Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji…
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika…
MAYELE NDANI YA KOMBE LA DUNIA
MAYELE NDANI YA KOMBE LA DUNIA Mshambuliaji wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele amejumuhishwa kwenye kikosi cha nyota 26 watakaounda timu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ‘The…
SINGIDA BS: “…hii ni mechi kubwa”
SINGIDA BS: “…hii ni mechi kubwa” Kikosi cha Singida BS kimetua Dar es salaam tayari kwa maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Yanga utakaopigwa Mei 22, kwenye Dimba la KMC…
YANGA SC: “….tuna mechi tisa tu kutetea mataji yetu mawili”
YANGA SC: “….tuna mechi tisa tu kutetea mataji yetu mawili” Kikosi cha Yanga kinarejea mazoezini kesho Mei 19 baada ya mapumziko ya siku mbili, kuanza maandalizi kuelekea mchezo wao dhidi…
Chama Cha ACT-Wazalendo kimeshauriwa kumaliza tofauti zinzokwamisha uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanz…
Chama Cha ACT-Wazalendo kimeshauriwa kumaliza tofauti zinzokwamisha uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanzibar na kujitahidi kushughulikia malalamiko waliyonayo wakiwa ndani ya serikali. Joseph Mpangala ana maarifa…
Mambo matatu Rio Ferdinand akitua Tanzania
Kwa Tanzania ujio wa Ferdinand ni jambo lenye maana na umuhimu mkubwa kwa nchi na hilo...
Wachimbaji wadogo wa madini Mkoani Geita wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
Wachimbaji wadogo wa madini Mkoani Geita wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake kubwa za kuimarisha sekta ya madini nchini, hatua inayozidi…
Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kumaliza miradi ya zamani kabla ya kuanzisha mipya
Dodoma. Serikali imetakiwa kuwekeza nguvu katika umaliziaji wa miradi ya zamani kabla ya...
Tabora yaongoza uzalishaji wa asali Tanzania
Ameongeza kuwa takriban asilimia 65 ya misitu ya Tabora imefunikwa na miti ya miyombo, hali...
Marekani yaanza kuhamisha raia wake, mlipuko wa Ebola DRC
Mlipuko huu ni wa 17 wa Ebola kutokea DRC tangu virusi hivyo vilipogunduliwa kwa mara ya kwanza...
Kijana auawa Arusha kisa hajasalimia
Inadaiwa aliwasalimia vijana watatu kwa kuwapa mkono kwa ishara ya ‘tano’ huku akiwaacha wawili...
Heche: Tutasema ukweli hadi mwisho licha ya vitisho
Heche amesema chama hicho hakiwezi kufumbia macho changamoto zinazowakabili wananchi, ikiwamo...
William Ruto Afanya Mkutano wa Mtandaoni wa Dharura na Mawaziri Maandamano ya Mafuta Yakitikisa Nchi
Rais William Ruto aliitisha kikao cha dharura cha Mawaziri akiwa Baku, Azerbaijan, huku maandamano makubwa ya mafuta na matatizo ya usafiri yakiikumba Kenya.
Wito umetolewa kwa Serikali kuongeza kasi ya kutatua migogoro ya ardhi ili kudumisha amani na kuimarisha imani ya wananchi kwa u…
Wito umetolewa kwa Serikali kuongeza kasi ya kutatua migogoro ya ardhi ili kudumisha amani na kuimarisha imani ya wananchi kwa uongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wito huo…
Israel ilianzisha vipi vituo vya kijeshi nchini Iraq na madhara yake ni yapi?
Gazeti la Marekani la New York Times limeandika katika ripoti yake kwamba, Israel imeanzisha vituo viwili vya kijeshi vya siri ndani ya ardhi ya Iraq kwa ajili ya kusaidia operesheni…
Mwanamke wa Kiambu Aliyechomewa Gari Wakati wa Maandamano Githurai Azungumza
Wanandoa wanakadiria hasara baada ya gari lao, lililowekwa vifaa vya kampeni ya UDA kuchomwa na waandamanaji Githurai kukiwa na maandamano ya bei ya mafuta Mei 18.
Iran yasema mazungumzo kati yake na Marekani yanaendelea
Iran kupitia Wizara yake ya Mambo ya nje, imesema mazungumzo na Marekani yanaendelea kupitia Pakistan ambaye ni mpatanishi kwa lengo la kupata mkataba wa kudumu, ili kumaliza vita vya Mashariki…
Wahudumu wa matatu waapa kuendelea na mgomo wa kitaifa hadi bei ya mafuta ishuke
Wahudumu wa uchukuzi Kenya wanadumisha kusimamisha nchi nzima, wakiteta kupanda kwa bei ya mafuta na ushuru. Wameapa kuendelea na mgomo wao hadi gharama zipungue.
Mayele kuijaza mamilioni Pyramids FC Kombe la Dunia
Pyramids FC inaweza kuvuna fedha zaidi kutoka FIFA iwapo DR Congo itafanikiwa kuingia hatua za...
Serengeti Boys uso kwa uso na vigogo Kombe la Dunia
Baada ya kuwa timu ya kwanza Afrika kufuzu Fainali za Kombe la Dunia kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 zitakazofanyika Qatar baadaye mwaka huu, Serengeti Boys inapaswa kujiandaa…
Serengeti Boys anga la vigogo Kombe la Dunia
Serengeti Boys imefuzu mashindano hayo baada ya kujihakikishia kutinga robo fainali ya Fainali...
