Jumamosi, 11 Oktoba, 2025
Leo ni Jumamosi 18 Mfunguo Saba Rabiuthani 1447 Hijria mwafaka na 11 Oktoba 2025 Miladia.
Afghanistan; kutoka kwenye medani ya vita hadi kugeuzwa uwanja wa ushindani wa kijiopolitiki
Miaka minne tangu ilipojiondoa Marekani, kwa mara nyingine tena Afghanistan imegeuzwa nukta kuu inayoangaziwa na madola yenye nguvu duniani.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 11, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Wanajeshi wauawa Nigeria wakikabiliana na mashambulizi ya kigaidi jimbo la Borno
Shambulizi hilo liliwalenga wanajeshi na magari yao, msemaji wa jeshi alisema.
Pacome anukia Kombe la Dunia, Afrika Kusini hali tete
Ivory Coast imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo...
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 10, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 10, OKTOBA 2025
“Mara hii katika mbio hizi za kuwania kutafuta kura vyama vimekomaa, unakuta chama tangu ianze kampeni chama ambacho hukukitizam…
"Mara hii katika mbio hizi za kuwania kutafuta kura vyama vimekomaa, unakuta chama tangu ianze kampeni chama ambacho hukukitizamia kishatembea saizi mikoa zaidi ya 17, Wilaya zaidi ya 30, unakuta…
“Tumepata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura, na tumefundisha watu kwenda kuelimisha jamii kuhusu elimu ya mpiga kura, watu wa…
"Tumepata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura, na tumefundisha watu kwenda kuelimisha jamii kuhusu elimu ya mpiga kura, watu wanahamasika" Wakili Fransisca Silayo - Mkurugenzi Msaidizi TANLAP Powered by…
Mwalimu aahidi mageuzi miundombinu ya masoko Dar
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi...
Samia: Wanaowatisha wasithubutu, tokeni mkapige kura
Mgombea Urais wa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu...
Tume ya Haki za Binadamu walaani kutekwa Polepole
Polepole aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo ya Chama cha Mapinduzi (CCM)...
Msako ujenzi holela majengo Kariakoo waanza kung’ata
Tukio la kuporomoka kwa jengo la ghorofa katika Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo...
“Kujitokeza kwa vijana kuanzia kwenye kuchukua fomu kwenye vyama mbalimbali vya siasa kunaashiria kwamba vijana wamechoka kuseme…
"Kujitokeza kwa vijana kuanzia kwenye kuchukua fomu kwenye vyama mbalimbali vya siasa kunaashiria kwamba vijana wamechoka kusemewa matatizo yao na watu ambao sio vijana" Lugete Mussa - Mchambuzi wa Siasa…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na uvuvi imesema inaendelea kutekeleza miradi ya kuimarisha sekta ya ufugaji wa kuku …
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na uvuvi imesema inaendelea kutekeleza miradi ya kuimarisha sekta ya ufugaji wa kuku na ndege wafugwao ikiwa ni pamoja na kutoa chanjo ya kuku…
Erdogan aonya kuhusu kurejea tena kwa mauaji ya halaiki kuwa ‘itakuwa hatari’
"Amani lazima ipewe nafasi, hatua zozote za kukiuka makubaliano ziepukwe," anasema Recep Tayyip Erdogan.
