Masuala ya Nyuklia: Rais wa Iran ‘aagiza’ kuanza mazungumzo na Marekani
Rais wa Iran Massoud Pezeshkian ameomba kufunguliwa kwa mazungumzo ya nyuklia na Marekani, shirika la habari la FARS limeripoti siku ya Jumatatu, Februari 2. Hii inakuja huku kukiwa na mvutano…
HEP 2B project seeks to connect power to 290,300 Tanzanian customers
SHINYANGA: The Second Phase B (HEP 2B) project to extend electricity to 9,009 hamlets, targets to benefit 290,300 customers across 25 regions of Tanzania Mainland. The project is anticipated to…
Vita ya mipango kuharibika inaendelea kupigwa, kule nako ndoa imefana,,, Usikose kutazama #PichaYangu Tukutane saa 1:30 usiku ku…
Vita ya mipango kuharibika inaendelea kupigwa, kule nako ndoa imefana,,, Usikose kutazama #PichaYangu Tukutane saa 1:30 usiku kupitia #SinemaZetuHD chaneli namba 106 (Feed generated with FetchRSS)
Ujerumani yatenga mabilioni ya yuro kuimarisha Jeshi
Kwa mara ya kwanza katika historia Ujerumani inatumia bajeti kubwa zaidi kuliko hapo awali kwenye ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi, na hii inajumuisha ndege za kivita zisizo na…
Ukurasa mpya uwanja wa Yanga
HISTORIA mpya inaenda kuandikwa. Sasa ni rasmi Yanga imepata mzabuni aliyeshinda tenda ya kujenga uwanja wa klabu hiyo baada ya awali kutangaza mchakato huo na kutoa fursa kwa aliye tayari…
Tanzania outlines measures enable women play a role in implementing Vision 2050
DODOMA: THE Tanzanian government has outlined measures aimed at ensuring women entrepreneurs play a central role in the implementation of the National Development Vision 2050, with a focus on building…
Iran yatahadharisha: Uvamizi wowote utakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima la Asia Magharibi
Iran imesema kuwa nchi za kikanda zinafanya juhudi za pamoja ili kuzuia vita kwa vile zinaelewa vyema kwamba hatua yoyote ya kijuba dhidi ya Tehran itakuwa na madhara makubwa kwa…
Wildlife Fund spends 6.65bn/- for dams in reserves, satellite tracking collars, wildlife census
DAR ES SALAAM: THE Wildlife Fund under the Ministry of Natural Resources and Tourism has spent about 6.65bn/-to strengthen wildlife conservation efforts across the country. A statement from the ministry…
Ripoti: Rais Pezeshkian aagiza kuanza upya mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Rais Masoud Pezeshkian ameagiza kuanza upya kwa mazungumzo kati ya Iran na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
Wanajeshi wa Nigeria wamuua kamanda wa kundi la kigaidi la Boko Haram
Jeshi la Nigeria limetangaza Jumapili kuwa vikosi vyake vimemuua kamanda mmoja wa kundi la kigaidi la Boko Haram pamoja na magaidi wengine 10 waliokuwa naye katika operesheni iliyofanyika kaskazini mashariki…
Kundi la kwanza la Wapalestina wanaorejea kutoka Misri lapitia kivuko cha Rafah
Kundi la kwanza la Wapalestina lilianza kurejea katika Ukanda wa Gaza kupitia kivuko cha mpaka cha Rafah kati ya eneo hilo la pwani na Misri, baada ya kivuko hicho kufunguliwa…
#NBCPL: Kila timu imepata penati moja
#NBCPL: Kila timu imepata penati moja. HT: Mtibwa Sugar 1-1 TZ Prisons LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #MtibwaSugarVsTZPrisons #MtibwaSugar #Prisons
Pamoja na kukosa elimu ya ufundi au teknolojia kutoka vyuo au taasisi rasmi zinazotambuliwa, mbunifu Eston Chaula kutoka wilayan…
Pamoja na kukosa elimu ya ufundi au teknolojia kutoka vyuo au taasisi rasmi zinazotambuliwa, mbunifu Eston Chaula kutoka wilayani Wanging’ombe mkoani Njombe, ambaye ana elimu ya msingi tu, ameendelea kuaminika…
Mvulana Aliyehepa baada ya Kumuachia Mamake Barua Nzito Arudi Nyumbani, Aeleza Kilichotokea
Daniel Jeremiah, mvulana mdogo kutoka Arusha, Tanzania, aliungana na mamake baada ya kutoroka kutafuta pesa za kujitunza huku familia yao ikihangaika kumtafuta.
Iran kuzindua satelaiti mpya na kituo cha anga za mbali
Iran inajiandaa kuzindua mafanikio yake mapya katika sekta ya teknolojia ya anga, ikiwemo kuzindua satelaiti iliyotengenezwa ndani ya nchi, picha za kwanza zilizopigwa na setilaiti yake ya hivi karibuni ya…
China: Waziri wa zamani afungwa maisha kwa rushwa
Mahakama nchini China imemuhukumu kifungo cha maisha jela aliyekuwa Waziri wa Sheria Tang Yijun baada ya kupatikana na hatia ya kupokea rushwa. Pia imemnyang'anya haki zake za kisiasa na kutaifisha…
KMC vs MASHUJAA: Kocha wa Mashujaa FC, Salum Mayanga amesema matarajio yake ni kwamba kesho watapata matokeo mazuri mbele ya KMC
KMC vs MASHUJAA: Kocha wa Mashujaa FC, Salum Mayanga amesema matarajio yake ni kwamba kesho watapata matokeo mazuri mbele ya KMC. Kwa ipande wake mchezaji Seif Karihe anasema hawana shida…
Ahadi ya gridi ya taifa ya maji ilivyoanza kutekelezwa siku 100 za Rais Samia
Itakumbukwa kwamba baada ya kuingia madarakani, Novemba 3, 2025, miongoni mwa mambo aliyoahidi...
Serikali imesema katika kushirikiana na wawekezaji binafsi inatarajia kuanza utafiti wa kina wa kubaini maeneo yenye madini ya d…
Serikali imesema katika kushirikiana na wawekezaji binafsi inatarajia kuanza utafiti wa kina wa kubaini maeneo yenye madini ya dhahabu, hatua inayolenga kuanzishwa kwa migodi mikubwa katika mikoa ya Shinyanga, Geita…
Makadirio bajeti ya serikali 2026/27 Sh Tril 61
DODOMA; BAJETI ya Seikali kwa mwaka 2026/27, nakadiriwa kuwa Sh Tril 61, Bunge limeelezwa. – Hayo yamesemwa bungeni leo Februari 2, 2026 na Waziri wa Fedha, Balozi Khamisi Mussa Omar…
#NBCPL: Prisons imetangulia kwa mkwaji wa penati
#NBCPL: Prisons imetangulia kwa mkwaji wa penati. 15’: Mtibwa Sugar 0-1 TZ Prisons LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #MtibwaSugarVsTZPrisons #MtibwaSugar #Prisons
Dhima ya Mpango ukuaji uchumi, ajira
DODOMA; SERIKALI imesema Dhima ya Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2026/27 – 2030/31 ni mageuzi kwa ajili ya ukuaji wa uchumi jumuishi nau wa ajira.…
Mabadiliko sera za washirika kuathiri mpango na bejeti
DODOMA; SERIKALI imesema uchambuzi wa awali uliofanywa unaonesha kuwa utekelezaji wa mpango na bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26 na muda wa kati unaweza kuathiriwa na mabadiliko ya sera za…
KMC vs MASHUJAA: “Tunazibeba timu zote 15”
KMC vs MASHUJAA: “Tunazibeba timu zote 15” Kocha wa KMC Mohamed Abdallah ‘Bares’ anasema mechi ya kesho itakuwa ngumu na nzuri kutokana na hali ya timu zote mbili japo wao…
Amani, demokrasia vyatajwa ufanisi Mpango Maendeleo
DODOMA; SERIKALI imesema ufanisi wa utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2026/27 utajengwa katika misingi mbalimbali ikiwemo kuendelea kuwepo kwa demokrasia, amani, usalama na utulivu wa ndani…
Saudi Pro League
Saudi Pro League Mechi za leo katika Saudi Pro League Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii. #SaudiProLeague #Azamtvsports
Mawaziri kuwasilisha utekelezaji kila miezi 3
DODOMA; SERIKALI imesema imeandaa mfumo wa ufuatiliaji na upimaji unaozingatia kupima matokeo na uwajibikaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Prof Kitila Mkumbo, ametoa kauli hiyo bungeni…
Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo
DODOMA; SERIKALI imesema gharama za utekelezaji wa Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano zinakadiriwa kuwa Sh trilioni 477. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na…
Ukuaji Pato la Taifa kufikia asilimia 6.9
wa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025 na kuongezeka hadi asilimia 6.3 mwaka 2026 na asilimia 6.9 katika kipindi cha muda wa kati. “Mfumuko wa bei kuwa kwenye wigo wa…
Wanajeshi wa Nigeria wamuua kamanda wa Boko Haram, wapiganaji 10 kaskazini mashariki mwa nchi
Jeshi linasema lilifanya operesheni katika msitu wa Sambisa jimbo la Borno
Mfuko wa akiba wa Taifa kuanzishwa
DODOMA; SERIKALI imesema katika kujenga uchumi imara, jumuishi na shindani, pamoja na hatua zingine, Mpango wa Mendeleo umeelekeza kuanzisha mfuko wa akiba wa Taifa (National Sovereign Wealth Fund). Waziri wa…
Dr Nchimbi warns against the misuse of judicial independence
DODOMA: TANZANIAN Vice President, Dr Emmanuel Nchimbi, has urged judges and magistrates in the country to carry out their duties of delivering justice with professionalism, integrity, and in accordance with…
CARBAO Cup Nusu Fainali Jumanne hii
CARBAO Cup Nusu Fainali Jumanne hii Arsenal watakuwa nyumbani Emirate stadium wakiwakaribisha Chelsea. Katika mchezo wa mkondo wa kwanza Arsenal akiwa ugenini alishinda 3 -2. Je, watashinda nje ndani ama…
#HABARI: Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea mkoani Ruvuma, Mheshimiwa James Karayemaha, amewataka watumishi wa mhimil…
#HABARI: Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Songea mkoani Ruvuma, Mheshimiwa James Karayemaha, amewataka watumishi wa mhimili wa Mahakama, kutekeleza majukumu yao kwa unyenyekevu mkubwa na kuacha tabia ya…
Visa vya Mauaji, Ubakaji na Utesaji vyaisakama Ethiopia
Wakati serikali ya Ethiopia ikiendeleza operesheni kali za kijeshi dhidi ya waasi katika eneo la Oromia, mzozo huo unaendelea kuwaathiri pakubwa raia, huku pande zote zikilaumiwa kwa ukiukwaji wa haki…
Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika kanda hii siku zote huwa sababu ya kushatadi mivutano.
