5 ขั้นตอน สมัครบาคาร่า อย่างง่าย พร้อมคำแนะนำสมัครบาคาร่าเว็บไหนดี 2569
การ สมัครบาคาร่า ในปี 2569 เน้นความรวดเร็วและปลอดภัยเป็นหัวใจสำคัญ บทความนี้จะพาคุณไปดู 5...
#CRDBBankFederationCup Kuelekea mechi nne za Kombe la Shirikisho la CRADB Bank wikendi hii, Afisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo …
#CRDBBankFederationCup Kuelekea mechi nne za Kombe la Shirikisho la CRADB Bank wikendi hii, Afisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo anaeleza kitu kuhusu maandalizi. Mechi hizo ni:- JKT Tanzania vs Yanga…
#NBCPL Kazi hii ya golikipa Mohamed Camara, haikutosha kuwapa chochote Pamba Jiji
#NBCPL Kazi hii ya golikipa Mohamed Camara, haikutosha kuwapa chochote Pamba Jiji. Hizi ni baadhi ya ‘saves’ alizofanya kwenye mechi hii… . FT: Azam FC 2-0 Pamba Jiji FC #NBCPremierLeague…
Serengeti Boys yaanza AFCON U-17 na ushindi, yaongoza kundi
TANZANIA imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 mwaka 2026 (AFCON U-17) baada ya kuifunga Msumbiji mabao 3-0 katika…
Wafuasi wa upinzani wanaamini 2027 tiketi ya Matiangi-Kalonzo itamchapa vibaya Ruto, utafiti wa Tifa
Utafiti wa TIFA unaonyesha kuwa Upinzani wa Muungano ulimuunga mkono Kalonzo Musyoka na Fred Matiang'i kumpinga Rais William Ruto katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Kuongezeka kwa talaka nchini kumeendelea kutajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudhoofika kwa ustawi wa jamii, kupungua kwa nguvu kazi…
Kuongezeka kwa talaka nchini kumeendelea kutajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudhoofika kwa ustawi wa jamii, kupungua kwa nguvu kazi, na kuongezeka kwa shinikizo la huduma za kijamii kwa serikali. Mkurugenzi…
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi, Dkt.…
Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar imeanza maandalizi ya ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kim…
Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar imeanza maandalizi ya ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayofanyika kila mwaka katika…
AGRA continues national ClimVAT training series in Dar es Salaam
DAR ES SALAAM: AGRA has continued its national training series on climate vulnerability mapping and risk analysis in Dar es Salaam as part of ongoing efforts to strengthen climate adaptation…
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Mbwasi amesema asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maen…
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Mbwasi amesema asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unategemea mchango wa sekta binafsi, ikiwemo wafanyabiashara…
Fei Toto, Kitambala waibeba Azam jioni, ikiichapa Pamba
Mabao mawili yaliyofungwa katika dakika za mwisho yametosha kuipa ushindi Azam FC wa mabao 2-0 dhidi ya Pamba Jiji, leo usiku.
Kinachoweza kuonekana kama uchafu leo kimegeuka kuwa chanzo cha ajira, kipato na matumaini mapya kwa jamii inayojitahidi kubores…
Kinachoweza kuonekana kama uchafu leo kimegeuka kuwa chanzo cha ajira, kipato na matumaini mapya kwa jamii inayojitahidi kuboresha usafi wa mazingira. Fikiria taka unazozitupa kila siku sasa zimeanza kubadilishwa kuwa…
Ndoa za kimila zisizosajiliwa zatajwa kukwamisha utatuzi kesi za familia
Katika jitihada za kuimarisha haki za familia na kupunguza migogoro ya ndoa katika jamii...
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Tanga limejipanga kuimarisha ulinzi shirikishi katika maeneo mbalimbali ya jiji hil…
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Tanga limejipanga kuimarisha ulinzi shirikishi katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo kufuatia kuongezeka kwa matukio ya kiuhalifu yanayoripotiwa katika baadhi ya maeneo.…
Wananchi walalama soko la Ndala kugeuka makazi ya popo
Zaidi ya miaka 10 tangu kuanza kwa ujenzi wa Soko la Ndala kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii...
Maeneo ya kusini mwa Somalia yako hatarini kukabiliwa na baa la njaa
Maeneo ya Kusini mwa nchi ya Somalia, yako hatarin kukumbwa na njaa ambapo wilaya moja imeripoti kiwango cha juu cha njaa ambacho hakijawahi kushuhudiwa tangu mwaka 2022, yamesema mashirika mawili…
Mauaji Kasarani: Mwanamke adaiwa kumuua mjakazi mtaani Sunton kisa kucheza kwichi kwichi na mumewe
Polisi wanachunguza mauaji ya kikatili ya mjakazi huko Karasani, yanayohusiana na madai ya uhusiano wa kimapenzi na mume wa mwajiri wake, na kuchochea wito wa haki.
Wanawake watakiwa kutumia jukwaa la kodi kuimarisha biashara zao
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga imewakutanisha wanawake wajasiriamali katika...
Palestina: Chama cha Mahmoud Abbas kuwachagua viongozi wapya
Chama cha kiongozi wa mamlaka ya Palestina, Mahmoud Abbas, FATAH, hivi leo kitachagua viongozi wapya kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 10, wakati huu kikikabiliwa na wakati mgumu…
Wanajeshi wa Rwanda na M23 walitekeleza vitendo vya kihalifu Uvira, DRC
Shirika la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch, limesema waasi wa M23 na vikosi vya wanajeshi wa Rwanda, walitekeleza vitendo vya kihalifu kwa zaidi ya mwezi mmoja wakati walipovamia…
Wawekezaji kutoka nchi 30 duniani kutua Tanzania, miradi kunadiwa
Ukurasa mpya wa uwekezaji unatarajiwa kufunguliwa nchini kupitia mkutano wa uwekezaji Tanzania...
