Mgomo na maandamano yazuka Kenya kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta
Maandamano dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta yamezuka katika miji kadhaa nchini Kenya siku ya Jumatatu huku athari mbaya za vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran zikiendelea…
Mgomo wa magari ya abiria watatiza shughuli nchini Kenya
Raia wa Kenya, hivi leo wamepata wakati mgumu kufika kwenye maeneo yao ya kazi kufuatia mgomo uliotangazwa na wamiliki wa magari ya abiria na bodaboda ulioanza hivi leo kushinikiza serikali…
Fahamu mpango wa Kenya wa kukabiliana na changamoto za makazi
Tumeamua kufanya mpango wa makazi kuwa nguzo kuu ya mpango wetu wa maendeleo, amesema Rais wa Kenya William Ruto hii leo akihutubia Jukwaa la 13 la Makazi Mijini, (WUF13) huko…
Hakuna linalotuhusu bila sisi; Watoto wapaza sauti
Kundi la watoto na vijana kutoka nchi mbalimbali duniani limezindua viwango maalum vya kuhakikisha ushiriki wao wenye mantiki katika mikutano na matukio ya kimataifa yanayohusu maisha yao, chini ya kauli…
Bado safari ni ndefu kwa dunia kujiandaa ipasavyo dhidi ya milipuko ya magonjwa
Teknolojia za kisasa zina nafasi kubwa lakini udhibiti ni muhimu ili ziendane na maadili Ushahidi unatisha—imani imetoweka na ukosefu wa usawa ni dhahiri Utashi wa kisiasa kuimarisha huduma za afya…
Changamoto za afya duniani hazijawahi kuwa kubwa kiasi hiki – Guterres kwa Baraza la Afya la Dunia
Changamoto za afya duniani hazijawahi kuwa kubwa kiasi hiki ameeleza Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kupitia ujumbe alioutuma kwa njia ya video kwa washiriki wa Mkutano wa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….MEI 18, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....MEI 18, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Cuba yasisitiza haki yake ya kujilinda kufuatia tishio la hujuma ya kijeshi kutoka Marekani
Balozi wa Cuba katika Umoja wa Mataifa amesisitiza haki ya nchi yake kujilinda dhidi ya uwezekano wowote wa uvamizi wa kijeshi kutoka Marekani, kwa mujibu wa sheria za kimataifa na…
#HABARI:…“Mimi kwa kweli waheshimiwa wabunge sina changamoto na watu wa utalii neno linaloitwa utalii sina changamoto nalo ombi …
#HABARI:…“Mimi kwa kweli waheshimiwa wabunge sina changamoto na watu wa utalii neno linaloitwa utalii sina changamoto nalo ombi langu wapunguze safari za kwenda nje kutangaza, wanatumia hela za serikali hovyo,…
Video ya Rachel Wandeto akiapa kutoifuta picha ya Ruto aliyojichora yazuka baada ya kifo chake
Mwimbaji Rachel Wandeto alifariki baada ya shambulio la petroli na kuzua ghadhabu kuhusu uaminifu wake kisiasa na picha ya Rais Ruto huku wito ukiongezeka wa haki.
Dawasa mtaa kwa mtaa kupunguza upotevu wa maji
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imeanza kuziba mabomba...
Bakwata yatangaza Eid ya kuchinja Mei 27 Dar
Eid El Adh’haa, ni sikukuu ya pili katika Uislamu inayosherehekewa kukumbuka utayari wa Nabii...
Tanzania, Marekani zapanga mkataba mpya wa afya kuwa mfano Afrika
Mazungumzo hayo yalifungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa afya kati ya nchi hizo mbili, huku...
Tanzania launches Bima Debate competition heading to June 6 Insurance celebrations
DAR ES SALAAM: STAKEHOLDERS of the insurance sector have continued providing education to students through the “Bima Debate” competition, organized as part of preparations for Insurance Day celebrations scheduled to…
Jackline Wanjiru: Mama Akumbuka Nyakati za Mwisho za Bintiye Aliyeuwawa kwa Shambulio la Asidi
Familia moja huko Embu inaomboleza Jackline Wanjiru mwenye wa miaka 27, ambaye aliaga dunia kutokana na kuungua vibaya baada ya kumwagiwa tindikali akielekea kazini.
