Wanawake 100,000 kunufaika na mafunzo ya teknolojia za kidijitali nchini
Kupitia makubaliano hayo ya miaka mitatu yanalenga kuimarisha matumizi ya mbinu za kidijitali...
Mashariki mwa DRC: Mapigano makali yaanza tena katika nyanda za juu za Kivu Kusini
Nyanda za juu za Kivu Kusini kwa mara nyingine tena zinakabiliwa na mapigano makali. Mnamo Juni 8, muungano wa AFC/M23-Twirwaneho uliteka miji mitatu katika maeneo ya Fizi na Mwenga. Vikosi…
Kwa nini Netanyahu anatajwa kuwa kikwazo katika makubaliano ya amani kati ya Marekani na Iran?
Vyombo vya habari vya Uingereza vilijadili masuala mbalimbali ya ndani na ya kimataifa, ikiwemo maendeleo ya juhudi za kufikia makubaliano kati ya Marekani na Iran na nafasi ya Israel katika…
Iran: Makubaliano ya kumaliza vita yanakaribia lakini Marekani ina misimamo kinzani na inaendeleza uchokozi
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa sehemu muhimu za maelewano yanyolenga kumaliza vita vilivyolazimishwa zinakaribia kukamilika, pamoja na kuwepo misimamo kinzani ya Washington na vitendo…
Rais wa Colombia aishambulia Israel katika Baraza la Usalama la UN, asema ni utawala wa kinazi
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ameifananisha Israel na "utawala wa Nazi" katika maoni yake kuhusu vita vya kuangamiza vya Tel Aviv katika Ukanda wa Gaza.
Kwa mara ya kwanza katika muongo mmoja, idadi ya wakimbizi duniani ilipungua mwaka 2025
Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kwamba idadi ya watu waliolazimika kuhama makwao duniani kote ilipungua mwaka wa 2025, ikiwa ni mara ya kwanza kurekodiwa punguo…
Ujenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya unaendelea kwa kasi
Licha ya amri ya Mahakama Kuu ya Kenya ya kusimamisha ujenzi wa kituo cha karantini cha kuwapokea raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na Ebola na maandamano ya Wakenya wenye hasira…
Mjenzi wa kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya unaendelea kwa kasi
Licha ya amri ya Mahakama Kuu ya Kenya ya kusimamisha ujenzi wa kituo cha karantini cha kuwapokea raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na Ebola na maandamano ya Wakenya wenye hasira…
Kombe la Dunia la 2026: Mexico yaanza vyema mechi nyumbani dhidi ya Afrika Kusini
Mexico imeanza vyema mechi yake katika michuano ya Kombe la Dunia 2026 kwa kutawala Afrika Kusini katika mechi yao ya ufunguzi wa Kombe la Dunia siku ya Alhamisi, Juni 11,…
Ni kosa kubwa… Blatter amkosoa Infantino na Marekani kuhusu mwamuzi wa Somalia FIFA 2026
Wakati ambapo macho yote yameelekezwa kwenye viwanja vya mashindano ya Kombe la Dunia huko Marekani, Mexico na Canada, Mswizi Joseph Blatter, rais wa zamani wa Shirikisho la Soka la Kimataifa…
Ijumaa, 12 Juni, 2026
Leo ni Ijumaa tarehe 26 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 12 Juni 2026.
Over 50 undergo free limb fitting assessment in Zanzibar
Unguja, Zanzibar: A limb rehabilitation outreach and training mission is underway in Zanzibar, targeting to bring smiles to 100 amputees in the Isles. As of Wednesday (June 10, 2026), a…
Kabila avunja ukimya wake na kutoa wito kupambana dhidi ya marekebisho ya katiba
Rais wa zamani Joseph Kabila Kabange ametoa ujumbe mzito kwa raia wa Kongo siku ya Alhamisi, Juni 11, 2026, ambapo anapinga vikali mchakato wa kurekebisha Katiba ya Februari 18, 2006,…
Trump asema makubaliano ya kumaliza vita na Iran yako karibu baada ya kusitisha mashambulizi
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa makubaliano ya awali yanayolenga kumaliza vita na Iran yako karibu kufikiwa, baada ya kutangaza kuwa amesitisha mashambulizi yaliyokuwa yamepangwa dhidi ya nchi hiyo.
