EASTER CELEBRATION: Samia urges compassion
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has extended Easter greetings to all Tanzanians, calling for renewed commitment to unity, peace and compassion as the nation marks the resurrection of…
Rosatom inaendelea kupanua shughuli zake za madini kimataifa kupitia ushirikiano mpya na Brazil, kwa kuanzisha kampuni ya pamoja…
Rosatom inaendelea kupanua shughuli zake za madini kimataifa kupitia ushirikiano mpya na Brazil, kwa kuanzisha kampuni ya pamoja itakayoshughulika na utafiti na uendelezaji wa madini muhimu kwa teknolojia za kisasa.…
Vibanda 500 vyateketea kwa moto Simu 2000 Dar
Zaidi ya vibanda 500 inaelezwa vimeungua katika Stendi ya Simu 2000 iliyopo Wilaya ya Ubungo...
Vibanda vya wafanyabishara eneo la Mawasiliano Jijini Dar es Salaam vimeteketea kwa moto
Vibanda vya wafanyabishara eneo la Mawasiliano Jijini Dar es Salaam vimeteketea kwa moto. Inaelezwa kuwa moto huo umeibuka ghafla leo jioni na kuteketeza baadhi ya vibanda hivyo vilivyo katika eneo…
Yanga yatakata, jahazi la Prisons likizidi kudidimia NBC PL
BAADA ya kutoka sare tatu mfululizo, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 3-0, dhidi ya maafande wa Tanzania Prisons, katika mechi iliyopigwa Kwenye Uwanja…
Azam vs Simba: Historia, ushindi na presha zikijumuika Mzizima Dabi
WAKATI leo Jumapili Wakristo wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka inayoendana na kumbukumbu ya tukio la kufufuka kwa Bwana Yesu, Jiji la Dar es Salaam sherehe hizo zitanogeshwa na mechi kali ya…
Mwenyekiti IEBC afafanua kuhusu wapiga kura wa zamani kujiandikisha upya baada ya Wakenya kuteta
IEBC ilifafanua kuwa ni wapiga kura waliokosa usajili wa kibiometriki wa 2012 pekee ambao wanapaswa kusasisha maelezo yao, ikisema orodha ya sasa inabaki sahihi.
Baresi alivyomaliza siku 94 KMC
UONGOZI wa KMC FC umefikia makubaliano ya kuachana na Abdallah Mohamed ‘Baresi’, kwa maku-baliano ya amani ya pande zote mbili, huku kocha huyo akidumu kwa siku 94, sawa na miezi…
Katibu wa Wizara ya Petroli, Bosi wa EPRA wajiuzulu baada ya kukamatwa sakata la uagizaji mafuta
Rais Ruto alithibitisha kujiuzulu kwa maafisa watatu wakuu wa mafuta, huku IEBC ikiahidi kuwajibika huku uchunguzi ukiendelea kuhusu madai ya ukiukwaji wa sheria.
Hali ya mambo yamtisha Laizer Fountain
KICHAPO cha mabao 3-0 ilichokipata Fountain Gate dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara, Aprili 3, 2026 kwenye Uwanja wa Airtel Singida, kimemtisha Kocha Mohamed Ismail ‘Laizer’…
Mzunguko wa 21 ZPL, furaha, vilio na migongano
MZUNGUKO wa 21 wa Ligi Kuu Zanzibar umemalizika kwa kuacha furaha na majeraha kwa baadhi ya timu huku zingine zikiwa na vilio kwa kunyimwa haki zao.
Dabi yaua mmoja Peru
KATIKA hali ya kushanga lililokuwa tukio la “kupeperusha bendera” ya Klabu ya Alianza Lima kabla ya mechi ya dabi ya Peru dhidi ya Universitario de Deportes lilimalizika kwa kifo cha…
Matheo Antony alilia nafasi Mbeya City
KATIKA dakika 630 alizocheza mshambuliaji wa Mbeya City, Matheo Antony amefunga mabao mawili, lakini pamoja na hilo amesema haujawa msimu mzuri kwake kutokana na kukosa nafasi ya kucheza mara kwa…
EAC: Bei ya juu ya mafuta yaathiri sherehe za pasaka
Wakati huu Wakristo nchini Uganda wakijiandaa kuadhimisha Pasaka, msimu ambao kwa kawaida huambatana na watu kusafiri, familia kukutana na sherehe, wengi safari hii wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha kutokana…
Ukosefu wa mfumo wapoteza fedha na vipaji kwenye Riadha
KWA miaka mingi, Tanzania imekuwa uwanjani, lakini si kwenye mbio za fedha kubwa za riadha duniani.
