🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA, WANANCHI WAJITOLEA KUKARABATI BARABARA – MEI 19, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA, WANANCHI WAJITOLEA KUKARABATI BARABARA - MEI 19, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Sudan: Kamanda mkuu wa FSR, Abu Lu Lu, arudishwa katika uwanja wa vita
Nchini Sudan, Abu Lu Lu, kamanda mkuu wa vikosi vya wanamgambo wa RSF, ambaye alipewa jina la utani la mchinjaji wa El-Fasher, amerudi mstari wa mbele. Kamanda huyu wa FSR…
Anko Nzala afichua alivyomnasa Mo Dewji kuigiza naye komedi
NYUMA ya pazia alichokifanya msanii wa vichekesho nchini, Aman Nzala ‘Anko Nzala’ kumshawishi mwekezaji na rais wa heshima wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ kufanya naye kazi, chanzo…
Anko Nzala afichua alivyomnasa Mo Dewji kuigiza aye komedi
NYUMA ya pazia alichokifanya msanii wa vichekesho nchini, Aman Nzala ‘Anko Nzala’ kumshawishi mwekezaji na rais wa heshima wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ kufanya naye kazi, chanzo…
#HABARI: Vijana zaidi ya elfu nane wanatarajiwa kukutana katika Tamasha la Tanzania ya thamani ambalo kauli mbiu yake ni “tunu y…
#HABARI: Vijana zaidi ya elfu nane wanatarajiwa kukutana katika Tamasha la Tanzania ya thamani ambalo kauli mbiu yake ni “tunu yetu”. Vijana wametakiwa kutumia majukwaa mbalimbali katika kujikwamua kiuchumi na…
Ebola nchini DRC: Kwa nini utambuzi ulicheleweshwa kwa mwezi mmoja
Nchini DRC, visa vya kwanza vilivyorekodiwa vya Ebola Bundibugyo huko Ituri vilianza Aprili 15, 2026. Mlipuko wa ugonjwa huo haukuthibitishwa rasmi hadi Mei 14. Kulingana na vyanzo mbalimbali, kuchelewa huku…
Ahadi ya Rio kwa soka la Tanzania
Nyota wa zamani wa Manchestsr United na England, Rio Ferdinand jana alianza rasmi ziara yake nchini kwa mapokezi makubwa huku akitoa ahadi ya kuhakikisha analisaidia soka la Tanzania kupiga hatua.
Kikosi cha Mayele wamebaki sita Yanga
FISTON Kalala Mayele kama ulivyosikia amechaguliwa kuwa kwenye kikosi cha timu ya taifa lake DR Congo kinachokwenda kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2026.
Taifa Stars yaangukia kundi gumu kufuzu AFCON 2027
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepangwa katika kundi L la kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 zitakazofanyika hapa nchini kwa kushirikiana na Kenya na Uganda.
“…Serikali ilitoa ahadi ndani ya Bunge kupitia kwa Waziri aliyepita Dkt
“…Serikali ilitoa ahadi ndani ya Bunge kupitia kwa Waziri aliyepita Dkt. Tax kwamba kuanzia mwezi Julai, Maveteran wa vita ya Kagera ambao hawapati posho, wataanza kulipwa rasmi posho na Serikali…,”…
Mwanaume aliyemkabili kwa ujasiri Waziri Wandanyi asema alitishiwa kwenye simu: “Sikulala”
Kennedy Kaunda, kigogo wa sekta ya matatu alijitokeza kuwapinga Mawaziri Wandayi na Chirchir katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu mgomo wa gharama ya mafuta.
Serikali yaweka mkono walioathiriwa na wanyamapori
DODOMA; WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kuiongezea wizara hiyo Sh bilioni sita kwa ajili ya kulipa kifuta jasho na kifuta machozi…
Kocha Coastal akwepa mtego wa Chama
KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Fikiri Elias amesema mechi dhidi ya Simba ni wa malengo kwa timu hiyo, huku akitaja mkakati maalumu wa kumdhibiti, Clatous Chama ambaye amekuwa gumzo kwenye…
Serikali kufanya mapitio sheria za uhifadhi
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali ina mpango wa kufanya mapitio ya sheria zinazohusiana na uhifadhi kwa lengo la kuimarisha mahusiano kati ya maeneo ya hifadhi na jamii zinazozunguka…
Wizara Ulinzi yaja na maeneo manane bajeti ikipita
Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ya Sh4.3 trilioni kwa...