“Kule Mwanza kuna reli ya SGR inaendelea kujengwa ambayo sehemu ya reli ile itapita hapa Simiyu, eneo la Maswa wilaya ya Maswa, …
"Kule Mwanza kuna reli ya SGR inaendelea kujengwa ambayo sehemu ya reli ile itapita hapa Simiyu, eneo la Maswa wilaya ya Maswa, lakini vilevile kuna reli tutaijenga inayotoka Tanga, itapita…
Jamii inadaiwa kuwa na uelewa mdogo wa ugonjwa wa afya ya akili hivyo kusababisha watu wengi kushindwa kutambua tatizo halisi
Jamii inadaiwa kuwa na uelewa mdogo wa ugonjwa wa afya ya akili hivyo kusababisha watu wengi kushindwa kutambua tatizo halisi. Katika kuliangalia hilo, Upendo Michael amefanya mahojiano maalum na mmoja…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linaendelea na upelelezi wa tukio la kupotea kwa Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu Son…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linaendelea na upelelezi wa tukio la kupotea kwa Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu Songea, ambaye pia ni Mhadhili wa Chuo Kikuu cha…
Tanzania imeandika historia ya kuwa na idadi kubwa ya wanawake kushindana kisiasa katika kuwania nafasi ya juu ya uongozi, Urais
Tanzania imeandika historia ya kuwa na idadi kubwa ya wanawake kushindana kisiasa katika kuwania nafasi ya juu ya uongozi, Urais. Imekuwaje? Ivona Kamuntu anafafanua zaidi. #AzamTVUpdates Mhariri | @moseskwindi
Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasihi wananchi kutobeza uwezo wa wagombea kwa kigezo cha jinsia
Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasihi wananchi kutobeza uwezo wa wagombea kwa kigezo cha jinsia. Dkt. Samia anayegombea Urais kwa tileti ya CCM ametoa tahadhari hiyo mkoani Simiyu akiwa kwenye kampeni.…
Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid amesema kuongezeka kwa wawekezaji nchini ni ishara tosha ya serikali kuweka ma…
Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid amesema kuongezeka kwa wawekezaji nchini ni ishara tosha ya serikali kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji. Spika Zubeir ameyasema hayo wakati wa hafla…
🔴KIPIMAJOTO: KUELEKEA SIKU YA KUPIGA KURA OKTOBA 29
🔴KIPIMAJOTO: KUELEKEA SIKU YA KUPIGA KURA OKTOBA 29. JE, JAMII INAELEWA UMUHIMU WA KURA KWENYE UCHAGUZI?
Chama Cha Kijamii (CCK) kimesema kuwa iwapo mgombea wake wa Urais David Mwaijojele atapewa ridhaa ya kuiongoza nchi kipaumbele c…
Chama Cha Kijamii (CCK) kimesema kuwa iwapo mgombea wake wa Urais David Mwaijojele atapewa ridhaa ya kuiongoza nchi kipaumbele chake kitakuwa kupambana na mikopo sumbufu maarufu kwa jina la “Kausha…
Mgombea wa kiti cha urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalim ameahidi endapo wananchi watamchagua kuwa Ra…
Mgombea wa kiti cha urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalim ameahidi endapo wananchi watamchagua kuwa Rais na akaunda serikali atajenga uchumi wa kisasa kwa kuimarisha sekta…
#HABARI: Wananchi wametakiwa kumchagua mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#HABARI: Wananchi wametakiwa kumchagua mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan na wagombea wa chama hicho kwenye ngazi ya Ubunge na Udiwani ili kuendeleza amani na…
#HABARI: Mapya yaibuka baada ya mke wa aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama Cha Wananchi (CUF) Siha kudai kuwa hakuwa an…
#HABARI: Mapya yaibuka baada ya mke wa aliyekuwa Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama Cha Wananchi (CUF) Siha kudai kuwa hakuwa anafahamu kwamba mumewe alikuwa mgombea wa kiti hicho na…
Majaliwa: Vijana msikubali kutumika kuchochea vurugu, jitokezeni kupiga kura Oktoba
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kushiriki kikamilifu katika miradi ya maendeleo...
Vyeti vya mabaharia wa Tanzania mbio kutambulika Ulaya
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mohamed Salum amesema Tanzania...
Othman aahidi kukomesha ufisadi, ukahaba Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema endapo...
