Video: Rigathi Gachagua aambia polisi nje ya mahakama atawashughulikia baada ya kuwa rais
Aliyekuwa DP Gachagua anadai Huduma ya Kitaifa ya Polisi haina uhuru, akiashiria matarajio yake ya 2027 alipokuwa akiwahutubia maafisa nje ya Mahakama ya Milimani.
Irrigation projects to get 25bn/- monthly funding
DODOMA: THE government will release 25bn/- every month to finance irrigation projects across the country, to ensure timely completion. Deputy Minister for Agriculture, David Silinde, informed the National assembly yesterday…
Local firms to gain more from mining value chain
DODOMA: TANZANIA is stepping up efforts to ensure the mining sector creates more opportunities for local businesses, with a stronger push to position Tanzanian-owned companies at the centre of the…
TZ, Belarus pledge deeper ties in trade, energy
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Belarus have pledged to further strengthen their diplomatic relations and expand cooperation across key sectors, including energy, infrastructure, investment, education, agriculture, technology, tourism and trade.…
Trump awaomba washauri wake kujiandaa kwa kizuizi cha kijeshi kwa muda mrefu dhidi ya Iran
Juhudi za kukomesha vita nchini Iran zimefikia kikomo. Rais wa Marekani, akiwa hajafurahishwa na pendekezo la hivi karibuni la Iran, amesema siku ya Jumanne, Aprili 28, kwamba Tehran iliifahamisha Marekani…
Tofauti za kisiasa zisiwe chanzo cha mgawanyiko
Baada ya matukio ya Oktoba 29, 2025 wakati wa uchaguzi mkuu, Watanzania wengi walijikuta katika...
Atletico, Arsenal kibaruani leo Ligi ya Mabingwa Ulaya
Leo Atletico Madrid wataikaribisha Arsenal katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali wa Ligi ya...
The 4Rs in practice: Measuring Tanzania’s political reforms since 2021
DAR ES SALAAM: WHEN President Samia Suluhu Hassan assumed office in March 2021, she introduced a governing philosophy built around four pillars: reconciliation, resilience, reforms and rebuilding, collectively known as…
New measures to end sugar, edible oil shortages
DODOMA: THE government has outlined measures to curb recurring shortages of edible oil and sugar, with a comprehensive production strategy set for implementation in the 2026/27 financial year. Presenting the…
Afrika Kusini: DRC yawataka raia wake kuwa waangalifu kufuatia maandamano dhidi ya wageni
Ubalozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nchini Afrika Kusini umetoa wito kwa raia wa Kongo wanaoishi nchini humo kuwa macho kufuatia ripoti za maandamano ya chuki dhidi ya Wageni…
Tanzania secures 3.34tri/- SGR financing deal
DODOMA: THE government has signed a 1.277 billion US dollar (about 3.34tri/-) financing facility for the execution of Lots 3 and 4 of the Standard Gauge Railway (SGR) project, marking…
Serikali yatoa wito wa utulivu kutokana na uvumi kuhusu hali ya wahamiaji nchini DRC
Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari wa DRC, Patrick Muyaya, ameuwasihi umma kuwajibika na kuwa watulivu kuhusu uwepo wa wahamiaji nchini hmo. Katika mahojiano na Redio na Televisheni ya…
Injinia Mkenya apewa Dabi ya Kariakoo Muungano
Kamati ya Mashindano ya Muungano imepindua meza, baada ya kufuata mwamuzi Kenya wa kuamua...
Inquiry asserts report credibility
Cites solid evidence, warns against scapegoating DAR ES SALAAM: THE Commission of Inquiry into the October 29th 2025 incident has affirmed the authenticity and integrity of its report, stressing that…
FYATU MFYATUZI: Fyatu kuwafyatua mafyatu wanaofyatua kumkosoa
Juzi si nilifyatua uteuaji na utenguaji. Katika kufanya hivyo, si nikampa ulaji swahiba yangu...
PSG, Bayern zaacha rekodi usiku wa Ulaya
PSG na Bayern Munich zimeoneshana ubabe ndani ya dakika tisini zilizoacha rekodi kabambe katika...
Sudan Kusini: Zaidi ya watu Milioni nane wanakabiliwa na tishio la njaa
Watu zaidi ya Milioni nane nchini Sudan Kusini, wapo kwenye hatari kubwa na kukabiliwa na njaa kali kufuatia kuendelea kwa vita vinavyosababisha maelfu ya watu kuyakimbia makaazi yao. Imechapishwa: 29/04/2026…
Marekani yawekea vikwazo mashirika 35 na watu binafsi wanaohusishwa na ‘mfumo wa benki uliofichwa’ wa Iran
Marekani inasema, "Mitandao hii inaruhusu vikosi vya kijeshi vya Iran, pamoja na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kufikia mfumo wa fedha wa kimataifa."
Kikosi cha polisi wa Kenya charejea kutoka nchini Haiti
Kikosi cha mwisho cha polisi wa Kenya waliotumwa kukabiliana na magenge ya wahalifu nchini Haiti, wamerejea nchini mwao baada ya kuhitimisha misheni yao licha ya makundi yenye silaha kuendelea kudhibiti…
Mwanaume aliyetangazwa kufa na kuzikwa arudi nyumbani baada ya siku moja
Mwili ulipelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Masindi, ambapo matangazo yalitolewa kwa watu wenye watu waliopotea ili kusaidia katika utambuzi.
