DRC: Ripoti ya bunge inapendekeza nini kuhusu kulinda maeneo ya uchimbaji madini
Ukaguzi Mkuu wa Madini nchini DRC, mnamo Aprili 27, ulitangaza kuundwa kwa kikosi cha wanamgambo walinzi wa madini zaidi ya 20,000, kitakachofadhiliwa kwa dola milioni 100, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia…
Ibrahim Class targets more titles after WBC wins
DAR ES SALAAM: TANZANIAN boxer Ibrahim Mgenda, known as “Ibrahim Class”, has set his sights on bigger titles after capturing the World Boxing Council (WBC) International Silver and Gold belts…
Chinese language unlocks new youth opportunities
DAR ES SALAAM: THE recent celebration of International Chinese Language Day at the University of Dar es Salaam brought together students, lecturers, diplomats and cultural stakeholders in a lively blend…
National decentralisation policy in pipeline
THE government has prepared proposals for the formulation of the National Decentralisation Policy of 2026, which is currently in the decisionmaking stage. Through the proposed policy, the government aims to…
DJ Bonez Akiri amekuwa akimtembelea Kamene Gorot tangu atoke hospitalini, azima uvumi wameachana
DJ Bonez anakanusha kutengana na Kamene Goro licha ya matatizo yake ya hospitalini na kutokuwepo kwa usaidizi wake, akionyesha ugumu wa kihisia katika ndoa yao.
Paris yawashauri raia wake kuondoka nchini Mali kwa muda ‘haraka iwezekanavyo’
Ufaransa inawashauri raia wa Ufaransa walioko Mali “kupanga kuondoka kwa muda haraka iwezekanavyo kwenye ndege za kibiashara ambazo bado zinapatikana,” kulingana na maagizo yaliyosasishwa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje…
Mainoo asalia Man United akiongezewa mshahara
Nyota wa Manchester United, Kobbie Mainoo amepata nyongeza mara sita ya mshahara baada ya...
Kwa nini Arsenal walinyimwa penati dhidi ya Atletico Madrid licha ya faulo ya wazi kwa Eberechi Eze
Mikel Arteta na mashabiki wa Arsenal wamesinywa baada ya VAR kufuta penati kufuatia faulo kwa Eberechi Eze katika nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa vs Atletico Madrid
Rais Deby aungana na viongozi wa Dar Tama kufuatia vurugu za kikabila mashariki mwa nchi
Kufuatia vurugu za kikabila zilizosababisha vifo vya watu kadhaa kuanzia Jumamosi hadi Jumatatu—angalau watu 42 kulingana na hesabu rasmi, karibu 60 kulingana na vyanzo vya kuaminika—Rais wa Chad Mahamat Idriss…
Unadhani game ipi ina wafuasi wengi zaidi kwa sasa
Unadhani game ipi ina wafuasi wengi zaidi kwa sasa 🤔 🔥 DREAM LEAGUE SOCCER ⚽ EFOOTBALL Piga kura sasa na utoe maoni yako! 👇 #StarTVDigital #GamingTZ #Poll #Trending (Feed generated…
Burkina Faso: HRW yatiwa wasiwasi na zoezi jipya la kuajiri wanajeshi kwa wingi
Wakati shinikizo la wanajihadi likiongezeka katika eneo la Sahel, serikali ya Burkina Faso imepitisha muswada Aprili 24 wa kuunda kikosi cha wanajeshi wa akiba 100,000. Baraza la kijeshi linatoa wito…
CCM picks EALA nominees, Isimani candidate
DAR ES SALAAM: THE Ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) has unveiled nine contenders for three East African Legislative Assembly (EALA) seats and picked its flag bearer for the Isimani…
Strategy targets moral values to support Vision 2050
DODOMA: THE government has launched a 10-year National Strategy to Address Moral Decay (2026/27–2036/37), aimed at strengthening ethical values across society and supporting the goals of the National Development Vision…
Nottingham Forest, Aston Villa vita nyingine Ulaya
Baada ya zaidi ya miaka 40 tangu walipocheza nusu fainali ya mwisho ya mashindano makubwa ya...
