#NBCPL: Prisons imetangulia kwa mkwaji wa penati
#NBCPL: Prisons imetangulia kwa mkwaji wa penati. 15’: Mtibwa Sugar 0-1 TZ Prisons LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #MtibwaSugarVsTZPrisons #MtibwaSugar #Prisons
Dhima ya Mpango ukuaji uchumi, ajira
DODOMA; SERIKALI imesema Dhima ya Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2026/27 – 2030/31 ni mageuzi kwa ajili ya ukuaji wa uchumi jumuishi nau wa ajira.…
Mabadiliko sera za washirika kuathiri mpango na bejeti
DODOMA; SERIKALI imesema uchambuzi wa awali uliofanywa unaonesha kuwa utekelezaji wa mpango na bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26 na muda wa kati unaweza kuathiriwa na mabadiliko ya sera za…
KMC vs MASHUJAA: “Tunazibeba timu zote 15”
KMC vs MASHUJAA: “Tunazibeba timu zote 15” Kocha wa KMC Mohamed Abdallah ‘Bares’ anasema mechi ya kesho itakuwa ngumu na nzuri kutokana na hali ya timu zote mbili japo wao…
Amani, demokrasia vyatajwa ufanisi Mpango Maendeleo
DODOMA; SERIKALI imesema ufanisi wa utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2026/27 utajengwa katika misingi mbalimbali ikiwemo kuendelea kuwepo kwa demokrasia, amani, usalama na utulivu wa ndani…
Saudi Pro League
Saudi Pro League Mechi za leo katika Saudi Pro League Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii. #SaudiProLeague #Azamtvsports
Mawaziri kuwasilisha utekelezaji kila miezi 3
DODOMA; SERIKALI imesema imeandaa mfumo wa ufuatiliaji na upimaji unaozingatia kupima matokeo na uwajibikaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Prof Kitila Mkumbo, ametoa kauli hiyo bungeni…
Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo
DODOMA; SERIKALI imesema gharama za utekelezaji wa Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano zinakadiriwa kuwa Sh trilioni 477. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na…
Ukuaji Pato la Taifa kufikia asilimia 6.9
wa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025 na kuongezeka hadi asilimia 6.3 mwaka 2026 na asilimia 6.9 katika kipindi cha muda wa kati. “Mfumuko wa bei kuwa kwenye wigo wa…
Wanajeshi wa Nigeria wamuua kamanda wa Boko Haram, wapiganaji 10 kaskazini mashariki mwa nchi
Jeshi linasema lilifanya operesheni katika msitu wa Sambisa jimbo la Borno
Mfuko wa akiba wa Taifa kuanzishwa
DODOMA; SERIKALI imesema katika kujenga uchumi imara, jumuishi na shindani, pamoja na hatua zingine, Mpango wa Mendeleo umeelekeza kuanzisha mfuko wa akiba wa Taifa (National Sovereign Wealth Fund). Waziri wa…
Dr Nchimbi warns against the misuse of judicial independence
DODOMA: TANZANIAN Vice President, Dr Emmanuel Nchimbi, has urged judges and magistrates in the country to carry out their duties of delivering justice with professionalism, integrity, and in accordance with…
CARBAO Cup Nusu Fainali Jumanne hii
CARBAO Cup Nusu Fainali Jumanne hii Arsenal watakuwa nyumbani Emirate stadium wakiwakaribisha Chelsea. Katika mchezo wa mkondo wa kwanza Arsenal akiwa ugenini alishinda 3 -2. Je, watashinda nje ndani ama…
#HABARI: Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea mkoani Ruvuma, Mheshimiwa James Karayemaha, amewataka watumishi wa mhimil…
#HABARI: Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea mkoani Ruvuma, Mheshimiwa James Karayemaha, amewataka watumishi wa mhimili wa Mahakama, kutekeleza majukumu yao kwa unyenyekevu mkubwa na kuacha tabia ya…
Visa vya Mauaji, Ubakaji na Utesaji vyaisakama Ethiopia
Wakati serikali ya Ethiopia ikiendeleza operesheni kali za kijeshi dhidi ya waasi katika eneo la Oromia, mzozo huo unaendelea kuwaathiri pakubwa raia, huku pande zote zikilaumiwa kwa ukiukwaji wa haki…
Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika kanda hii siku zote huwa sababu ya kushatadi mivutano.