WMA yasisitiza ukaguzi matumizi vipimo sahihi
WAKALA wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuendelea kufanya ukaguzi wa matumizi ya vipimo sahihi kwenye maeneo ya uzalishaji, maghala yanayouza bidhaa kwa ujumla na masoko ili kukuza uchumi imara, jumuishi na…
Morogoro yajipanga kuvuna mabilioni biashara ya kaboni
Serikali mkoani Morogoro, imeanza utekelezaji wa mkakati wa kupanda miti milioni mbili ya...
Monica anayedaiwa ‘kutapeli Fuso’ kusomewa maelezo Mei 25
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Mei 25, 2026 Jamhuri itamsomea hoja za awali (Ph)...
#HABARI: Taharuki imeibuka katika Mtaa wa Mazimbu Darajani, Kata ya Kihonda Manispaa ya Morogoro baada ya kijana mmoja Sadiki Mr…
#HABARI: Taharuki imeibuka katika Mtaa wa Mazimbu Darajani, Kata ya Kihonda Manispaa ya Morogoro baada ya kijana mmoja Sadiki Mrisho maarufu kama Kipanya, kudaiwa kufariki dunia kwa kuchomwa moto, nduguze…
#HABARI: Serikali imeshauriwa kuwekeza nguvu kwenye kutunga na kusimamia sera rafiki zitakazowezesha ubunifu na utengenezaji wa …
#HABARI: Serikali imeshauriwa kuwekeza nguvu kwenye kutunga na kusimamia sera rafiki zitakazowezesha ubunifu na utengenezaji wa Mifumo ya akili Mnemba (AI) itakayoendana na mazingira ya Tanzania ili kuchagiza uchumi wa…
Kakao, stakabadhi ghalani vyakomboa wakulima Muheza
Wakulima wa zao la kakao wilayani Muheza wameeleza namna mfumo wa stakabadhi ghalani...
Mshauri wa Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran na vikosi vya jeshi vitailazimisha Marekani kusalimu amri
Mshauri mkuu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kwamba mkono wa chuma wa vikosi vya jeshi na taifa thabiti la Iran vitailazimisha Marekani kurudi nyuma…
Wakazi wa Kunduchi wasogezewa huduma za mawasialiano na fedha
Kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma za...
Serikali ya Uganda yaweka udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa Ebola DRC
Uganda imeanzisha udhibiti wa mipaka kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola. Wafanyakazi wa afya nchini humo tayari wameanza kupima halijoto ya watu huku wakiwasaidia kunawa mikono yao karibu na…
Watu watano wauawa katika shambulio dhidi ya msikiti na Kituo cha Kiislamu huko California
Polisi wa San Diego huko California nchini Marekani wametangaza kwamba watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga kituo cha Kiislamu cha mji huo, wakiwemo washambuliaji wawili.
Mhasibu asimulia walivyoukuta mwili wa miliki wa kiwanda mtaroni
Mmiliki wa kiwanda hicho ni raia wa China, Bhaozang Ge (50), alikuwa anaishi ndani ya kiwanda...
Fursa mpya uwekezaji kupitia hatifungani yazinduliwa
Kampuni ya iTrust Finance Limited imezindua hatifungani yake ya kwanza ya Sh100 bilioni kwa...
Dereva apepea mitandaoni baada ya kutumia bango la “One Term” kukwepa shambulizi la waandamanaji
Dereva wa Narok alitumia bango lenye maneno “One Term" kupita kizuizi cha barabarani kwa usalama huku waandamanaji wakimshangilia kwenye video iliyotamba mtandaoni
Dereva apepea baada ya kutumia bango la “One Term” kupita kizuizi cha barabarani cha maandamano
Dereva wa Narok alitumia bango lenye maneno “One Term" kupita kizuizi cha barabarani kwa usalama huku waandamanaji wakimshangilia kwenye video iliyotamba mtandaoni
CMSA: Taasisi za kifedha zifuate miongozo ya uwekezaji
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana CMSA, imezitaka taasisi za kifedha zinazotoa huduma ya uwekezaji wa hisa kupitia hatifungani ambazo zinatolewa na taasisi hizo kufuata muongozo…
CMSA urges compliance as iTrust launches sh15 billion bond
DAR ES SALAAM: THE Capital Markets and Securities Authority (CMSA) has urged financial institutions offering investment services through bonds to comply with regulatory guidelines issued by the authority and the…
Mafunzo ya Tanzania kutoka AFCON yatachukua kwenye mechi za 2026
Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 halikuenda kikamilifu kwa Tanzania, lakini timu hiyo haikudhihirika vibaya hata kidogo. Walionyesha heshima kubwa dhidi ya baadhi ya wapinzani wakali zaidi barani Afrika, wakionesha…
Hassan Omar asema Rigathi Gachagua atakamatwa kufuatia machafuko ya maandamano ya mafuta
Hassan Omar wa UDA alitishia kukamatwa kwa aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua kutokana na maandamano ya kupinga matumizi ya mafuta, akitaja uchochezi.
