Aga Khan yazindua mfumo wa kielektroniki wa kumbukumbu za wagonjwa
Utekelezaji huo, umezingatia Mpango wa One Health wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN).
#HABARI: Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limeutaarifu umma, wanachama wake, washirika, na wadau kuhusu mabadiliko ya…
#HABARI: Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limeutaarifu umma, wanachama wake, washirika, na wadau kuhusu mabadiliko ya uongozi wa Shirikisho. Oktoba 3, 2025, Baraza la Uongozi la TPSF lilimsimamisha kazi…
#Habari: Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupitia Kamati ya Sera ya Fedha (MPC), imeamua kubakiza Riba ya Benki Kuu (CBR) katika kiw…
#Habari: Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupitia Kamati ya Sera ya Fedha (MPC), imeamua kubakiza Riba ya Benki Kuu (CBR) katika kiwango cha asilimia 5.75 kwa robo ya kwanza ya…
Wizara ya Katiba na Sheria imesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) pamoja na Legal Services Facility…
Wizara ya Katiba na Sheria imesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) pamoja na Legal Services Facility, kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma za msaada wa…
Vaibu la mapokezi ya Taifa Stars
KULIKUWA na vaibu la aina yake jana wakati wa tukio la kuwasili kwa kikosi cha Taifa Stars kilichorejea kikitokea nchini Morocco lilikoenda kushiriki Fainali za 35 za Kombe la Mataifa…
Serikali yasema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali wadogo kote nchini ili waweze kunufaika kiuchumi kupitia s…
Serikali yasema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali wadogo kote nchini ili waweze kunufaika kiuchumi kupitia shughuli zao jambo litakalosaidia kuboresha maisha yao kuchangia pato la taifa kupitia kodi watakayozalisha.
#Habari: Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), kupitia kwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Halima Lutavi, imetangaza kuchukua h…
#Habari: Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), kupitia kwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Halima Lutavi, imetangaza kuchukua hatua kali dhidi ya kampuni ya usafirishaji iliyohusika na kashfa ya usafirishaji wa dawa…
Machafuko Aleppo: Raia waombwa kuondoka mara moja
Maafisa nchini Syria wamewataka raia kuondoka katika maeneo yanayozozaniwa ya mji wa Aleppo kaskazini mwa Syria.
#Habari: Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kusini, limeteketeza bidhaa mbalimbali zisizofaa kwa matumzi ya binadamu iki…
#Habari: Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kusini, limeteketeza bidhaa mbalimbali zisizofaa kwa matumzi ya binadamu ikiwemo nguo za ndani za mitumba, vipodozi na vinywaji vyote vikiwa na thamani…
Waasi wa AFC/M23 wazika miili ya waliouwawa Masisi
Waasi wa AFC/M23 wamefanya mazishi ya miili ya watu 22 waliofariki katika mashambulizi yaliyofanywa na droni za serikali ya Kinshasa katika kipindi cha zaidi ya miezi miwili.
Bunge la Seneta lamjia juu Trump sakata la Venezuela
Miongoni mwa Wabunge wanaounga mkono muswada huo, Rand Paul amesema kuwa kupitishwa kwa muswada...
Ajira mpya 1,000 zanukia, madereva na mafundi viyoyozi…
Mchakato wa kuwapata vijana hao na ajira zingine zinazotarajiwa kutangazwa mchakato utaanza...
Je tamaa ya Trump kuitaka Greenland itaivuruga NATO?
Marekani imesema Rais Donald Trump anatafakari njia kadhaa ikiwemo hatua za kijeshi za kuichukua Greenland licha ya Denmark kuonya vikali kwamba shambulio lolote litaashiria kuvunjika kwa muungano wa kijeshi wa…
#Habari: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanya operesheni mwishoni mwa Disemba, 2025, na kufaniki…
#Habari: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanya operesheni mwishoni mwa Disemba, 2025, na kufanikiwa kukamata kilogamu 9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki kumi na moja…
Abiria na watumiaji wa huduma za viwanja vya ndege Zanzibar wamehimizwa kutembelea Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzi…
Abiria na watumiaji wa huduma za viwanja vya ndege Zanzibar wamehimizwa kutembelea Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar katika Kituo cha maonesho Dimani ili kutambua haki zao wanapokuwa…
TPSF yasitisha mkataba wa ajira wa Maganga, sababu yatajwa
Taarifa hiyo inaeleza kuwa baada ya kukamilika, ripoti ya ukaguzi wa kiuchunguzi ilipitiwa...
