🔴MAGAZETI JULAI 08, 2026: TISHIO LA MAANDAMANO LASIMAMISHA BIASHARA
🔴MAGAZETI JULAI 08, 2026: TISHIO LA MAANDAMANO LASIMAMISHA BIASHARA (Feed generated with FetchRSS)
🔴MAGAZETI JULAI 08, 2026: TISHIO LA MAANDAMANO LASIMAMISHA BIASHARA (Feed generated with FetchRSS)
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, JULAI 08, 2026: (Feed generated with FetchRSS)
Serikali kupitia kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu imeshuhudia kusainiwa kwa makubaliano ya ushirikiano kati ya Taasisi ya Serikali ya Qatar…
Jeshi la Polisi nchini Kenya limezuia maandamano ya kumbukumbu ya Saba Saba yaliyokuwa yamepangwa kufanyika jijini Nairobi. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi (Feed generated with FetchRSS)
Wakazi wa Vijiji vya TuombeMungu na maeneo ya jirani wilayani Kaliua wameendelea kutoa kilio kuhusu tatizo la uhaba wa maji ambalo limekuwa likiwakabili kwa muda mrefu. Wananchi hao wamesema hali…
Serikali imewaomba wadau wa maendeleo kuendelea kuunga mkono utekelezaji wa sera ya elimu bila ada ili kusaidia kuboresha mazingira ya kujifunzia katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, ikiwemo kukabiliana na…
Mkutano wa viongozi wa muungano wa kujihami wa NATO umeanza mjini Ankara, Uturuki, ukijadili masuala mbalimbali yanayohusu usalama wa Ulaya, vita vinavyoendelea nchini Ukraine pamoja na mwelekeo wa ushirikiano wa…
-Ni la kuboresha ufugaji na tasnia ya maziwa Dar es Salaam – Mshindi wa kwanza wa Vijana Uchumi Challenge 2026, Geoffrey Samuel Sanga kutoka Dodoma, ameibuka na Sh milioni 50…
Paris, Ufaransa. Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amewakaribisha wafanyabiashara wa Ufaransa kuwekeza kwenye uongezaji thamani madini mkakati nchini Tanzania kwa kujenga viwanda vya kuchenjua,kusafisha na kuyeyusha madini. Waziri Nchemba ameyasema…
Imeelezwa kuwa kasi ya kufikisha umeme kwa kila kitongoji imefikia asilimia 62. Msimamizi wa Miradi ya REA, Mhandisi, Aneth Malingumu amesema hayo leo katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba)…
Mashindano ya Mchezo wa Mpira wa Miguu yajulikanayo Kama Zuberi Cup yanatajwa kuwa Chachu ya kuibua Vipaji vya Michezo huo kwa Vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro Mashindano hayo ambayo huusisha…
Mfanyabiashara mashuhuri nchini na Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Saidi Salim Bakhresa, ametunukiwa Tuzo ya 'Pioneer of Made in Tanzania' kwa kutambua mchango wake wa kuwa miongoni mwa waanzilishi na…
Mfanyabiashara mashuhuri nchini, Saidi Salim Bakhresa, ametunukiwa Tuzo ya Kinara wa Sekta ya Viwanda ( Industrial Champion Award ) ikiwa ni kutambua mchango wake mkubwa katika maendeleo ya sekta ya…
Kampuni ya vinywaji baridi ya Azam Soda and Juice imetambulisha kinywaji kipya cha MOJITO SODA chenye ladha ya limao na mint, ambacho kimepokelewa vyema na wananchi waliotembelea maonesho ya Biashara…
Kampuni kubwa ya utengenezaji wa bidhaa za kielektroniki ya JIUZHOU kutoka China imeipongeza Azam Media Limited kwa uwekezaji wake pamoja na ubora wa utayarishaji wa maudhui yake. Pongezi hizo zimetolewa…
Unapohitaji huduma za afya, mawasiliano kati ya mgonjwa na mtoa huduma ni jambo muhimu sana. Hata hivyo, pale mtoa huduma anaposhindwa kupata au kuelewa taarifa sahihi kutoka kwa mgonjwa, kuna…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, JULAI 06, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewatoa wasiwasi wananchi kuhusiana na madai dhidi ya matumizi ya fedha za mikopo ya Serikali na kueleza kuwa ushahidi wa matumizi ya mikopo hiyo uko…
#HABARI: Mrisho Hassan Nambwenya mwenye umri wa miaka 13 mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Mikindani, amefariki kwa kuzama Baharini na mwili wake kupatikana baada ya msako…
#HABARI: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo, ametembelea Kijiji cha Madini, ambacho kimekuwa gumzo kubwa katika maonesho yanayoendelea ya Kibiashara ya Kimataifa ya Sabasaba na kupata fursa ya…
#HABARI: Viongozi mbalimbali wa dini nchini wamewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na mshikamano wakitaifa kwa kutokukubali kufuata mkumbo wa kuhamasishwa kufanya vurugu na matukio ya uvunjifu wa amani ya Julai…
Jeshi la Polisi limewahakikishia Watanzania kuwa hali ya usalama nchini inaendelea kuwa shwari, huku likisema limeimarisha ulinzi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuelekea maadhimisho ya Sikukuu…
Makampuni ya Bakhresa Group yamepongeza maboresho ya Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Sabasaba, huku yakiwahakikishia wateja kuendelea kupata huduma na taarifa kuhusu bidhaa mbalimbali…
Safari mpya za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kati ya Tanzania na Urusi zimeanza kupata mwitikio mkubwa wa abiria, hatua inayotarajiwa kuongeza idadi ya watalii na kuimarisha biashara kati ya…
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imemkabidhi mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii wa Oman, Khalid Hamed Al Barwani ‘Ubalozi wa Hiyari wa Utalii wa Tanzania’. Hatua hiyo inafuatia mafanikio…