Mike Sonko Amkabidhi Mwanawe wa Kuasili Gift Osinya KSh 200K Akisherehekea Bathidei Yake ya 25
Mike Sonko alisherehekea bathidei ya 25 ya mwanawe wa kuasili Gift Osinya kwa karamu kubwa Nairobi, wakishiriki zawadi za dhati na tafakari kuhusu safari yao pamoja.
Taifa Stars yaomba kundi gumu AFCON
WAKATI droo ya mashindano ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 ikipangwa kufanyika leo jijini Cairo, Misri, timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imetamba kuwa inatamani kupangwa…
Baraza jipya la mawaziri kivuli ACT Wazalendo, Mpina ndani
Mbunge wa zamani wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina, ametangazwa kuwa Naibu Waziri Mkuu katika...
Saratani inavyotesa watoto, KCMC kufanya utafiti
Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), imesema wataalamu wake watafanya utafiti...
Kairuki oversees 40bn/- NBC-BII MSME financing deal
DAR ES SALAAM: Tanzania’s Minister for Information, Communication and Information Technology, Angela Kairuki, has overseen the signing of a financing partnership worth more than 40bn/ between National Bank of Commerce…
Yusuf Chippo arejeshwa Mtibwa Sugar
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umemrejesha kikosini kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya, Yusuf Chippo baada ya kumweka pembeni tangu Mei 6, 2026, kutokana na mwenendo usioridhisha wa kikosi hicho katika…
INEC yawarejesha wagombea udiwani walioenguliwa Chato
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewarejesha wagombea udiwani watano kutoka kata ya...
Tano Ligi Kuu wanawake kupigwa leo
BAADA ya jana kupigwa mechi moja ya Ligi ya Wanawake Tanzania (TWPL) kati ya mabingwa watetezi, JKT Queens dhidi ya Tausi FC, leo ligi hiyo itaendelea zikipigwa mechi tano za…
Chipukizi United yazipigia hesabu mechi za nyumbani
Chipukizi United baada ya kuvuna alama tatu ugenini, sasa inarejea nyumbani kisiwani Pemba kujiandaa ya michezo minne ya kukamilisha msimu wa 2025-2026 ndani ya Ligi Kuu Zanzibar.
Kilama: Tafiti zisaidie jamii, zisiishie kwenye makaratasi
Wasomi, watafiti na wabunifu nchini Tanzania wametakiwa kuhakikisha kazi zao za kitaaluma...
William Ruto kukutana na Mawaziri akirejea Kenya huku maandamano ya bei ya mafuta yakitikisha nchi
Rais Ruto anapigia debe Mpango wa Makazi ya bei nafuu Kenya katika Kongamano la Dunia la Miji huku maandamano ya kitaifa yakizuka kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta
Bifu la Jay Z na Nas chanzo ni hiki…
Vita vya maneno kati ya Jay-Z na Nas vimeendelea kutajwa kama moja ya migogoro mikubwa zaidi...
Serikali kuwabana wanaotukana mtandaoni, mawakili wapewa jukumu
Serikali imesema haitawavumilia wanaotumia mitandao ya kijamii na majukwaa mbalimbali ya...
Video ya aliyekuwa Gavana wa Kitui Charity Ngilu akizipapasa ndevu za jamaa yaibuka tena
Video ya aliyekuwa Gavana wa Kitui Charity Ngilu akipapa ndevu za kijana mmoja katika hafla ya umma imeibuka tena kwenye mitandao na kuwaacha Wakenya wakiburudika.
#HABARI: Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetenga siku 90 za kutekeleza mpango maalum wa kukabi…
#HABARI: Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetenga siku 90 za kutekeleza mpango maalum wa kukabiliana na changamoto ya upotevu wa maji katika mikoa ya…
Wanaodaiwa kutumia Nida za wenzao kusajilia laini, waendelea kusota rumande
Upelelezi kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara na mkazi wa Madale, Gilbert...
Wawakilishi waikalia kooni Wizara ya Kilimo, wakiitaka kutumia teknolojia
Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ikiomba kuidhinishiwa Sh181.8 bilioni...
Rais wa Iran: Marekani, Israel zinapandikiza chuki baina ya Waislamu
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba tawala za Marekani na Israel zinaendeleza miradi ya kuzusha migawanyiko na kueneza hali ya kutoaminiana ili kuyagonganisha mataifa ya Kiislamu.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azungumza na wenzake huku mvutano na Marekani ukitokota
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti na mawaziri wenzake wa Ufaransa, Qatar, Uturuki, na Korea Kusini, siku ya Jumapili, ili…
🔴MEZA HURU- LESENI YA UDEREVA -.MEI 16 2026
🔴MEZA HURU- LESENI YA UDEREVA -.MEI 16 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Uganda yapitisha sheria ya kudhibiti ushawishi wa kigeni
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametia saini sheria mpya inayolenga kudhibiti ushawishi wa kigeni nchini humo.
Mlipuko wa Ebola nchini DR Congo unatia wasiwasi kiasi gani?
Mlupuko wa Ebola nchini DR Congo umetangazwa kuwa dharura ya kiafya, huku karibu visa 250 vikiripotiwa.
Mgomo na maandamano Kenya kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta
Maandamano dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta yamezuka katika miji kadhaa nchini Kenya siku ya Jumatatu huku athari mbaya za vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran zikiendelea…
Mgomo na maandamano yazuka Kenya kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta
Maandamano dhidi ya kupanda kwa bei ya mafuta yamezuka katika miji kadhaa nchini Kenya siku ya Jumatatu huku athari mbaya za vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran zikiendelea…