Jumatano, tarehe 20 Mei, 2026
leo ni Jumatano tarehe 3 Dhulhija 1447 Hijria sawa na Mei 20 mwaka 2027.
Ndugu wa wasichana waliotoweka Arusha, wamwangukia Rais Samia awasaidie
Sakata la kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa wasichana wawili, Kareen Didas (23) na...
Video ya John Mbadi, Wandayi Wakiteta Kuhusu Gharama Kubwa ya Mafuta Bungeni Yaibuka Tena
Wakenya walishiriki video ya Mawaziri John Mbadi na Opiyo Wandayi wakiteta kuhusu bei ya mafuta bungeni kitambo huku Wakenya wakiandamana kuhusu gharama ya mafuta.
Waziri Mkuu ashtukia kuuzwa dhamana za wakopaji
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema mfumo wa benki wa kuuza dhamana za wakopaji...
Steve Nyerere: Twanga Pepeta kuandika historia mpya
Mratibu mkuu wa uzinduzi wa albamu mpya ya 16 ya Iwanga Pepeta, Steve Nyerere amesema mashabiki...
FIFA2026: Fahamu miamba inayopewa nafasi kwenye fainali za mwaka huu
Wakati zikiwa zimesalia takribani wiki tatu kwa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 kung’oa nanga kwenye mataifa ya Marekani, Canada na Mexico, RFI Kiswahili tunazimulika timu zinazopewa nafasi ya…
Shule ya Upili ya Ambira yafungwa baada ya wanafunzi kuvuruga, kuharibu mali: “Tunataka mwakenya”
Shule ya Upili ya Wavulana ya Ambira imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya wanafunzi kufanya ghasia, na kuharibu mali kutokana na madai ya uvujaji wa KCSE.
Kwa nini Arsenal bado haiwezi kulibeba kombe la EPL licha ya kushindwa kwa Manchester City
Arsenal ilishinda taji la Ligi Kuu baada ya miaka 22, kutokana na sare ya Manchester City dhidi ya Bournemouth. Hata hivyo, watasubiri kabla ya kupokea kombe.
Ebola nchini DRC: Marekani yapata sababu mpya ya kukosoa shirika la Afya Duniani, WHO
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio anaikosoa shirika la Afya Duniani, WHO, kwa “kuchelewa” kutambua mlipuko wa virusi vya Ebola unaoikumba Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Imechapishwa:…
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Manchester United, Rio Ferdinand amesafiri ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) kueleekea bungen…
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Manchester United, Rio Ferdinand amesafiri ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) kueleekea bungeni Jijini Dodoma kwa mwaliko rasmi wa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na…
Hatima ya afisa wa zamani wa ujasusi wa Austria anayeshtakiwa kwa kuipa taarifa Urusi kujulikana
Hukumu dhidi ya afisa wa zamani wa idara ya ujasusi anayeshtakiwa kwa kuuza taarifa kwa Urusi inatarajiwa leo Jumatano katika kesi ambayo imechafua sifa ya Austria. Imechapishwa: 20/05/2026 – 08:54…
Xi Jinping na Vladimir Putin wakaribisha hali ‘isiyotetereka’ ya uhusiano wa China na Urusi
Rais wa China Xi Jinping na Rais wa Urusi Vladimir Putin wamethibitisha leo Jumatano nguvu ya uhusiano kati ya mataifa hayo mawili licha ya msukosuko wa kimataifa, chini ya wiki…
Mamake Wema Sepetu Asema Diamond Platnumz Alimtumia Bintiye Kujinufaisha
Mama wa Wema Sepetu amesema hakuwahi kuafiki mahusiano ya binti yake na msanii Diamond Platnumz, akidai msanii huyo alikuwa akijitafutia umaarufu.
Kaka yake Rachel Wandeto azungumza kwa uchungu baada ya kifo chake, atuma ujumbe mzito kwa serikali
Familia ya Rachel Wandeto imezungumza baada ya kifo chake cha kusikitisha. Ndugu yake aliomba haki, akisisitiza anamuunga mkono Rais Ruto katikati ya huzuni yao.