“Ulemavu si kikwazo cha kukufanya ushindwe kuyafikia malengo uliyojipangia kwenye harakati mbalimbali za kimaisha”, hiyo ni imani anayoishi nayo mwanafunzi wa darasa la tano visiwani Zanzibar ambaye ana ulemavu wa…
Mamlaka mkoani Mwanza zinaendelea kuchunguza chanzo cha moto uliozuka usiku wa kuamkia leo Julai 4, 2026 na kuunguza baadhi ya maduka ya wafanyabiashara kwenye mtaa wa Lumumba huku zaidi ya…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amewahimiza wafanyabiashara na wananchi kwa Jumla kuendelea na shughuli zao za kila siku bila kuhofia kauli za vitisho ambazo zimekuwa zikisambazwa…
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, Sabasaba, yamechangia kuzalishwa kwa ajira zaidi ya 631,109 katika kipindi cha miaka 50…
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesema umeanza mchakato wa kuchakata nyaraka za watumishi wanaotarajiwa kustaafu katika mwaka wa fedha 2026/2027, hatua inayolenga kuhakikisha wanalipwa mafao…
Wakati wananchi Yanga sc wakipanga kuweka kambi masaa matano eneo la Msimbazi ambapo ni makao makuu ya watani wao wa Jadi Simba sc , Simba nao wamejibu kwa kuweka screen…
parade la Ubingwa limeanza Kunoga (Feed generated with FetchRSS)
Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila kuzikwa baada ya wananchi kugoma kuuzika wakishinikiza Serikali kuchukua hatua…
Mamilioni ya waombolezaji pamoja na viongozi wa kidini, maafisa wa serikali na wageni wa kimataifa wanatarajiwa kuhudhuria kesho katika mazishi rasmi ya Kiongozi Mkuu wa zamani wa Iran, Ayatollah Ali…
Zaidi ya wafanyabiashara 3,000 wanaofanya shughuli zao katika mnada wa mifugo wa Kigwe, wilayani Bahi, hatimaye wameondokana na changamoto ya kutumia vichaka vinavyozunguka eneo hilo kujisaidia. Hatua hiyo imekuja kufuatia…
Katika maadhimisho ya miaka 50 ya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), Rais Samia Suluhu Hassan amesema maonesho hayo yameendelea kuwa chachu ya ukuaji wa biashara,…
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameiomba Mahakama ya Rufani kutupilia mbali maombi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ya kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo…
Mkurugenzi wa Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala (REA), mhaandisi Advera Mwijage amewaeleza wadau wanaotembelea Maonesho ya Sabasaba kuwa wakala.hayo inaendelea na utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya kupikia, jadidifu…
Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka wafanyabiashara waendelee kulipa kodi, akisema hicho ni kitendo cha kizalendo na kinaipa nchi heshima kuelekea uchumi wa kujitegemea. Rais Samia ameyasema hayo Jumatano Julai 1,…
Baada ya kunusurika katika ajali ya pikipiki na kufanyiwa upasuaji, wengi walidhani safari ya kijana Fati ingekuwa imefikia tamati huku ndoto kubwa alizonazo katika fikra kuzikwa katikati ya majonzi na…
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umetangaza fursa za uwekezaji katika viwanja 38 vinavyomilikiwa na Serikali vilivyopo katika mikoa 20, vitakavyoendelezwa kupitia ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi…
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bakhresa Food Products (BFPL), Salim Aziz amesema ushindi wa tuzo ya ulipaji kodi kwa mujibu wa vigezo vinavyotambulika iliyotolewa kwa kampuni za Said Salim Bakhresa (SSB)…
Unaweza kuelezeaje hali hii? Wananchi wanalia kwa kukosekana kwa maendeleo ikiwemo miundombinu bora na salama ya barabara kisha miongoni mwa wananchi wanageuka wezi na waharibifu. Hatua za mafanikio mkoani Shinyanga…
Wadau wa masuala ya kodi wakiwemo wataalamu na wafanyabiashara wameishauri serikali kuboresha baadhi ya mifumo ya ukusanyaji kodi ili kuendana na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kukerwa na…
#HABARI: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, amewataka wananchi wa Wilaya ya Serengeti na Mkoa wa Mara kwa ujumla kuwa mstari wa mbele katika kulinda…
#MALUMBANOYAHOJA: VIONGOZI WA SERIKALI KUTOA MATAMKO YALE YALE KUHUSU FOLENI DAR ES SALAAM BILA UTEKELEZAJI. JE, WANAONGEA LUGHA MOJA?, JULAI 02, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#MALUMBANOYAHOJA: VIONGOZI WA SERIKALI KUTOA MATAMKO YALE YALE KUHUSU FOLENI DAR ES SALAAM BILA UTEKELEZAJI. JE, WANAONGEA LUGHA MOJA?, JULAI 02, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴MALUMBANOYAHOJA: VIONGOZI WA SERIKALI KUTOA MATAMKO YALE YALE KUHUSU FOLENI JE, WANAONGEA LUGHA MOJA? JULAI O2, 2026 JULAI O2, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
"Hatuna budi kujengwa uwezo wetu wa ndani, kwa kuimarisha ukusanyaji wa mapato ili kujengwa uchumi unaojitegemea, kwa kiasi kikubwa, hatutaweza kwenda 100% lakini kwa kiasi kikubwa tunaweza kujitegemea kwa mapato…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JALAI 1 2026 , 2026 (Feed generated with FetchRSS)