WHO yaainisha mlipuko wa Ebola Congo DR na Uganda kama dharura ya afya ya umma
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha mlipuko wa virusi vya Ebola vya Bundibugyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda kama dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.
TUONGEE KIUME: Miaka 40 hujaoa, bado unasaka mke mwenye sifa
Miaka 40 imepita kama upepo wa jioni, bado wewe uko pale pale ukizunguka kwenye soko la...
UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel
Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru,…
Kinamama wafanyakazi na mustakabali wa watoto
Katika kipindi ambacho mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yanaendelea kuibadilisha sura ya...
Makamu wa Rais, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wanapaswa kubishana kwa hoja na kuacha tabia za kinafki
Makamu wa Rais, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wanapaswa kubishana kwa hoja na kuacha tabia za kinafki. Akizungumza katika mazishi ya aliyekuwa mwandishi wa Makamu wa Rais mstaafu, Mohamed…
Katibu wa NEC tikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa Tarime mkoani…
Katibu wa NEC tikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa Tarime mkoani Mara kulinda amani na kuachana na wanasiasa waliofilisika kisera wenye…
Ndoa ni mwili mmoja wenye vichwa viwili
Mke na mume wote wanapaswa kuwa vichwa vya ndoa. Hii ni kutokana na ukweli kwamba ndoa huundwa...
Jiongeze: Harmo wa Kajala na Marioo wa Paula
Utulivu ni mkubwa kwa Marioo kukaa kando ya Paula. Na Paula amebadilika sana baada ya ujio wa...
Angalizo malezi kwa watoto wa kizazi cha ‘skrini’
Katika dunia ya leo, simu janja, televisheni za kisasa, YouTube, TikTok na michezo ya mtandaoni...
Sifa za mwanamume anayejua thamani yake
Katika jamii ya sasa ya mitandao ya kijamii, ambapo wanawake hupokea maelfu ya ujumbe kila...
Uchaguzi wa Bunge Cape Verde: Vyama hasimu, MPD na PAICV, vyakabiliana tena
Uchaguzi wa Bunge huko Cape Verde unafanyika leo Jumapili, Mei 17. Viti 72 vya bunge vinagombaniwa , ambapo wabunge waliochaguliwa watamchagua baadaye Waziri Mkuu. Waziri mkuu anayemaliza muda wake, Ulisses…
Comoro: Serikali yasitisha ongezeko la bei ya mafuta baada ya madereva na wafanyabiashara kugoma
Nchini Comoro, serikali imerejelea hatua yake na kusitisha kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mgomo wa siku sita uliosababisha vifo vya watu wawili na kusababisha mvutano katika visiwa hivyo.…
Anko Kitime: Historia ya bendi za Iringa kuanzia miaka ya 80
Katikati ya miaka ya 1980, wafanyakazi wa kiwanda cha kuchonga almasi cha Iringa, Iringa...
WHO yatangaza mlipuko wa Ebola nchini DR Congo kuwa dharura ya kiafya duniani
Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, alionya kuwa kwa sasa kuna “kutokuwa na uhakika mkubwa kuhusu idadi halisi ya walioambukizwa na pia maeneo ambayo ugonjwa umeenea.”
Chad yakanusha tuhuma za UM za kushambulia raia kwa mabomu katika eneo la Ziwa Chad
Nchini Chad, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, anatoa wito kwa mamlaka ya Chad na Nigeria kufanya “uchunguzi wa haraka, wa kina, huru, na…
DRC: Mlipuko wa Ebola Ituri sasa umetangazwa kuwa dharura ya kikanda
Mlipuko wa kumi na saba wa virusi vya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tayari umevuka mipaka ya nchi. Kufuatia kifo kilichorekodiwa nchini Uganda, Sudan Kusini iko macho,…
Ndindi Nyoro aliomba bunge kuvunja likizo ili kutunga sheria ya makusudi kuhusu bei za mafuta
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amemwomba spika Moses Wetangula kukatiza likizo ya wabunge ili waje kujadili maoni yaliyopendekezwa kuhusu bei za mafuta.
