Raundi ya 18 NBC Premier League kuanza kupigwa leo Ijumaa
Raundi ya 18 NBC Premier League kuanza kupigwa leo Ijumaa. Je, timu gani kuchukua ama kudondosha alama tatu? Usikose kutazama michezo hii mbashara kupitia AzamSports1HD. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000…
Jinsi mkakati wa vita wa Iran ulivyowashangaza Marekani na Israel
Balozi wa zamani wa Marekani katika NATO, Ivo Dalder, akijibu hotuba hiyo, alisema kuwa kauli ya Trump imezua "mashaka kuhusu malengo ya vita" na kuacha maswali kadhaa muhimu bila majibu.
Ndoa ya mjamzito katika Sharia ya Kiislamu
Hakika Sharia tukufu ya Kiislamu ni kamili na yenye kujumuisha kila kitu, inayofaa kwa kila...
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupigia kura rasimu ya azimio kuhusu Mlango- Bahari wa Hormuz
China, ambayo ina kura ya turufu, inapinga mpango wowote wa kutumia nguvu.
Je, tunaelekea katika vita vya tatu vya dunia
Kuingilia kati kwa Marekani pia kunachochea hali kuwa mbaya zaidi kwani hata nchi zisizohusika moja kwa moja huathirika kiuchumi au kimkakati.
Marekani: Mkuu wa majeshi Jenerali Randy George amefutwa kazi
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amemfuta kazi mkuu wa majeshi Jenerali Randy George, pamoja na makamanda waandamizi wa jeshi kwa mujibu wa vyombo vya Habari nchini Marekani. Imechapishwa:…
Watoto wanne wameuawa kwa kuchomwa kisu shuleni nchini Uganda
Nchini Uganda, watoto wanne wamechomwa kisu hadi kufa katika shule moja ya chekechea katika mtaa wa Ggaba nje kidogo ya jijiji kuu Kampala. Imechapishwa: 03/04/2026 – 05:31 Dakika 2 Wakati…
Katika kijiji cha Ikomela, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wakulima wanaishi na hofu mashambani kufuatia uvamizi wa wadudu wahari…
Katika kijiji cha Ikomela, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wakulima wanaishi na hofu mashambani kufuatia uvamizi wa wadudu waharibifu aina ya funza weupe wanaoshambulia mizizi ya mazao chini ya ardhi…
Watu 43 wameuawa katika shambulio la ADF kaskazini mashariki mwa Congo
Watu 43 wameuawa na waasi wa ADF wanaohusishwa na kundi la kigaidi la ISIS, Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemlokrasia ya Congo. Imechapishwa: 03/04/2026 – 05:20 Dakika 1 Wakati wa…
Tetesi za soka Ulaya Ijumaa: Rogers, kuondoka Aston Villa huku Chelsea, Liverpool, Arsenal na Man United zikimtaka
Morgan Rogers yuko tayari kuondoka Aston Villa, RB Leipzig waliweka bei ya pauni milioni 87 kwa Yan Diomande na Saudi Pro League kuongeza harakati za kumnasa Mohamed Salah.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 3, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Aliyekuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25,2025 kupitia Chama Cha NCCR Mageuzi, Dkt Eveline Wilbard ameteuliwa k…
Aliyekuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25,2025 kupitia Chama Cha NCCR Mageuzi, Dkt Eveline Wilbard ameteuliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum. Dkt Eveline ambaye pia ni Katibu Mkuu…
#MzizimaDerby “…sikuwahi kuvaa jezi ya Azam dhidi ya Simba”
#MzizimaDerby “…sikuwahi kuvaa jezi ya Azam dhidi ya Simba” Amri Kiemba anakumbushia jinsi ‘alivyovuliwa’ jezi dakika za jiooooooooooni akiwa Azam FC, kabla ya kuikabili Simba. Je, Aprili 5, 2026, itakuwaje???…
Kapinga aitaka FCC kuharakisha utafiti wa biashara ya kidijitali
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameiagiza Tume ya Ushindani (FCC) kuharakisha na...
Bajeti za taasisi, mashirikia ya umma kufanyiwa mapitio
Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imeanza zoezi la uchambuzi wa mipango na bajeti za taasisi na...
Rais Samia ateua na kutengua, Profesa Kabudi amrithi Lukuvi
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri...
ZF Devco: Bandari ya Maruhubi itakavyochochea uchumi wa Zanzibar
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amezindua majaribio ya ushushaji...
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua msaidizi wake wa karibu, Angela Kizigha kuwa mbunge Vitu Maalum
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua msaidizi wake wa karibu, Angela Kizigha kuwa mbunge Vitu Maalum. Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Bakari Machumu imesema kuwa uteuzi…
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua balozi, Ali Jabir Mwadini kuwa msaidizi wake
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua balozi, Ali Jabir Mwadini kuwa msaidizi wake. Mwadini ameteuliwa kuwa Katibu wa Rais baada ya balozi Waziri Rajab aliyekuwa Katibu wa Rais kuteuliwa kuwa Katibu…
Simba yaichapa Coastal Union, yakaa nafasi ya pili
Simba imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka...
Vodacom yajikita uchumi wa kidijiti
DAR ES SALAAM: Kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano Vodacom Tanzania imeendelea kujikita katikati kukuza uchumi kupitia maendeleo ya kidijiti kwa kutumia teknolojia bunifu kuongeza ujumuishwaji kifedha kwa Watanzania. Kampuni hiyo…
Siku mbili baada ya aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Utaratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe …
Siku mbili baada ya aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Utaratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi kuzikwa Rais Samia Suluhu Hassan amemteua profesa Palamagamba Kabudi…
Rais Samia ateua na kutengua, Profesa Kabudi amrithi Lukuvi, bosi Ewura…
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri...