Katika kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea …
Katika kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea kubuni na kutumia teknolojia mseto ikiwemo uzio wa umeme ili kuimarisha ulinzi na usalama…
”Katika mambo ya elimu… nilikuwa napata taabu kutokana na maisha magumu nyumbani… nilifanya uamuzi mgumu wa kuacha shule nikaan…
''Katika mambo ya elimu… nilikuwa napata taabu kutokana na maisha magumu nyumbani… nilifanya uamuzi mgumu wa kuacha shule nikaanza biashara'' - Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Mzee Said Salim Bakhresa…
Bundesliga: Frankfurt na Bremen wasaka mwelekeo mpya
Kocha mpya wa Eintracht Frankfurt, Albert Riera, ameanza rasmi majukumu yake huku akiahidi kuiboresha timu na kuwarejesha wachezaji katika ubora wao.
Kutana na Lisa Fickenscher mwanadada aliyeamua kujikita katika kazi ya kufundisha Mbwa mbinu mbalimbali ikiwemo ulinzi … ambaye…
Kutana na Lisa Fickenscher mwanadada aliyeamua kujikita katika kazi ya kufundisha Mbwa mbinu mbalimbali ikiwemo ulinzi … ambaye hivi sasa ana ndoto ya kuzalisha mbwa aina mbalimbali na kuwauza ndani…
Roho halisi ya Ilbay inaanza kudhihirika, Osman bado anapigika na Orhan, Begum naye mpango wake unaendelea kuiva
Roho halisi ya Ilbay inaanza kudhihirika, Osman bado anapigika na Orhan, Begum naye mpango wake unaendelea kuiva. Usikose kutazama OTTOMAN leo usiku kuanzia saa 4:00 #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
KUTOKA CONGO: Kikosi cha Singida BS kilivyoianza safari ya kurejea Tanzania kikitokea Congo Brazzaville ambako kilicheza mechi y…
KUTOKA CONGO: Kikosi cha Singida BS kilivyoianza safari ya kurejea Tanzania kikitokea Congo Brazzaville ambako kilicheza mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji wao AS Otoho. Katika mechi…
Serikali ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imesema italazimika kutumia nguvu za kisheria kwa wazazi ambao watoto wao bado hawajarip…
Serikali ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imesema italazimika kutumia nguvu za kisheria kwa wazazi ambao watoto wao bado hawajaripoti shuleni kuanza masomo ya darasa la saba na kidato cha…
Rais Samia kushiriki mkutano wa Dunia Dubai
GAIS inalenga kuunganisha miradi yenye tija barani Afrika na wawekezaji wenye uwezo wa kifedha.
Askari wapya 256 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wamekula kiapo kulitumikia jeshi hilo na kulinda rasimal…
Askari wapya 256 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wamekula kiapo kulitumikia jeshi hilo na kulinda rasimali za Taifa baada ya kuhitimu mafunzo ya jeshi yaliyodumu kwa miezi…
Klabu za Tanzania na mtego mgumu robo fainali CAF
Raundi ya nne ya hatua ya makundi ya mashindano ya Klabu Afrika 2025/2026 ilikamilika jana...
Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa malaria vimetajwa kupungua nchini kutoka vifo 5,431 mwaka 2015 hadi kufikia vifo 1,231 mwaka 2024
Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa malaria vimetajwa kupungua nchini kutoka vifo 5,431 mwaka 2015 hadi kufikia vifo 1,231 mwaka 2024. Hata hivyo, ripoti ya malaria duniani ya mwaka 2024 inaonyesha…
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRL) imekamilisha kazi ya upembuzi …
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRL) imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi wa Reli ya…
Ujerumani yakabiliwa na mgomo wa kitaifa wa usafiri wa umma
Mabasi mengi na treni zinazopita mitaani zimeanza mgomo wa siku nzima wa kitaifa leo Jumatatu nchini Ujerumani, ulioitishwa na chama kikubwa cha wafanyakazi cha Verdi.
Miaka 10 Jela kwa Sheikh Hasina kwa makosa ya ufisadi
Mahakama ya Bangladesh imemhukumu Waziri Mkuu wa zamani Sheikh Hasina, miaka 10 Jela kwa makosa ya ufisadi. Uamuzi huo umetokea wakati serikali ya mpito ikijitayarisha kwa uchaguzi unaoatarajiwa kufanyika Februari…
#MEZAHURU: “MITANDAO YA KIJAMII INAWEZA KUCHOCHEA UKATILI WA KIJINSIA KWA KUDHALILISHA UTU WA WATU, JE, WATUMIAJI WANATAMBUA ATH…
#MEZAHURU: "MITANDAO YA KIJAMII INAWEZA KUCHOCHEA UKATILI WA KIJINSIA KWA KUDHALILISHA UTU WA WATU, JE, WATUMIAJI WANATAMBUA ATHARI HIZI KATIKA JAMII?", 02 FEBRUARI 2026
Yvette Cooper yuko ziarani Ethiopia kujadili uhamiaji
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uingereza Yvette Cooper, amesema atatumia ziara yake nchini Ethiopia kuzungumzia mikakati ya kuwazuwia wahamiaji huko kufika Uingereza.
