Wamiliki hoteli wapewa neno AFCON 2027
ARUSHA: Wamiliki wa hoteli nchini wametakiwa kujipanga na kuboresha huduma zao ikiwemo miundombinu ya malazi,kuelekea AFCON 2027 ambapo inakadiriwa Tanzania itapokea watalii laki tatu kwa siku. Akizungumza Aprili 23 wakati…
Yanga, Azam patachimbika nusu fainali, mziki uko hapa
Yanga inalenga kutetea taji hilo ililochukua msimu uliopita ilipoifunga JKU bao 1-0, wakati...
Wapalestina wapiga kura katika uchaguzi wa manispaa, uchaguzi wa kwanza tangu vita vya Gaza
Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi na wengine huko Gaza wameanza kupiga kura leo Jumamosi, Aprili 25, kuwachagua mameya wao. Kwa jumla, karibu watu milioni 1.5 wamejiandikisha kupiga kura katika Ukingo…
Jiongeze: Mose Iyobo na Mondi kama Steven Wasira
Mzee Steven Masatu Wassira, ndiye mtu aliyehudumu awamu zote sita. Tangu enzi za Nyerere...
PM warns against council leadership wrangles
ARUSHA: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has cautioned leaders of Local Government Authorities (LGAs) against engaging in internal wrangles, saying such disputes are undermining grassroots development. Speaking at the Special…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja kusoma kwa bidii na kuzi…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja kusoma kwa bidii na kuzingatia masomo yao ili kuongeza kiwango cha ufaulu shuleni hapo.…
#HABARI: Vifo vya wanawake na watoto wachanga wakati wa kujifungua wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, vimepungua kutoka vifo vya…
#HABARI: Vifo vya wanawake na watoto wachanga wakati wa kujifungua wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, vimepungua kutoka vifo vya watoto 17 hadi 5 na mama mmoja, hadi sifuri katika kipindi cha…
Colombia na Venezuela zatangaza ushirikiano wa kijeshi dhidi ya makundi ya mafia
Wakati wa ziara ya Gustavo Petro huko Caracas, rais wa Colombia na rais wa mpito wa Venezuela wametangaza siku ya Ijumaa, Aprili 24, ushirikiano kati ya vikosi vyao vya kijeshi…
Kiongozi Muadhamu: Umoja wa Wairani umetoa pigo kubwa kwa safu za adui
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, amepongeza athari kubwa ya umoja wa kitaifa, akisema mshikamano wa wananchi wa Iran umevuruga kwa kiasi kikubwa safu za maadui.
Viongozi wa Iran wamwambia Trump: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye msimamo wa wastani; sote ni Wairani na wanamapinduzi
Wakuu wa Mihimili Mitatu ya Iran wamejibu madai ya uongo ya Rais Donald Trump Marekani kwamba kuna mgawanyiko ndani ya nchi na kusema: Hatuna watu wenye msimamo mkali na wenye…
Mtoto wa Rihanna aweka rekodi akiwa na miezi sita
Mtoto wa staa wa Pop na RnB kutokea Marekani, Rihanna (38), Rocki Irish, ameandika historia kwa...
Jeshi la Nigeria lauwa magaidi 25 na kuzima njama yao kaskazini mashariki mwa nchi
Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeuwa magaidi 25, akiwemo kamanda wao wa ngazi ya juu katika hujuma ya magaidi hayo iliyozimwa na jeshi dhidi ya jamii moja kaskazini mashariki mwa…
Malaria: WHO yaidhinisha dawa mpya kwa watoto wachanga
Wakati siku ya Malaria Duniani inaadhimishwa leo Jumamosi, Aprili 25, Shirika la Afya Duniani limethibitisha awali dawa mpya ya malaria katika mfumo wa vidonge vinavyoweza kuchanganywa na maziwa . Kwa…
Iran yafika Pakistan kwa mazungumzo, Marekani yasubiri mapendekezo ya Tehran
Hata hivyo, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema hakuna mipango ya mazungumzo ya ana kwa ana kati ya pande hizo mbili, akibainisha kuwa ujumbe wa Iran…
Nani hufanya maamuzi nchini Iran?
Donald Trump ameutaja uongozi wa Iran kuwa "umegawanyika" na kusema Marekani inasubiri Tehran kuwasilisha "pendekezo la umoja".