Taifa Stars yapokelewa kwa heshima
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema nchi hiyo sasa ni mshindani halisi wa michuano ya AFCON baada ya Taifa Stars kufuzu hatua ya 16…
Pwani yajipanga ushindani kimataifa uwekezaji wa viwanda
Kunenge amesisitiza umuhimu wa watendaji wa Serikali kufanya kazi kwa ushirikiano na mshikamano...
Uchaguzi Mkuu 2025 wapingwa Mahakama ya Afrika Mashariki
Magoti na Wangwe wamefungua shauri hilo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania na...
Kupitia kipindi cha #CloudsE kinachorushwa na Clouds TV, muigizaji na mtayarishaji wa filamu Patrick Kanumba ameweka wazi kuwa a…
Kupitia kipindi cha #CloudsE kinachorushwa na Clouds TV, muigizaji na mtayarishaji wa filamu Patrick Kanumba ameweka wazi kuwa amefanikiwa kutimiza karibu asilimia 80 ya malengo yake ya mwaka 2025. Amesisitiza…
Wananchi Shinyanga walia sauti za mlipuko kwenye bodaboda, DC atoa maagizo
Katika mkutano wa hadhara unaohusisha usikilizwaji wa kero za wananchi katika Halmashauri ya...
Serikali kuifufua hoteli ya kitalii Musoma, ajira kwa wananchi zamulikwa
Serikali inatarajia kuifufua hoteli ya kitalii ya Musoma ambayo imeacha kufanya kazi kwa zaidi...
Maandamano yatanda Marekani huku utawala wa Trump ukimtetea ajenti wa ICE aliyempiga risasi na kumuua mwanamke
Maandamano makubwa yameenea kote nchini Marekani baada ya wakala wa Idara ya Uhamiaji na Forodha (ICE) kumpiga risasi na kumuua mwanamke huko Minneapolis, huku Makamu wa Rais, JD Vance akitetea…
Stars yapokewa kishujaa Dar
Mamia ya wakazi walijitokeza jana kwa hisia kubwa na furaha kuikaribisha timu ya taifa ya...
Ludewa kugeukia kilimo cha ufuta
Zaidi ya wananchi 450 kutoka vijiji vya Tarafa za Masasi na Mwambao wilayani Ludewa, wameanza...
TMA yatoa tahadhari kwa wavuvi, wananchi waishio mabondeni
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imetoa tahadhari kwa wavuvi na...
Muhudumu wa kasino kortini akidaiwa kuiba ‘cheap’ za kuchezea kamari
Muhudumu wa Kasino ya Da Tang, Aisha Kadry (29) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo,...
Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) linapenda kuuarifu umma, Wanachama wake, Washirika, na Wadau kuhusu mabadiliko ya uo…
Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) linapenda kuuarifu umma, Wanachama wake, Washirika, na Wadau kuhusu mabadiliko ya uongozi wa Shirikisho. Tarehe 3 Oktoba 2025, Baraza la Uongozi la TPSF lilimsimamisha…
Basi lakutwa na shehena ya skanka
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewataka wamiliki wa vyombo vya...
Afrika Kusini: Hatutazuia mpango wa Washington wa kuwapa hifadhi wazungu waliowachache
Afrika Kusini imesema haitapinga mpango wenye utata wa serikali ya Washington wa kuwapeleka Marekani raia wazungu walio wachache wa Afrika Kusini.
Bobi Wine kutathmini mikataba ya mafuta iwapo atachaguliwa kuwa rais Uganda
Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kuwa iwapo atapata ridhaa wa wananchi ya kuliongoza taifa hilo, basi atapitia upya mikataba ya mafuta ya nchi hiyo.
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imesema imetenga zaidi ya Bilioni 10 kwa ajili ya kuboresha miundombinu na mazingira ya uto…
Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imesema imetenga zaidi ya Bilioni 10 kwa ajili ya kuboresha miundombinu na mazingira ya utoaji elimu na ujifunzaji kwa ajili ya muhula wa…
Japan ni kati ya mataifa ambayo wananchi wake hufanikiwa kuishi miaka mingi na kuufikia uzee hadi wa miaka 84 nakuendelea
Japan ni kati ya mataifa ambayo wananchi wake hufanikiwa kuishi miaka mingi na kuufikia uzee hadi wa miaka 84 nakuendelea. Wanafanikiwaje kwenye hili..? @Marcel__Kitabu leo ametupelekea mpaka #KWAWENZETU hawa na…
Bobi Wine: Nitapitia upya mikataba ya mafuta ya Uganda iwapo nitachaguliwa Rais
Bobi Wine mgombea mkuu wa upinzani katika uchaguzi wa kiti cha urais nchini Uganda uliopangwa kufanyika wiki ijayo, amesema kuwa atapitia upya makubaliano yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na makampuni…
Papa Leo amteua Askofu Lyimo kuongoza jimbo jipya la Bariadi
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Mhashamu Askofu Mteule Lyimo alizaliwa Agosti 20, 1964 ambapo baada...
