Benin: Rais mteule Romuald Wadagni kuapishwa rasmi
Rais mteule Romuald Wadagni, aliyetangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Aprili 12 nchini Benin, ataapishwa na kukabidhiwa rasmi mamlaka ya uongozi wa nchi wakati wa sherehe ambayo inatarajiwa kufanyika…
Barnabas aanika kinachoisibu Transit Camp
KOCHA wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema makosa binafsi wanayoyafanya katika mechi mbalimbali ndiyo yanayochangia mwenendo usioridhisha kwa kikosi hicho cha maafande msimu huu, japo wataendelea kuonyesha ushindani kwa wapinzani…
Beki Mbeya Kwanza hakijaeleweka
BEKI wa kati wa Mbeya Kwanza, Vintani Mtega amesema bado hajajua hatima yake katika kikosi hicho baada ya mkataba wake wa sasa kufikia ukomo mwisho wa msimu huu wa 2025-2026,…
Marekani: Mtu mwenye bunduki auawa baada ya kusikika milio ya risasi karibu na White House
Milio ya risasi imesikika karibu na Ikulu ya White House jioni ya Jumamosi, Mei 23. Kulingana na ripoti za awali, mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka ishirini alivamia kituo cha…
Adeyum asaka rekodi mpya Bigman FC
BAADA ya beki wa kushoto wa Bigman FC, Adeyum Saleh kufikisha mabao matano msimu huu, nyota huyo amebakisha bao moja ili aweke rekodi mpya ya kufunga mengi zaidi katika timu…
Vihiga: KeNHA wafanya makuruhu, wakata mahindi yaliyokuwa yakinawiri barabara ya Lwanda–Majengo
Hasira ziliwapanda watu Vihiga baada ya KeNHA kukata mahindi yaliyokuwa yakinawiri pembezoni mwa Barabara ya Lwanda–Majengo. Wengi walisema haikufaa hivyo.
Ruto ajipiga kifua, asema Upinzani si kitu kwake ‘atausagasaga’ asubuhi na mapema 2027
Rais Ruto, katika ziara yake Pwani, ameapa kukabiliana na upinzani 2027. Alitoa KSh 2 bilioni kwa ajili ya sekta ya uvuvi, viongozi eneo hilo wameapa kumuunga mkono.
Madagascar: Mfululizo wa mashambulizi dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi waongezeka hofu
Mfululizo wa mashambulizi na uhalifu unaowalenga watu wenye ulemavu wa ngozi umesababisha kukamatwa kwa watu wapatao kumi. Kwa wale wenye ulemavu huu na wanasheria wanaowaunga mkono, kampeni kubwa ya uhamasishaji…
Makubaliano ya kumaliza vita vya Iran ‘yamejadiliwa kwa kiasi kikubwa’ – Trump
Mpango wa kurefusha muda wa usitishaji mapigano umeripotiwa na vyombo vya Habari vya pande zote mbili lakini hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa.
Mnoga vitani kusaka tiketi ya League One England
BEKI wa kimataifa wa Tanzania, Haji Mnoga leo atakuwa na kibarua kizito England wakati chama lake Salford City itakaposhuka dimbani kucheza fainali ya playoff ya ligi daraja la nne 'League…
Viboko kwenye malezi ni nidhamu au madhara
Katika familia nyingi za Kiafrika, adhabu za kimwili zimekuwa sehemu ya malezi kwa watoto kwa...
Msewa atolewa macho na timu za Ulaya
HUENDA kiungo wa Kitanzania, Diana Msewa anayekipiga Trabzonspor ya Ligi ya Wanawake Uturuki akatimkia Ulaya, baada ya Kampuni yaTMJ inayowasimamia wachezaji kimataifa kuonyesha nia ya kuingia makubaliano na nyota huyo.
Ngazi ya kukupeleka kwenye mafanikio ya ndoa
Somo hili ni mahususi kwa wale wote wenye ndoto ya kuwa na ndoa zenye mafanikio na utulivu.
Ukraine: Kyiv na viunga vyake yashambuliwa vikali na Urusi, kombora la hypersonic latumika
Mji mkuu wa Ukraine na viunga vyake umeshambuliwa vikali na jeshi la Urusi usiku wa Jumamosi, Mei 23, kuamkia Jumapili, Mei 24, ikiwa ni pamoja na kombora la balestiki la…
Ferdinand Omanyala atapata kiasi gani cha pesa kwa ushindi wake katika Xiamen Diamond League
Ferdinand Omanyala alishinda mbio za Xiamen Diamond League kwa muda bora wa msimu wa sekunde 9.94, ikiwa ni mara yake ya tano mfululizo kukimbia chini ya sekunde 10.
Programu mpya yazinduliwa kurahisisha mawasiliano
Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia program mpya ya kurahisisha mawasiliano...