Wajumbe wa Donald Trump wanatarajiwa Pakistan kwa mazungumzo na Iran
Mazungumzo kati ya Marekani na Iran ili kukomesha vita yanatarjiwa kuanza tena leo Jumamosi Aprili 25, huku wajumbe kutoka pande zote mbili wakisafiri hadi Islamabad, ingawa majadiliano ya moja kwa…
Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara…
Mgogoro wa binadamu nchini Sudan waongezeka baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran
Uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran katika Vita vya Ramadhani na ukosefu wa usalama katika Mlango-Bahari wa Hormuz na kuzingirwa kwake na Marekani, ambayo ndiyo njia kuu ya…
Lebanon: Hezbollah yakataa mazungumzo ya moja kwa moja na Israel na inapinga kupokonywa silaha
Licha ya kuongezwa kwa muda wa wiki tatu wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon yaliyotangazwa na Donald Trump siku ya Alhamisi, Aprili 23, mvutano unaendelea kati…
Aoun: Lengo la Israel katika kuwaua waandishi wa habari ni kuficha uhalifu wake
Rais wa Lebanon ameeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya mwandishi wa habari wa nchi hiyo na kujeruhiwa mwandishi mwingine wa habari katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel kusini…
Saida Karoli arudi mjini, ataka kurudisha jina lake
Siyo jambo baya mtu kupambania anachokipenda. Yaani ni sawa na zile simulizi za washikaji ambao...
Hamas: Uhalifu Mpya Kaskazini mwa Gaza Unaonyesha Kutokuwa na Uwezo wa Bodi ya Amani
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kwamba mauaji ya kutisha yaliyofanywa na jeshi utawala vamizi la Israel huko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, ambayo yamewalenga…
Uturuki: Wachimbaji wagoma kula Ankara wakidai mishahara Isiyolipwa
Wachimbaji madini zaidi ya mia moja kutoka kampuni ya Doruk Madencilik wamekuwa wkiandamana mbele ya Hifadhi ya Kurtulus katikati mwa Ankara kwa siku kadhaa. Wachimbaji hao madiniambao wanatokea katika jiji…
Utafiti wa IRIB: Wairani wengi wanaunga mkono msimamo wa mapambano dhidi ya Marekani na Israel
Baada ya vita vya siku 40 vya muungano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran, utafiti wa kitaifa uliofanywa na Kituo cha Utafiti cha Shirika la…
… ‘It’s credible, scientific report’
DAR ES SALAAM: TANZANIANS from across the political spectrum, religious institutions, and civil society have expressed strong support for the Presidential Commission of Inquiry report into the violence that occurred…
Iran yaonya kuhusu mgogoro wa chakula duniani kutokana na vita vya kigaidi vya Marekani
Waziri wa Kilimo wa Iran, Gholamreza Nouri, amesema kuwa mashambulizi na vitendo vya uchokozi vya Marekani vina madhara makubwa kwa usalama wa chakula duniani, na vinatoa kikwazo kikubwa katika kufanikisha…
Burkina Faso: Watu 28 wamefariki katika shambulio dhidi ya kambi ya kijeshi ya Bagmoussa
Askari kadhaa na wasaidizi wao kutoka Volunteers for the Defense of the Homeland (VDP) pia wameripotiwa kutoweka kufuatia shambulio lililotokea mapema siku ya Jumatano asubuhi, Aprili 22. Imechapishwa: 25/04/2026 –…
Law sector anchors 775bn/- reform drive
DODOMA: THE government has unveiled a 775bn/- budget for the 2026/27 financial year, placing the legal sector at the centre of reforms to strengthen justice delivery, rule of law and…
ROAD MAP FOR RECONCILIATION: Samia initiatives win kudos
DAR ES SALAAM: Samia initiatives win kudosANALYSTS, religious leaders and stakeholders have commended President Samia Suluhu Hassan’s national roadmap for reconciliation and constitutional reform following the submission of the Presidential…
DRC: Mkuu mpya wa MONUSCO afanya ziara yake ya kwanza Goma
Akikabidhiwa mamlaka hayo tangu Aprili 7, James Swan amewasili siku ya Ijumaa, Aprili 24, katika mji mkuu wa Kivu Kaskazini, unaodhibitiwa na AFC/M23, kwa ziara ya siku mbili, ambapo amekutana…
Tetesi za soka Ulaya: Rogers azigonganisha Arsenal, Man United
Morgan Rogers hana neno kuhamia Ulaya, Manuel Akanji anatarajiwa kuhamia moja kwa moja Inter Milan, huku Manchester City wakiwa na imani ya kumsajili Elliot Anderson.
