatatu. Jumba la makazi la orofa…
Mashambulizi ya kutokea angani ya Israel yameyalenga maeneo ya katikati na magharibi mwa miji ya Syria ya Homs na Latakia Jumatatu jioni. Taarifa hiyo imeripotiwa na shirika la habari la…
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer amemkarbisha rais wa mamlaka ya ndani ya Wapalestina Mahmoud Abbas katika makazi yake jijini London huku serikali ya Uingereza ikipiga hatua kuelekea kulitambua dola…
Waziri Mkuu wa chama cha Labour nchini NorwayJonas Gahr Store ametangaza ushindi kufuatia uchaguzi wa bunge uliofanyika jana Jumatatu. Waziri Mkuu huyo amesema wamefanikiwa kupata ushindi baada ya chama cha…
Dutretealipangiwa afike katika mahakama ya ICC mnamo Septemba 23 kusikiliza mashitaka kuhusu kampeni yake ya miaka kadhaa dhidi ya watumiaji na walanguzi wa dawa za kulevya ambayo mashirika ya kutetea…
Josephat Charo 09.09.20259 Septemba 2025 Waziri mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou kujiuzulu na serikali yake baada ya kuondolewa na bunge katika kura ya imani. Watu 2 wauwawa na wengine 16…
09.09.20259 Septemba 2025 Watengenezaji wa magari wa Ujerumani wamekuwa wakijikongoja kwa zaidi ya muongo mmoja sasa. Mwanzoni mwa mwaka 2025 hata hivyo takwimu zilionesha kuwa kampuni kubwa ya magari ya…
SK2 / S02S09.09.20259 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Ethiopia imezindua rasmi Bwawa la Grand Renaissance (GERD), mradi mkubwa zaidi wa umeme wa maji barani Afrika / Jeshi la…
DIRA.BZ09.09.20259 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bunge la Ufaransa limeiondoa madarakani serikali ya Waziri Mkuu Francois Bayrou baada ya kukaa madarakani kwa miezi tisa na kumwacha Rais Emmanuel…
Waziri Mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou aliwafumbia macho hata washirika wake kwa kuitisha kura ya imani kuutafutia ufumbuzi mzozo wa muda mrefu kuhusu bajeti yake ya kubana matumizi, ambayo ililenga…
Erdogan wa Uturuki asaini mkataba wa kulinda haki za watoto katika ulimwengu wa kidijitali Mkataba huo unaeleza vipengele 13 vinavyolenga kuhakikisha upatikanaji salama, wa haki, na wenye maana wa dijitali…
Rais Recep Tayyip Erdogan amethibitisha tena uungaji mkono wa Uturuki kwa watu wa Palestina, huku akitoa ukosoaji mkali dhidi ya uongozi wa Israel. “Katika siku hizi ngumu ambapo serikali ya…
Yalcin ametoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja, kushtakiwa wahusika na kesi za uhalifu wa kivita, na kufanikisha suluhisho la mataifa mawili. Chama tawala cha Uturuki AK , kimekosoa kampeni…
Nchini Ufaransa, Waziri Mkuu Francois Bayrou anakabiliwa na kitisho cha kuangushwa kupitia kura ya maoni itakayopigwa muda wowote kutoka sasa katika bunge la nchi hiyo. Ufaransa iko kwenye mgogoro mkubwa…
Mkutano wa Pili wa Hali ya Hewa Afrika ulianzishwa Jumatatu huko Addis Ababa huku kukiwa na wito wa kubadilisha maneno kuwa vitendo kutoka kwa viongozi. Walisisitiza kuonesha Afrika sio tu…
Haya yanajiri wakati Rais Donald Trump wa Marekani akisisitiza pendekezo jipya la usitishaji mapigano. Mashambulizi mapya yamewaua takribani Wapalestina 40, wakiwemo mwandishi habari na watoto, na kusababisha maafa zaidi katika…
Ushirikiano huo ulisitishwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel mnamo mwezi Juni dhidi ya Jamhuri hiyo ya Kiislamu. Grossi amesema bado kuna muda lakini sio mwingi, akibainisha wasiwasi juu…
Akizungumza wakati wa kikao cha bunge, waziri mkuu huyo amewataka wabunge wauunge mkono mpango wake wa kupunguza deni kubwa la taifa analosema “linaididimiza Ufaransa.” Bayrou ameonya kuwa nakisi ya bajeti…
Waandamanaji wanaitaka serikali kuondoa marufuku iliyowekwa kwa mitandao ya kijamii na kukomesha ufisadi. Msemaji wa polisi mjini Kathmandu, Shekhar Khanal, amethibitisha vifo hivyo. Polisi ilijaribu kuwadhibiti maelfu kwa maelfu ya…
Wanadiplomasia wa Umoja huo wamesema Ulaya inachukua hatua na haitorudi nyuma katika kuwaadhibu watu wengine wanaodaiwa kuhusika katika vita vya Urusi dhidi ya Ukraine. Katika vikwazo vyake 18 vya mwanzo,…
Kesi hiyo hata hivyo imesogezwa mbele hadi Septemba 9, baada ya mvutano mkubwa wa kisheria ulioibuka kuhusu kuahirishwa mara kwa mara kwa kesi hiyo. Mvutano wa kisheria umeibuka leo katika…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel Gideon Saar ameilaumu Uhispania kwa kuendeleza kampeni ya chuki dhidi ya Wayahudi baada ya Waziri Mkuu Pedro Sanchez kutangaza hatua tisa zinazolenga kukomesha…
Kony anaandamwa na mashtaka kadhaa ya uhalifu dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivita, yakiwemo mauaji, ubakaji na utumwa wa kingono. Anadaiwa kuongoza harakati za kikatili za LRA ziliyoitisha kaskazini…
08.09.20258 Septemba 2025 Tizama mwanasiasa kigogo wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu akifikishwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu, huko Dar es Salaam kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili. Duru zinasema…
Mradi wa bwawa hilo uitwao Grand Ethiopian Renaissance (GERD) unatajwa kuwa mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme unaotokana na maji barani Afrika. Bwawa hilo la thamani ya dola bilioni 4 lina…
Klabu ya kandanda ya Bayer Leverkusen imemtangaza kocha wa zamani wa Denmark Kasper Hjulmand kama kocha wao mpya kwa kandarasi ya miaka miwili kufuatia kutimuliwa kwa Erik ten Hag wiki…
Tovuti kadhaa za mitandao ya kijamii – ikiwa ni pamoja na Facebook, YouTube na X imefungwa nchini Nepal tangu Ijumaa baada ya serikali kuzuia majukwaa 26 ambayo hayajasajiliwa, hatua iliyosababisha…
Bayrou hana nafasi yoyote ya kushinda kwenye kura hiyo aliyoiitisha mwenyewe, na ni hatua ambayo huenda ikaibua suintofahamu ya kisiasa na kukosekana kwa utulivu kwenye taifa hilo la pili kwa…
Ujumbe huo utakuwa na mikutano na Rais Donald Trump leo Jumatatu (08.09.2025 ) na kesho Jumanne (09.09.2025). Hapo jana, Trump alitishia kuiwekea Urusi vikwazo zaidi baada ya taifa hilo kufanya…
Akizungumza kuelekea operesheni ya jeshi la ardhini dhidi ya Jiji la Gaza, Katz amesema kundi hilo litasambaratishwa iwapo halitatimiza masharti yaliyotolewa. Serikali ya Israel inaendelea kutanua operesheni yake ya kulitwaa…
Majaji wa mahakama hiyo hapo kesho Jumanne (09.09.2025) watasikiliza keshi 39 za uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu dhidi ya Kony, yakiwemo mauaji, mateso na ubakaji. Kesi hiyo…
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku ya Jumanne, itasikiliza kesi ya kihistoria dhidi ya Joseph Kony, kiongozi wa kundi la waasi la Lord’s Resistance Army (LRA), ambaye amekuwa mafichoni…