Video za droni zilizorushwa na Hezbollah zaonesha jinsi kundi hilo lilivyobadili mfumo wa kuishambulia Israel
Droni hizo ndogo, zimetumiwa sana na wapiganaji wa Kundi hilo la Hezbollah, katika operesheni zao dhidi ya Israel.
Sikia utani wa wasemaji, mmefungwa na mtoto wa miaka tisa
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Mwili wa mtoto aliyepotea wakutwa na majeraha usoni
Baada ya kutoweka kwa takriban siku sita, Alfa Nyalusi (7), mkazi wa Mtaa wa Kibena mkoani...
Eliza na safari ya kupambania ndoto, kuvunja ukimya kupitia mradi wa Pamoja Tuwalinde Jijini Tanga
Katika adhuhuri moja yenye joto la wastani jijini Tanga, Eliza (si jina lake halisi) anaonekana...
Msikie kocha Steve Barker baada ya kuichapa TRA United
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Yanga, Azam zapelekwa Mwanza nusu fainali shirikisho
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepanga mechi ya nusu fainali ya Kombe la...
Mfumo wa uanagenzi kufungua ajira kwa vijana
DAR ES SALAAM: Wadau wa maendeleo ya ujuzi nchini wameeleza kuwa kuimarishwa kwa mfumo wa uanagenzi (apprenticeship) unaozingatia mwongozo wa kimataifa wa mafunzo ya uanagenzi wa Shirika la Kazi Duniani…
Wanafunzi wapigwa msasa elimu matumizi ya bima
DAR ES SALAAM: WADAU wa sekta ya bima nchini wameendelea kutoa elimu kwa wanafunzi kupitia mashindano ya “Bima Debate” yaliyoandaliwa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Bima…
Yanga, Azam zapelekwa Mwanza, Simba yarudishwa Arusha
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepanga mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, baina ya Yanga na Azam FC kuchezwa Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba, Juni…
‘Mzazi Hodari’ project transforms parenting, child safety in Arusha
ARUSHA: IN many communities, lasting change does not always begin with policies, large investments or government directives. More often, it starts with ordinary people who recognise a challenge around them…
Wadau wataka uimarishaji wa mfumo wa uanagenzi kuongeza ajira kwa vijana
Kwa sasa zaidi ya vijana 5,000 wanapatiwa mafunzo ya uanagenzi katika vyuo 46 nchini kupitia...
Mnyukano mpya wa CCM, Chadema Mbeya, waitana jukwaani
Mbeya. Siku chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzindua mikutano yake...
SMZ kutumia Sh1 trilioni kuimarisha huduma za afya mwaka 2026/30
Kiwango hicho cha fedha kinachopangwa kutumika kwa miaka mitano ijayo ni ongezeko la zaidi ya...
TELECOMMUNICATIONS company Airtel…
TELECOMMUNICATIONS company Airtel Tanzania and technology firm Huawei have reaffirmed their commitment to strengthening communication services in Tanzania through modern technologies and innovation showcased during the Huawei Mini Mobile World…
Shakira kunogesha Kombe la Dunia 2026
Ni wanamuziki wengi wamepata nafasi ya kutumbuiza katika michuano ya Kombe la Dunia la FIFA...
WHO yatangaza tahadhari kimataifa, Ebola ikisambaa Afrika Mashariki
Kwa mujibu wa WHO, hadi Mei 16, jumla ya wagonjwa wanane waliothibitishwa maabara na wagonjwa...
Rachel Wandeto: Mwanamuziki aliyeshambuliwa kwa kujichora picha ya William Ruto afariki dunia
Mwimbaji Rachel Wandeto alifariki dunia baada ya kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana, miezi kadhaa baada ya kusambaa kwa kujichora picha ya Rais William Ruto.
Mgomo wa daladala Kenya wazua taharuki
Waendesha matatu wamesema wamechukua hatua hiyo baada ya serikali kutangaza ongezeko jipya la...
Patrick Wangamati: Babake Aliyekuwa Gavana wa Bungoma Wycliffe Wangamati Amefariki
Familia ya aliyekuwa gavana wa Bungoma Wycliffe Wangamati inaomboleza kifo cha babake, Mzee Patrick Wangamati, aliyeaga Mei 18 akipokea matibabu.