Pandemic Fund facilitates Community Actors to report public health signals in 90 high-risk districts
DODOMA: THE Ministry of Health’s goal to enable the 90 high-risk districts to detect and respond to public health threats races towards the desired goal as community actors are being…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 25, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Dk Nchimbi asema serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya elimu
Makamu wa Rais Tanzania, Dk Emamanuel Nchimbi amesema Serikali zote mbili zishirikiana katika...
Dr Samia elevates three institutional officials with minor changes in the diplomatic area
DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has appointed three officials to various institutions and made a minor reshuffle in the diplomatic area. A statement issued today, April 24, 2026, by the…
Kenya Yaondoka Katika Orodha ya Nchi 10 Tajiri Zaidi Barani Afrika Kulingana na Ripoti ya Hivi Punde
Kenya imedondoka kwenye nafasi ya mataifa tajiri 10 Afrika katika ripoti ya HelloSafe ya 2026, ikiwa nyuma ya Ushelisheli na Mauritius, ambazo zinaongoza kiuchumi
Aliyetarajia kujifungua ‘pacha’ watatu ajifungua wanne, aomba msaada
Mama mkazi wa Newland TPC, mkoani Kilimanjaro, Rachael Simba (28), amejifungua watoto wanne...
WLF steps into the Tanzanian spotlight as a unifying platform for women leaders
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S newly formed Women in Leadership Forum (WLF) has stepped into the public spotlight, positioning itself as a unifying platform for women leaders committed to shaping the…
Ndege ya kwanza yatua Sumbawanga baada ya uwanja kukamilika
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amewataka wananchi kutumia vyema fursa zinazotokana...
Uwanja wa ndege Sumbawanga tayari kwa matumizi
SUMBAWANGA: MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) imefanya majaribio ya kutua na kuruka kwa ndege katika kiwanja cha ndege cha Sumbawanga baada ya kukamilika kwa ujenzi wake. Majaribio hayo…
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amefungua mafunzo ya siku tatu yenye le…
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amefungua mafunzo ya siku tatu yenye lengo la kuwajengea uelewa wataalamu wa TARURA kutoka TAMISEMI, ofisi…
Operesheni maalumu ya Polisi Tanga yanasa 69
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limewakamata watuhumiwa 69 wanaohusishwa na makosa mbalimbali...
Kufuatia kuongezeka kwa matukio ya mauaji ya maafisa usafirishaji na uporaji wa pikipiki katika kipindi cha miezi mitatu katika …
Kufuatia kuongezeka kwa matukio ya mauaji ya maafisa usafirishaji na uporaji wa pikipiki katika kipindi cha miezi mitatu katika eneo la Miembe Mingi mtaa wa usule Kata ya Mbugani Manispaa…
MSD kuingiza dawa ya kuponya uraibu wa pombe nchini
Katika hatua inayotarajiwa kuleta nafuu kwa waraibu wa pombe na familia zao, Bohari ya Dawa...
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt Jabiri Bakari kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA)
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt Jabiri Bakari kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA). Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu kupitia taarifa yake amesema…
Gicheha Farm: Ndani ya Shamba Kubwa Lililoko Northlands City Inayomilikiwa na Familia ya Kenyatta
Gundua kuhusu Gicheha Farm, kitovu cha mifugo na maziwa cha familia ya Kenyatta cha ekari 5,000 katika Northlands City, ikianganzia changamoto na umuhimu wa kilimo.
Kutoka ubunge hadi Ikulu: Kizigha apewa jukumu la kumshauri Rais
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za Serikali...
Balozi Mobhare Matinyi amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria
Balozi Mobhare Matinyi amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria. Tarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu imesema kuwa uteuzi wa Balozi Matinyi…
Mwakilishi wa Balozi wa Tanzania nchini China, Khatibu Makenga, amesema ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi umeendelea …
Mwakilishi wa Balozi wa Tanzania nchini China, Khatibu Makenga, amesema ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi umeendelea kuimarika katika kukuza biashara na diplomasia ya uchumi kwa Watanzania wanaoishi…
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Peter Philip MWASALYANDA kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCR…
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Peter Philip MWASALYANDA kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Mhandisi Mwasalyanda ambaye alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote…