Kenya: Wanne wamefariki katika maandamano dhidi ya ongezeko la bei ya mafuta
Nchini Kenya, watu wanne wameuawa na zaidi ya thelathini kujeruhiwa siku ya Jumatatu, Mei 18, wakati wa vurugu zilizoshuhudiwa siku ya mgomo wa usafiri wa umma na maandamano ya kupinga…