‘Pasiwedi’ yazua tuhuma za Thadei Kweka
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imetoa amri ikimwamuru Thadei Kweka, anayedaiwa kuwa raia wa...
Maoni mseto hotuba ya Samia mwaka mpya
Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa hotuba ya kufunga mwaka 2025 iliyolenga...
Pamba Jiji yarudi kambini na mzuka
KIKOSI cha Pamba Jiji kimerejea kambini kujifua tayari kwa ngwe iliyosalia na Ligi Kuu Bara pamoja na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) iliyosimamishwa tangu mapema Desemba mwaka jana kupisha…
Tato yataja mbinu mpya kuimarisha sekta ya utalii 2026
Chama cha Waendeshaji Watalii Tanzania (Tato) kimezitaka taasisi, wawekezaji na wadau wa sekta...
Bei ya mchele Mbeya haishikiki, serikali yaingilia kati
Kutokana na kupanda kwa bei ya mchele na bidhaa nyingine jijini Mbeya, serikali wilayani humo...
Congo yaituhumu Rwanda kwa mauaji ya raia 1,500 mwezi Disemba
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, imeishtumu Rwanda kwa kuwauwa raia wa kawaida 1,500, Mashariki mwa DRC tangu mapema mwezi Desemba mwaka 2025. Imechapishwa: 01/01/2026 – 14:35Imehaririwa: 01/01/2026 – 14:46 Dakika…
Uganda, mataifa mengine 39 duniani kufanya uchaguzi mwaka 2026
Ni mwaka wa uchaguzi. Hivyo ndivyo unavyoweza kuuelezea mwaka 2026 katika ulingo wa siasa za...
Kanuni kuwabana wawekezaji kutoa CSR mbioni Zanzibar
Wakati zikiandaliwa kanuni kuwabana wawekezaji kuwajibika kwa jamii (CSR) katika maeneo...
‘Amani ni mbolea ya mafanikio’
Watanzania wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu ili amani iendelee kudumishwa nchini...
Makusanyo ya TRA yavuka lengo
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kuvuka lengo la makusanyo ya kodi katika robo ya...
Chelsea yamfuta kazi Maresca
ENGLAND: Klabu ya Chelsea imethibitisha kumfuta kazi kocha mkuu, Enzo Maresca, raia wa Italia. Taarifa ya Chelsea imeeleza kuwa uamuzi huo unatoa taswira mpya ya kuirudisha timu kwenye ushindani na…
Ajali ilivyoua watu 10 mkesha wa mwaka mpya
Mbali na dereva wa lori kuhama njia na kugongana uso kwa uso na basi, ajali iliyosababisha vifo...
Iran yatahadharisha kuhusu vitisho vya Marekani dhidi ya maeneo yake ya nyuklia
Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa mjini Geneva, Uswisi ametahadharisha kuwa hatua ya Marekani ya kuhalalisha vitisho dhidi ya vituo…
2025, mwaka mbaya zaidi kwa Wapalestina kufuatia mauaji ya kimbari ya Israel
Ofisi Kuu ya Takwimu ya Palestina imeripoti kuwa mwaka 2025 ulikuwa mwaka mbaya zaidi katika uga wa kibinadamu na idadi ya jamii ya watu huko Palstina kutokana na vita vya…
Wananchi Iringa watakiwa kusherehekea mwaka mpya kwa kuzingatia sheria
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limetoa wito huo likionya tabia ya kuendesha magari kwa fujo...
#HABARI: Mfuko wa Bodi ya Barabara mkoani Mtwara umetoa muda wa siku 14 kwa Mkandarasi Mshauri kuhakikisha barabara za michepuko…
#HABARI: Mfuko wa Bodi ya Barabara mkoani Mtwara umetoa muda wa siku 14 kwa Mkandarasi Mshauri kuhakikisha barabara za michepuko zinapitika bila kero. Agizo hili limetolewa ili kupisha ujenzi wa…
Ruwa’ichi:2025 ulikuwa mwaka mgumu, mzito
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Juda Thadaeus Ruwa'ichi amesema 2025...