Ruto atetea sura mpya ya Ikulu, adai ilikuwa inavuja zamani lakini sasa haangukiwi na maji akilala
Rais Ruto alitetea ukarabati tata wa Ikulu, akisema muundo wa kisasa na kanisa jipya vinashughulikia mapungufu ya awali katika ikulu ya serikali.
Tetesi za soka Jumapili:Juventus kuongeza juhudi kumnasa Silva
Juventus wanapanga kuongeza juhudi kumsajili kiungo mshambuliaji wa Ureno Bernardo Silva, ambaye ataondoka Manchester City msimu huu wa joto.
Katika jamii nyingi za Kiafrika, mwanaume amejengwa kuonekana kama nguzo imara isiyotetereka kirahisi
Katika jamii nyingi za Kiafrika, mwanaume amejengwa kuonekana kama nguzo imara isiyotetereka kirahisi. Tangu utotoni, wengi hufundishwa kuwa kulia, kueleza maumivu au kuomba msaada ni udhaifu. Matokeo yake, wanaume wengi…
Methali ya wahenga inayosema “umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu” imejidhihirisha kwa kikundi cha vijana saba wapiga debe katik…
Methali ya wahenga inayosema “umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu” imejidhihirisha kwa kikundi cha vijana saba wapiga debe katika kituo cha mabasi cha Katoro wilayani Geita ambao wameunganisha nguvu na…
Caleb Amisi asisitiza Edwin Sifuna ndiye anayefaa kuwa mgombea urais wa muungano wa upinzani 2027
Mbunge wa Saboti Caleb Amisi amemuidhinisha Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kuwa mgombea bora wa upinzani dhidi ya Ruto, akisisitiza mvuto wake kwa ajenda ya vijana.
MAHUBIRI: Kukabiliana na nguvu kinzani kwa njia za maombi
Hata hivyo, kupitia neno la Mungu tunapata uhakika kwamba hakuna silaha itakayofanyika juu yetu...
Jumapili tarehe 17 Mei 2026
Leo ni Jumapili tarehe 29 Mfunguo Pili Dhulqaada 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 17 Mei, 2026.
Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana…
Mzimu wa Khashoggi bado unamwandama Bin Salman; Mahakama ya Ufaransa yaidhinisha uchunguzi kuhusu mauaji yake
Jaji wa Ufaransa atachunguza mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi mwaka 2018 kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu dhidi ya Mwanamfalme…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemeni: Ansarullah iko ‘bega kwa bega’ na Hizbullah dhidi ya Israel
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen amesema harakati ya muqawama ya nchi hiyo Ansarullah iko "bega kwa bega" na harakati ya mapambano ya Lebanon Hizbullah katika kukukabiliana na…
Jeffrey Sachs: Walioishambulia Iran wanapasa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani
Mchumi mashuhuri wa Marekani, anaamini kuwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa, walioanzisha mashambulizi dhidi ya Iran wanapaswa kuarifishwa kama pande zilizoshindwa vitani; wamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na…
Watu wenye silaha wawateka nyara makumi ya wanafunzi katika Jimbo la Borno nchini Nigeria
Watu waliokuwa na silaha wameteka nyara makumi ya wanafunzi wa shule katika jimbo lililokumbwa na machafuko la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Kumalizika enzi za kutekeleza kwa lazima amri za kimabavu za madola ya Magharibi
Pars Today - Majid Nili Ahmadabadi, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ujerumani amejibu kauli za kansela wa nchi hiyo alizotoa baada ya mazungumzo ya simu na rais…
Ronaldo akosa Kombe Al Nassr ikichapwa na Wajapan
Cristiano Ronaldo ameshindwa kutwaa taji la kwanza kubwa akiwa na Al Nassr baada ya timu yake...
Che Malone apooza machungu USMA ikitwaa Kombe la Shirikisho Afrika
Beki wa zamani wa Simba, Che Fondoh Malone amevaa medali ya dhahabu ya Kombe la Shirikisho...
Yanga, Coastal zatangulia nusu fainali Kombe la CRDB
Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kwa mara ya tano...
