Skip to content
  • Tue. Jun 30th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon? Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009 TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy Senegal: Bunge laidhinisha mageuzi ya katiba, serikali yatangaza kura ya maoni
HABARI ZA KIPEKEE

Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?

June 30, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa

June 30, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009

June 30, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy

June 30, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Senegal: Bunge laidhinisha mageuzi ya katiba, serikali yatangaza kura ya maoni

June 30, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
HABARI ZA KIPEKEE
Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa
Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009
TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy
LTV ENGLISH NEWS
TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
HABARI ZA KIPEKEE
Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa
Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI
Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009
TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy
LTV ENGLISH NEWS
TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy
TUKO SWAHILI NEWS

Magazeti ya Kenya: Bei ya mafuta yaipiga kabari nchi, Ruto aitisha kikao cha dharura na wadau

May 19, 2026 mjombazecoder

Rais Ruto ameitisha mkutano wa dharura na wadau katika sekta ya mafuta ili kukabiliana na kupanda kwa bei za mafuta, huku mgomo katika sekta ya uchukuzi ikiendelea.

MWANANCHI

Rais Samia kushiriki mkutano wa nishati ya nyuklia Afrika

May 19, 2026 mjombazecoder

Rais Samia Suluhu Hassan leo Mei 19, 2026 ameondoka nchini kuelekea Kigali, Rwanda kushiriki...

MWANANCHI

Simulizi ya machungu ya ujauzito chuoni

May 19, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Libya: Mlinzi katika gereza la wahamiaji la Mitiga kusikilizwa ICC

May 19, 2026 mjombazecoder

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inachunguza uhalifu dhidi ya ubinadamu uliofanywa dhidi ya wahamiaji waliozuiliwa nchini Libya. Mmoja wa wakuu wa zamani wa gereza la Mitiga, karibu na Tripoli, Mohammed…

MWANANCHI

Mikutano ya walimu na wazazi ichukue sura hii

May 19, 2026 mjombazecoder

Mikutano kati ya walimu na wazazi imekuwa sehemu ya kawaida ya ratiba ya shule.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Marekani na Nigeria zatekeleza mashambulizi mapya dhidi ya kundi la Islamic State

May 19, 2026 mjombazecoder

Nigeria na Marekani zimefanya operesheni mpya dhidi ya kundi la Islamic State kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambapo uasi wa wanajihadi umekuwa ukiendelea kwa miaka kumi na saba. Imechapishwa: 19/05/2026 –…

MWANANCHI

Tanzania yaweka mipaka mkataba wa afya na Marekani

May 19, 2026 mjombazecoder

Soma hapa...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

RDC: Wakaazi wa Bukavu wanachukua hatua zipi kujikinga na msambao wa Ebola

May 19, 2026 mjombazecoder

Mashariki mwa DRC, maambukizi hatari ya virusi vya Ebola, yameendelea kuzua hofu ya kusambaa zaidi, wakati huu idara za afya nchini humo zikisema watu zaidi ya 100 wamethibitishwa kufa kutokana…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Kenya: Wanne wamefariki katika maandamano dhidi ya ongezeko la bei ya mafuta

May 19, 2026 mjombazecoder

Nchini Kenya, watu wanne wameuawa na zaidi ya thelathini kujeruhiwa siku ya Jumatatu, Mei 18, wakati wa vurugu zilizoshuhudiwa siku ya mgomo wa usafiri wa umma na maandamano ya kupinga…

ASTV TANZANIA

Mapitio ya #MAGAZETI leo Mei 19, 2026 kwenye

May 19, 2026 mjombazecoder

Mapitio ya #MAGAZETI leo Mei 19, 2026 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)

IDHAA YA DUNIA

Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana

May 19, 2026 mjombazecoder

Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Donald Trump anasema amesitisha shambulio lililokuwa limepangwa dhidi ya Iran siku ya Jumanne

May 19, 2026 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Jumatatu, Mei 18, kwamba amesitisha shambulio dhidi ya Iran lililokuwa limepangwa kufanyika Jumanne, Mei 19, kujibu ombi la viongozi wa nchi za…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Kenya: Serikali na wamiliki wa magari ya usafiri wa umma washindwa kuafikiana

May 19, 2026 mjombazecoder

Serikali na wamiliki wa magari ya abiria nchini Kenya, wameshindwa kufikia makubaliano kuhusu kusitisha mgomo wa usafiri wa uma, wakati huu watu wanne wakiripotiwa kupoteza maisha hapo jana wakati wa…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Ebola: Marekani imeweka vizuizi kwa baadhi ya wasafiri kutoka Afrika ya Kati

May 19, 2026 mjombazecoder

Marekani imetangaza Jumatatu, Mei 18, 2026, udhibiti mkali kwenye mipaka yake ili kupambana na virusi vya Ebola, ambavyo vimemwambukiza raia wa Marekani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Vituo vya…

HABARI ZA KIPEKEE

Muigizaji wa Kihispania: Simulizi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya watu wa Gaza inabadilika

May 19, 2026 mjombazecoder

Muigizaji maarufu wa Kihispania amesema kando ya Tamasha la Filamu la Cannes kwamba: Licha ya kampeni yake ya hadharani dhidi ya vita vya Israel na mauaji ya kimbari ya utawala…

HABARI ZA KIPEKEE

Israel yavamia meli za Freedom Flotilla na kuwakamata washiriki 100

May 19, 2026 mjombazecoder

Vyombo vya habari vimeripoti kwamba makomandoo wa jeshi la Wanamaji la Israel wamevamia msafara wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza "Global Sumud…

MWANANCHI

Studio mpya ya Twanga Pepeta, inapokea vipaji vyote

May 19, 2026 mjombazecoder

Uzinduzi wa studio mpya ya muziki ya Twanga Pepeta Entertainment ulifanyika Mei 17, 2026 katika...

HABARI ZA KIPEKEE

Jumanne ,Pili Dhulhija 1447 Hijria , 19 Mei 2026.

May 19, 2026 mjombazecoder

Leo ni Jumanne tarehe Pili Dhulhija 1447 Hijria mwafaka na 19 Mei 2026. Siku kama ya leo miaka Miaka 505 iliyopita, majeshi ya utawala wa kifalme wa Othmania yaliuteka mji…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Ebola: Hali ya tahadhari yatangazwa Uganda baada ya kuthibitishwa kwa visa viwili

May 19, 2026 mjombazecoder

Nchini Uganda, mamlaka za afya ziko katika tahadhari kubwa kufuatia kuthibitishwa kwa wagonjwa wawili walioambukizwa Ebola, mgonjwa mmoja amefariki, baada ya kuambukizwa aina ya virusi vya Ebola iliyotangazwa mashariki mwa…

MWANANCHI

Tahadhari ya Ebola yaongezeka, Tanzania ilivyojipanga

May 19, 2026 mjombazecoder

Wakati huohuo, Uganda imethibitisha wagonjwa wawili wa Ebola mjini Kampala jana Mei 17, 2026...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Dunia inazidi kuwa dhaifu kutokana na milipuko ya magonjwa ya kuambukiza

May 19, 2026 mjombazecoder

Wataalamu wameonya kuwa dunia inazidi kuwa dhaifu kutokana na milipuko ya magonjwa ya kuambukiza, wakati huu mamlaka za afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda zikijitahidi kudhibiti mlipuko…

ASTV TANZANIA

Hali ya ufanyaji biashara katika soko jipya la Kariakoo umeimarika ikiwa imetimia siku 100 tangu lilipofunguliwa upya na wafanya…

May 19, 2026 mjombazecoder

Hali ya ufanyaji biashara katika soko jipya la Kariakoo umeimarika ikiwa imetimia siku 100 tangu lilipofunguliwa upya na wafanyabiashara wakifurahia maendeleo yaliyopo na usimamizi wake huku mkuu wa mkoa wa…

MWANANCHI

Matumaini, mashaka Tume uchunguzi wa jinai matukio ya Oktoba 29

May 19, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

IDHAA YA DUNIA

Trump atangaza kusitisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran, akidai karibu wanaafikia makubaliano

May 19, 2026 mjombazecoder

Donald Trump amesema amesitisha operesheni za kijeshi kwa siku mbili au tatu dhidi ya Iran ili kutoa nafasi kwa mazungumzo kufanyika pamoja na mashauriano na viongozi wa eneo hilo ikiwemo…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Tanzania: Tume maalum yauundwa kuchunguza vurugu za baada ya uchaguzi

May 19, 2026 mjombazecoder

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuunda tume nyingine maalumu ya jinai itakayochunguza matukio ya vurugu yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka jana. Imechapishwa: 19/05/2026…