Wafanyakazi wa umma na sekta binafsi wameahidiwa nyongeza ya mishahara na huduma nyingine iwapo Chama Cha Wananchi (CUF) kitafan…
Wafanyakazi wa umma na sekta binafsi wameahidiwa nyongeza ya mishahara na huduma nyingine iwapo Chama Cha Wananchi (CUF) kitafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu Oktoba 29. Nyongeza hiyo imeahidiwa na mgombea urais…
Mgombea Urais kutoka chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameahidi kuufungua Mkoa wa Mbeya hususani kwenye maeneo ya miundombinu ya u…
Mgombea Urais kutoka chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo ameahidi kuufungua Mkoa wa Mbeya hususani kwenye maeneo ya miundombinu ya usafirishaji, kilimo na afya iwapo atafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu 2025.…
Mgombea urais wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) amewaahidi vijana nchi nzima kuwa wakimuunga mkono katika Uchaguzi Mkuu w…
Mgombea urais wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) amewaahidi vijana nchi nzima kuwa wakimuunga mkono katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba atahakikisha anawapatia ekari 30 za kilimo nchi nzima. Mgombea…
#HABARI: Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Bukoba Mjini, Amir Hamza, amemnadi Mgombea Urais wa CCM Dkt.Samia Suluhu Hassn, huku akisis…
#HABARI: Mtia nia wa Ubunge Jimbo la Bukoba Mjini, Amir Hamza, amemnadi Mgombea Urais wa CCM Dkt.Samia Suluhu Hassn, huku akisisitiza umuhimu wa wananchi kutumia haki yao ya Kidemokrasia kuwachagua…
#HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Manyara, imetatua changamoto za kikodi kwa wafanyabiashara zaidi ya 800, pamoj…
#HABARI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Manyara, imetatua changamoto za kikodi kwa wafanyabiashara zaidi ya 800, pamoja na kusajili biashara mbalimbali kupitia dawati maalumu la uwezeshaji wa biashara,…
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 10, 2025 – MAHAKAMA KUTOA UAMUZI MDOGO KESI YA LISSU JUMATATU
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 10, 2025 - MAHAKAMA KUTOA UAMUZI MDOGO KESI YA LISSU JUMATATU
Mbunge wa jimbo la Nkulumane nchini Zimbabwe, Desire Moyo amefariki dunia mapema leo Ijumaa baada ya gari alilokuwa amepanda na …
Mbunge wa jimbo la Nkulumane nchini Zimbabwe, Desire Moyo amefariki dunia mapema leo Ijumaa baada ya gari alilokuwa amepanda na wabunge wengine wanne kumgonga tembo karibu na eneo la Shangani…
#KIPIMAJOTO: KUELEKEA SIKU YA KUPIGA KURA OKTOBA 29
#KIPIMAJOTO: KUELEKEA SIKU YA KUPIGA KURA OKTOBA 29. JE, JAMII INAELEWA UMUHIMU WA KURA KWENYE UCHAGUZI?
Ushirikiano na nchi za Scandnavia, KEC kujikita kwenye miradi ya ubia
Wakati mabalozi wa nchi za Scandinavia wakieleza mikakati ya kuendelea kushirikiana na Shirika...
Sh245 bilioni zahitajika kutekeleza mpango wa usimamizi maji
Wadau wa Bonde la Ziwa Victoria wametakiwa kushirikiana kuhakikisha upatikanaji wa Sh245...
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini, Paul Makonda (@Baba_Keagan), amewasihi Wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini, Paul Makonda (@Baba_Keagan), amewasihi Wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura akisema kufanya hivyo kutawapa uhalali wa kuwahoji viongozi kuhusu maendeleo huku akisisitiza kwamba…
Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kushirikiana na Benki ya Biashara ya Taifa (TCB) limezindua kadi maalumu ya kidigitali kwa aj…
Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kushirikiana na Benki ya Biashara ya Taifa (TCB) limezindua kadi maalumu ya kidigitali kwa ajili ya kununua tiketi za treni, ikiwa ni hatua ya…
#HABARI: Wananchi wa Arumeru, mkoani Arusha, wamepongeza juhudi za Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA),…
#HABARI: Wananchi wa Arumeru, mkoani Arusha, wamepongeza juhudi za Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kuwaokoa vijana katika matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi.…