Mwenye caption nzuri kuhusu Clatous Chama aweke hapa.👇👇
Mwenye caption nzuri kuhusu Clatous Chama aweke hapa.👇👇 (Feed generated with FetchRSS)
CCM yawaonya wanaopinga uteuzi wa wagombea
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimebainisha kuwa kitawachukulia hatua za kinidhamu na kisheria...
Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma za hali ya hewa nchini kwa kuong…
Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma za hali ya hewa nchini kwa kuongeza usahihi wa utabiri, kufunga mitambo ya kisasa na kuendeleza…
UCHAMBUZI: Yanga hawakuwa bora katika idara ya ulinzi
Iran hatarini kukosa Kombe la Dunia 2026 Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, ametangaza kuwa hadi sasa hakuna kibali cha kuingia nchini Marekani (visa) hata kimoja kilichotolewa…
Simba yaikalia kooni Yanga
Bado pointi mbili! Hivyo ndivyo mashabiki wa Simba wanavyotamba kwa sasa baada ya kuona kuna...
UCHAMBUZI: Simba wawe makini wasishangilie matokeo ya Yanga wana mchezo mgumu dhidi ya Mashujaa
Iran hatarini kukosa Kombe la Dunia 2026 Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, ametangaza kuwa hadi sasa hakuna kibali cha kuingia nchini Marekani (visa) hata kimoja kilichotolewa…
Utafiti wa TIFA: 73% ya wana-ODM wanapendelea Linda Mwananchi ya Sifuna kuliko Linda Ground ya Oburu
Kura ya maoni ya TIFA imefichua kwamba kundi la Linda Mwananchi katika ODM ndilo linaloungwa mkono zaidi kwa 73% huku kundi la Linda Ground likiwa na 24%.
Balaa la Chama Simba, joto la ubingwa lazidi kupanda
BADO mbili! Hivyo ndivyo mashabiki wa Simba wanavyotamba kwa sasa baada ya kuona kuna tofauti ndogo sana dhidi ya Yanga iliyo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara kufuatia ushindi…
Saba matatani Mbeya, tuhuma za ajira feki
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kujipatia Sh81 milioni...
Wanne wapandikizwa figo kwa tundu dogo Muhimbili
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia mpya katika huduma za afya nchini baada...
Wafuasi wa Ruto wanaamini Kindiki ndiye mgombea mwenza bora zaidi wa Ruto 2027
Utafiti mpya unaonyesha kuwa Naibu Rais Kithure Kindiki anapendelewa kubaki na kiti chake katika uchaguzi wa 2027, huku wafuasi wa Rais Ruto wakiungwa mkono kwa 59%.
Wanaodaiwa kumuua mteja kwa kipigo Mwanza, wapandishwa kizimbani
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewafikisha mahakamani mlinzi (baunsa) pamoja na mfanyakazi wa...
Mtibwa Sugar yazidi kuizamisha KMC
KMC imeendelea kujiweka karibu zaidi na hatari ya kushuka daraja baada ya kupoteza kwa mabao 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Jamhuri…
Dereva bodaboda adaiwa kuuawa na wasiojulikana, mwili watupwa porini
Dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Ally Kambi (24), mkazi wa Kingolwira Manispaa ya...
“Sisi Wenyeviti wa ACT Wazalendo wa Mikoa 11 ya Kichama Zanzibar tunatoa rai kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuiweka…
“Sisi Wenyeviti wa ACT Wazalendo wa Mikoa 11 ya Kichama Zanzibar tunatoa rai kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuiweka hadharani rpoti yote ya Tume ya Jaji Chande.…
Ubingwa Ligi Kuu Zanzibar, JKU na Uhamiaji kupigana vikumbo
MECHI kati ya Uhamiaji na JKU itakayochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Mao B kisiwani Unguja, itakuwa yenye ushindani wa kusaka alama tatu zitakazoamua hatma yao ndani ya Ligi Kuu…
Dabi ya kisasi na ubingwa WPL
NI zamu ya mabinti, baada ya mechi ya watani wa jadi ya kaka zao Simba na Yanga iliyotoka kwa sare ya 2-2, sasa ni zamu ya Simba Queens ikiikaribisha Yanga…
Fadhili Majiha avuliwa mkanda wa WBC
Uamuzi huo ulithibitishwa na Makamu wa Rais wa WBC, Houcine Houichi, ambaye alisema baraza hilo lilifanya jitihada mbalimbali kuwasiliana na menejimenti ya bondia huyo kabla ya kuchukua hatua hiyo.
Takukuru Geita yapokea malalamiko 75 ya rushwa na kufanya uchunguzi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Geita imepokea na kufanya uchunguzi...
Wenyeviti mikoa 11 ACT Wazalendo Zanzibar waunga mkono maazimio ya kamati kuu
Wenyeviti wa Mikoa 11 wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar wameunga mkono maazimio ya kamati kuu...
Wizara ya Kazi yaja na mkakati uwekezaji wa PPP, ufanisi wa ajira
Wakati Wizara ya Kazi na Uwekezaji ikikadiria kutumia Sh27.091 bilioni kwa mwaka wa fedha...
Mnyama anamsogelea Yanga leo au vipi?
Mnyama anamsogelea Yanga leo au vipi? Tupe maoni yako mechi ni saa 10:15 jioni. (Feed generated with FetchRSS)
Stanbic yatoa vifaa tiba vya Sh18 milioni hospitali za Dodoma
Stanbic Bank Tanzania imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya Sh18 milioni kwa hospitali tatu...