PSG vs Arsenal: Kwa nini fainali ya Ligi ya Mabingwa itaanza mapema kuliko kawaida
Arsenal itakabiliana na Paris Saint-Germain katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Mei 30, kuanzia 7pm EAT. Je, wanaweza kupata taji lao la kwanza baada ya miaka 20?
Arsenal itakabiliana na Paris Saint-Germain katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Mei 30, kuanzia 7pm EAT. Je, wanaweza kupata taji lao la kwanza baada ya miaka 20?
Mpaka sasa Kvaratskhelia ndiye mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Italia inalaumiwa tena kwa kumruhusu Osama Almasri Najim kukwepa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai. Kulingana na hati ya kukamatwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, afisa huyu…
Msanii wa Hip Hop Marekani, Lil Wayne (43), anaripotiwa kumchumbia kwa siri binti mwenye umri...
DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Maendeleo Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania limesaini Hati za Makubaliano (MoUs) na taasisi tisa za elimu ya juu nchini, hatua inayolenga kuimarisha ujuzi wa vitendo,…
Nchini Niger, vikosi vya jeshi vimepokea vifaa vya kijeshi kutoka Marekani siku ya Jumanne, Mei 26, 2026. Ubalozi wa Marekani ulitangaza siku ya Ijumaa kwamba sare, vifaa vya kujikinga, vifaa…
Iran yakemea vikali tishio la Marekani la kuiwekea Oman vikwazo
Kanali Mtambi amesema vyombo vya habari vina mchango mkubwa katika kuleta maendeleo endapo...
Baadhi ya wazazi bado wanahangaika kujua kuhusu walipo watoto wao, huku serikali ikijitahidi kuonyesha kuwa imechukua hatua licha ya kuendelea kukosolewa vikali.
Wabunge wa Ghana wamepitisha moja ya sheria kandamizi zaidi dhidi ya jamii ya watu wa LGBT+ barani Afrika Ijumaa alasiri, Mei 29. Sasa inahitaji kuidhinishwa na Rais John Mahama ili…
Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Mjini ambaye ni mwanamuziki wa Bongo Fleva, Clayton Chipando...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa kiwango cha vifo katika mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ni kati ya asilimia 30…
Senegal bado inasubiri serikali mpya baada ya Ousmane Sonko kumkabidhi rasmi madaraka Waziri Mkuu Ahmadou Al Aminou Mohamed Lô, ambaye aliteuliwa siku ya Jumatatu. Changamoto kadhaa za dharura zinasubiri timu…
Mkutano wa Ijumaa ulifanyika katika Ikulu ya White House, katika sehemu inayotumika kushughulikia migogoro mikubwa.
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) yuko DRC tangu siku ya Alhamisi, Mei 28, kutoa msaada kwa raia wa Kongo. Alitoa wito wa mshikamano wa kimataifa. Waziri wa Afya…
Mahakama Kuu ya Katiba ya Madagascar imepinga jaribio la mbunge wa upinzani la kumwondoa madarakani Rais Michael Randrianirina wa nchi hiyo.
WHO imechapisha mapendekezo yake ya kwanza kuhusu chanjo za majaribio na matibabu ya Ebola Bundibugyo siku ya Alhamisi, Mei 28. Hakuna chanjo au matibabu yaliyoidhinishwa kwa sasa kwa aina hii…
Wakati timu bora zaidi za Uingereza na Ufaransa zitakapomenyana katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Jumamosi, itaadhimisha mwisho wa msimu mgumu kwa vilabu vyote viwili.
Mbunge mwandamizi wa Lebanon amesema kuwa harakati ya Hizbullah itaendeleza operesheni zake za kijeshi dhidi ya vikosi vya utawala dhalimu wa Israel.
Mbunge mwandamizi wa Lebanon amesema kuwa harakati ya Hizbullah itaendeleza operesheni zake za kijeshi dhidi ya vikosi vya utawala dhalimu wa Israel.
Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa wanamgambo wenye mfungamano na Kikosi cha wapiganaji wa RSF kimewaua takriban raia 27, wakiwemo wazee, katika mashambulizi dhidi ya vijiji kadhaa magharibi mwa…
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
KIGOMA: Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Dk Damas Kayera ameihamasisha jamii kujenga utamaduni wa kuchangia damu mara kwa mara ili kusaidia kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo katika…
#HABARI: Vichwa vya mbuzi na ng'ombe pamoja na miguu vinaendelea kuuzwa kiholela karibu na Machinjio ya Vingunguti Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam, huku baadhi ya wakazi wa jiji…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: MEI 29, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imetangaza kufanya mabadiliko ya muda kwa mechi tatu za Ligi Kuu Bara msimu huu ili kutoingiliana na zile za Fainali za Kombe la Dunia…
🔴MCHEZO SUPA: KWA NGUVU YA BUKU USIKAE KINYONGE: MEI 29, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
"Mkuu wetu wa mkoa ameunda kamati, ambayo anayeratibu ni Katibu Tawala, wanaendelea kufuatilia kwa kila taasisi namna ilivyotekeleza maazimio ya mkoa, kwa hiyo kamati ipo ya kuratibu kuhakikisha hili jambo…
#HABARI:Mfanyabiashara na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fredy Ngajiro maarufu (Vunjabei), ameungana na makada wengine wa chama hicho kumuunga mkono Emmanuela Mtatifikolo katika Uchaguzi Mdogo wa marudio wa Jimbo…
Michezo ni sehemu muhimu ya burudani na maisha ya watu wengi duniani, lakini baadhi yake huambatana na hatari kubwa zinazoweza kusababisha majeraha makubwa au hata vifo. Licha ya changamoto hizo,…
YANGA SC : Kikosi cha Yanga SC kinaendelea na maandalizi ya kurejea kwenye Ligi Kuu ya NBC kwa wachezaji waliosalia kwenye timu ambapo rasmi Juni Mosi mwaka huu kikosi hicho…
KOMBE LA DUNIA | Kocha Lionel Scaloni amemjumuisha nyota wa Inter Miami, Lionel Messi kwenye kikosi chake cha mwisho cha Argentina kitakachoshiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 zinazotaraji kuanza…
Wakazi wawili wa Mburahati kwa Jongo, Abubakar Naseeb (41) na Stara Kombo (35) wamefikishwa...
TPLB | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB kupitia Kaimu Afisa Habari wake, Yahya Abushehe imekiri kukoshwa na ushindani uliopo kwenye Ligi kwa mizunguko 25 iliochezwa na ikiamini kuwa klabu…
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema itaendelea kuimarisha huduma za tiba ya magonjwa ya...
Waandishi wawili wa Mwananchi ni miongoni mwa washindi waliochukua tuzo katika kinyang’anyiro...
SERENGETI BOYS | Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe kwa niaba ya klabu yake wamewapongeza Serengeti Boys, uongozi na benchi zima la ufundi baada ya kufuzu kutinga…
SERENGETI BOYS | Wakati Watanzania wakiendelea kujivunia timu yao ya vijana ya Serengeti Boys chini ya miaka 17, Kocha mkuu wa timu hiyo Elieneza Nsanganzelu ametanabaisha siri iliyowafikisha kwenye kilele…
Inaelezwa kuwa baadhi ya wasichana hujikuta wakikosa masomo kwa siku tatu hadi saba kila mwezi...
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameikalia kooni kampuni ya Rand Water, wakidai...
ARUSHA: UZINDUZI wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu mkoani Arusha ni hatua muhimu ya kuongeza fursa za ajira, kurahisisha upatikanaji wa nishati ya mafuta kwa wasafirishaji na…
Mlipuko wa Ebola 2026: WHO yaonya kuhusu kuenea kwa maradhi hayo nchini Congo. Baini kuhusu dalili na kile unachopaswa kufanya ili kujilinda na kutafuta msaada
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga, limekamata watuhumiwa 78 kwa makosa mbalimbali pamoja na...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuwalinda na kuwaheshimu wazee kwa kutambua...
President Samia hails Serengeti Boys for reaching CAF U-17 final, U-17 World Cup By DAILY NEWS Reporter DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has congratulated Tanzania’s U-17 national football…
DODOMA: THE Tanzanian government has said it continues to achieve significant success in the fight against drug trafficking and abuse in the country due to strengthened enforcement operations, cooperation among…
DAR ES SALAAM: WAKILI wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa, ameliomba Jeshi la Polisi kushirikiana na viongozi wa jamii ya Kimasai jijini Dar es…
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro kimesema mafanikio makubwa ya maendeleo yanayoonekana mkoani humo yametokana na kazi kubwa inayofanywa na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Samia…