Wakili aliyepinga uchaguzi, mkutano mkuu TLS akwaa kisiki mahakamani
Mahakama ya Rufani nchini imetupilia mbali rufaa ya Wakili Steven Cleophace aliyekuwa akipinga...
Uchumi wa dunia wakumbwa na mtikisiko mpya wa biashara, chakula na fedha
Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Biashara UNCTAD, limeonya kuwa uchumi wa dunia unakabiliwa na changamoto mpya kutokana na kuongezeka kwa misukosuko ya biashara, chakula na fedha duniani.
Mlipuko wa Ebola nchini DRC: Bado kuna sintofahamu kuhusu maambukizi yalivyoanza na kusambaa – WHO
Chanjo ya Ebola ya Zaire penginepo miezi kadhaa ijayo Jamii ndio yenye ufunguo wa kudhibiti maambukizi
Fahamu mambo matano kuhusu siku ya haki kwenye michezo
Kila tarehe 19 Mei dunia inaadhimisha Siku ya kimataifa ya haki kwenye michezo au World Fair Play Day, siku hii maalum ilianzishwa na Umoja wa Mataifa lengo likiwa ni kuhimiza…
Sauti ya mwanamke na haki zake vyawezekana Kilifi Kenya: Mbunge Martha Koki
Katika maeneo mengi ya pwani ya Kenya, wanawake na wasichana bado wanapambana na changamoto za mila, ukosefu wa elimu, ndoa za mapema na kunyimwa haki za urithi.
Wajasiriamali 320 wa chakula Dodoma wapatiwa majiko banifu
Wajasiriamali 320 wa chakula wamepatiwa mafunzo ya biashara pamoja na majiko banifu...
TFS kujenga kiwanda cha uchakataji mazao ya nyuki
SINGIDA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kujenga kiwanda kipya na uwekaji mitambo ya kisasa kwa ajili ya kuchakata mazao ya nyuki ili kuwezesha kukidhi mahitaji ya soko…
Hii ndiyo ndoto inayomtesa Marioo!
Licha ya kusifika na wengi kwa uandishi mzuri na kutoa nyimbo kali tena mfululizo, bado kuna...
Wahudumu wa Matatu Wasitisha Mgomo wa Kitaifa: “Tunarejea Huduma Mara Moja”
Wamiliki wa Matatu wakomesha mgomo huku kukiwa na mazungumzo na serikali; maelezo muhimu yanatoka katika mkutano na wanahabari na CS Kipchumba Murkomen.
Vikao vya madiwani vyaendelea kuwaumiza wabunge
Malalamiko ya wabunge kuhusu ratiba ya vikao vya madiwani kwa halmashauri za majiji, manispaa...
Apprenticeship system seen as key to expanding youth employment
MOROGORO: Stakeholders in skills development in Tanzania have said that strengthening the apprenticeship system in line with international standards set by the International Labour Organization (ILO) will help increase employment…
Zuchu anavyotembea na kivuli cha marehemu kaka yake
Machi 2007, tasnia ya muziki wa Taarabu ilipata pigo baada ya kumpoteza mwanamuziki, Omary...
Tanzania marathon turns sport into lifesaving mission
DODOMA: Tanzania’s road racing calendar is set for another major spectacle after the National Bank of Commerce (NBC) officially launched the seventh edition of the NBC Dodoma Marathon, scheduled for…
Wizara ya ulinzi yajivunia mafanikio kwenye michezo
DODOMA; WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imesema inatambua vema mchango wa michezo kwa ustawi wa wanajeshi. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 19, 2026 na Waziri…