DRC: Mazungumzo kati ya serikali na M23 kurejelewa mwezi Aprili
Marekani na Qatar, zimeitisha raundi mpya ya mazungumzo kati ya waasi wa M23 na Serikali ya DRC, mazungumzo yaliyopangwa kufanyika katikati ya mwezi huu huko Uswis, hii ni kwa mujibu…
Fofana: Kutoka kuwa mfalme langoni hadi benchi Azam FC
WAKATI matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC, walipotangaza kumsajili kipa Issa Fofana, raia wa Ivory Coast, katika dirisha kubwa la usajili la msimu huu, baadhi ya mashabiki…
Mshery: Ushindani na nidhamu ndizo funguo Yanga
NDANI ya klabu kubwa kama Yanga, maisha ya mchezaji yanazunguka zaidi ya dakika 90 za uwanjani. Ni maisha yanayohitaji nidhamu, uvumilivu, ushindani wa hali ya juu na uwezo wa kukabiliana…
Serengeti Girls inalitaka Kombe la Dunia
MONASTIR: TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Girls), imemaliza kambi yake ya mazoezi mjini Monastir kwa sare ya bila kufungana dhidi ya…
Mashujaa, Pamba zashindwa kutambiana Kigoma
MAAFANDE wa Mashujaa wameshindwa kutamba Kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini, Kigoma, baada ya kulazimishwa suluhu (0-0), dhidi ya kikosi cha Pamba Jiji, 'TP Lindanda' au 'Wanakawekamo', katika mechi kali…
Moto umeibuka na kuteketeza vibanda vya wafanyabiashara wadogo katika eneo la Mawasiliano, huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bad…
Moto umeibuka na kuteketeza vibanda vya wafanyabiashara wadogo katika eneo la Mawasiliano, huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijajulikana. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha moto huo na athari zake…
Queenfident Masterclass seeks to unlock opportunities for Tanzanian women
DAR ES SALAAM: THE upcoming Queenfident Masterclass 2026, scheduled on April 11th in Dar es Salaam, is set to equip women with the confidence, mindset, and practical tools needed to…
First test for Huwel as Kisarawe Rally readies for a rev off on April 26
DAR ES SALAAM: DEFENDING champion Ahmed Huwel from Iringa faces his first test on April 26, 2026, when Kisarawe Fally, the 2025 National Rally opener, revs off on April 25…
Mbuzi mwenye jinsi mbili azua taharuki Geita, daktari atoa ufafanuzi
Mmiliki wa mbuzi huyo, Catherine Kachwele, mkazi wa eneo hilo, amesema alijikuta katika hali ya...
Man City yaichakaza Liverpool, Haaland akitamba
Katika mchezo huo, Erling Haaland ameifungia Manchester City mabao matatu (hat trick) huku...
Samia mgeni rasmi mkutano mamalishe, babalishe
Amesema utambuzi huo utafungua milango kwa wanachama kupata mikopo pamoja na programu za...
Wawili mbaroni kwa tuhuma za mauaji, maiti yaokotwa shambani
Mtoto wa marehemu Kashinje Selemani, amesema baada ya kupata taarifa alikwenda nyumbani na...
Diwani aingilia kati kupanda nauli Simanjiro
Simanjiro. Diwani wa Kata ya Loiborsiret wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Ezekiel Lesenga...
Mbunge ataka umoja, mshikamano wanawake
DAR ES SALAAM: MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Amina Said amewataka wanawake wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Mabibo kushikamana kwani wanawake ni kioo…
Ngorongoro kuwa darasa la waongoza watalii
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema msimu wa 11 wa mashindano ya waongoza watalii ya Safari Field Challenge utakuwa wa kipekee, ukitoa nafasi kwa washiriki kujifunza…
Wasanii wasisitizwa vyanzo vya mapato endelevu
DAR ES SALAAM: WASANII wa filamu nchini wametakiwa kujikita kutafuta vyanzo endelevu vya mapato ili kujihakikishia maisha bora ya sasa na ya baadaye, huku wakihimizwa kuongeza ushindani wao katika soko…
Mwili anayedaiwa kuuawa na mpenziwe, kuzikwa tena leo
Mwili wa Athumani Nyanza umekabidhiwa kwa familia yake, siku 47 tangu ulipofukuliwa kutoka...
35 mbaroni kwa wizi wa vifaa vya SGR, Shinyanga
Shinyanga. Katika oparesheni ya Machi, Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limefanikiwa kukamata...
Rais Samia mgeni rasmi mkutano mamalishe
DAR ES SALAAM: RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkubwa wa Mamalishe na Babalishe kutoka kote nchini utakaofanyika Aprili 11, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa…
Gideon Moi kwa mzaha asema hayuko tayari kumwachilia bintiye wa pekee aolewe: “Ni ngumu”
Mwenyekiti wa KANU Gideon Moi ameelezea wasiwasi wake kuhusu kumwachilia binti yake, Lulu aolewe, kwenye harusi ya rafikiye, akionyesha upendo wa baba kutoka moyoni.
Kwa nini saa ina dakika 60, na sio 100?
Wanamapinduzi waliamua kuwa siku igawanywe katika saa 10 badala ya 24. Kila saa ingekuwa na dakika 100 za desimali, na kila dakika ingegawanywa katika sekunde 100.
Kuongezeka kwa tishio la mabomu ya ardhini, Katibu Mkuu UN atoa wito wa hatua za kimataifa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa , Antonio Guterres ameonya vikali kuhusu hatari inayoongezeka inayosababishwa na mabomu ya ardhini na mabaki ya milipuko ya vita, akizitaka nchi kuchukua hatua za…
Mourinho apigiwa upatu kurejea Man United
Kiungo wa zamani wa Manchester United, Nicky Butt amemtaja Jose Mourinho kama mtu sahihi wa...
Kifo cha kamanda Iran chazua hofu Mashariki ya Kati
Hofu ya kuendelea kwa vita Mashariki ya Kati imeongezeka baada ya kushambuliwa kwa Kiongozi wa...
Mfumo wa stakabadhi za ghala umeendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wakulima, ukionyesha wazi kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa taifa…
Mfumo wa stakabadhi za ghala umeendelea kuwa mkombozi mkubwa kwa wakulima, ukionyesha wazi kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa taifa Katika msimu wa mwaka 2025/2026, mfumo huo umeingiza mapato…
Madereva sita wakamatwa kwa ulevi, wafungiwa leseni miezi sita Mwanza
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata madereva sita wa magari kwa kosa la kuendesha...
Kenya Pipeline yamteua kaimu Mkurugenzi Mtendaji baada ya kukamatwa kwa Joe Sang sakata la mafuta
Kampuni ya Kenya Pipeline imemteua kaimu Mkurugenzi Mkuu baada ya kukamatwa kwa Joe Sang kwa madai ya kuhusika katika uingizaji wa mafuta yasiyo ya kiwango.
#HABARI: Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Bagamoyo, Baba Askofu Stephano Lameck Musomba, amekemea tabia ya kuzorota kwa m…
#HABARI: Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Bagamoyo, Baba Askofu Stephano Lameck Musomba, amekemea tabia ya kuzorota kwa maadili na kupotea kwa utu katika jamii. Akihubiri wakati wa…
Dr Samia to bless Tanzania’s food vendors at the conference on April 11
DAR ES SALAAM: TANZANIAN President Samia Suluhu Hassan is expected to be the guest of honor at a major national conference bringing together food vendors from across the country. The…
Barabara ya Ifakara – Mlimba iliyokatika yaanza kupitisha magari madogo
Usafiri wa treni maarufu kwa jina la ‘kipisi’ unaounganisha Mlimba na Ifakara umeendelea kuwa...
Mkurugenzi mtendaji wa KPA William Ruto ahusika katika ajali pamoja na familia, ampoteza binti yake
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari za Kenya, Kapteni William Ruto, Amehusika Katika qjali ya barabarani. Familia iko katika hali nzuri; KPA imetoa rambirambi.
Tanzania launches new management policy to enhance efficient use of public resources.
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan is set to officially launch the National Supply Chain Management Policy on April 8, 2026, in a move aimed at strengthening transparency, accountability…
Aliyeua kwa bisibisi ahukumiwa kunyongwa
Mauaji hayo yalitokea Aprili 2, 2024 katika eneo la Mwananyamala kwa Sindano, wilayani Kinondoni.
#HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaotib…
#HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaotibiwa saratani katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC). Hatua…
Binti yake Charles Keter afunga ndoa katika sherehe ya kifahari ya harusi ya kitamaduni
Waziri wa zamani Charles Keter alishuhudia harusi ya kitamaduni na ya kifahari ya bintiye Tracey ambaye alimuoza kwa Robin huko Chepsir. Watu mashuhuri walihudhuria.