Kampeni ya ‘Magift ya Mixx Pesa’ inaendelea kunogesha msimu wa sikukuu
Kampeni ya ‘Magift ya Mixx Pesa’ inaendelea kunogesha msimu huu wa mwisho wa mwaka kwa...
Parker aanza na mapya Simba
Kocha mpya wa Simba Steven Parker jana aliondoka na jeshi lake kwenda visiwani Zanzibar huku...
Mbunge akabidhi magodoro kwa kituo cha vipaji Bukoba
BUKOBA: Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Mhandisi Johnston Mtasingwa, amekabidhi jumla ya magodoro 20 kwa Kituo cha Vipaji cha Tyaido Academy kilichopo Kata ya Buhembe, Manispaa ya Bukoba, mkoani…
Himid Mao atoboa siri
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao ametoboa siri ya ubora wake akisema unachangiwa na namna ambavyo...
Ngajilo aahidi Iringa ya michezo, sanaa, ajira 2026
IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amefunga mwaka uliopita kwa bonanza lililojaa hamasa, burudani na matumaini mapya kwa vijana wa Iringa, akitumia…
Mchungaji Malisa matatani, ashitakiwa kwa uhaini
Mchungaji Godfrey Malisa aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kabla ya kufukuzwa...
UN yakumbana na hali mbaya El Fasher katika ziara yake ya kwanza tangu mji huo udhibitiwe na RSF
Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa mji wa El- Fasher huko Darfur Magharibi nchini Sudan unapitia hali ya kutisha kwa binadamu.
#HABARI: Wakulima wa Korosho wilayani Manyoni, mkoani Singida, wamepongeza Serikali kwa kuuza mazao kwa mfumo wa kieletroniki wa…
#HABARI: Wakulima wa Korosho wilayani Manyoni, mkoani Singida, wamepongeza Serikali kwa kuuza mazao kwa mfumo wa kieletroniki wa stakabadhi ghani TMX, unaomshirikisha mkulima moja kwa moja, pia kuwajumuisha wanunuzi nchi…
Mbappe atupwa nje Madrid
Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe anaripotiwa atakuwa nje ya uwanja kwa walau wiki...
Wanajeshi wa Marekani washambulia meli 5 na kuuwa watu 8 huku mvutano kati ya US na Venezuela ukishtadi
Jeshi la Marekani limeanzisha mashambulizi mapya dhidi ya boti zinazodaiwa kuwa zimehusika na magendo ya dawa za kulevya, huku mvutano kati ya Wahington na Venezuela ukipamba moto.
Moto mkubwa wateketeza kanisa la Amsterdam katika Mkesha wa Mwaka Mpya nchini Uholanzi
Moto mkubwa umeteketeza kanisa la karne ya 19 huko Amsterdam siku ya Alhamisi, Januari 1, huku Uholanzi ikisheherekea mkesha wa Mwaka Mpya. Watu wawili wamefarik. Vifo hivyo vinahusishwa na fataki…
#HABARI: Licha ya jitihada za Serikali kuondoa ada katika elimu ya msingi na sekondari, bado kumejitokeza changamoto ya baadhi y…
#HABARI: Licha ya jitihada za Serikali kuondoa ada katika elimu ya msingi na sekondari, bado kumejitokeza changamoto ya baadhi ya wazazi kutowapeleka watoto wao shule kwa wakati. Kasumba hiyo inatokana…
Why you don’t need to reinvent yourself this year
DAR ES SALAAM: WE are often told that January is a time for ‘New Year, New You’, a high-pressure race to fix everything at once. But what if we stopped…
Uswisi: Watu kadhaa wanadhaniwa kufariki katika kisa cha moto kwenye baa ya Crans-Montana
“Watu kadhaa” wamefariki na kujeruhiwa katika baa iliyojaa watu katika hoteli ya kifahari nchini Uswisi ya Crans-Montana wakati moto ulipozuka huku wahudhuriaji wakisherehekea Mwaka Mpya, polisi imetangaza leo Alhamisi, Januari…
Dk Mwinyi aanika mafanikio, akiuaga 2025 na kuukaribisha mwaka mpya
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amewatakia Watanzania heri ya Mwaka mpya 2026, akiwataka...
Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amekosoa vikali vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema jamii ya kimataifa inapinga sera hizo za…
Alianza Peter Tino sasa Fei Toto
Katika safari ndefu ya soka la Tanzania, yapo mabao mengi yaliyofungwa na Taifa Stars lakini...
Matukio yanayotarajiwa kushuhudiwa duniani Mwaka 2026
Michuano ya Kombe la Dunia, kurudi kwa watu Mwezini, uchaguzi muhimu katika mabara yote… RFI imechagua matukio ya mwaka ambayo yatakuwa na athari kubwa duniani. Imechapishwa: 01/01/2026 – 11:02 Dakika…
Zanzibar ilivyojipanga kuwa kituo cha utalii wa michezo
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuhimiza kuanzishwa na...
Luca Zidane ageuka lulu Algeria
Kipa, Luca Zidane anaendelea kuwa gumzo na chaguo pendwa kwa timu ya taifa ya Algeria, wakati...
Al-Azhar: Wanawake Waislamu ndio waathiriwa wakuu wa ubaguzi barani Ulaya
Taasisi ya Kiislamu ya Al-Azhar nchini Misri imeonya kuhusu mashaka yanayowapata wanawake Waislamu barani Ulaya kutokana na ubaguzi.
Unai Emery akimbia kipigo kizito Arsenal
Unai Emery ametoweka kwenye benchi lake baada ya filimbi ya mwisho ya mchezo ambao kikosi chake...
Mwaka mpya wa 2026 tayari umeanza
Mwaka mpya wa 2026 tayari umeanza. Je, kuna tabia fulani ambazo ungependa kuziacha na kuanza ukurasa mpya wa maisha Msikilize George Chacha, msosholojia anayeeleza kwa kina namna bora ya kuachana…
Sare yamchefua beki Man United
Manchester United imeduwazwa nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na timu inayoburuza...
Mbeya wakesha na mwaka mpya, DC akisisitiza amani na mshikamano
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda amewaomba wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali...
Salamu za Mwaka Mpya za Marais wa Afrika ya Kati katikati ya uchaguzi
Katika Afrika ya Kati, salamu za Mwaka Mpya wa 2026 ni fursa ya kujadili uchaguzi. Nchini Gabon na Cameroon, Brice Clotaire Oligui Nguema na Paul Biya wamesisitiza uhalalishaji wa mamlaka…
Askofu Gwajima: Matukio ya utekaji hayampendezi Mungu
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema bado anaendelea kukataa...
Hivi ndivyo baadhi ya wadau na wafanyabiashara wa Soko la Tandika, Dar es Salaam walivyoupokea mwaka mpya 2026 na kueleza matara…
Hivi ndivyo baadhi ya wadau na wafanyabiashara wa Soko la Tandika, Dar es Salaam walivyoupokea mwaka mpya 2026 na kueleza matarajio yao kama walivyozungumza na #Farasi wa #morningtrumpet . ✍Juliana…
#HABARI: Mamia ya wananchi wa Jimbo la Mbeya Mjini wamefururika katika eneo la Soko la Uhindi kwa lengo la kuuaga mwaka 2025 na …
#HABARI: Mamia ya wananchi wa Jimbo la Mbeya Mjini wamefururika katika eneo la Soko la Uhindi kwa lengo la kuuaga mwaka 2025 na kuupokea mwaka mpya wa 2026. Mkusanyiko huo…
Samia Suluhu Hassan: Msikubali kugawanyika kiitikadi au kimtazamo
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika hotuba yake ya kuuaga mwaka 2025 na kukaribisha 2026, amewataka Watanzania Watanzania wanapoendelea kujenga taifa lao wasikubali kugawanyika kiitikadi au kimtazamo, akirejeleamatukio yaliyotokea…
Wakuu wa Nchi za Afrika Magharibi watoa salamu zao za Mwaka Mpya
Ni wakati wa wakuu wa nchi za Afrika Magharibi kutoa tathmini zao. Katika salamu zao za Mwaka Mpya, Rais wa Côte d’Ivoire Alassane Ouattara na Rais wa Togo Faure Gnassingbé…