Kivuko cha Rafah chafunguliwa tena Kusini mwa Gaza
Maafisa wa usalama wa Misri na Israel wamesema kivuko muhimu cha Rafah kinachopakana na Misri Kusini mwa Ukanda wa Gaza, kimefunguliwa.
UN: Ni hatua chanya baada ya miezi 21 ya kufungwa, kivuko cha Rafah chafunguliwa tena
Wakati leo Jumatatu, Februari 2, kivuko cha mpaka wa Rafah kati ya Ukanda wa Gaza na Misri kikianza kufanya kazi tena baada ya miezi ishirini na moja ya kufungwa, mashirika…
YALIYOJIRI JARIDANI LEO: Kivuko cha Rafah/Sudan Kusini njiapanda/Mifereji ya umwagiliaji Dodoma
Kivuko cha Rafah huko Mashariki ya Kati chafunguliwa rasmi Wananchi Sudan Kusini wako njiapanda kuamua wasonge mbele na amani au waendelee na machafuko. UNCDF yaleta matumaini kwa wakulima Dodoma, Tanzania…
Lucy Natasha Afungua Tawi Jipya la Kanisa la ECC Nchini Sudan Kusini baada ya Kufunga la Nairobi
Mhubiri mahiri Lucy Natasha anapanua huduma yake, Empowerment Christian Church (ECC), hadi Sudan Kusini wiki chache tu baada ya kufunga tawi la Nairobi.
Trump atishia kumshtaki mtangazaji wa Grammy wa Afrika Kusini, Trevor Noah
Mchekeshaji Noah, ambaye alitangaza kuwa huu utakuwa mwaka wake wa mwisho kuandaa Grammys baada ya zamu sita kama emcee, amekuwa akiepuka maoni ya kisiasa katika miaka iliyopita.
Iran yapinga IRGC kuorodheshwa kama kundi la kigaidi
Iran imesema imewaita mabalozi wote wa Umoja wa Ulaya waliopo ndani ya Jamhuri hiyo ya kiislamu, kupinga hatua ya Umoja huo, kukiorodhesha kikosi maalum cha walinzi mapinduzi kama kundi la…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….FEBRUARI 03, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....FEBRUARI 03, 2026
Health Minister launches new scan machine for cancer screening at the ORCI
DAR ES SALAAM: THE MINISTER of Health, Mohamed Mchengerwa, has officially launched a PET scan machine used in cancer screening and producing drugs at the Ocean Road Cancer Institute (ORCI)…
Dr Samia heads to the UAE for major global summits
DUBAI: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan is expected to participate in the launch of the Global Africa Investment Summit (GAIS), which will be held alongside the World Governments Summit (WGS) 2026…
Tanzania deploys a mix of technologies to protect communities against wildlife
DODOMA: THE Tanzanian government has continued to adopt and deploy a mix of technologies, including electric fencing, to enhance the safety and security of communities living around national parks and…
#HABARI:Katika kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa Wananchi wanaozunguka Hifadhi na Mapori tengefu, Serikali ime…
#HABARI:Katika kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa Wananchi wanaozunguka Hifadhi na Mapori tengefu, Serikali imeendelea kubuni na kutumia teknolojia mseto ikiwemo uzio wa umeme ili kuimarisha ulinzi na usalama…
TTB adds AFCON, Cultural tourism as major tourist attractions
ARUSHA: THE Tanzania Tourist Board (TTB) has outlined various strategies to promote the country’s tourism attractions, including strengthening global and domestic tourism in efforts to achieve the National Development Vision…
CCM Mbeya yaapa kupambana na wanaowabeza viongozi
Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikisherekea miaka 49 tangu kuanzishwa kwake, wanachama wa...
Serikali kupitia Wizara ya Afya imezindua mashine ya kisasa ya PET Scan katika Hospitali ya Ocean Road, hatua inayotarajiwa kubo…
Serikali kupitia Wizara ya Afya imezindua mashine ya kisasa ya PET Scan katika Hospitali ya Ocean Road, hatua inayotarajiwa kuboresha kwa kiwango kikubwa huduma za uchunguzi na tiba ya ugonjwa…
Majaji, mahakimu wakumbushwa kutenda haki
Majaji na mahakimu mkoani Mara wametakiwa kutenda haki wakati wa kutimiza majukumu yao, hususan...
Waziri pekee mwanamke nchini Syria anavyopambana kuleta mabadiliko
Alipokuwa kiongozi wa upinzani uhamishoni, Kabawat anakiri kwamba serikali imefanya makosa tangu vikosi vya waasi vya Rais Ahmed al-Sharaa vilipoingia katika mji mkuu mnamo Desemba 8, 2024.