Katika kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea …
Katika kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea kubuni na kutumia teknolojia mseto ikiwemo uzio wa umeme ili kuimarisha ulinzi na usalama…
”Katika mambo ya elimu… nilikuwa napata taabu kutokana na maisha magumu nyumbani… nilifanya uamuzi mgumu wa kuacha shule nikaan…
''Katika mambo ya elimu… nilikuwa napata taabu kutokana na maisha magumu nyumbani… nilifanya uamuzi mgumu wa kuacha shule nikaanza biashara'' - Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Mzee Said Salim Bakhresa…
Bundesliga: Frankfurt na Bremen wasaka mwelekeo mpya
Kocha mpya wa Eintracht Frankfurt, Albert Riera, ameanza rasmi majukumu yake huku akiahidi kuiboresha timu na kuwarejesha wachezaji katika ubora wao.
Kutana na Lisa Fickenscher mwanadada aliyeamua kujikita katika kazi ya kufundisha Mbwa mbinu mbalimbali ikiwemo ulinzi … ambaye…
Kutana na Lisa Fickenscher mwanadada aliyeamua kujikita katika kazi ya kufundisha Mbwa mbinu mbalimbali ikiwemo ulinzi … ambaye hivi sasa ana ndoto ya kuzalisha mbwa aina mbalimbali na kuwauza ndani…
Roho halisi ya Ilbay inaanza kudhihirika, Osman bado anapigika na Orhan, Begum naye mpango wake unaendelea kuiva
Roho halisi ya Ilbay inaanza kudhihirika, Osman bado anapigika na Orhan, Begum naye mpango wake unaendelea kuiva. Usikose kutazama OTTOMAN leo usiku kuanzia saa 4:00 #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
KUTOKA CONGO: Kikosi cha Singida BS kilivyoianza safari ya kurejea Tanzania kikitokea Congo Brazzaville ambako kilicheza mechi y…
KUTOKA CONGO: Kikosi cha Singida BS kilivyoianza safari ya kurejea Tanzania kikitokea Congo Brazzaville ambako kilicheza mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji wao AS Otoho. Katika mechi…
Serikali ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imesema italazimika kutumia nguvu za kisheria kwa wazazi ambao watoto wao bado hawajarip…
Serikali ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imesema italazimika kutumia nguvu za kisheria kwa wazazi ambao watoto wao bado hawajaripoti shuleni kuanza masomo ya darasa la saba na kidato cha…
Rais Samia kushiriki mkutano wa Dunia Dubai
GAIS inalenga kuunganisha miradi yenye tija barani Afrika na wawekezaji wenye uwezo wa kifedha.
Askari wapya 256 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wamekula kiapo kulitumikia jeshi hilo na kulinda rasimal…
Askari wapya 256 wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wamekula kiapo kulitumikia jeshi hilo na kulinda rasimali za Taifa baada ya kuhitimu mafunzo ya jeshi yaliyodumu kwa miezi…
Klabu za Tanzania na mtego mgumu robo fainali CAF
Raundi ya nne ya hatua ya makundi ya mashindano ya Klabu Afrika 2025/2026 ilikamilika jana...
Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa malaria vimetajwa kupungua nchini kutoka vifo 5,431 mwaka 2015 hadi kufikia vifo 1,231 mwaka 2024
Vifo vitokanavyo na ugonjwa wa malaria vimetajwa kupungua nchini kutoka vifo 5,431 mwaka 2015 hadi kufikia vifo 1,231 mwaka 2024. Hata hivyo, ripoti ya malaria duniani ya mwaka 2024 inaonyesha…
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRL) imekamilisha kazi ya upembuzi …
Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRL) imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi wa Reli ya…
Ujerumani yakabiliwa na mgomo wa kitaifa wa usafiri wa umma
Mabasi mengi na treni zinazopita mitaani zimeanza mgomo wa siku nzima wa kitaifa leo Jumatatu nchini Ujerumani, ulioitishwa na chama kikubwa cha wafanyakazi cha Verdi.