Trump adai makubaliano na Iran yako karibu, Tehran yasema bado haijafanya uamuzi wa mwisho
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Alhamisi, Juni 11, kwamba alifuta mashambulizi yaliyopangwa kwa siku hiyo dhidi ya Iran, akielezea kwamba “makubaliano mazuri sana” yamefikiwa na Tehran, huku…
Korea Kusini yaiduwaza Czech
Korea Kusini imetoka nyuma na kuibuka ushindi, ikiichapa Jamhuri ya Czech kwa mabao 2-1 kwenye...
Misikiti itumike hivi kuutumikia umma
Katika historia ya Uislamu, msikiti haukuwa tu mahali pa kuswali. Ulikuwa moyo wa jamii, kitovu...
Tanzania inavyoufanya mtihani wa diplomasia ya dunia
Tanzania imewahi kupitia nyakati ngumu, zikiwemo vita ya Kagera (1978), baa la njaa la 1974 na mvutano wa kisiasa Zanzibar (2001). Hata hivyo, matukio ya kabla na baada ya uchaguzi…
Serikali yapania makubwa 2026/27 kwenye michezo
SERIKALI imeweka mkakati wa kuibadilisha taswira ya michezo nchini ikilenga kuipandisha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kutoka nafasi ya 112 katika viwango vya Shirikisho la Soka la Kimataifa…
Chukwu mlango wa kutokea Singida BS
SINGIDA Black Stars inaweza kuingia sokoni kutafuta mbadala wa kiungo wake tegemeo, Morice Chukwu, baada ya nyota huyo kuweka wazi kuwa yupo mbioni kuondoka kwenye kikosi hicho mwishoni mwa msimu…
KONA YA MSTAAFU: Mitandao inapomharakisha mstaafu Kinondoni!
Miaka ilee ya 1970 tulipomaliza vidato na tukajiunga na wazee wetu, kaka zetu na dada zetu...
Mexico yaanza vyema, kadi nyekundu zikimwagika
Mexico imeanza vizuri Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0...
Watumishi wa Umma watakiwa kuzingatia nidhamu na uadilifu kazini
Watumishi wa umma nchini wametakiwa kuzingatia nidhamu, uadilifu, maadili na uwajibikaji katika...
Mitandao inapomharakisha mstaafu Kinondoni!
Miaka ilee ya 1970 tulipomaliza vidato na tukajiunga na wazee wetu, kaka zetu na dada zetu...
Mwenyekiti wa mtaa akamatwa kwa tuhuma kuuza viwanja mara mbili
Agizo hilo limetolewa wakati wa ziara ya mkuu huyo wa mkoa ya kukagua miradi ya maendeleo na...
Kutoka Enzi ya Uhuru hadi Ruto: Jinsi Bajeti ya Kenya Imekuwa Ikipanda Kadri Miaka Imekuwa Ikisonga
Bajeti ya Kenya imeongezeka kwa kasi kutoka enzi ya Uhuru Kenyatta hadi serikali ya William Ruto, ikichochewa na deni, maendeleo na gharama za serikali.
Kutoka Enzi ya Uhuru hadi Ruto: Jinsi Bajeti ya Kenya Ilivyokua kwa Miaka
Bajeti ya Kenya imeongezeka kwa kasi kutoka enzi ya Uhuru Kenyatta hadi serikali ya William Ruto, ikichochewa na deni, maendeleo na gharama za serikali.
Tanzania unveils Sh1.72trn tax shake-up as new budget rewires economy
DODOMA: THE government has set in motion one of its most ambitious tax overhauls in recent years, unveiling a 2026/27 package expected to generate an additional Sh1.72trn while quietly redrawing…
Tanzania yaandika historia mpya matumizi ya nishati safi
Katika kile kinachoonekana kama hatua kubwa ya mageuzi ya sekta ya nishati nchini, Tanzania...