“Mtesaji maarufu,” mkurugenzi wa zamani wa gereza la Libya anakabiliwa na mashtaka ya ICC
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu imefungua vikao vya mashtaka kwa Khaled Mohamed Ali el-Hishri, mmoja wa makamanda wa gereza la Mitiga nchini Libya. El-Hishri anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi…
Magazeti ya Kenya: Mgomo wa matatu wawaanika ‘wataalamu’ wa ODM waliokabidhiwa serikali ya Ruto
Mgogoro wa mafuta wawaanika viongozi wa ODM katika serikali ya msingi mpana ya Ruto. Mbadi na Wandayi wanajitahidi kutoa suluhu, wakifichua changamoto mbele yao.
EU: Makubaliano yafikiwa – chini ya shinikizo – kutekeleza makubaliano ya biashara na Marekani
Wabunge wa Bunge la Ulaya na nchi wanachama wa EU wamefikia makubaliano ya muda ya kutekeleza makubaliano ya biashara yaliyohitimishwa msimu uliopita wa joto na Marekani, ofisi ya rais wa…
Bolivia: Washington yaita maandamano dhidi ya rais Rodrigo Paz ‘mapinduzi ya umma’
Maandamano ya hivi karibuni dhidi ya serikali nchini Bolivia ni “mapinduzi ya umma,” Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ametangaza siku ya Jumanne, akielezea uungaji mkono wake kwa…
Mambo 10 yaliyosalia mikononi mwa Diamond
Mwanamuziki wa Bongofleva, Diamond Platnumz amefanikiwa kuweka rekodi nyingi katika muziki...
Ebola nchini DRC: Kuanzia Mongbwalu hadi Bunia, jinsi mwitikio dhidi ya virusi unavyopangwa
Wakazi wa mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameanza miongozi ya kukabiliana na kuenea kwa virusi vya Ebola. Mkoa huu wa kaskazini mashariki ndio kitovu…
Togo: Ruksa kwa raia wote wa nchi za Afrika kuingia Togo bila visa
Hakuna visa zaidi zinazohitajika kuingia Togo. Raia wa nchi zote za Afrika sasa wameondolewa masharti ya visa kwa kukaa nchini humo hadi siku 30. Tangazo hili melitolewa katika taarifa rasmi.…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Mei 20, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Mei 20, 2026 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Viongozi wa nchi za Ghuba wagawanyika kuhusu mchakato wa kidiplomasia na Iran
Kulingana na Rais wa Marekani, Donald Trump, ni kwa ombi la falme za Kiarabu za Ghuba kwamba vita kati ya Iran na Marekani bado havijaanza tena. Rais wa Marekani alitangaza…
WARIDI WA BBC: ‘Nina sehemu mbili za uke’
Abigael Kendi, binti mwenye umri wa miaka 19, kutoka Kenya amezaliwa na mlango wa kizazi mara mbili, tumbo la uzazi mara mbili, uke mara mbili na figo moja.
WARIDI WA BBC: ‘Nina uke mara mbili na sijawahi kupata hedhi’
Abigael Kendi, binti mwenye umri wa miaka 19, kutoka Kenya amezaliwa na mlango wa kizazi mara mbili, tumbo la uzazi mara mbili, uke mara mbili na figo moja.
DRC: Upinzani waajaribu kuungana dhidi ya mabadiliko ya katiba
Upinzani nchini DRC unajaribu kuungana dhidi ya marekebisho ya katiba. Mnamo Mei 6, 2026, wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Rais Félix Tshisekedi alifungua mlango wa muhula wa tatu…
Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth
Hatimaye baada ya miaka 22 ya ukame, Arsenal au ukipenda waite The Gunners wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2025-26 baada ya Man City kulazimishwa sare…
Wanajeshi wa Rwanda kuendelea na oparesheni zao nchini Msumbiji
Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, amesema nchi ya Msumbiji imefanikiwa kupata fedha kwa ajili ya vikosi vya Kigali vilivyoko nchini humo kuendelea na operesheni za kijeshi…
Nigeria na Marekani zadai kuwauwa magaidi 175
Nigeria na Marekani zimedai kutekeleza mashambulio ya pamoja yaliyoua zaidi ya wanajihadi wa kiislamu 175 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, akiwemo kiongozi wa pili wa juu wa kundi la Islamic…
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, akutana na Rais wa China Xi Jinping
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amekutana na Rais wa China Xi Jinping siku chache tu baada ya ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump.
Wadau mbalimbali wa siasa na masuala ya haki jinai nchini wamepongeza kuundwa kwa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Gha…
Wadau mbalimbali wa siasa na masuala ya haki jinai nchini wamepongeza kuundwa kwa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa…
FYATU MFYATUZI: Tunachukia mabeberu, tunafanya ubeberu
Tokana na ufyatu, leo naja kifalsafa kama mwanafalsafa nguli ambaye hajawahi kutokea...
Jeshi la Iran: Medani mpya za mapambano zitafunguliwa ikiwa adui atatumbukia katika mtego wa Israel
Jeshi la Iran limeonya kuwa iwapo adui ataanguka tena katika mtego wa Israel na kuanzisha uchokozi mwingine dhidi ya Iran, jeshi la taifa litafungua medani mpya ya mapambano kwa kutumia…
Uganda yawaweka karantini zaidi ya watu 100 huku WHO ikitoa tahadhari kuhusu kasi ya Ebola
Serikali ya Uganda inasema zaidi ya watu 100 wamewekwa karantini huku maafisa wa afya wakijitahidi kudhibiti mlipuko nadra wa Ebola unaohusishwa na aina ya virusi vya Bundibugyo.
NPS Yavunja ukimya kuhusu OCS wa Central Police, yaelezea kwa nini hatafikishwa mahakamani
Inspekta Mkuu Dishen Angoya alikamatwa kwa madai ya kuwaachilia huru washukiwa 64 wa maandamano kuhusu bei ya mafuta; uchunguzi unaendelea ila afya yake inatia hofu.
Kulegeza kamba mara kwa mara Trump, ishara ya kuemewa mbele ya Iran
Pars Today - Rais wa Marekani Donald Trump, kwa mara ya kumi na moja katika kipindi cha wiki chache tu, amerudia tena majigambo yake ya kuishambulia Iran lakini baadaye anatafuta…
Arsenal: Ni kiasi gani cha pesa ambacho Gunners watapata kwa kutwaa ubingwa EPL
Arsenal wametawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya 2025/26, wakipata taji la kihistoria lenye faida za kifedha, ushawishi ulioongezeka, na mustakabali mzuri mbele.
Elimu ya utunzaji wa mazingira ya bahari inatajwa kuwanufaisha wavuvi wa pweza mkoani Tanga ambao wanasema wameshuhudia manufaa …
Elimu ya utunzaji wa mazingira ya bahari inatajwa kuwanufaisha wavuvi wa pweza mkoani Tanga ambao wanasema wameshuhudia manufaa ya aina mbalimbali kama walivyozungumza na Mariam Shedafa. Mhariri @moseskwindi (Feed generated…
Russia yaanza mazoezi ya nyuklia ya siku 3 huku Putin akitarajiwa nchini China kwa ziara ya siku mbili
Russia imezindua mazoezi makubwa ya silaha za nyuklia yanayohusisha makumi ya maelfu ya wanajeshi, huku mapigano na Ukraine yakizidi kuwa makali na Rais Vladimir Putin akielekea China kwa ziara ya…
Sheikh Zakzaky: Damu ya Imam Khamenei aliyeuawa shahidi itawaandama Wazayuni
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria amesema Imam Ali Khamenei aliyeuawa shahidi na damu yake safi vitaendelea kuuandama utawala wa Kizayuni wa Israel ambao ni sawa na donda la…
Pasipoti zenye nguvu zaidi Duniani 2026
Katika miaka ya hivi karibuni, nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Ethiopia, Zambia, Zimbabwe, Lesotho, Somalia, Mauritania na São Tomé na Príncipe, zimeweka masharti ya viza kwa raia wa Nigeria
Intelijensia ya Iran yasambaratisha kundi la magaidi wa kitakfiri wenye uhusiano na Israel
Timu za upelelezi za Iran zimefanikiwa kusambaratisha seli nne za wanamgambo wa Kitakfri wenye mfungamano na utawala wa Israel katika mkoa wa Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran mkoa…