Hatima ya utawala wa kijeshi Mali baada ya shambulio la waasi ni ipi?
Jeshi liliingia mamlakani ili kuimarisha usalama lakini mashambulizi ya wikendi yametilia shaka hilo.
DRC: Makataa ya kuachiwa kwa wafungwa yapita bila kutekelezwa
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, makataa ya yaliyokubaliwa kati ya waasi wa M23/AFC na serikali ya Kinshasa, kuachiliwa huru kwa wafungwa kutoka pande zote, yamepita bila ya kutekelezwa. Imechapishwa:…
Je, Marekani Inao Utayari wa Kuachana na Sera na Ndoto Yake ya Kuipigisha Magoti Iran?
Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani katika serikali ya Joe Biden, ametoa taswira wadhiha na ya wazi ya sifa maalumu za mwenendo wa Iran katika mazungumzo ambayo…
Tetesi za soka Ulaya: Tottenham inamfukuzia Rashford
Tottenham wanamtaka Marcus Rashford iwapo watasalia ligi kuu, Anthony Gordon huenda akaondoka Newcastle, huku Arsenal wakifuatilia kwa karibu hali ya Victor Osimhen ili kumnunua.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 29, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Joto Dabi ya Kariakoo, Mkenya akabidhiwa rungu
KAMATI ya Mashindano ya Kombe la Muungano imepindua meza, baada ya kufuata mwamuzi Kenya wa kuamua mchezo wa Fainali kati ya Yanga dhidi ya Simba.
Serikali yatoa Sh22 milioni kuhamasisha matumizi ya nishati safi Shuleni
Serikali imetoa majiko pamoja na tanki la gesi la nishati ya kupikia yenye thamani ya Sh22...
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: APRILI 28, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: APRILI 28, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
European Union drone push raises global risks
BRUSSELS: EUROPEAN Union plans to expand drone production linked to Ukraine are raising concerns about economic strain within Europe and spillover effects on vulnerable economies, particularly in Africa, as geopolitical…
Uchambuzi wa Thomas Kibwana, mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia, kuhusu bajeti ya maendeleo ya vijana
Uchambuzi wa Thomas Kibwana, mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia, kuhusu bajeti ya maendeleo ya vijana. #kilichoborakabisa (Feed generated with FetchRSS)
Uchambuzi wa Thomas Kibwana, mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia, kuhusu MAPOKEO ya ripoti ya tume ya jaji othman Chande
Uchambuzi wa Thomas Kibwana, mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia, kuhusu MAPOKEO ya ripoti ya tume ya jaji othman Chande. #kilichoborakabisa (Feed generated with FetchRSS)
CDF notes child marriage woes despite having legal frameworks to protect her rights
DAR ES SALAAM: CHALLENGES in the implementation of policies and laws, alongside harmful cultural practices and low parental awareness, have been identified as key drivers of child abuse and child…
Tanzania conducts a comprehensive assessment of the 30 percent tax imposed on forest products export
DODOMA: THE Tanzanian government has announced it will continue conducting a comprehensive assessment of the 30 percent tax imposed on the export of forest products, with the aim of protecting…
#HABARI: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imezindua mabasi matatu mapya ya watumishi yaliyogharimu zaidi ya shilingi milio…
#HABARI: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imezindua mabasi matatu mapya ya watumishi yaliyogharimu zaidi ya shilingi milioni 500 kwa lengo la kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza ufanisi. Naibu…
Uchambuzi wa Thomas Kibwana, mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia, kuhusu miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Uchambuzi wa Thomas Kibwana, mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia, kuhusu miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar #kilichoborakabisa (Feed generated with FetchRSS)
Hizi hapa hesabu mpya kuelekea Kariakoo Dabi
Kuna hesabu mpya za Kocha wa Simba, Steve Barker na yule wa Yanga, Pedro Goncalves kuelekea...
Ushirikiano mpya wafungua fursa za masoko
DAR ES SALAAM:SHIRIKISHO la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limesaini rasmi Hati ya Makubaliano (MoU) na Kituo cha Taifa cha Kukuza Mauzo ya Nje (NEPC) cha Jamhuri ya Belarus, ikiwa ni…
Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt
Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Salim Slim, amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa malaria baada ya maambukizi…
Mwili wa mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Hashim Kambi aliyefariki dunia jana baada ya kufariki ghafla, umezikwa leo katika mak…
Mwili wa mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Hashim Kambi aliyefariki dunia jana baada ya kufariki ghafla, umezikwa leo katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam. Maziko hayo yamehudhuriwa na watu…
Katika maadhimisho ya siku ya usalama na afya mahali pa kazi yaliyofanyika mkoani Njombe, wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali wa…
Katika maadhimisho ya siku ya usalama na afya mahali pa kazi yaliyofanyika mkoani Njombe, wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali wameeleza namna changamoto za kisaikolojia zinavyoweza kuathiri utendaji wa kazi na kuzorotesha…
Tuache watoto waishi kama watoto, tusiwatwishe majukumu ya kiutu uzima
Katika kukomesha ndoa za utotoni pamoja na mila na desturi kandamizi kama ukeketaji jamii...
Tume ya Jaji Chande yajibu mapigo, yataka haki kwa uwajibikaji
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29...
Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa utalii
ZIMBABWE: Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji leo Aprili 28, 2026 amewasili nchini Zimbabwe kushiriki Mkutano wa Pili wa Kikanda wa Shirika la Utalii Duniani. Mkutano huo unalenga…