ASTV TANZANIA

Ubunifu sambamba kupenda unachokifanya unaweza kuvitaja kuwa siri ya mafanikio ya uanzishwaji wa kiwanda cha kutengeneza mbolea …

May 19, 2026 mjombazecoder

Ubunifu sambamba kupenda unachokifanya unaweza kuvitaja kuwa siri ya mafanikio ya uanzishwaji wa kiwanda cha kutengeneza mbolea inayotokana na kuchakata samadi na mabaki ya mimea. Kijana Aldo Sanga wa Makete…

IDHAA YA DUNIA

Kwa nini UAE ilipinga ziara ya Netanyahu nchini humo na kwa nini Israel iliitangaza

May 19, 2026 mjombazecoder

Chini ya saa mbili baada ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel kuthibitisha rasmi ziara yake katika Umoja wa Falme za Kiarabu UAE na kukutana na Mohammed bin Zayed, Rais…

MWANANCHI

Havertz atupia Arsenal ikiukaribia ubingwa EPL

May 18, 2026 mjombazecoder

Bao pekee alilofunga Kai Havertz limetosha kuipa pointi tatu muhimu Klabu ya Arsenal ambayo...

Jeshi la Magereza Mkoa wa Morogoro limeendelea kuhamasishwa matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwa ni sehemu ya Mkakati wa Se…

May 18, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Magereza Mkoa wa Morogoro limeendelea kuhamasishwa matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwa ni sehemu ya Mkakati wa Serikali kuhakikisha Asilimia 80 ya wanatumia wahamie kutumia nishati safi…

ASTV TANZANIA

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha na kupitisha Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utali…

May 18, 2026 mjombazecoder

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha na kupitisha Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii ya kiasi cha shilingi Bilioni 334.34 kwa mwaka wa…

ASTV TANZANIA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na BRAC Maendeleo Tanzania wamekubaliana kuimarisha usambzaji na matumizi ya taarifa za h…

May 18, 2026 mjombazecoder

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na BRAC Maendeleo Tanzania wamekubaliana kuimarisha usambzaji na matumizi ya taarifa za hali ya hewa nchini. Kikao hicho kimeongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa…

ASTV TANZANIA

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imetenga siku 90 za kutekeleza mpango maalum wa kukabiliana na…

May 18, 2026 mjombazecoder

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imetenga siku 90 za kutekeleza mpango maalum wa kukabiliana na changamoto ya upotevu wa maji katika mikoa ya Dar…

MWANANCHI

Kawaida ajitwisha ulezi wa vijana wanufaika wa mkopo Mtwara

May 18, 2026 mjombazecoder

Mwenyekiti wa UVCCM, Mohammed Ali Kawaida ameahidi kuendelea kuvisaidia vikundi vya vijana...

ASTV TANZANIA

Wizara ya Uchukuzi imesema maandalizi ya kuanza kusafirisha mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda Bahi mkoani Dodoma kwa…

May 18, 2026 mjombazecoder

Wizara ya Uchukuzi imesema maandalizi ya kuanza kusafirisha mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda Bahi mkoani Dodoma kwa kutumia reli yako katika hatua za mwisho, hatua inayolenga kupunguza…

TZSPORTS

NBA PlayOff

May 18, 2026 mjombazecoder

NBA PlayOff OKC Thunder watakuwa Paycom Center wakiwakaribisha San Antonio Spurs katika Game 1 ya fainali ya NBA Ukanda wa Magharibi.. Thunder waliwatoa Lakers kwa 4 - 0 wakati Spurs…

TZSPORTS

#CRDBBankFederationCup “…tuna malengo ya kutetea ubingwa”

May 18, 2026 mjombazecoder

#CRDBBankFederationCup “…tuna malengo ya kutetea ubingwa” Yanga SC imesema haichagui mpinzani wala kiwanja cha kuchezea katika hatua ya nusu fainali, Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwakuwa malengo yao ni…

ASTV TANZANIA

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji…

May 18, 2026 mjombazecoder

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika…

TZSPORTS

MAYELE NDANI YA KOMBE LA DUNIA

May 18, 2026 mjombazecoder

MAYELE NDANI YA KOMBE LA DUNIA Mshambuliaji wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele amejumuhishwa kwenye kikosi cha nyota 26 watakaounda timu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ‘The…

TZSPORTS

SINGIDA BS: “…hii ni mechi kubwa”

May 18, 2026 mjombazecoder

SINGIDA BS: “…hii ni mechi kubwa” Kikosi cha Singida BS kimetua Dar es salaam tayari kwa maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Yanga utakaopigwa Mei 22, kwenye Dimba la KMC…

