Ajali ya basi, Canter yaua dereva abiria wawili wajeruhiwa Chato
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo...
Miradi mikubwa ya maendeleo iliyoanzishwa katika awamu ya tano imekamilika kwa kiasi kikubwa, amesema Mgombea Urais wa Jamhuri y…
Miradi mikubwa ya maendeleo iliyoanzishwa katika awamu ya tano imekamilika kwa kiasi kikubwa, amesema Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na…
Lissu akubali yaishe pingamizi la Jamhuri
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekataa ombi la Tundu Lissu, aliyeomba kupokewa...
Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania yatangaza ongezeko la idadi ya wapiga kura
Ongezeko hili linafuatia mabadiliko ya takwimu za wapiga kura na idadi ya vituo vya kupigia kura yaliyowasilishwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
#HABARI: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini kufanya ufuatiliaji wa makampuni ya madini ambayo yameshikilia …
#HABARI: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini kufanya ufuatiliaji wa makampuni ya madini ambayo yameshikilia maeneo kwa muda mrefu lakini hawajayaendeleza mpaka sasa yakiwemo makampuni matatu wilayani Ruangwa.…
Miaka miwili baada ya pigo la kihistoria la HAMAS dhidi ya Israel
Leo imetimia miaka miwili tangu Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ilipotekeleza operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa na kutoa pigo kubwa na la kihistoria dhidi ya utawala haramu…
Kura ya mapema inavyogonganisha vichwa vya wanasiasa Zanzibar
Uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025 kwa nafasi ya urais, wabunge, wawakilishi...
Kaimu Mkurugenzi Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Irene Gowelle amesema shirika hilo limep…
Kaimu Mkurugenzi Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO), Irene Gowelle amesema shirika hilo limepiga hatua kubwa ya kukamilika kwa miradi mipya mbalimbali ya uwekezaji ya…
“Kwetu mteja ni zaidi ya mfalme, kwa sasa tunazingatia wateja kwa kutoa huduma kwa wakati, na tumewekeza katika vifaa vya usafir…
"Kwetu mteja ni zaidi ya mfalme, kwa sasa tunazingatia wateja kwa kutoa huduma kwa wakati, na tumewekeza katika vifaa vya usafiri kwa kununua magari 100, pikipiki 284 na bajaji ambazo…
Ushirikiano baina ya UN na AU umeimarika zaidi kuliko wakati wowote: Baraza la Usalama
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekutana mjini New York Marekani kujadili ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika UA, katika kudumisha amani na usalama…
Mashirika ya UN yatoa wito kusitisha mapigano na kuachiliwa kwa mateka Gaza
Miaka miwili tangu mashambulizi ya kigaidi ya tarehe 7 Oktoba 2023, maafisa wakuu wa mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa wametoa tena wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano…
Guterres amelaani vikali kukamatwa kwa wafanyakazi wengine 10 wa UN nchini Yemen
Waasi wa Houthi wamekamata wafanyakazi wengine 10 wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen, na kuifanya idadi ya wafanyakazi waliokamatwa kufikia 54 tangu mwaka 2021.
Tunaadhimisha Siku ya Pamba Duniani kwa kujivunia yote ambayo Afrika inaweza kufanya – Alphadi
Mbunifu mashuhuri wa mitindo kutoka Niger, Alphadi, ameendesha darasa la mafunzo maalum kwa wanafunzi wa Chuo cha Mitindo cha Roma Italia, kwa lengo la kusherehekea pamba ya Afrika na ubunifu…
Miaka miwili ya vita Gaza wananchi bado wanateseka
Kwa miongo kadhaa, Israel na Palestina zimekuwa katika migogoro ya mara kwa mara. Lakini tarehe 7 Oktoba mwaka 2023, hali ilibadilika ghafla.