Tanzania, Russia sign key agreements
ARUSHA: TANZANIA and Russia have signed cooperation agreements covering 12 key sectors, including language, health, agriculture, energy, tourism, education, science and technology, transport and logistics. The development was revealed yesterday…
PM assures completion of stalled projects
KONDOA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba yesterday said the government will accelerate implementation of delayed development projects across the country after prioritising funding for major strategic national investments, including the Julius…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 17, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
#CAFCCFinal USM Alger wanaibuka mabingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika 2025/26
#CAFCCFinal USM Alger wanaibuka mabingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika 2025/26. USM Alger kutoka Algeria wanalichukua kombe hilo kwa mara ya pili, baada ya ileeeeeee unayoikumbuka walipolichukua kwa faida ya…
#CAFCCFinal Tunakwenda kwenye mikwaju ya penati…!!
#CAFCCFinal Tunakwenda kwenye mikwaju ya penati…!! FT: Zamalek 1-0 USM Alger (Agg: 1-1) Iko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili #CAFCC #CAFConfederationCup #KombelaShirikishoAfrika #USMA #Zamalek #ZamalekUSMA (Feed generated with FetchRSS)
Rwanda: Felicien Kabuga, mshukiwa wa mauaji ya kimbari ameaga dunia
Felicien Kabuga, 93, mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya mwaka wa 1994 nchini Rwanda, ameaga dunia wakati akiwa kizuizini kulingana na taarifa ya mahakama ya Umoja wa Mataifa. Imechapishwa: 16/05/2026…
Mbadi aregesha kombora la masafa marefu kwa Winnie Odinga, amwambia amkome: “Hutoshi kunishauri”
Waziri wa Hazina ya Taifa John Mbadi amemjibu vikali mbunge wa EALA Winnie Odinga kuhusu ukosoaji wake. Alikosoa jukumu lake kama waziri na kuzua mvutano wa kisiasa.
Gachagua avuruga ziara yake UK, asema hawezi kukimya bei ya juu ya mafuta: “Naja kupigania Wakenya”
Naibu Rais wa Zamani Rigathi Gachagua amevuruga safari yake ya Uingereza kutokana na mgogoro wa bei ya mafuta nchini Kenya, akiulaumu utawala wa Ruto kwa hali hiyo.
15’ | #CAFCCFinal
15’ | #CAFCCFinal Zamalek 1-0 USM Alger (Agg: 1-1). Iko LIVE #AzamSports2HD kwa Kiswahili #CAFCC #CAFConfederationCup #KombelaShirikishoAfrika #USMA #Zamalek #ZamalekUSMA (Feed generated with FetchRSS)
Zaidi ya watu 246 wameambukizwa ugonjwa wa Ebola huku zaidi ya watu 80 wakifariki dunia katika jimbo la Ituri maeneo ya Mongwalu…
Zaidi ya watu 246 wameambukizwa ugonjwa wa Ebola huku zaidi ya watu 80 wakifariki dunia katika jimbo la Ituri maeneo ya Mongwalu na Rwampara mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya…
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na bilionea wa Nigeria na mwanzilishi wa Dangote Group, Aliko Dangote katika Ikulu …
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na bilionea wa Nigeria na mwanzilishi wa Dangote Group, Aliko Dangote katika Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadili mpango wa uwekezaji wa kiwanda…
Azam Media Limited imetangaza kuwa itaonesha mubashara mechi zote 104 za Kombe la Dunia mwaka huu kupitia chaneli zake za Azam S…
Azam Media Limited imetangaza kuwa itaonesha mubashara mechi zote 104 za Kombe la Dunia mwaka huu kupitia chaneli zake za Azam Sports HD kwa lugha ya Kiswahili na Kiingereza kuanzia…
Yanga, Coastal zatinga nusu fainali CRDB Federation Cup
YANGA ikiwa kwenye ubora wa hali ya juu imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuichapa JKT Tanzania…
Wananchi wataka utaratibu mpya mikopo ya halmashauri
Akizungumza katika mkutano huo, mkazi wa Sirari, Juma Chacha amesema licha ya maboresho...