TZSPORTS

YANGA SC: “….tuna mechi tisa tu kutetea mataji yetu mawili”

May 18, 2026 mjombazecoder

YANGA SC: “….tuna mechi tisa tu kutetea mataji yetu mawili” Kikosi cha Yanga kinarejea mazoezini kesho Mei 19 baada ya mapumziko ya siku mbili, kuanza maandalizi kuelekea mchezo wao dhidi…

ASTV TANZANIA

Chama Cha ACT-Wazalendo kimeshauriwa kumaliza tofauti zinzokwamisha uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanz…

May 18, 2026 mjombazecoder

Chama Cha ACT-Wazalendo kimeshauriwa kumaliza tofauti zinzokwamisha uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanzibar na kujitahidi kushughulikia malalamiko waliyonayo wakiwa ndani ya serikali. Joseph Mpangala ana maarifa…

MWANANCHI

Mambo matatu Rio Ferdinand akitua Tanzania

May 18, 2026 mjombazecoder

Kwa Tanzania ujio wa Ferdinand ni jambo lenye maana na umuhimu mkubwa kwa nchi na hilo...

Wachimbaji wadogo wa madini Mkoani Geita wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt

May 18, 2026 mjombazecoder

Wachimbaji wadogo wa madini Mkoani Geita wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake kubwa za kuimarisha sekta ya madini nchini, hatua inayozidi…

MWANANCHI

Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kumaliza miradi ya zamani kabla ya kuanzisha mipya

May 18, 2026 mjombazecoder

Dodoma. Serikali imetakiwa kuwekeza nguvu katika umaliziaji wa miradi ya zamani kabla ya...

MWANANCHI

Tabora yaongoza uzalishaji wa asali Tanzania

May 18, 2026 mjombazecoder

Ameongeza kuwa takriban asilimia 65 ya misitu ya Tabora imefunikwa na miti ya miyombo, hali...

MWANANCHI

Marekani yaanza kuhamisha raia wake, mlipuko wa Ebola DRC

May 18, 2026 mjombazecoder

Mlipuko huu ni wa 17 wa Ebola kutokea DRC tangu virusi hivyo vilipogunduliwa kwa mara ya kwanza...

MWANANCHI

Kijana auawa Arusha kisa hajasalimia

May 18, 2026 mjombazecoder

Inadaiwa aliwasalimia vijana watatu kwa kuwapa mkono kwa ishara ya ‘tano’ huku akiwaacha wawili...

MWANANCHI

Heche: Tutasema ukweli hadi mwisho licha ya vitisho

May 18, 2026 mjombazecoder

Heche amesema chama hicho hakiwezi kufumbia macho changamoto zinazowakabili wananchi, ikiwamo...

TUKO SWAHILI NEWS

William Ruto Afanya Mkutano wa Mtandaoni wa Dharura na Mawaziri Maandamano ya Mafuta Yakitikisa Nchi

May 18, 2026 mjombazecoder

Rais William Ruto aliitisha kikao cha dharura cha Mawaziri akiwa Baku, Azerbaijan, huku maandamano makubwa ya mafuta na matatizo ya usafiri yakiikumba Kenya.

Wito umetolewa kwa Serikali kuongeza kasi ya kutatua migogoro ya ardhi ili kudumisha amani na kuimarisha imani ya wananchi kwa u…

May 18, 2026 mjombazecoder

Wito umetolewa kwa Serikali kuongeza kasi ya kutatua migogoro ya ardhi ili kudumisha amani na kuimarisha imani ya wananchi kwa uongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wito huo…

Posts pagination

1 … 129 130 131 … 1,019

Recent Posts

  • Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?
  • Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa
  • Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009
  • TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy
  • Senegal: Bunge laidhinisha mageuzi ya katiba, serikali yatangaza kura ya maoni

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARI ZA KIPEKEE

Kwa nini makubaliano ya Washington yamefungua njia ya fitina mpya nchini Lebanon?

June 30, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Zimbabwe: Mwanamume anayeshutumiwa kwa kuajiri kwa ajili ya jeshi la Urusi akamatwa

June 30, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Guinea: Hoja za mwisho zakamilika katika awamu ya pili ya kesi ya Septemba 28, 2009

June 30, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

TRA’s 30-year blueprint to drive one trillion-dollar economy

June 30, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS