Rooney amkosoa Gerrard kuhusu kizazi cha dhahabu England
Mshambuliaji wa zamani wa England, Wayne Rooney, amemkosoa Steven Gerrard kutokana na tamko...
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia kijana aitwaye Piere Saimoni (20), mkazi wa Nzuguni B kwa tuhuma za kujihu…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia kijana aitwaye Piere Saimoni (20), mkazi wa Nzuguni B kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ubakaji. Kijana huyo anatuhumiwa kuwabaka wanawake…
Venezuela: Mpinzani wa rais Maduro ashinda tuzo ya Nobel
Tuzo ya kimataifa ya amani ya Nobel imetolewa kwa mwanasiasa wa upinzani na mwanaharakati wa demokrasia nchini Venezuela, Maria Corina Machado, kamati inayotoa tuzo hiyo imetangaza. Imechapishwa: 10/10/2025 – 12:18Imehaririwa:…
Waandamanaji nchini Madagascar wamtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu
Polisi wanatumia mabomu ya machozi, na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Oktoba 10, 2025, amezuru kaburi la Hayati Baba wa Taifa,…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
María Corina Machado ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel
Kamati ya Nobel ya Norway, imemtangaza kiongozi wa upinzani Venezuela na mwanaharakati wa kutetea demokrasia Maria Corina Machado kuwa mshindi wa Tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2025.
Refa alivyotaka kuacha kazi kisa kushambuliwa na mashabiki
Mwamuzi maarufu wa Ligi Kuu England, Anthony Taylor, amefichua kuwa aliwahi kufikiria kuachana...
#MEZAHURU: Je ni kweli MARAFIKI wa pembeni ndio chanzo cha NDOA nyingi kuvunjika kwa sasa.?
#MEZAHURU: Je ni kweli MARAFIKI wa pembeni ndio chanzo cha NDOA nyingi kuvunjika kwa sasa.?
Kocha Bafana Bafana aitisha Zimbabwe kufuzu Kombe la Dunia 2026
Kocha wa Bafana Bafana, Hugo Broos, ameahidi kikosi chake kitapambana kama simba kitakapokutana...
Changamoto za afya ya akili imekuwa ikiongezeka siku hadi siku katika jamii zetu
Changamoto za afya ya akili imekuwa ikiongezeka siku hadi siku katika jamii zetu. Hii inatokana na baadhi yatu kubeba mizigo ya kihisia kwa muda mrefu bila msaada, jambo linaloathiri mahusiano,…
#HABARI: Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Tai…
#HABARI: Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza na wanafamilia wa…
Jeshi la Polisi nchini kupitia msemaji wake, DCP David Misime, limesema limejipanga kikamilifu kudhibiti uhalifu na kulinda aman…
Jeshi la Polisi nchini kupitia msemaji wake, DCP David Misime, limesema limejipanga kikamilifu kudhibiti uhalifu na kulinda amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza na chombo kimoja cha habari…
Paresso: Huyu ndiye Samia wa miaka mitano ijayo
Mageuzi ya kiuchumi yaliyotokana na ubunifu na utekelezaji wa miradi mikubwa na ya kimkakati...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
#HABARI: Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe
#HABARI: Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Tundu Antipas Lissu imeanza kusikilizwa ikiwa ni siku na tano mfululizo ambapo leo Mhe Lissu ameanza…
Programu ya TangaYetu ilivyosaidia kupunguza ajali za barabarani kwa watoto wa shule jijini Tanga
Kwa miaka mingi, kitendo cha kutembea kwenda shuleni kilikuwa moja ya kitu hatari katika siku...
Staa Ivan Klasnic na kisa cha kusikitisha
Nyota wa zamani wa Ligi Kuu ya England, Ivan Klasnic, amesema kuwa anaweza kufariki wakati...
Miaka 20 ya Mtei akihudumu wodi ya wagonjwa wa akili
Kwa Peter Mtei, sehemu hii ni nyumbani, na wagonjwa ni kama familia yake ya pili.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, ameahidi kuwa endapo chama chake kitaingia madarakani, kitajikita…
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, ameahidi kuwa endapo chama chake kitaingia madarakani, kitajikita katika kukuza uchumi wa nchi na kuongeza pato la wananchi. Akizungumza katika mkutano…
Simba yarudishwa Ali Hassan Mwinyi ukifunguliwa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuufungulia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi...
Mali: Maafisa 11 wa vyeo vya juu wanaoshutumiwa kwa ‘njama’ watimuliwa jeshini
Nchini Mali, maafisa kumi na mmoja wa vyeo vya juu, wakiwemo majenerali wawili, wamefutwa kazi jeshini. Uamuzi huo ulitolewa kwa agizo mnamo Oktoba 8, 2025, na rais wa mpito, Jenerali…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
Baada ya Israel na Hamas kufanya mkutano nchini Misri kujadili suluhisho la kudumu la amani katika Ukanda wa Gaza, pande hizo mb…
Baada ya Israel na Hamas kufanya mkutano nchini Misri kujadili suluhisho la kudumu la amani katika Ukanda wa Gaza, pande hizo mbili zimekubaliana kuanza kutekeleza baadhi ya vipengele 20 vilivyopendekezwa…
#MICHEZO: Tarehe 14 Oktoba katika siku ya kumbukizi ya Hayati Julius Nyerere, uongozi wa Altas School umeandaa Marathon inayokwe…
#MICHEZO: Tarehe 14 Oktoba katika siku ya kumbukizi ya Hayati Julius Nyerere, uongozi wa Altas School umeandaa Marathon inayokwenda kufanyika, mbio hizi kwa mara ya saba zinakwenda kufanyika. Powered by…
Uchaguzi wa urais Côte d’Ivoire: Kampeni zaanza
Kampeni za uchaguzi nchini Côte d’Ivoire zinaanza leo Ijumaa, Oktoba 10. Uchaguzi wa urais utafanyika Jumamosi, Oktoba 25. Kabla ya hapo, kwa muda wa wiki mbili, wagombea watano walioidhinishwa na…
Kikosi cha dharura cha Ukraine kimefanya juhudi za kuokoa maisha ya watu na kudhibiti moto uliosababishwa na shambulio lililofan…
Kikosi cha dharura cha Ukraine kimefanya juhudi za kuokoa maisha ya watu na kudhibiti moto uliosababishwa na shambulio lililofanywa na Urusi usiku wa kuamkia leo katika mji wa Kyiv. Tukio…
Licha ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaogundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti, wataalamu wa afya wanasema hata …
Licha ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaogundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti, wataalamu wa afya wanasema hata wanaume nao hawako salama, kwani nao wako katika hatari ya…
Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda
Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza na ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina…
#HABARI: Serikali ya Israel imethibitisha rasmi kuidhinisha mpango wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza pamoja na mpango …
#HABARI: Serikali ya Israel imethibitisha rasmi kuidhinisha mpango wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza pamoja na mpango wa kuwaachilia mateka, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Waziri Mkuu…
EU yataka kuthibitisha msimamo wake kama mshirika wa kimkakati wa Afrika
Umoja wa Ulaya (EU) unanuia kuongeza uwekezaji wa biashara katika nchi za Kusini, kama sehemu ya mkakati wake wa “Global Gateway” uliozinduliwa mwaka 2021 ili kukabiliana na ushawishi wa China…
Mkurugenzi wa Huduma za Kinga katika Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt
Mkurugenzi wa Huduma za Kinga katika Taasisi ya Saratani Ocean Road, Dkt. Crispin Kahesa amesema unene au uvimbe ndani ya titi, pamoja na mabadiliko ya sura au mwonekano wa titi…
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka wazee wa mkoa huo kuhamasisha jamii kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025,…
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka wazee wa mkoa huo kuhamasisha jamii kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025, na kuhakikisha vijana wanalinda amani ya nchi. Amesema wazee wanayo…
Pembe ya Afrika: Eritrea yaishtumu Ethiopia kwa ‘uongo uliokithiri’
Shutuma mpya za uvunjifu wa amani zaikumba Pembe ya Afrika: Addis Ababa inashutumu jirani yake, Eritrea, na Tigray People’s Liberation Front (TPLF) kwa “kujiandaa kikamilifu kwa vita dhidi ya Ethiopia.”…
Iran: Maadui wanajua watalazimika ‘kuomba usitishaji vita’ iwapo watatushambulia tena
Makamu wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref amesema matukio ya hivi karibuni yameonyesha nguvu ya Jamhuri ya Kiislamu na kutangaza kwamba, maadui sasa wanatambua shambulio lolote dhidi ya taifa…
KONA YA MSTAAFU: Pensheni inapomfanya Mstaafu acheke kisha kulizwa!
Mstaafu wetu amejikuta akishtuka sana mwisho wa mwezi uliopita alipoingiziwa kimya kimya...
Hamas: Israel imechuja orodha ya Wapalestina wanaopasa kuachiwa
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema utawala wa Israel unajaribu kuhadaa, kufanyia hila na kuchuja baadhi ya vipengele katika makubaliano ya usitishaji vita.
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, OKTOBA 10, 2025
Miaka 20 ya Mtei wodi ya wagonjwa wa akili
Kwa Peter Mtei, sehemu hii ni nyumbani, na wagonjwa ni kama familia yake ya pili.
Uchaguzi wa urais wa Cameroon: Hofu na matumaini ya wapiga Kura siku mbili kabla ya uchaguzi
Kampeni za uchaguzi zinakaribia kumalizika nchini Cameroon. Wakati takriban wapiga kura milioni 8 wakiwa wameratibiwa kumpigia kura rais wao Jumapili, Oktoba 12, nini matarajio yao siku mbili kabla ya uchaguzi?…
Kuelewa visababishi vya kisukari aina ya kwanza
Insulin ni homoni muhimu inayosaidia mwili kutumia sukari kuwa nishati. Bila insulin, sukari...
Magonjwa yasiyoambukiza yanavyoua ndoto za vijana
Vijana wananyemelewa na maradhi haya, na kibaya zaidi, wengi hawajitambui kwa kuwa wametingwa...
Ruto: Kuondolewa viza Afrika kutatatua changamoto za bara hilo
Rais William Ruto wa Kenya ameahidi kuongoza juhudi za kuondoa masharti ya viza kwa Waafrika na kutatua mizozo inayokumba bara hilo.
UTI haisababishwi na kujamiiana
Wanaume si waathirika wa UTI kwa sababu ya kuwa na mrija mrefu, jambo linalowapa safari ndefu...
Siri za kuimarisha afya ya akili
Mtaalamu wa saikolojia tiba kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk Isaack Lema, anasema...
Serikali ya Netanyahu imeidhinisha awamu ya kwanza ya mpango wa amani licha ya mgawanyiko
Serikali ya Israel imetangaza leo Ijumaa, Oktoba 10, kwamba imeidhinisha makubaliano ya kuwaachilia mateka huko Gaza, hatua mpya katika utekelezaji wa awamu ya kwanza ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko…
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yataka kuachiliwa wanaharakati wa Sumud
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni cha kuendelea kuwashikilia wanaharakati wa msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Gaza, na…
Korea Kaskazini yaadhimisha miaka 80 ya chama tawala
Chama tawala nchini Korea Kaskazini, Chama cha Wafanyakazi, kinaadhimisha miaka 80 tangu kuasisiwa kwake.
Korea Kaskazini: Kim Jong-un awapokea washirika wake China na Urusi na kujipongeza kwa mafanikio
Korea Kaskazini, Alhamisi hii, Oktoba 9, imeadhimisha miaka 80 ya Chama cha Wafanyakazi, ambacho kimetawala nchi hiyo bila kugawana madaraka na vyama vingine tangu mwaka 1949. Imechapishwa: 10/10/2025 – 08:17…
Putin: Israel imeniomba niipe Iran ujumbe kwamba haitaki vita
Rais wa Russia, Vladmir Putin amesema viongozi wa Israel wamemtaka aieleze Iran kwamba, utawala huo haufuatilii vita na makabiliano zaidi na Iran, na una hamu ya kupunguza mvutano.