TADB records rapid financial growth
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S Agricultural Development Bank (TADB) has recorded rapid growth in assets and lending last year, pushing its balance sheet close to 1.3tri/- and lifting dividend payments to…
EACOP advances toward final stages
TANGA: THE Ministry of Energy has commended the progress of the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) project, saying implementation is nearing completion. Speaking during a one-day visit to inspect…
PPPC yatoa mafunzo maofisa dawati
DAR ES SALAAM: Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre) kimetoa mafunzo kwa maafisa wa madawati ya PPP kutoka mamlaka mbalimbali za serikali kwa lengo…
Mnunka: Simba Queens tunataka kurudi Afrika
KIUNGO mshambuliaji wa Simba Queens, Aisha Mnunka amesema lengo kubwa la timu hiyo msimu huu ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania na kurejea katika michuano ya kimataifa…
Raundi ya 17 WPL kinawaka leo
Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania itaendelea leo Mei 18 kwa mechi za raundi ya 17, huku Simba Queens, Yanga Princess na JKT Queens zikitarajiwa kushuka dimbani kusaka pointi muhimu katika…
Mrwanda afanyiwa majaribio Yanga Princess
YANGA Princess imeanza mchakato wa kuboresha kikosi hicho mapema kwa ajili ya msimu ujao na inaelezwa inamfanyia majaribio mshambuliaji wa Kamonyi WFC ya Rwanda, Sandrine Mutuyimana.
Government, Serengeti Breweries Limited deepen collaboration on Sustainable Development Agenda
DAR ES SALAAM: SERENGETI Breweries Limited (SBL) has reaffirmed its commitment to supporting Tanzania’s socio-economic transformation and Vision 2050 following a strategic engagement with Minister of State in the Prime…
NMB yapata Sh468 bilioni kuongeza mikopo kwa wajasiriamali, kilimo na wanawake
Benki ya NMB Plc imepata ufadhili wa takribani Sh468.1 bilioni kwa ajili ya kuongeza mikopo kwa...
‘Mitoko’ ya Alliance Girls yavutia mashabiki
Alliance Girls imeendelea kuvuta hisia za mashabiki wa soka nchini kwa mtindo wao wa kipekee wa kuingia uwanjani wakiwa wamevalia mavazi ya asili kama vitenge, madera na mavazi mengine yanayoakisi…
CCM kutoa msukumo mradi wa maji Bunda
BUNDA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kinatoa msukumo kwa serikali ili kuhakikisha mradi mradi wa maji kutoka Butiama hadi Nyamuswa unakamilika kwa wakati ili kutimiza azma ya Rais Samia…
Vinywaji vya kuongeza nguvu vina madhara gani kwa vijana
Wataalam wa afya wanahofia watu wengi wanategemea vinywaji hivi bila kuelewa kikamilifu madhara yake kwa afya.
WUF13 yang’oa nanga Baku mawaziri wajadili mgogoro wa makazi duniani
Kikao cha kumi na tatu cha Jukwaa la Miji Duniani (WUF13) kilifunguliwa mjini Baku, Azerbaijan, leo Jumapili, kikiwaleta pamoja mawaziri, mameya, mashirika ya kimataifa, wapangaji miji na wataalamu kujadili moja…
WHO: Mlipuko mpya wa Ebola DRC na Uganda sasa ni dharura ya kimataifa ya afya ya umma
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) leo ametangaza kuwa mlipuko unaoendelea wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokradia…
Mamia ya vijana wamejitokeza kushiriki mbio za jogging zilizolenga kuhamasisha amani ya nchi pamoja na kuwaunganisha vijana na f…
Mamia ya vijana wamejitokeza kushiriki mbio za jogging zilizolenga kuhamasisha amani ya nchi pamoja na kuwaunganisha vijana na fursa mbalimbali za maendeleo. Akizungumza katika tukio hilo, mwanasiasa na Kada wa…
Heche: Jaribio la kuinyamazisha Chadema halitafanikiwa
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amesema jaribio...