Redmi A7 Pro yaingia rasmi sokoni Tanzania, yawalenga watumiaji wa bajeti nafuu
Kampuni ya Xiaomi Tanzania imezindua rasmi simu yake mpya aina ya Redmi A7 Pro, hatua...
Samia to grace May Day celebrations
NJOMBE: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan is expected to officiate this year’s International Workers’ Day (May Day) national celebrations, scheduled to take place in Njombe Region tomorrow. The announcement was made…
Parties endorse inquiry report
Describe it as professional, evidence-based DAR ES SALAAM: POLITICAL parties have endorsed and approved the Commission of Inquiry report, describing it as professional, evidence-based and grounded in scientific methodology. They…
Mali: Kizuizi cha wanajihadi wa JNIM chaimarishwa hatua kwa hatua karibu na Bamako
Nchini Mali, kundi la wanajihadi la JNIM linaendelea na tishio lake la kuzingira mji wa Bamako, kufuatia mashambulizi yasiyo ya kawaida ya wanajihadi hao na waasi yalipiga moyo wa utawala…
Urusi: Rais wa Kongo Sassou-Nguesso atangaza mikataba ya ushirikiano na Moscow
Rais wa Urusi Vladimir Putin amempokea mwenzake wa Kongo, Denis Sassou-Nguesso, ambaye alichagua Urusi kwa safari yake ya kwanza nje ya nchi tangu kuchaguliwa kwake tena. Ziara hiyo ilitoa fursa…
Mwalimu Mkuu Alliance Girls achukuliwa hatua na Waziri Ogamba kisa kuongeza karo kinyemela
Waziri wa Elimu ameiagiza Tume ya Huduma kwa Walimu (TSC) kuanzisha hatua za kinidhamu dhidi ya mkuu wa shule kwa kutekeleza muundo wa ada usioidhinishwa.
Mayanga, Julio watambiana Mbeya
Tambo za Kocha wa Mbeya City, Salum Mayanga na zile za Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wa Mashujaa...
Kukiri Washirika wa Marekani Kwamba Nchi Hiyo Imeshindwa Katika Vita Dhidi ya Iran
Baada ya kupita takribani miezi miwili tangu Marekani na utawala wa kizayuni zilipoanzisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, wakosoaji wa sera za kushupalia vita za Trump katika kila pembe…
Mauzo ya hisa DSE yapaa ya hatifungani yakipungua
Soko la mitaji nchini limeonesha kuongezeka kwa mauzo ya hisa na mtaji wa soko katika robo ya...
RDC: Mazao ya wakaazi wa Rutshuru yavamiwa na viwavi
Wakimbizi wa ndani waliorejea makaazi yao wilayani Rutshuru Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kuanza kurejea kwa amani katika eneo lao, sasa wapo kwenye hatari kubwa ya…
Mohamed Warsame ateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, amshinda Katwa Kigen na wengine 3
Jaji Mohamed Warsame Ateuliwa kwa Uamuzi wa Mahakama Kuu na JSC, kufuatia mahojiano makali, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na kifo cha Jaji Ibrahim.
HRW yaitaka Saudi Arabia kutowanyo’nga raia wa Ethiopia 65
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka Saudi Arabia kusitisha hukumu ya kunyongwa kwa takriban Waethiopia 65 waliohukumiwa kifo kwa makosa ya ulanguzi wa dawa za…
Saratani aina 11 zinaongezeka kwa vijana, wanasayansi wagundua
Watafiti wanasisitiza kwamba kubadili mtindo wa maisha kunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa hatari ya kupata saratani.
Ruto amshambulia waziri wa zamani Mithika Linturi, akumbusha sakata la mbolea: “Anatuuzia mawe”
Rais Ruto alikumbusha kashfa ya mbolea, akifichua jukumu la Waziri wa zamani Linturi.Aliangazia mageuzi yaliyopunguza gharama kwa wakulima licha ya madai ya magendo.