Mashariki ya Kati: Marekani na Iran zinatafuta kukamilisha makubaliano ya kukomesha vita
Je, Marekani na Iran zinaweza kupata msingi wa makubaliano? Rais wa Marekani Donald Trump amependekeza hili siku ya Jumamosi, Mei 23, akimaanisha makubaliano ambayo yalikuwa “yamejadiliwa kwa kina na kwa…
Jua mipaka yako kwenye ndoa, uhusiano
Katika jamii nyingi, ndoa na uhusiano huonekana kama maeneo ya wenza kujitoa bila kuuliza...
Pakistan: Shambulio la bomu kwenye treni laua watu wasiopungua 20 Balochistan
Angalau watu 24 wameuawa leo Jumapili katika shambulio la bomu kwenye treni iliyokuwa imewabeba wanajeshi katika jimbo lenye vurugu la kusini-magharibi mwa Balochistan, afisa mkuu amesema. Imechapishwa: 24/05/2026 – 09:14…
Nilinusurika mashambulizi ya makombora Hormuz, lakini rafiki yangu hajapatikana
Sunil Puniya alikuwa kwenye kazi yake ya kwanza ya baharini wakati kombora lilipoipiga meli ya mafuta ya Skylight mwanzoni mwa vita vya Iran.
Sababu za kuongezeka mgawanyiko barani Ulaya kuhusu utawala wa Kizayuni
Mbali na maoni ya wananchi, baadhi ya wabunge wa Bunge la Ulaya pia wameutaka Umoja wa Ulaya uchukue hatua kali dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na viongozi wake.
Jiongeze: Mfume dume kama tatuu umejikita akilini
Wanawake wanaojiuza hupewa majina mabaya. Kama malaya, changudoa, vicheche, milupo na mengineyo.
Video za mitandao ya kijamii kuhusu usalama wa chakula India zilivyoibua hofu
Hofu kuhusu usalama wa chakula nchini India inaongezeka huku video zinazosambaa kwa kasi mtandaoni na vipimo vilivyoshindikana vikiongeza kutokuaminiana kwa umma.
DRC: Uhamasishaji wa jamii, msingi wa mapambano dhidi ya ugonjwa Ebola
Tangu Mei 22, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeongeza hatari inayosababishwa na mlipuko wa virusi vya Ebola kwa afya ya umma mashariki mwa DRC kwa kiwangu cha “juu sana.” Ingawa…
Jumamosi, 23 Mei, 2026
Leo ni Jumamosi 6 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria mwafaka na 23 Mei 2026 Miladia.
Je, kutakuwa na uvamizi wa Marekani?: Hatima ya Cuba ni nini baada ya mashtaka dhidi ya Raúl Castro
Marekani imeimtuhumu rais wa zamani wa Cuba, Raúl Castro, mwenye umri wa miaka 94, kwa mauaji, jambo lililochochea uvumi kwamba Havana inaweza kuwa shabaha inayofuata katika orodha ya Washington ya…
Kwa muda sasa, biashara ya dawa zinazodai kuongeza nguvu za kiume imekuwa ikikua kwa kasi kubwa mitandaoni, madukani na hata kwa…
Kwa muda sasa, biashara ya dawa zinazodai kuongeza nguvu za kiume imekuwa ikikua kwa kasi kubwa mitandaoni, madukani na hata kwa wauzaji wa mtaani. Kila kona kuna matangazo yanayoahidi matokeo…
Qalibaf: Iran haina imani na Marekani, haitasalimu amri kuhusu haki zake
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa Iran haina imani yoyote na Marekani na kwamba haitarudi nyuma kamwe katika kutetea haki zake za kitaifa wakati wa mazungumzo…
Jeshi la Iran lasema meli 25 zimepita katika Lango la Hormuz
Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimetangaza kuwa meli 25, zikiwemo meli za mafuta, meli za mizigo (kontena), na meli zingine kibiashara,…
Balozi wa Iran UN apinga madai ya Marekani kuhusu shambulio dhidi ya kinu cha nyuklia cha UAE
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameyatupilia mbali madai ya Marekani kuhusu shambulio la ndege zisizo na rubani (drone) dhidi ya kinu cha kuzalisha umeme…
Mkutano wa nne wa Viongozi wa India na Afrika ulikuwa umepangwa kufanyika kuanzia Mei 28 hadi 31. Katika taarifa ya pamoja, India na AU zimesema zimejadiliana kuhusu “hali ya afya inayoendelea kubadilika” katika baadhi ya maeneo ya bara hilo, na kukubalia
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameyatupilia mbali madai ya Marekani kuhusu shambulio la ndege zisizo na rubani (drone) dhidi ya kinu cha kuzalisha umeme…
Mkutano wa India na Afrika waahirishwa kutokana na mlipuko wa Ebola
Umoja wa Afrika (AU) umekubaliana na India kuahirisha mkutano uliopangwa kufanyika New Delhi kutokana na hofu ya kuenea mlipuko wa Ebola ulioua zaidi ya watu 160 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia…
Mkuu wa afya barani Afrika: Mlipuko wa Ebola unatishia nchi 10 zaidi
Kituo cha Afya cha Umoja wa Afrika kimetahadharisha kuwa nchi kumi za Kiafrika ziko hatarini kuathiriwa na virusi vya Ebola, mbali na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda.
Siri katika maombi ya kujivika silaha za Mungu
Bwana Yesu asifiwe. Mungu ametupa nafasi tena kutafakari neno la Mungu. Somo hili ni mwendelezo...
Kila changamoto huwa ni baraka iliyojificha na muda ndio huwa shahidi mzuri wa siri inayokaa katikati ya mateso na dhiki ingawa …
Kila changamoto huwa ni baraka iliyojificha na muda ndio huwa shahidi mzuri wa siri inayokaa katikati ya mateso na dhiki ingawa si kila mmoja anaweza akaliona hilo. Mwanamama, Rehema Ndoje…
#LaligaEASports Bingwa amehitimisha msimu kwa kichapo kizuri tu…!!!
#LaligaEASports Bingwa amehitimisha msimu kwa kichapo kizuri tu...!!! FT: Valencia 3-1 Barcelona FT: Real Madrid 4-2 Athletic Club. Jiandae kwa game nne za NBC PL kuanzia saa 10:00 jioni ya…
Hekaya za mlevi: Afya ya akili sasa ni kisingizio
Katika michezo ya zamani, mchezo wa “tobo-ngumi” au “tobo-bao” ulikuwa muhimu sana. Lakini...
#SerieA Lazio wamehitimisha msimu kwa shangwe…!!!
#SerieA Lazio wamehitimisha msimu kwa shangwe…!!! FT’: Lazio 2-1 Pisa Game mbili za Laliga bado ziko LIVE #AzamSportsHD #LigiKuuItalia #SerieAUpdates #LazioPisa (Feed generated with FetchRSS)
Mchungaji Msigwa arejea Chadema, aitaja Oktoba 29
Juni 30, 2024 alitangaza kujiunga CCM mbele ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Ikulu jijini...
#DFBPokalFinal Game imekwisha… Bayern Munich mabingwa wa DFB Pokal 2025/26
#DFBPokalFinal Game imekwisha… Bayern Munich mabingwa wa DFB Pokal 2025/26. FT: Bayern 3-0 Stuttgart La Liga inaendelea LIVE #AzamSports1HD na #AzamSports4HD #GermanCup #GermanFootball #DFBPokal #DFB #BayernMunich #VfBStuttgart #BayernStuttgart (Feed generated…
‘Viwango ni msingi wa afya, uchumi’
DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni msingi muhimu wa kulinda afya za wananchi,…
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza Iinawashikilia watuhumiwa zaidi 600 kwa tuhuma za kijinai watano kati yao wakishikiliwa kwa makosa…
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza Iinawashikilia watuhumiwa zaidi 600 kwa tuhuma za kijinai watano kati yao wakishikiliwa kwa makosa ya mauwaji. Akizungumza na wandishiwa habari Kamanda wa polisi Mkoa wa…
Wakati wataalamu wa afya wakiongeza juhudi za kuwasaidia wagonjwa wa fistula kukabiliana na hali hiyo sambamba na kuwapa matibab…
Wakati wataalamu wa afya wakiongeza juhudi za kuwasaidia wagonjwa wa fistula kukabiliana na hali hiyo sambamba na kuwapa matibabu huku elimu kuhusu vyanzo vya ugonjwa huo pia ikiendelea kutolewa kikwazo…
Maandamano yameshuhudiwa katika baadhi ya miji ya Senegal kufuatia kufutwa kazi kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Ousmane Sonko na R…
Maandamano yameshuhudiwa katika baadhi ya miji ya Senegal kufuatia kufutwa kazi kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Ousmane Sonko na Rais, Bassirou Diomaye Faye ambaye pia ni mshirika wake. Je,…
Serikali imesema mpango wa ujenzi wa magati 11 mapya katika Bandari ya Dar es Salaam unatarajiwa kuongeza uwezo wa bandari hiyo …
Serikali imesema mpango wa ujenzi wa magati 11 mapya katika Bandari ya Dar es Salaam unatarajiwa kuongeza uwezo wa bandari hiyo kuhudumia shehena kubwa zaidi za mizigo na kuimarisha nafasi…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeelezwa kuwa Tanzania Railways Corporation itaendelea kuwatumia wataalam…
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeelezwa kuwa Tanzania Railways Corporation itaendelea kuwatumia wataalamu wenye uzoefu wa muda mrefu ndani ya shirika hilo huku hatua maalum…
Shanga za kiunoni raha tupu: Mapambo ya asili yenye maana kubwa kwa mwanamke wa Kiafrika
Shanga za kiunoni ni alama ya kitamaduni na chombo cha kujiamini kwa wanawake wa Kiafrika, zikionyesha historia na mitindo ya kisasa katika jamii.
Serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imehitimisha mafunzo ya elimu ya uraia, utawala bora pamoja na ulinzi na usimamizi w…
Serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imehitimisha mafunzo ya elimu ya uraia, utawala bora pamoja na ulinzi na usimamizi wa mali na rasilimali asilia yaliyokuwa yakitolewa kwa viongozi mbalimbali…