Wacolombia waandamana kulaani vikali vitisho vya kijeshi vya Trump
Maelfu ya wananchi wa wa Colombia wamefanya maandamano nchi nzima kulaani vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yao kama vile vya kuishambulia kijeshi Venezuela.
Jamii ya wamasai iko katika hatari kubwa Tanzania
Zoezi la kuondolewa watu wa kabila la Wamaasai kutoka kwenye ardhi ya mababu zao Tanzania, kwaajili ya kuwavutia watalii kwenye eneo la kuvutia la Ziwa Natron linawaweka hatarini baadhi ya…
Huyu Karesi bey kuna kitu anakitafuta, Gonja anagundua siri ya Begum hatun
Huyu Karesi bey kuna kitu anakitafuta, Gonja anagundua siri ya Begum hatun. Usikose kutazama OTTOMAN leo usiku kuanzia saa 4:00 usiku. #AzamTWO
Wakazi wa Greenland: Tuna wasiwasi na mashinikizo ya Marekani kwa ajili ya kujimilikisha kisiwa hiki
Wakazi wa kisiwa cha Greenland wameelezea wasiwasi wao kuhusu nia ya Marekani ya kujimilikisha kisiwa hicho kikubwa katika eneo la Aktiki, huku mijadala kuhusu mamlaka ya kujitawala ardhi hiyo ikipamba…
Mapinduzi Cup yaiamsha ZFF
OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Mohamed Kabwanga, amesema kilichotokea katika maandalizi ya Kombe la Mapinduzi 2026, kimewapa chachu ya kuboresha Ligi Kuu Zanzibar.
#HABARI: Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amezungumza baada ya kukipokea kikosi cha…
#HABARI: Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma 'Mwana FA' amezungumza baada ya kukipokea kikosi cha timu ya Taifa Stars kikitokea nchini Morocco ambapo walikuwa wakishiriki mashindano…
🔴MEZA HURU: MAENDELEO SOKA LA VIJANA- .JANUARI 08 2025
🔴MEZA HURU: MAENDELEO SOKA LA VIJANA- .JANUARI 08 2025
Wazazi wakumbushwa kuwasimamia watoto kielimu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu Zanzibar, Dk Saada Mkuya Salum amesema maendeleo ya elimu...
Kauli ya Guterres baada ya Marekani kujitoa katika baadhi ya taasisi za UN
Michango kwa bajeti ni kwa mujibu wa Chata ya UN UN kuendelea kutekeleza majukumu inayopatiwa na nchi wanachama UN ina wajibu ya kuhudumia wahitaji
Licha ya kuhimili mitikisiko, mivutano ya kibiashara na madeni vyatwamisha hali ya uchumi duniani – UN
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inasema ukuaji wa uchumi duniani unatarajiwa kukua kwa asilimia 2.7 mwaka 2026, kiwango ambacho ni chini kidogo ya asilimia 2.8 iliyokadiriwa mwaka 2025, na…
Walinda amani wa Tanzania TANZBATT-12 waunga mkono ujenzi wa amani Kivu Kaskazini
Huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) ambako walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanatekeleza jukumu la ulinzi wa amani, mwaka 2026 umeanza kwa kikao mahsusi…
Kutoka Somalia hadi Uingereza: Simulizi ya kiongozi wa Jamii wa Diaspora
Safia Jama, mzaliwa wa nchini Somalia na kiongozi wa diaspora anayeishi nchini Uingereza, ametumia zaidi ya miongo miwili kuwaunga mkono wanawake na familia kupitia juhudi zinazoongozwa na jamii. Safari yake…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….JANUARI 08, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....JANUARI 08, 2025
#HABARI: Huu ndio msafara wa Taifa Stars mara baada ya kutua nchini ikitokea nchini Morocco kushiriki mashindano ya AFCON 2025 a…
#HABARI: Huu ndio msafara wa Taifa Stars mara baada ya kutua nchini ikitokea nchini Morocco kushiriki mashindano ya AFCON 2025 ambapo ilifanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora. Powered by #MCHEZOSUPA…
BoT: Uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza kuwa, uchumi wa Tanzania ulikua kwa asilimia 5.9 pungufu...