Mei Mosi na maumivu ya gharama za maisha
Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi, Mei mosi kesho, yanatarajiwa kuambatana na hisia mseto...
RDC: Jacquemain Shabani aponea kura ya kukosa imani naye bungeni
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya ndani Jacquemain Shabani ameponea kura ya kukosa imani naye bungeni kufuatia mvutano wa uhalali wa saini…
Comey ajisalimisha kufuatia shitaka la kumtishia Trump maisha katika chapisho la Instagram
Waendesha mashtaka wanasema picha ya ganda la bahari ya 2025 iliyowekwa na mkurugenzi wa zamani wa FBI ilikuwa wito wa vurugu dhidi ya Trump.
‘Sikujua hata DR Congo iko wapi’: Marekani yawapeleka wahamiaji katika nchi wasiyoijua
Kundi la kwanza la Waamerika Kusini waliofukuzwa kutoka Marekani na kupelekwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanaelezea hali ya kutelekezwa na kutokuwa na uhakika katika nchi wasiyoijua.
Mradi unaosuasua unavyoning’iniza matumaini ya wananchi, Kigoma
Wananchi wa Kata ya Kibirizi, eneo ambalo mradi huo unatekelezwa, wanasema licha ya kuhamishwa...
Tetesi za soka Ulaya: Manchester United inafikiria kumsajili Rafael Leao
Manchester United inafikiria kumsajili Rafael Leao katika dirisha la usajili la kiangazi, huku Newcastle ikitazamia kusuka upya kikosi chake kwa kumsaka kipa mpya, na Arsenal ikiendelea kumfuatilia Julian Alvarez.
Penalti zilivyoituliza Atletico, Arsenal usiku wa Ulaya
Atletico Madrid na Arsenal zimetoka sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi...
Wakili aeleza uhalali wa mwekezaji Shamba Na 1135 Magunga Iringa
IRINGA: Maelezo ya kina yaliyotolewa na wakili wa kampuni ya Iringa Food and Beverages Ltd (IFB), Innocent Boniface yametoa mwelekeo katika mgogoro wa umiliki wa Shamba Na. 1135 lililopo Kijiji…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 30, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Mwalimu avunja rekodi Simba ikiifunga Yanga fainali
Bao la dakika ya 119 lililofungwa na mshambuliaji wa Simba, Seleman Mwalimu, limetosha...
Mwalimu avunja rekodi tatu Yanga, Simba ikibeba Muungano Cup
BAO la dakika ya 119 lililofungwa na mshambuliaji wa Simba, Seleman Mwalimu, limetosha kusitisha ukame wa mataji klabuni hapo, lakini pia likivunja rekodi tatu ndani ya Yanga. Wakati huohuo, likiivua…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewasili mkoani Kigoma kwa ziara ya siku mbili ambapo kesho, Apri…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewasili mkoani Kigoma kwa ziara ya siku mbili ambapo kesho, Aprili 30, 2026, anatarajiwa kuifunga rasmi kambi ya wakimbizi ya…
🔴MCHEZO SUPA: .. APRILI 29, 2026
🔴MCHEZO SUPA: .. APRILI 29, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Muungano Cup: Yanga 0 – 0 Simba
Muungano Cup: Yanga 0 - 0 Simba (Feed generated with FetchRSS)
Sura ya Trump kwenye pasipoti mpya Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuonekana kwenye pasipoti mpya maalumu...
Babake Kelvin Kiptum alaani kupuuzwa na kampuni iliyompa kandarasi marehemu mwanawe
Babake Kelvin Kiptum, Mzee Cheruiyot, analia kupuuzwa na Golazo, mafuriko yakivamia kaburi la mwanariadha huyo, na kuibua wasiwasi wa tatizo la fedha ya familia hiyo
#HABARI: Hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa kushirikiana na taasisi ya Qatar Charity, imezindua kambi maalum ya siku sita ya uch…
#HABARI: Hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa kushirikiana na taasisi ya Qatar Charity, imezindua kambi maalum ya siku sita ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wa Dar es…