Jihudumie kwa kutumia PSSSF Kidijitali, muwa wowote na mahali popote ulipo
Jihudumie kwa kutumia PSSSF Kidijitali, muwa wowote na mahali popote ulipo. #TunakukubaliMwanachama #PSSSF (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI:Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara, limetolea ufafanuzi juu ya tukio la kifo cha Chacha Ryoba (45), mkulima na mkazi wa Kijiji…
#HABARI:Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara, limetolea ufafanuzi juu ya tukio la kifo cha Chacha Ryoba (45), mkulima na mkazi wa Kijiji cha Kihumbu kilichopo Wilaya ya Bunda Mkoa wa…
Spika Qalibaf: Muqawama wa kihistoria wa Iran unaongeza kasi ya mabadiliko ya kimataifa ambayo hayajawahi kutokea
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) Mohammad Baqir Qalibaf amesema kuwa muqawama wa kishujaa wa taifa la Iran kwa muda wa siku 70 umekuwa msukumo katika…
#HABARI: Elimu ya msaada wa kisheria inayotolewa kwa wananchi kupitia Kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeanza kuzaa matunda mkoa…
#HABARI: Elimu ya msaada wa kisheria inayotolewa kwa wananchi kupitia Kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeanza kuzaa matunda mkoani Shinyanga huku wananchi wakikumbushwa kujenga tabia ya kuandika wosia. Hali…
Nguvu ya wazazi yaondoa wanafunzi 300 sakafuni Makangarawe
Kilichokuwa kero ya muda mrefu kwa mamia ya wanafunzi waliolazimika kukaa chini madarasani...
Dawati la jinsia na watoto wilaya ya Shinyanga limefanikiwa kutatua migogoro itokanayo na masuala ya ukatili wa kijinsia katika …
Dawati la jinsia na watoto wilaya ya Shinyanga limefanikiwa kutatua migogoro itokanayo na masuala ya ukatili wa kijinsia katika manispaa ya Shinyanga hususani kesi za matunzo ya watoto ambapo wanaume…
#HABARI: Afisa Ardhi Mteule wa Mkoa wa Dodoma Bw
#HABARI: Afisa Ardhi Mteule wa Mkoa wa Dodoma Bw. Letare Shoo amesema kwa siku 15 za utekelezaji wa awamu ya pili ya kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia…
Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi Muadhamu: Uvumilivu haupo siku zote/ Azitahadharisha nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Fahamu mambo Matano muhimu kumhusu mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda
Kabla ya kujipatia umaarufu kwa kufadhili mauaji hayo dhidi ya jamii ya waTustsi nchini Rwanda, Kabuga alikuwa mfanyabiashara maarufu nchini Rwanda aliyekuwa na ushawishi mkubwa vilevile katika ulingo wa siasa…
Mwelekeo mpya bei ya Cocoa
Wakati matumaini yakirejea kwa wakulima wilayani Kyela kufuatia bei ya cocoa kupanda, wadau na...
Alonso kimeeleweka Chelsea akiwaahidi mashabiki furaha
Tetesi za Chelsea kumuajiri Xabi Alonso kama Meneja Mkuu mpya wa kikosi chao zimekuwa rasmi...
From Welfare to “Orofea”: Tanzania’s long lost public living rooms
DAR ES SALAAM: THERE was a time in Tanzania when becoming socially important required neither Instagram nor VIP lounge access. All a man needed was a clean shirt, a mortuary…
Papa hatari zaidi aua mtu Australia
Katika tukio la kustaajabisha samaki aina ya papa mwenye urefu wa mita nne amemvamia na...
Dabi ya mjini yabeba mambo matatu ZPL
LEO Jumapili Mei 17, 2026, inapigwa Dabi ya Mjini itakayokamilisha mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kati ya Malindi dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Mlandege, kwenye…
Waliokuwa wafanyakazi Teku wakwaa kisiki mahakamani
Mahakama ya Rufani imebatilisha uamuzi wa Mahakama Kuu na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA)...
Biashara dola bandia mtandaoni yawaibua wachumi, BoT
Wakati katika mtandao wa kijamii wa Tiktok ikiibuka biashara ya uuzaji wa dola za Marekani...