Wabunge waitaka Serikali ibane matumizi
Baadhi ya wabunge wameishauri Serikali kuangalia uwezekano wa kupunguza matumizi ili...
Kapinga aipa FCC maagizo udhibiti bidhaa bandia
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameiagiza Tume ya Ushindani (FCC) kuweka nguvu upya kuhusu udhibiti wa bidhaa bandia sokoni. – Pia ameitaka tume hiyo kuweka…
TASAC yatoa onyo dhidi ya usafirishaji wa wahamiaji haramu
Onyo limetolewa baada ya kukamatwa kwa wahamiaji 70 katika ukanda wa Kusini. Walikamatwa Kilwa...
ADC yaishauri Serikali sakata kupaa bei ya mafuta
Imeelezwa kuwa tozo na kodi kwenye mafuta zikipunguzwa zitapunguza mzigo kwa mlaji wa mwisho...
Mwinyi azindua mbio za mwenge 2026
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, amezindua Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 na kuwataka Watanzania kuendelea kulinda amani, kudumisha umoja na…
BoT: Mfumuko wa bei kubakia ndani ya wigo wa asilimia 3 hadi 5
Mfumuko wa bei nchini unatarajiwa kubaki ndani ya wigo wa asilimia 3 hadi 5 katika robo ya pili...
Watafiti wabuni mbegu bora ya mpunga inayohimili ukame
Wakulima wa mpunga wanaotegemea mvua nchini wameeleza namna watafiti wa Mradi wa Mpunga...
Tabora yadhibiti watoto wa mitaani
ZAIDI ya watoto 20 wa mitaani katika Halmashauri ya Wilaya ya Tabora wamebainika na kupatiwa msaada kupitia juhudi za Serikali za kukabiliana na changamoto hiyo. Hayo yameelezwa na Mkuu wa…
Mapigano Mashariki ya Kati yalivyoibua fursa ya uwekezaji Tanzania
Wakati mataifa mengi yakikumbwa na athari za mapigano yanayoendelea Mashariki ya Kati, Tanzania...
MSD significantly increases procurement of the locally-manufactured health products
DAR ES SALAAM: The Director General of the Medical Stores Department (MSD), Mavere Tukai, has announced that the agency has significantly increased its procurement of health products from local manufacturers,…
RC, DC kuanza kupokea, kufuatilia matumizi ya dawa hospitalini
Katika kudhibiti matumizi pamoja na kuziba mianya yote ya uchepushaji dawa za hospitalini...
Uhuru Kenyatta Aonya Makasisi wa Mlima Dhidi ya Kuwapotosha Wapigakura 2027: “Walidanganywa 2022”
Uhuru Kenyatta amewataka wapiga kura wa Mlima Kenya kuepuka kupotoshwa na makasisi na wanasiasa, akionya huenda hatua hiyo ikapelekea kurejelea kwa makosa ya awali.
Tanzania, development partners in joint bid to boost efficiency in executing national plans
DAR ES SALAAM: THE National Planning Commission has held discussions with development partners in Dar es Salaam aimed at strengthening development cooperation and improving the efficiency of implementing national plans.…
Mastraika wamtibua kocha Singida Black Stars
KIPIGO cha mabao 2-1, ilichokipata Singida Black Stars juzi katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC, kimemfanya kocha wa kikosi…
Wananchi walalamikia katikakatika ya umeme, Tanesco wafafanua
Akiwasilisha makadirio ya bajeti ya ofisi yake kwa mwaka 2026/27 jana Aprili 1, 2026 bungeni...
Mzunguko wa pili Ligi Kuu Wanawake kuanza leo
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) unarejea leo baada ya mapumziko ya mwezi mmoja wa kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) na lile la Afrika (CAF)…
Dk Mwinyi azindua mbio za Mwenge akieleza tija kuchochea maendeleo, umoja
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amezindua mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa akisema kila...
Wanafunzi 561 wajitosa shindano la kusaka tiba ya foleni mijini
Lengo la shindano hilo lililoanza Machi 3, 2026 ni kutoa ushiriki thabiti na kuibua fikra...
FCC, TBS ordered to finalize enforcement systems for product standards, safety
DAR ES SALAAM: THE Minister for Industry and Trade, Judith Kapinga, has issued directives to the Fair Competition Commission (FCC) and the Tanzania Bureau of Standards (TBS) to strengthen and…
Cabaye: Nsajigwa ni kocha sahihi Tanzania Prisons
KIUNGO wa zamani wa Azam, Masoud Abdallah ‘Cabaye’ amesema kuwa kocha waliyenaye kwa sasa ni mtu sahihi sana, ila anahitaji muda ili kukijenga zaidi kikosi hicho.
Pipino afichua siri ya kupata namba Singida Black Stars
KIUNGO wa kati wa Singida Black Stars, Ahmed Bakari ‘Pipino’ amesema siyo kitu rahisi kupata nafasi ya kucheza katikati ya mapro anaoshindana nao namba, kinachombeba ni nidhamu, bidii na kutokata…
Mifumo kusomana kwaimarisha makusanyo ya ZRA kwa asilimia 109
Wakati Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ikikusanya Sh100.606 bilioni kwa Machi sawa na ufanisi...