Mexico, Afrika Kusini kufungua pazia Kombe la Dunia 2026
Pazia la Fainali za Kombe la Dunia 2026 linafunguliwa rasmi leo kwa mchezo baina ya wenyeji...
Samia’s foreign visits target investment opportunities, not aid
DODOMA: Minister of State in the President’s Office – Planning and Investment, Prof. Kitila Mkumbo, has said that President Samia Suluhu Hassan’s visits to various countries are aimed at attracting…
Mbadi alegeza kamba ya ushuru kupunguzia Wakenya mzigo, asema hamna kodi mpya
Waziri John Mbadi atangaza Kenya haitaanzisha kodi mpya au kuongeza viwango vya kodi katika Muswada wa Fedha wa 2026, akilenga kuboresha usimamizi wa kodi na usawa.
New scheme powers electric cooking, EV transition
DODOMA: THE Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) has launched a nationwide clean energy programme that will enable households to acquire electric cooking stoves through affordable instalments while rolling out 50…
EA budgets: Tanzania posts fastest growth as Kenya, Uganda face debt, investment pressures
DODOMA: EAST Africa’s 2026/27 budgets have set the stage for a regional economic race defined less by size alone and more by growth momentum, fiscal pressure and competing development strategies,…
Elimu, wizara za serikali na miundombinu zatengewa sehemu kubwa katika bajeti ya Mbadi
Bajeti ya KSh trilioni 4.82 ya 2026/27 imeipa kipaumbele elimu, miundombinu na usalama, huku sekta ya ulinzi wa jamii ikipata mgao mdogo zaidi wa KSh 49.8 bilioni.
Mpango maalumu kupunguza matumizi chupa za plastiki
Hatua hiyo inayolenga kuimarisha uhifadhi wa mazingira na kuchangia mapambano dhidi ya athari...
Mambo Muhimu ya Kufahamu Katika Bajeti ya KSh 4.82t ya Mwaka wa 2026/27 Iliyosomwa na John Mbandi
Waziri wa Hazina John Mbadi alisoma bajeti ya KSh 4.7 trilioni ya mwaka wa 2026/27. Haya ni masuala muhimu ya tangu alipowasili Bungeni na undani wa Bajeti huyo.
Tanzania announces exemption of value added tax on edible oil produced using locally grown seeds
DODOMA: THE Tanzanian government has exempted value added tax on edible oil produced using locally grown seeds. Speaking while presenting the Government’s Proposals on Revenue and Expenditure Estimates for the…
Govt unveils record Sh62.33trn budget, up 10.3pc, targets growth, jobs, infrastructure
DODOMA: TANZANIA has unveiled its largest-ever national budget of Sh62.334trn for the 2026/27 financial year, marking a 10.3 percent increase from last year’s Sh56.49trn, in a bold fiscal blueprint that…
Tanzania to grant one-year income tax exemption for new businesses
DODOMA: THE Minister for Finance, Khamis Mussa Omar, has announced that the government will grant a one-year income tax exemption to newly registered businesses from the date they obtain a…
Magari yenye namba ya usajili ya Zanzibar halali kutumia bara
Utekelezwaji wa hilo, unategemea ridhaa ya wabunge juu ya pendekezo la mabadiliko ya sheria...
Bunge la Seneti lapunguza makali muswada wa uhusiano wake na Tanzania
Bunge la Seneti la Marekani limefanya marekebisho ya muswada unaohusu uhusiano kati ya Marekani...
Ushuru wa nondo, mabati kutoka nje wapaa
Kwa mujibu wa mapendekezo hayo, baadhi ya bidhaa za chuma zitatozwa ushuru wa asilimia 10 au...
Tanzania proposes higher levies on cigarettes and sugar to fund Universal Health Insurance
DODOMA: MINISTER of Finance Ambassador Khamis Mussa Omar has announced that the government is proposing new revenue measures to support the financing of Universal Health Insurance by increasing levies on…