Kigogo ashusha presha ujenzi Uwanja Yanga
KUMEIBUKA mjadala kwa baadhi ya wadau wa soka wakiona kama wamedanganywa hatua za kuanza kwa ujenzi wa Uwanja wa Yanga, sasa kigogo mmoja wa timu hiyo ameibuka na kutuliza presha.
Kwa nini nyoka waliokuwa na miguu sasa hawana tena, wanawezaje kutambaa haraka hivyo?
Kulingana na ushahidi wa kisayansi uliopo hadi sasa, nyoka walikuwa na miguu katika hatua zao za mwanzo.
Wanafunzi wawili Suza wafariki dunia wakiogelea
Wanafunzi wawili wa mwaka wa kwanza wa shahada ya awali ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo...
Felicien Kabuga aliyekuwa ameshtakiwa kwa mauaji ya kimbari ya Rwanda afariki dunia nchini Uholanzi
Felicien Kabuga, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kufadhili mauaji ya kimbari ya 1994 dhidi ya Watutsi nchini Rwanda, jana Jumamosi alifariki dunia katika hospitali huko The Hague, nchini Uholanzi akiwa na umri…
Mchezaji Yanga achambua udhaifu safu ya ushambuliaji unavyoiangusha Yanga licha ya kuibajua JKT 2-0!
Serengeti Boys mzigoni tena AFCON U-17 TIMU ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ leo itakuwa na kibarua cha pili kwenye Fainali za Mataifa ya Afrika kwa…
Watumishi halmashauri Wanging’ombe wanusurika kifo kwenye ajali ya gari
Watumishi 10 wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, waliokuwa wakielekea...
New tower ends communication challenges in Hai District
HAI: RESIDENTS of Mungushi Village in Hai District, Kilimanjaro Region, have finally overcome long-standing mobile communication challenges following the official launch of a new Airtel 4G telecommunications tower, a development…
WHO yaainisha mlipuko wa Ebola Congo DR na Uganda kama dharura ya afya ya umma
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeainisha mlipuko wa virusi vya Ebola vya Bundibugyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda kama dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.
TUONGEE KIUME: Miaka 40 hujaoa, bado unasaka mke mwenye sifa
Miaka 40 imepita kama upepo wa jioni, bado wewe uko pale pale ukizunguka kwenye soko la...
UN yatoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu unyanyasaji dhidi ya wafungwa katika magereza ya Israel
Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa imelaani ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel dhidi ya wafungwa wa Kipalestina, ikitaka kufanyike uchunguzi huru,…
Kinamama wafanyakazi na mustakabali wa watoto
Katika kipindi ambacho mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yanaendelea kuibadilisha sura ya...
Makamu wa Rais, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wanapaswa kubishana kwa hoja na kuacha tabia za kinafki
Makamu wa Rais, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wanapaswa kubishana kwa hoja na kuacha tabia za kinafki. Akizungumza katika mazishi ya aliyekuwa mwandishi wa Makamu wa Rais mstaafu, Mohamed…
Katibu wa NEC tikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa Tarime mkoani…
Katibu wa NEC tikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa Tarime mkoani Mara kulinda amani na kuachana na wanasiasa waliofilisika kisera wenye…
Ndoa ni mwili mmoja wenye vichwa viwili
Mke na mume wote wanapaswa kuwa vichwa vya ndoa. Hii ni kutokana na ukweli kwamba ndoa huundwa...
Jiongeze: Harmo wa Kajala na Marioo wa Paula
Utulivu ni mkubwa kwa Marioo kukaa kando ya Paula. Na Paula amebadilika sana baada ya ujio wa...
Angalizo malezi kwa watoto wa kizazi cha ‘skrini’
Katika dunia ya leo, simu janja, televisheni za kisasa, YouTube, TikTok na michezo ya mtandaoni...
Sifa za mwanamume anayejua thamani yake
Katika jamii ya sasa ya mitandao ya kijamii, ambapo wanawake hupokea maelfu ya ujumbe kila...