Vurugu zazuka upya kaskazini mwa Msumbiji, watu 22,000 walazimika kukimbia ndani ya wiki moja
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu ongezeko kubwa la idadi ya watu waliolazimika kuyahama makazi yao kaskazini mwa Msumbiji. Hali hiyo inatokana…
Ni wakati wa kukomesha vita Gaza, madhila ya miaka miwili yametosha: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, leo ametoa wito wa kuachiliwa mara moja kwa mateka wote wanaoshikiliwa Gaza, na amesisitiza tena umuhimu wa kusitisha mapigano yanayoendelea kati ya…
ICJ: Siku ya pili ya shauri la iwapo haki ya kugoma inalindwa kisheria
Leo ni siku ya pili kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) huko The Hague nchini Uholanzi kuendelea kusikiliza shauri ili kuamua iwapo haki ya kugoma inalindwa chini ya sheria…
Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, iliyopo katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, umeanzisha kampeni endelevu ya kutoa elimu…
Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi, iliyopo katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, umeanzisha kampeni endelevu ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu mienendo ya kiikolojia ya tembo. Mpango huo…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 07, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, OKTOBA 07, 2025
ICC yampata na hatia kiongozi wa uhalifu wa kivita Darfur, Sudan
Mahakama ya ICC imempata Ali Muhammad Ali Abd-Al-Rahman na hatia ya makosa 27 ya uhalifu dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na ubakaji, mauaji na mateso…
Wananchi wa Kijiji cha Kibaoni waliopisha eneo kwa ajili ya mradi wa upanuzi wa Chuo cha Kilimo Sokoine (SUA), Kampasi ya Mizeng…
Wananchi wa Kijiji cha Kibaoni waliopisha eneo kwa ajili ya mradi wa upanuzi wa Chuo cha Kilimo Sokoine (SUA), Kampasi ya Mizengo Pinda, mkoani Katavi wamekabidhiwa hundi yenye thamani ya…
#UPDATE: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu, inaendelea …
#UPDATE: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Antipas Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam ambapo kwa sasa, imeahirishwa…
Hamas ina nguvu kiasi gani miaka miwili baada ya Oktoba 7?
Uongozi wa kijeshi wa Hamas umeangamizwa na haijulikani kundi hilo bado lina wapiganaji wangapi. Na kundi hili la Hamas bado linabaki kuwa na uwezo wa kufanya mashambulizi ya msituni.
Ipuuzwe habari hii si ya kweli
Ipuuzwe habari hii si ya kweli. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania.
Mpango wa Trump; majibu ya Hamas na mvutano mkubwa katika baraza la mawaziri la Israel
Wakati mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza yameingia mwaka wake wa pili, hivi karibuniRais Donald Trump wa Marekani aliwasilisha mpango wenye vipengele 20 akidai…
Diamond na Zuchu wanavyorudishana utotoni
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kwa sasa anatamba na wimbo mpya, Msumari (2025) ambao...
Je, Waisraeli na Wapalestina wamegawanyika milele?
Uhusiano kati ya Waisraeli na Wapalestina uko katika kiwango cha chini kabisa. DW imezungumza na watafiti wa maoni na wataalamu wa migogoro kuhusu njia zinazowezekana za kutatua hali hiyo.
Uhispania kuiburuza Israel ICC kwa kunyanyasa wanaharakati wa msafara wa Sumud
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uhispania, Fernando Grande-Marlaska amesema kuwa, hatua za kisheria huenda zikachukuliwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi ya Israel baada ya utawala wa…
‘Kutekwa’ kwa Polepole giza nene, Polisi yamsaka nduguye
Wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu taarifa za kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini...
Leo ni kumbukumbu ya miaka miwili tangu shambulio la Hamas
Maelfu ya watu wamekusanyika leo kusini mwa Israel kuomboleza wapendwa wao waliouawa katika uvamizi uliofanywa na wanamgambo wa Kipalestina mnamo Oktoba 7 mwaka 2023.
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 07, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 07, 2025
Raia 14 wa Ujerumani wafukuzwa Israel baada ya msafara Gaza
Raia 14 wa Ujerumani waliokuwa wametiwa nguvuni nchini Israel baada ya kushiriki msafara wa kupeleka misaada katika Ukanda wa Gaza wamefukuzwa nchini humo.