Idadi kubwa ya watu walionyongwa duniani kote mwaka 2025, Iran na China zinaongoza
Idadi ya mauaji duniani kote ilifikia kiwango cha juu zaidi mwaka wa 2025 huku mauaji yaliyorekodiwa yakifikia angalau 2,707, ongezeko la 78% ikilinganishwa na mwaka 2024. Ongezeko hili, kubwa zaidi…
Mexico: Kumi waangamia katika shambulio la watu wenye silaha katika jimbo la Puebla
Mamlaka ya Mexico imetangaza siku ya Jumapili kwamba angalau watu kumi waliuawa katika shambulio la watu wenye silaha katika jiji la Tehuitzingo, katika jimbo la mashariki mwa kati la Puebla.…
Vita vya Mashariki ya Kati: Israel yapanua operesheni za kijeshi nchini Lebanon
Angalau watu 19 wameuawa nchini Lebanon katika mashambulizi ya anga ya Israel katika kipindi cha saa 24 zilizopita, siku ya mwisho ya usitishaji mapigano, ambayo iliongezwa kwa siku 45 wakati…
Mvulana wa Mombasa Amwaga Machozi ya Furaha baada ya Mamake Kumzawadi Gari Akitimiza Miaka 18
Mama wa Mombasa amegusa mioyo baada ya kumzawadia mwanawe gari katika siku yake ya kuzaliwa ya 18, na kusifu unyenyekevu wake na bidii yake akiingia katika utu uzima
OMG, kundi la rapu lililosumbua mitaani
Ndani ya Bongofleva kumewahi kujitokeza makundi mengi ya marapa na baadaye kupotea, mojawapo ni...
Hali ya kiafya ya mwanamuziki Abdalla Hemba bado tete
Msanii wa muziki wa dansi wa bendi ya Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde Ngoma ya Ukaye’, Abdalla...
Kim Jong-un anatafuta kuimarisha mstari wa mbele dhidi ya ‘adui yake mkuu’ Korea Kusini
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ametoa wito wa kuimarisha vitengo vya kijeshi vya mstari wa mbele dhidi ya “adui wake mkuu, Korea Kusini,” shirika la habari la serikali, KCNA,…
Kipaji kinavyomjazia noti Curry
Ijumaa wiki iliyopita, jarida la Forbes lilitoa orodha ya wanamichezo wanaoingiza kiasi kikubwa...
Kombe la Dunia 2026 linaanza lini, na maswali mengine kuhusu Kombe la Dunia la kwanza lenye timu 48
Michuano hii itafanyika kati ya 11 Juni hadi 19 Julai, ikiwa na muda wa rekodi wa siku 39, yaani siku 10 zaidi ya Kombe la Dunia la Qatar, na zaidi…
Magazetini Wahudumu wa Matatu Watangaza Kusitisha Shughuli Kufuatia Gharama ya Mafuta
Mgomo wa sekta ya usafiri kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta unaanza leo, petroli ikiongezeka kwa KSh 16.65 na dizeli KSh 46.29. Shughuli zimesitishwa kote nchini
Magazetini Wahudumu wa Matatu Watangaza Kusitisha Shughuli Kufauta Gharama ya Mafuta
Mgomo wa sekta ya usafiri kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta unaanza leo, petroli ikiongezeka kwa KSh 16.65 na dizeli KSh 46.29. Shughuli zimesitishwa kote nchini
Mgomo wa Matatu: Super Metro Yasitisha Shughuli Huku Maandamano Makubwa ya Mafuta Yakinusia
Kampuni ya uchukuzi ya Super Metro imetangaza kusimamisha shughuli zake Jumatatu, Mei 18. Kampuni hiyo ilitaja mgomo wa mafuta uliopangwa kufanyika nchini kote.
Carrick apigiwa chapuo kuinoa mazima Man United
Beki wa zamani wa Manchester United, Gary Neville amemsifu kaimu meneja wa timu hiyo, Michael...
Darmanin kuzuru Algiers, hatua mpya katika mahusiao kati ya Ufaransa na Algeria
Gérald Darmanin atasafiri kwenda Algiers Jumatatu kwa ziara fupi inayolenga “kurejesha uhusiano wa kimahakama” kati ya Ufaransa na Algeria. Imechapishwa: 18/05/2026 – 07:23 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya…
Zambia: Mashirika ya kiraia yana wasiwasi kufuatia kuvunjwa kwa Bunge
Zambia ilivunja Bunge lake Ijumaa, Mei 15, chini ya miezi mitatu kabla ya uchaguzi wa urais mnamo Agosti 13. Kuvunjwa kwa bunge hili kumezua maswali na wasiwasi miongoni mwa mashirika…