Ulaya haina haki ya kutoa maoni kuhusu uwezo wa kiulinzi wa Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepinga vikali madai ya uingiliaji kati na yasiyo na msingi ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Baraza la Ushirikiano la…
UNHCR yakosoa sera za Marekani kuhusu wahamiaji
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi (UNHCR), Filippo Grandi, amesema kuwa Marekani chini ya utawala wa Rais Donald Trump imekuwa ikiwafukuza wahamiaji kwa njia zinazokiuka sheria za…
Lecornu ajaribu kuepusha mkwamo wa kisiasa Ufaransa
Waziri Mkuu wa Ufaransa anayeondoka madarakani, Sebastien Lecornu, anatarajiwa kufanya juhudi za mwisho leo kujaribu kupata uungwaji mkono kutoka vyama mbalimbali kwa ajili ya kuunda baraza jipya la mawaziri.
Kuanguka kizoro katika uso wa Israel – Mwaka wa Pili wa Kimbunga cha al Aqsa
Historia muda wote imethibitisha kwamba, msimamo imara na kutotetereka mataifa ya dunia katika kupigania ukombozi, siku zote hushinda utumiaji mabavu, vita, njama na mauaji ya umati. Hiyo ni ahadi ya…
#HABARI: Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
#HABARI: Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Sita imefanya mageuzi makubwa ya maendeleo katika Wilaya ya Nyamagana, na kwamba katika…
Tunisia: Mahakama yamuachilia aliyekuwa amehukumiwa kifo
Mahakama nchini Tunisia imemuachilia huru leo Saber Chouchane, mwanamume mwenye umri wa miaka 56, ambaye wiki iliyopita alikuwa amehukumiwa kifo kwa kuchapisha kauli za kumkosoa rais.
Wanajeshi wengine sita wa Israel waangamizwa na kujeruhiwa huko Ghaza
Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kutokea tukio zito la kiusalama kwa wanajeshi wa utawala huo dhalimu huko kusini mwa Ukanda wa Ghaza.
Wakati sheria hazitumiki kwa Israeli: Sumud flotilla na kushindwa kwa haki ya kimataifa
Ikiwa kizuizi kisicho halali kinaweza kutoa udhuru wa utekaji nyara meli za misaada katika maji ya kimataifa, basi hakuna bendera iliyo salama, na sheria ya bahari ni uvumi tu.
Macron akabiliwa na shinikizo jipya Ufaransa
Rais Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo jipya la kisiasa baada ya waziri mkuu wake mpya, Sebastien Lecornu, kujiuzulu katika hali ambayo haikutarajiwa.
Putin: Suluhisho la kadhia ya nyuklia ya Iran ni mazungumzo
Katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitizia ulazima wa kutatuliwa suala la nyuklia la Iran kwa njia ya mazungumzo na…
#HABARI: Matangazo ya Runinga yenye kelele yamepigwa marufuku huko California baada ya kupitishwa kwa sheria mpya inayowataka wa…
#HABARI: Matangazo ya Runinga yenye kelele yamepigwa marufuku huko California baada ya kupitishwa kwa sheria mpya inayowataka watu wanaoingiza sauti na kuzitengeneza kupunguza sauti. Haya yamejiri baada ya watazamaji nchini…
Vikosi vya usalama vya Kongo vyashutumiwa kwa unyanyasaji
Tangu mapema mwezi huu wa Oktoba, kikosi cha ulinzi wa rais wa Kongo Brazzaville kimeanzisha operesheni dhidi ya magenge ya wahalifu ya vijana wanaoshambulia watu kwa mapanga wanaojulikana kwa jina…
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mkinga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Twaha Mwakioja, ameahidi kusimamia kwa karibu utekele…
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mkinga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Twaha Mwakioja, ameahidi kusimamia kwa karibu utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji wenye thamani ya shilingi bilioni…
Mto Nile nchini Sudan wafurika, maji ya Blue na White Nile yaongezeka
Mafuriko makubwa katika Jimbo la Mto Nile nchini Sudan yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 30 na maelfu ya wengine kukwama. Wakazi wa eneo hilo wanaelezea jinsi walivyopitisha usiku wa…
JKT Queens yatawala kikosi Twiga Stars
Nyota wa JKT Queens wameteka kikosi cha timu ya Taifa ya Wanawake 'Twiga Stars' kinachojiandaa...
Mawakili wakanusha Diddy kuomba msamaha kwa Trump
Mawakili wa mwanamuziki wa Hip-Hop nchini Marekani Sean “Diddy” Combs, wamekanusha taarifa...
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 07, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 07, 2025